Uchekeshaji ni kazi kubwa sana tofauti na watu wanavyofikiria. Unatakiwa kuwa msomaji wa mazingira na mfuatiliaji mzuri wa mambo au mada unazotaka kutembea nazo. Ila jamaa ni mzuri.
Tuache ûtani; Eliudi atakuwa msupa balaa... Iyo sauti yake, story telling na contents za maisha ya kawaida ya kila siku.... Zitamfanya afike mbali sana. He's more than just a standup comedian! 😂
Innocent Mathias Alex Cardo ni jina la muigizaji (Character) film za mapigano nchini marekani kama vile Bolo young au Tom poh alikuwa ni sterling kwenye movie ya Blood sport 3
Ni kwel kabisa Ogapa sana mtu anabadilisha stori ya kawaida tu na kuwa kichekesho yaan namna anavyoiwasilisha na kama c mchekeshaj unaweza kuongea stor hiyo hiyo na watu wasicheke
Da nmecheka saaana, Eliudy anajua sana na nnachompenda yaan story zina mwanzo kati na mwisho......... mpangilio wa matukio kwa mtiririko unaofaaaaa
Eliud siku iliyo zaliwa nilikuona sema ulishindwa kufungua macho ukaanzaa kuliaaaaaaa nakupendaa sana Yesu ndiye mchungaji mwema
nonga like kama na wewe ulisubili kwa hamu sanaa hii show ya eliud bro kaua sanaaa
Nonga ndonn
Huuu anajuwa sana bwana weeee😍😍😍😍
Huyu mtu Ni mwishoo 🔥🔥🔥 big up MC ELIUD
Kabisaa
Big up sanaaa broo
Huyu ndo best comedian kwa Sasa hv tanzania haijawhi kutokea a very good story teller
Sahihi sana,amewapita wote hadi sasa
Jamaa mungu kamjalia sana anaweza kuchekesha
Hongera Eliud mungu amekubariki eneo la uchekeshaji hivyo ufike mbali sana katika huo uchekeshaji
Najisikia vizuri kuona unatuwakilisha vema....hongera sana kakaangu
Lakn eliud alikuwa ndo mwanzoo..hawajui 2
Eliud kazi nzuri sana
Fantastic bro
Uchekeshaji ni kazi kubwa sana tofauti na watu wanavyofikiria. Unatakiwa kuwa msomaji wa mazingira na mfuatiliaji mzuri wa mambo au mada unazotaka kutembea nazo. Ila jamaa ni mzuri.
Miaka Mia was jina wa Mbeya mwenzangu miaka Mia Kaka Nakukubali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tuwakilisheee vyemaa from southern highland!!! 💪💪💪💪💪
Eliud bhana fundiii saaana 😁😁🤣🤣😆😆👏👏🔥🔥💪💪💪🙌😂😂💥💥🔥🔥
ELIUD ulitakiwa uwe Mshindi Number 1💗💗.....MBEYA 🙌🏽
this guy is genius Story teller in Tanzania, what a great comedian🙌🙌🙌.
Hongera Sana Eliud mc kweli una kipaji hongera Sana umenitoa stress za maisha!
🎉🎉🎉🎉 bomba sana kaka ❤❤❤❤
Unajua mwanangu hadi unakera 😃😃😃😃😃😃😃
Coy nakukubali kwa kuibua vipaji
Kuna mtu nilimskia akisema kua eti eliud ndo aliatakiwa kua mshindi wa kwanza..et ni kweli!!?
Ndio
Ndio
kwani we unaoje
Nikweli ila tu yule kijana anaongea English cyaani walitaka wamuweke msomi
Ndio
Nakkbal San broo eliud ww na ndalo nawafuatilia sanaa wanang
Dogo uku sawa mie nakukubali sana komaa
Huyu ndio comedian mkubwa Tz kwasasa ambaye ninamuelewa sana
Sahihi kabisa kaka
Umetisha bro
All the way from mbeya city big up naipenda mbeya
Kwenye hii show huyu jamaa ndio aliua kuliko wote
Huyu jamaa ni comedian kbs 😅😅😅
I love your storyline your the best on stage you kill the show ninifan wako pia
Eliud nakupenda sana kakaangu! Home sweet home!
