Tazama Mbiu ya Pasaka ilivyoimbwa vizuri na Shemasi Hamilton Kikoti mbele ya Askofu Mkuu Ruwa'ichi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575... JINA HAPA) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575... Ujumbe au Video Hapa)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 178

  • @alexmusyoka384
    @alexmusyoka384 4 месяца назад +2

    Mbiu ya pasaka, things like this make me to never miss services especially from holy Thursday to Easter sunday. What a voice brother!!!

  • @experiuschota-op3qk
    @experiuschota-op3qk Год назад +14

    Shemasi Mwakikoti, hongera sana kwa kujaliwa sauti ya kuwapeleka watu kwa Mungu . Tunafarijika sana Wanairinga kwa kutuwakilisha vema. Bela Twilumba. Mwanakwetu.

  • @peterkalezi4272
    @peterkalezi4272 Год назад +8

    Hongera sana Father Kikoti watching in 2023

  • @brigitakaiza1579
    @brigitakaiza1579 Год назад +10

    Voice from heaven... proud Catholic 🥰

  • @titusmwilombe9332
    @titusmwilombe9332 2 года назад +38

    Hii ndiyo liturjia ya Kikatoliki. Kinyume cha hivi, kulia lia na kuhangaika ni uzandiki usiotuhusu Wakatoliki. Hongera sana shemasi.

  • @sellinamagesa7084
    @sellinamagesa7084 2 года назад +27

    Mungu akutangulie tumtumaini daima,Mbiu ya Pasaka ni Salam nzito,Ina masifu,inatukuza ,Ina maombi,Ina shukrani ,KUOMBA msamaha, ñguvu na utukufu wa Mungu,Ina faraja ,mbarikiwe watu wa Mungu,wabarikiwe na wote walioimba Mbiu ya Pasaka
    2022

  • @christopherkarurama2957
    @christopherkarurama2957 2 года назад +34

    Uimbaji wenye stahiki ya heshima ya Ibada. Ubarikiwe na Bw Mungu 🙏🙏

  • @BonifacePeter-dk2vb
    @BonifacePeter-dk2vb Год назад +8

    Hongera baba kwa kusoma vizuri mbiu ya Pasaka Barikiwe sana katika utume wako

  • @godfreykacholi121
    @godfreykacholi121 2 года назад +14

    Shemasi Kikoti nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ufikie daraja la upadri na hata uaskofu, ukardinali na upapa.

  • @wacekendonga5658
    @wacekendonga5658 Год назад +4

    Namshukuru Mungu sana nimeimba mbiu ya Pasaka miaka minne, sifa kwa Kristu Mfufuka.
    Hongera shemasi kwa uimbaji mwema

  • @doricekibona5993
    @doricekibona5993 Год назад +8

    Kumbe ni huyu ni Shehemas basi Mungu akutunze daima karibu Tanga uje umwone Kaka yako Joseph Kikoti 🙏🙏

  • @emmanuelalute6835
    @emmanuelalute6835 2 года назад +13

    Hongera sana shemasi Kikoti kwa kuitumia vyema sauti yako kufanya kazi ya Mungu....Mwenyezi Mungu akutangulie kuufikia wito wako wa upadre.

  • @annmacharia9069
    @annmacharia9069 Год назад +7

    God chooses the best. How can he create all beauty and fail to draw one beautiful voice to sing His praises. Proud of you Deacon ❤

  • @theodosiangowoko5022
    @theodosiangowoko5022 2 месяца назад +2

    Anaimba vizuri sana hchoki kumsikia

  • @luciambilinyi2645
    @luciambilinyi2645 2 года назад +13

    Hongera sana shemasi Mungu awe nawe kila jambo ufanyalo kwa sifa na utukufu wake

  • @lucymassoi9363
    @lucymassoi9363 2 года назад +8

    Hongera sana shemasi Kikoti. Hakika MUNGU anakaa katika Sifa na Sifa zake ni za Milele 🙏🏼

  • @johnkaria7824
    @johnkaria7824 Год назад +9

    Hiyo ndiyo sauti ya kipasaka asante baba

  • @filbertnjau8738
    @filbertnjau8738 2 года назад +10

    hongera sana shemasi kwa sauti yenye kusisimua na mbiu inayotuletea faraja barikiwa sana shemasi KIKOTI

  • @nesphorykitatu253
    @nesphorykitatu253 2 года назад +20

    Just love the way he flows in Swahili lot of love from Kenya..

