Tazama Mbiu ya Pasaka ilivyoimbwa vizuri na Shemasi Hamilton Kikoti mbele ya Askofu Mkuu Ruwa'ichi
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575... JINA HAPA) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575... Ujumbe au Video Hapa)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Mbiu ya pasaka, things like this make me to never miss services especially from holy Thursday to Easter sunday. What a voice brother!!!
Shemasi Mwakikoti, hongera sana kwa kujaliwa sauti ya kuwapeleka watu kwa Mungu . Tunafarijika sana Wanairinga kwa kutuwakilisha vema. Bela Twilumba. Mwanakwetu.
Hongera sana Father Kikoti watching in 2023
Voice from heaven... proud Catholic 🥰
Hii ndiyo liturjia ya Kikatoliki. Kinyume cha hivi, kulia lia na kuhangaika ni uzandiki usiotuhusu Wakatoliki. Hongera sana shemasi.
U
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Seconded
Hao wa kulia Huwa wanalizwa na madeni mengi na shauri ya mlo mmoja
Huu ndio ukatoriki bwana Asante Yesu
Mungu akutangulie tumtumaini daima,Mbiu ya Pasaka ni Salam nzito,Ina masifu,inatukuza ,Ina maombi,Ina shukrani ,KUOMBA msamaha, ñguvu na utukufu wa Mungu,Ina faraja ,mbarikiwe watu wa Mungu,wabarikiwe na wote walioimba Mbiu ya Pasaka
2022
??? .
Uimbaji wenye stahiki ya heshima ya Ibada. Ubarikiwe na Bw Mungu 🙏🙏
Hongera baba kwa kusoma vizuri mbiu ya Pasaka Barikiwe sana katika utume wako
Shemasi Kikoti nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ufikie daraja la upadri na hata uaskofu, ukardinali na upapa.
Amen!
Namshukuru Mungu sana nimeimba mbiu ya Pasaka miaka minne, sifa kwa Kristu Mfufuka.
Hongera shemasi kwa uimbaji mwema
Kumbe ni huyu ni Shehemas basi Mungu akutunze daima karibu Tanga uje umwone Kaka yako Joseph Kikoti 🙏🙏
Hongera sana shemasi Kikoti kwa kuitumia vyema sauti yako kufanya kazi ya Mungu....Mwenyezi Mungu akutangulie kuufikia wito wako wa upadre.
Hongera shemasi
ni padre tayari
God chooses the best. How can he create all beauty and fail to draw one beautiful voice to sing His praises. Proud of you Deacon ❤
Anaimba vizuri sana hchoki kumsikia
Hongera sana shemasi Mungu awe nawe kila jambo ufanyalo kwa sifa na utukufu wake
Hongera sana shemasi Kikoti. Hakika MUNGU anakaa katika Sifa na Sifa zake ni za Milele 🙏🏼
Hiyo ndiyo sauti ya kipasaka asante baba
hongera sana shemasi kwa sauti yenye kusisimua na mbiu inayotuletea faraja barikiwa sana shemasi KIKOTI
Just love the way he flows in Swahili lot of love from Kenya..
Thanks God that I am Christian especially Roman Catholic 🙏🙏🙏
can't stop listening and i never get tired.
Naendelea kusikiliza mbiu hii ya pasaka leo 4/8/2023. Hongera sana Fr. Hamilton Kikoti, wakati ukiimba mbiu hii ulikuwa shemasi.
Na mimi pia
Na mimi pia
MBIU YA PASAKA imesomwa Vizuri, nywele zinasisimka Honger Shemas KIKOTI
HAKIKAAAA 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hongera shemasi umeiimba mbiu ya PASAKA kwa weledi mkubwa! I'm Proud to be a CATHOLIC ❤
❤
Ubarikiwe sana na mungu kwa uwo uwezo ulio jariwa na mungu mungu akupe maisha marefu uenderee kulitumikia kanisa lake
Mungu aibariki sauti yako ikawe baraka Kwa watu wengine.
❤ naipenda Roman Catholic forever.... Balikiwa shemasi
Hongera Shemasi Kikoti, wewe ni tunda LA Kanisa Katoliki.
