Nimelia nikiwa ofisini, workmate ameingia akataka kuona kilichoniliza... ni Islam.. aliangalia hadi mwisho. Aliomba twende wote uaskofu sehemu ya mbali (ikitokea) atajilipiakila kitu.. nimeahidi tutakwenda.
Jamaaanii!! Hongera kwa kupata Mguso wa Kimbingu. Uaskofu BUKOBA Tar. 27/1/2024 Uaskofu Mafinga tar. 19/3/2024 Jichagulie kati ya sehemu Hizo uende Mpendwa.🎉
@@suzannakipapy5951 Mafinga tutakwenda, tutajipanga..nitafute mapema rafiki huko ili tupate nafasi ya kushuhudia tukio zima kwa karibu..kwa ajili ya huyu ndugu yangu... atakuja na familia yake kutembelea family yangu.. hakika tutamwonyesha upendo wa Kristo katika jumuiya yetu... Mungu wetu ni Mwema
Asante Mungu kwa kuniumba na kuwa mkatoliki Mungu wetu wachunge mababa wetu wa Kiroho.❤
Mungu azidi kukubariki pia nikutakie utume mwema Baba Askofu
Mmenibariki sana wanangu wazuri
Najivunia kuwa mkatoliki❤ hongereni sana watoto
Hongera sana mtoto umefuata nyayo za mamaako Mungu aendelee kukuinua zaidi,libarikiwe tumbo lililokuzaa! Ubarikiwe sana
Wabarikiwe watoto
Hakika Mingu wetu ni Mwema kila wakati, Najivunia kuwa Mkatoliki.
Atukuzwe Mungu milele, Kwa makuu anayotupatia. Ee Mungu Kaendelee kumlinda na kumuongoza vema baba Askofu Kwa kazi yake ya kuongoza kondoo wako kwako.
Hongera sana wameimba vizuri sana
At kabla uzaliwe Mungu alijua utakuwa Padre .Asante sana kwa kusikia shauti ya Mungu kama vile samweli alisikia na akaitika congratulations Fr
Nyimbo Nzuri sana zinatukumbusha na kutuweka Karibu na Mungu
Atukuzwe Mungu Milele,
Hii ibada inasisimua na kuheshimisha roho
Mungu wa mbinguni awape ulinzi zaid Hawa watoto
Njombe ❤❤
hongereni watoto mlioimba zaburi na masister waliosoma ritania
Mungu Fundi 🎉🎉🎉 love from Germany🇩🇪
Asante Kwa kufuatilia njombe tv ukitaka kuja uniambie nikuagize mic 🎤 huko itakuwa bei mseleleko
Eeh Mungu pokea sifa na shukrani kupitia watumishi wako hao
Atukuzwe mungu wetu
Kwa kweli napona nisikilizapo nyimbo hz
Asante Kwa comment mnisaidie kushare maneno matakatifu
Pongezi nyng kwa kamati ya Liturujia kwa kuaandaa watoto kuimba zaburi
Kuna uaskofu Bukoba na Mafinga
Na mungu awabarkii
Bwana atukuzwe daima
Mungu awabariki sana
Narudia mara Kwa mara hata sijaacha. Mungu akutunze katika utume Askofu Kyando
Hakika utukufu wa Mumngu juu ushuke kwetu wana wake
Ukatoliki Raha najivunia kua mkatoliki
Munga akulinde
🎉🎉🎉🎉hongera sana
Hawa watoto hasa hako kadogo sana ni nomaaaa. Inapaswa waendelezwe na kuyunzwa kimuziki
Tukio hili Takatifu limenibariki sana.Baba Askofu,hii ni mara ya TATU unalala kifudifudi mbele ya altare.MunguRoho Mtakatifu akuongoze baba.
So wonderful!
MUNGU WETU APATE SIFA PENDEVU🎉🎉
🎉
Ee Mungu najivunia kusap mkatoliki
Watoto wako vizuri
Nimelia nikiwa ofisini, workmate ameingia akataka kuona kilichoniliza... ni Islam.. aliangalia hadi mwisho. Aliomba twende wote uaskofu sehemu ya mbali (ikitokea) atajilipiakila kitu.. nimeahidi tutakwenda.
Jamaaanii!! Hongera kwa kupata Mguso wa Kimbingu.
Uaskofu BUKOBA Tar. 27/1/2024
Uaskofu Mafinga tar. 19/3/2024 Jichagulie kati ya sehemu Hizo uende Mpendwa.🎉
@@suzannakipapy5951 Mafinga tutakwenda, tutajipanga..nitafute mapema rafiki huko ili tupate nafasi ya kushuhudia tukio zima kwa karibu..kwa ajili ya huyu ndugu yangu... atakuja na familia yake kutembelea family yangu.. hakika tutamwonyesha upendo wa Kristo katika jumuiya yetu... Mungu wetu ni Mwema
Kumbe tupo wengi tulio Lia?? Nlidhan n mm peke yangu😂😂😂
TUNAKUJA NA TUTAWALETEA KUMBUKUMBU NZURI KAMA HIII
Ulililia nini ningependa kujua
I like it 👍
❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyimbo hizi unawezaje kuzipata?
Wameimba vizur sana
Mie pia 1:33
Nimependezwa na watoto wanajua kupangilia sauti