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 Год назад +9

    Thanks God that I am Christian especially Roman Catholic 🙏🙏🙏

  • @paulinamwasubila7021
    @paulinamwasubila7021 Год назад +10

    can't stop listening and i never get tired.

  • @csato9415
    @csato9415 Год назад +8

    Naendelea kusikiliza mbiu hii ya pasaka leo 4/8/2023. Hongera sana Fr. Hamilton Kikoti, wakati ukiimba mbiu hii ulikuwa shemasi.

  • @paulbugwi6647
    @paulbugwi6647 2 года назад +15

    MBIU YA PASAKA imesomwa Vizuri, nywele zinasisimka Honger Shemas KIKOTI

    • @lucymassoi9363
      @lucymassoi9363 2 года назад +1

      HAKIKAAAA 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @julithermayombya6572
      @julithermayombya6572 Год назад +1

      Hongera shemasi umeiimba mbiu ya PASAKA kwa weledi mkubwa! I'm Proud to be a CATHOLIC ❤

    • @danwakaba7557
      @danwakaba7557 5 месяцев назад

  • @DevotaAlfred
    @DevotaAlfred 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana na mungu kwa uwo uwezo ulio jariwa na mungu mungu akupe maisha marefu uenderee kulitumikia kanisa lake

  • @mamawanenoadventinaelias1201
    @mamawanenoadventinaelias1201 2 года назад +11

    Mungu aibariki sauti yako ikawe baraka Kwa watu wengine.

  • @cecyjoseph2955
    @cecyjoseph2955 Год назад +6

    ❤ naipenda Roman Catholic forever.... Balikiwa shemasi

  • @jamesmissanga9734
    @jamesmissanga9734 2 года назад +5

    Hongera Shemasi Kikoti, wewe ni tunda LA Kanisa Katoliki.

  • @mariavianeypeter2991
    @mariavianeypeter2991 2 года назад +9

    Safi sana shemas umeimba vizuri

  • @audipeter4576
    @audipeter4576 2 года назад +5

    Hongera sn shemes kwa usomaji makini mzuli wa mbiu ya pasaka sauti mzuli mungu akujarie

  • @rayanzachariah1185
    @rayanzachariah1185 2 года назад +6

    Vyema sana shemasii kikotii the future of priesthood to youu is beautiful😍

  • @stellawambura9124
    @stellawambura9124 2 года назад +10

    Asante umeimba vizuri sana Mungu akutegemeze ufikie lengo lako

  • @eustacemgawe5454
    @eustacemgawe5454 2 года назад +9

    Nimeipenda sana

  • @julianandoweka7165
    @julianandoweka7165 2 года назад +6

    Mungu akutunze sisi kama familia ya kikoti tunakiombea Mungu akuhifadhi

  • @chrishara1590
    @chrishara1590 2 года назад +32

    Extraordinary rendition of the beautiful chant Exultet. Happy Easter from Nairobi.

    • @Mary-br3ft
      @Mary-br3ft Год назад

      So much gifted

    • @antoniatemu7221
      @antoniatemu7221 Год назад

      @@Mary-br3ft nafarijika Sana ninapoisokia mbiu ya pasaka ubarikiwe sana

  • @themirrow3433
    @themirrow3433 2 года назад +6

    Kila siku asubuhi lazima nisikilize hii ibada . Mungu akubariki sana Shemasi Kikoti.

  • @kenanmalindisa6430
    @kenanmalindisa6430 6 месяцев назад +2

    heavenly chant

  • @augustinomaufi4535
    @augustinomaufi4535 Год назад +4

    Beautiful, safi sana

  • @helenavanpraag8576
    @helenavanpraag8576 Год назад +5

    I love ❤️ 😍 to hear this every Easter and feel at Peace

  • @rachellerachealrakela5938
    @rachellerachealrakela5938 2 года назад +10

    This is soo beautiful am soo proud and Love my Catholic Faith which is so rich 🙏💕

  • @elmelindamtende8928
    @elmelindamtende8928 Год назад +3

    Waooooo so nice

  • @kakoyolasayuki1111
    @kakoyolasayuki1111 Год назад +2

    Shemasi Kikoti God bless you, for the beautiful Easter Chant.
    So Blessed.
    We all Catholics feel the presence of God

  • @hrmwecau566
    @hrmwecau566 2 года назад +10

    It is amazing to follow it...i feel like risen to straight to heaven

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 2 года назад +8

    Mungu awe nawe kwa kila hatua utakayoifanya kwa sifa na utukufu wa Mungu.

