NYIMBO ZILIZOVUTA HISIA ZA WENGI KWENYE MISA YA KUSIMIKWA ASKOFU KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 янв 2024
  • MISA YA KUSIMIKWA ASKOFU EUSEBIUS KYANDO

Комментарии • 52

  • @reginamrema715
    @reginamrema715 6 месяцев назад +3

    Asante Mungu kwa kuniumba na kuwa mkatoliki Mungu wetu wachunge mababa wetu wa Kiroho.❤

  • @HildaTemba-ic7et
    @HildaTemba-ic7et 5 месяцев назад +3

    Mungu azidi kukubariki pia nikutakie utume mwema Baba Askofu

  • @cosmatitus5509
    @cosmatitus5509 6 месяцев назад +4

    Mmenibariki sana wanangu wazuri

  • @FRANKREME
    @FRANKREME 6 месяцев назад +4

    Najivunia kuwa mkatoliki❤ hongereni sana watoto

  • @IsabellahMdeluka
    @IsabellahMdeluka Месяц назад

    Hongera sana mtoto umefuata nyayo za mamaako Mungu aendelee kukuinua zaidi,libarikiwe tumbo lililokuzaa! Ubarikiwe sana

  • @user-dg1zx6xq2i
    @user-dg1zx6xq2i 6 месяцев назад +3

    Wabarikiwe watoto

  • @user-tj9iy7xq8j
    @user-tj9iy7xq8j 6 месяцев назад +3

    Hakika Mingu wetu ni Mwema kila wakati, Najivunia kuwa Mkatoliki.

  • @user-yt3qh2um9h
    @user-yt3qh2um9h 6 месяцев назад +2

    Atukuzwe Mungu milele, Kwa makuu anayotupatia. Ee Mungu Kaendelee kumlinda na kumuongoza vema baba Askofu Kwa kazi yake ya kuongoza kondoo wako kwako.

  • @user-eu7io7lv5y
    @user-eu7io7lv5y 6 месяцев назад +3

    Hongera sana wameimba vizuri sana

  • @user-wl2yl8zw7e
    @user-wl2yl8zw7e 6 месяцев назад +2

    At kabla uzaliwe Mungu alijua utakuwa Padre .Asante sana kwa kusikia shauti ya Mungu kama vile samweli alisikia na akaitika congratulations Fr

  • @christahaule9244
    @christahaule9244 6 месяцев назад +2

    Nyimbo Nzuri sana zinatukumbusha na kutuweka Karibu na Mungu

  • @silviasenge737
    @silviasenge737 6 месяцев назад +2

    Atukuzwe Mungu Milele,

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 5 месяцев назад +3

    Hii ibada inasisimua na kuheshimisha roho

  • @honorinakalengela2908
    @honorinakalengela2908 6 месяцев назад +5

    Mungu wa mbinguni awape ulinzi zaid Hawa watoto
    Njombe ❤❤

  • @MathayoChaka-bz8yo
    @MathayoChaka-bz8yo 6 месяцев назад +2

    hongereni watoto mlioimba zaburi na masister waliosoma ritania

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 6 месяцев назад +1

    Mungu Fundi 🎉🎉🎉 love from Germany🇩🇪

    • @njbtv2982
      @njbtv2982  6 месяцев назад +2

      Asante Kwa kufuatilia njombe tv ukitaka kuja uniambie nikuagize mic 🎤 huko itakuwa bei mseleleko