maqn kaka
Noma sana
Mashalillah leo mko vzr camera hadi sauti ❤👏
Uyu mwamba alitakiwa kua mshindi wa kwanza
Aki for sure that day I was disappointe
For sure ....ataukiangalia kazi zao utagundua kua eliud nimkali sana
Kabisaaa
Jamaa warimfanyia. Hujuma2 aritakiwa achukuwe tuzo namba 1 xema bx2
@@nationalbeautiful sio kweli wapi ama nawewe ndo wale wale tu
Unajua sana hongera
Umetisha mbeya boy 🔥🔥🔥🔥
lit sanaa🔥🔥🔥🔥
All in All jamaa wa Alex kado anajua
We jamaa nakubr sana
Tunaomb na ya haleluya
Tuache ûtani; Eliudi atakuwa msupa balaa... Iyo sauti yake, story telling na contents za maisha ya kawaida ya kila siku.... Zitamfanya afike mbali sana. He's more than just a standup comedian! 😂
Yes
Kazi nzr😂😂😂
Your the best comedian Mc Eliud
Mbeya boy mwaisa alikiwasha
Coy mzungu i like you broo, you never dissapoint
Mule mule hhaaaa mbeya city stand up!! I love you home
Nilikuwa naitafuta hii ya Eliud, 🤔🤔👏👏
Ata mm
Eliud hawezekaniki, ni balaa huyu mtu
Huyu ndo comedy wang
Hahahahahha fundii Sana weusi wako saizi unang'aa😃😃😃😃😃🤣
😂😂😂😂 huyu jamaa namkubali sana from +245
Tuliosubiri amtaje ALEX CARDO tujuane
😀😀hv ALEX CARDO yupo kwel au anazngua tu 😂
Innocent Mathias Alex Cardo ni jina la muigizaji (Character) film za mapigano nchini marekani kama vile Bolo young au Tom poh alikuwa ni sterling kwenye movie ya Blood sport 3
ALEX CARDO amesoma na ELIUD huko MBEYA
more congrats mc eliudi toka uje dar unajitahid kweli na kupendeza sokuiz😂😂😂
Eliud unajua kakangu Mungu akubariki
Huyu jamaa ndo alikuwa mshindi wa kwanza tukizingatia kanuni za uchekeshaji... anaelezea story zenye puch lines na sio kutamka sentensi tu
Ni kwel kabisa Ogapa sana mtu anabadilisha stori ya kawaida tu na kuwa kichekesho yaan namna anavyoiwasilisha na kama c mchekeshaj unaweza kuongea stor hiyo hiyo na watu wasicheke
Ukimtoa Leonardo ni mr midevu anafata Eliud nawakubali sana sana❤❤❤❤
Kakaangu ukifika mbeya ntaomba nkuone jaman me npo kyela
Huyu jamaa alistahili namba moja walimchakachua
Nakuk bal sana bro
Hi ndy niliyo kua naisubil kwa hamu kubwa
Katisha sana ila mnazingua tumen show zote basi
nenda ukumbini ulipie uchek show nzima
Eliudi congratulations 👏👏👏 more you are talented big up
Uyu jamaa ananikumbushaga life la mbeya
Ila mnazngua mnatuma kdg kdogo sannna
Tuliisubiri kwa HAMU
BROTHER GENIOUS.❤
dah..nilitamani uendelee tu❤️
Eliud bhna nakukbali sanaa 🤣🤣🤣 kipaji unacho
Mungu mwema azidi kukuinua katika viwango vya juu sana
Umetish brother
big up Eliud
WaTanzania Tuna stresses sana.. Kwaiyo munacheka kweli😐😐😐
Kwnn ww ume view.. Nyie nd vichaw 2naowaongleag
@@mariammalongo7345😂😂😂😂😂😂😂
Nani anasubiria battle la mc madevu na eliudi
Tulikua tuna hisubiri kwa hamu 👌✌️
Eliudi yupo vizuri sana
Dah 😁😁😁😁
Eliud nampenda Sana I see
mbona eliud mmechelewa kumueka mtandaoni
Hongera sana Eliud
Rose kelele shiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweliiii dharau pia zipo kwetu mbeya lakin mpaka upewe dharau ujue umeitafuta mwenyewe. Wanyenyekevu kwa mtu sahihi
Safi sana Eliud
Eti kelele shiiiiiiii🤣🤣🤣🤣
uyu jamaa noma sana aisee namkubari
Kazi safi
Nakukubali mkalii
Tisha sana
Hela ya kwanza kaichukua kirahisi sana😂
Sasa nyie chekatu imefanyika siku nyingi but MNA weka leo mmmmm pool management of responsibilities
Sio pool ni poor brooo
@@asedimaketa8694 😂😂😂😂
Tafuta ela
Ukijua nini maana ya biashara ya digital huta tukana tena
Eliud Ni balaaa
Mwanzo mzuri👍
Eliud noma sana 😂😂
Very creative
Kumbe tupo weng ambao tulikua tunamngoja eliud
Eliud mkali sana
What we have been waiting 👏🏾
Ambao bando tunaitazama hii VIDEO MPAKA 2021 TUJUANE
Uliudi ninakutabiria makubwa
Hhhhha,eliud bna