    • @monicahminai1452
      @monicahminai1452 Год назад

      Owesome...I cant stop listening....sweet voice...

  • @salmayatera6318
    @salmayatera6318 21 день назад

    Hakika inapendeza mungu akubariki sana Fr

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Год назад +3

    Asante Mt. Ambrose kwa itunzi wa hii kitu

  • @matildamasonda377
    @matildamasonda377 Год назад +2

    Amina mtumishi wa MUNGU

  • @ummimarunda5982
    @ummimarunda5982 2 года назад +5

    ❤❤❤❤Hongera Baba

  • @flipaclipanimationz6790
    @flipaclipanimationz6790 2 года назад +5

    Duh! Atukuzwe Mungu.

  • @georgealphonse8624
    @georgealphonse8624 2 года назад +4

    Fadha upo vizuri mungu akutangulie

  • @angelabarbuto8071
    @angelabarbuto8071 2 года назад +13

    Complimenti benissimo cantatata che voce soave 🙏❤️che dio ti benedica 🙏

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 года назад +5

    Kikoti 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @margaretikongo1782
    @margaretikongo1782 2 года назад +6

    Extraordinary

  • @florahkimbage9571
    @florahkimbage9571 2 года назад +10

    Mbiu ya Pasaka imesomwa vizuri jamani mpaka mwili umesisimka kama tunapaa Leo mbinguni 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @regnaldhamaro4288
    @regnaldhamaro4288 2 года назад +4

    Cogratulation father

  • @lucymutuura3756
    @lucymutuura3756 2 года назад +9

    wonderful, you are really gifted ,may God bless you 🙏

  • @experiuschota-op3qk
    @experiuschota-op3qk Год назад +4

    Hongera Sana, Shemasi. Uko vizuri. Nahisi kama niko na Mungu physically. Kudadeki.

  • @neuletikkollection9396
    @neuletikkollection9396 Год назад +5

    So moved by both the lyrics and the voice congratulations

  • @jovitusrugahenda7139
    @jovitusrugahenda7139 2 года назад +5

    Simply beautiful shemasi alijiandaa

  • @israelmikola1862
    @israelmikola1862 2 года назад +2

    Father kikoti Safi Sana Kwa jumbe nzuri pamoja na mafundisho yako

  • @altoemily4969
    @altoemily4969 10 месяцев назад +1

    Beautiful voice blessed voice Godly praise voice may Lord guide us.
    Amen

  • @stephenodongo8821
    @stephenodongo8821 2 года назад +6

    This is humbling

  • @dickymodest2745
    @dickymodest2745 2 года назад +6

    Just beautiful

  • @kikotijoan5655
    @kikotijoan5655 2 года назад +6

    Be blessed my kaka.

    • @johnalexandermushi6720
      @johnalexandermushi6720 Год назад

      Hii sauti na tune ya mbiu ya Pasaka hata miaka 10 utafikiri imeimbwa leo. Mungu akubariki sana Pd Hamilton.

  • @MrSulpisi
    @MrSulpisi 24 дня назад

    Hongera sanaaa

  • @gertrudeolisa3392
    @gertrudeolisa3392 Год назад +2

    He just did justice to this Mbiu ya Pasaka...hongera shemasi.

  • @DeniceDamian
    @DeniceDamian Год назад +2

    Asante baba mungu akutangulie katika utume wako

  • @mathewnjuguna4231
    @mathewnjuguna4231 2 года назад +4

    Hongera sana. Well done.