  • @user-fy4cq6yd5o
    @user-fy4cq6yd5o 6 месяцев назад +2

    Eeh Mungu pokea sifa na shukrani kupitia watumishi wako hao

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 5 месяцев назад +1

    Atukuzwe mungu wetu

  • @christophermtesigwa1985
    @christophermtesigwa1985 6 месяцев назад +1

    Kwa kweli napona nisikilizapo nyimbo hz

  • @njbtv2982
    @njbtv2982  6 месяцев назад +3

    Asante Kwa comment mnisaidie kushare maneno matakatifu

  • @jamesbeno8283
    @jamesbeno8283 6 месяцев назад +2

    Pongezi nyng kwa kamati ya Liturujia kwa kuaandaa watoto kuimba zaburi

  • @michaelngalo1808
    @michaelngalo1808 6 месяцев назад +3

    Kuna uaskofu Bukoba na Mafinga

  • @user-gp6dl1ou3z
    @user-gp6dl1ou3z 6 месяцев назад +1

    Na mungu awabarkii

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 3 дня назад

    Bwana atukuzwe daima

  • @user-mj6lm1my1s
    @user-mj6lm1my1s 6 месяцев назад +1

    Mungu awabariki sana

  • @mariahaule297
    @mariahaule297 5 месяцев назад

    Narudia mara Kwa mara hata sijaacha. Mungu akutunze katika utume Askofu Kyando

  • @joachimjohn55
    @joachimjohn55 6 месяцев назад +2

    Hakika utukufu wa Mumngu juu ushuke kwetu wana wake

  • @JocobMasawe
    @JocobMasawe 6 месяцев назад +2

    Ukatoliki Raha najivunia kua mkatoliki

  • @josephmtaita9210
    @josephmtaita9210 6 месяцев назад +2

    Munga akulinde

  • @ClalenceMtewele-ke1hq
    @ClalenceMtewele-ke1hq 6 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉hongera sana

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 6 месяцев назад +3

    Hawa watoto hasa hako kadogo sana ni nomaaaa. Inapaswa waendelezwe na kuyunzwa kimuziki

  • @erastomushi7471
    @erastomushi7471 6 месяцев назад +3

    Tukio hili Takatifu limenibariki sana.Baba Askofu,hii ni mara ya TATU unalala kifudifudi mbele ya altare.MunguRoho Mtakatifu akuongoze baba.

  • @suzannakipapy5951
    @suzannakipapy5951 6 месяцев назад +2

    So wonderful!
    MUNGU WETU APATE SIFA PENDEVU🎉🎉

  • @user-oh9xh5oy1t
    @user-oh9xh5oy1t 6 месяцев назад

    Ee Mungu najivunia kusap mkatoliki

  • @felichinakihaga509
    @felichinakihaga509 6 месяцев назад +2

    Watoto wako vizuri

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 6 месяцев назад +4

    Nimelia nikiwa ofisini, workmate ameingia akataka kuona kilichoniliza... ni Islam.. aliangalia hadi mwisho. Aliomba twende wote uaskofu sehemu ya mbali (ikitokea) atajilipiakila kitu.. nimeahidi tutakwenda.

    • @suzannakipapy5951
      @suzannakipapy5951 6 месяцев назад +3

      Jamaaanii!! Hongera kwa kupata Mguso wa Kimbingu.
      Uaskofu BUKOBA Tar. 27/1/2024
      Uaskofu Mafinga tar. 19/3/2024 Jichagulie kati ya sehemu Hizo uende Mpendwa.🎉

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 месяцев назад

      @@suzannakipapy5951 Mafinga tutakwenda, tutajipanga..nitafute mapema rafiki huko ili tupate nafasi ya kushuhudia tukio zima kwa karibu..kwa ajili ya huyu ndugu yangu... atakuja na familia yake kutembelea family yangu.. hakika tutamwonyesha upendo wa Kristo katika jumuiya yetu... Mungu wetu ni Mwema

    • @Amatha_K
      @Amatha_K 5 месяцев назад

      Kumbe tupo wengi tulio Lia?? Nlidhan n mm peke yangu😂😂😂

    • @njbtv2982
      @njbtv2982  5 месяцев назад

      TUNAKUJA NA TUTAWALETEA KUMBUKUMBU NZURI KAMA HIII

    • @franciskalistus6987
      @franciskalistus6987 5 месяцев назад

      Ulililia nini ningependa kujua

  • @HildaTemba-ic7et
    @HildaTemba-ic7et 5 месяцев назад +2

    I like it 👍

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 6 месяцев назад

    ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Amatha_K
    @Amatha_K 6 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @judydaniel7839
    @judydaniel7839 6 месяцев назад +1

    Nyimbo hizi unawezaje kuzipata?

  • @chrisslumbertine8612
    @chrisslumbertine8612 6 месяцев назад +1

    Wameimba vizur sana

  • @user-ry8fq5sl8i
    @user-ry8fq5sl8i 6 месяцев назад

    Mie pia 1:33

  • @chrisslumbertine8612
    @chrisslumbertine8612 6 месяцев назад +3

    Nimependezwa na watoto wanajua kupangilia sauti