  • @user-bq7nl9ui7s
    @user-bq7nl9ui7s Год назад +1

    Good voice I like it congrats

  • @rosekapingu-hs5rd
    @rosekapingu-hs5rd Год назад +3

    Mbingu na zifunguke kwa sauti hii nzuri . Hongera sana Shemas Kikoti

  • @alexlugembe655
    @alexlugembe655 2 года назад +9

    Blessing rendition

  • @nuruhaule
    @nuruhaule 11 месяцев назад

    Imenigusa sana. Hongera sana shemasi Mungu awe nawe kila jambo ufanyalo kwa sifa na utukufu wake

  • @angelabarbuto8071
    @angelabarbuto8071 2 года назад +8

    🙏❤️Dio ti benedica 🙏❤️

  • @AnisiusiStanislaus-iz2lc
    @AnisiusiStanislaus-iz2lc 9 месяцев назад +1

    Asante kwa Neno zuri Baba

  • @dominickmfoi8486
    @dominickmfoi8486 2 года назад +6

    Beautiful!!

  • @MariaMpongwe
    @MariaMpongwe 5 месяцев назад

    Hongera sana shemasi umetisha,KONGOLE BABA

  • @erickkangalawe2784
    @erickkangalawe2784 2 года назад +3

    Safi Sana

  • @tajirifundi
    @tajirifundi Год назад +2

    Safi sana nivyema

  • @mwemeziponsian4795
    @mwemeziponsian4795 13 дней назад

    Amina

  • @jeromenjiwa9078
    @jeromenjiwa9078 Год назад +2

    Well done fr.Hamilton

  • @mcmtumishi5262
    @mcmtumishi5262 2 года назад +8

    Shemasi kikoti... Miss you brother from the days of TYCS kanda ya Pugu

  • @rachaelgichimu4738
    @rachaelgichimu4738 Год назад +2

    Beautiful Catholic tradition

  • @cheziagwegime4296
    @cheziagwegime4296 2 года назад +2

    Hongera sana, mungu awe nawe

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 2 года назад +4

    Shemasi KIKOTI, nimekuita kwa jina lako. Umeonesha kuwa kweli una wito, ilinde hiyo zawadi ya sauti aliyokujalia MUNGU

  • @lodgermsoma2154
    @lodgermsoma2154 2 года назад +3

    bora sanaa 🙏🙏🙏

  • @martinmurimi5240
    @martinmurimi5240 Год назад +1

    Wonderful singing

  • @VincentDamiano
    @VincentDamiano 5 месяцев назад

    Barikiwa sana shemas daraja la upadre tayar mkuu amekutazama kwa jicho la tatu

  • @kivivilojane
    @kivivilojane 5 месяцев назад

    Hallelujah!barikiwa sana Padre,

  • @DevotaAlfred
    @DevotaAlfred 4 месяца назад

    Ee yesu msimamizi wa mapadri wetu utuombeee

  • @norbertmigodela571
    @norbertmigodela571 5 месяцев назад

    Well done my brother,Haichoshi kusikiliza

  • @daudlweno1137
    @daudlweno1137 5 месяцев назад +1

    Mungu akubrik san

  • @lilianmnabwiru7074
    @lilianmnabwiru7074 2 года назад +4

    Simply the Best. Thanks Brother Hamilton

  • @DeogratiusMwachali-uy1kx
    @DeogratiusMwachali-uy1kx Год назад +2

    Kiukweli hapa ndipo ulipo utofauti wetu na madhehebu mengine

  • @Rogasian
    @Rogasian 5 месяцев назад

    Mungu akulind shemas

  • @lucymassoi9363
    @lucymassoi9363 2 года назад +3

    Umeimba vizuri sana Mbiu ya Pasaka Shemasi Kikoti.

  • @alexjovin2981
    @alexjovin2981 7 месяцев назад +1

    Ameitendea haki 🙏

  • @AnnamaryAndrea
    @AnnamaryAndrea 3 месяца назад

    kaka kikot mbiu umeitendea haki hongera

  • @kalundepius3161
    @kalundepius3161 6 месяцев назад +1

  • @CosmasNyadu
    @CosmasNyadu 5 месяцев назад

    Mungu ni mwema

  • @florandomba6822
    @florandomba6822 2 года назад +2

    ASANTE BABA SHEMASI ,,,,,,UMEWAKILISHA VEMA KANISA LA MUNGU ,,,,ENDELEA KUBARIKIWA,!!!!

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 2 года назад +1

    Asante sana shemasi