Safi sana shemas umeimba vizuri
Hongera sn shemes kwa usomaji makini mzuli wa mbiu ya pasaka sauti mzuli mungu akujarie
Vyema sana shemasii kikotii the future of priesthood to youu is beautiful😍
Asante umeimba vizuri sana Mungu akutegemeze ufikie lengo lako
Nimeipenda sana
Mungu akutunze sisi kama familia ya kikoti tunakiombea Mungu akuhifadhi
Extraordinary rendition of the beautiful chant Exultet. Happy Easter from Nairobi.
So much gifted
@@Mary-br3ft nafarijika Sana ninapoisokia mbiu ya pasaka ubarikiwe sana
Kila siku asubuhi lazima nisikilize hii ibada . Mungu akubariki sana Shemasi Kikoti.
heavenly chant
Beautiful, safi sana
I love ❤️ 😍 to hear this every Easter and feel at Peace
This is soo beautiful am soo proud and Love my Catholic Faith which is so rich 🙏💕
Waooooo so nice
Shemasi Kikoti God bless you, for the beautiful Easter Chant.
So Blessed.
We all Catholics feel the presence of God
It is amazing to follow it...i feel like risen to straight to heaven
Mungu awe nawe kwa kila hatua utakayoifanya kwa sifa na utukufu wa Mungu.
Owesome...I cant stop listening....sweet voice...
Hakika inapendeza mungu akubariki sana Fr
Asante Mt. Ambrose kwa itunzi wa hii kitu
Amina mtumishi wa MUNGU
❤❤❤❤Hongera Baba
Duh! Atukuzwe Mungu.
Fadha upo vizuri mungu akutangulie
Complimenti benissimo cantatata che voce soave 🙏❤️che dio ti benedica 🙏
Kikoti 👏🏾👏🏾👏🏾
Extraordinary
Mbiu ya Pasaka imesomwa vizuri jamani mpaka mwili umesisimka kama tunapaa Leo mbinguni 🙏🙏🙏🙏🙏
Cogratulation father
wonderful, you are really gifted ,may God bless you 🙏
Hongera Sana, Shemasi. Uko vizuri. Nahisi kama niko na Mungu physically. Kudadeki.
So moved by both the lyrics and the voice congratulations
Simply beautiful shemasi alijiandaa
Kweli kabisaa
Father kikoti Safi Sana Kwa jumbe nzuri pamoja na mafundisho yako
Beautiful voice blessed voice Godly praise voice may Lord guide us.
Amen
This is humbling
Just beautiful
Be blessed my kaka.
Hii sauti na tune ya mbiu ya Pasaka hata miaka 10 utafikiri imeimbwa leo. Mungu akubariki sana Pd Hamilton.
Hongera sanaaa
He just did justice to this Mbiu ya Pasaka...hongera shemasi.
Asante baba mungu akutangulie katika utume wako
Hongera sana. Well done.
Good voice I like it congrats
Mbingu na zifunguke kwa sauti hii nzuri . Hongera sana Shemas Kikoti
Blessing rendition
Imenigusa sana. Hongera sana shemasi Mungu awe nawe kila jambo ufanyalo kwa sifa na utukufu wake
🙏❤️Dio ti benedica 🙏❤️
Asante kwa Neno zuri Baba
Beautiful!!
Hongera sana shemasi umetisha,KONGOLE BABA
Safi Sana
Safi sana nivyema
Amina
Well done fr.Hamilton
Shemasi kikoti... Miss you brother from the days of TYCS kanda ya Pugu
Beautiful Catholic tradition
Hongera sana, mungu awe nawe
Shemasi KIKOTI, nimekuita kwa jina lako. Umeonesha kuwa kweli una wito, ilinde hiyo zawadi ya sauti aliyokujalia MUNGU
bora sanaa 🙏🙏🙏
Wonderful singing
Barikiwa sana shemas daraja la upadre tayar mkuu amekutazama kwa jicho la tatu
Hallelujah!barikiwa sana Padre,
Ee yesu msimamizi wa mapadri wetu utuombeee
Well done my brother,Haichoshi kusikiliza
Mungu akubrik san
Simply the Best. Thanks Brother Hamilton
Kiukweli hapa ndipo ulipo utofauti wetu na madhehebu mengine
Mungu akulind shemas
Umeimba vizuri sana Mbiu ya Pasaka Shemasi Kikoti.
Ameitendea haki 🙏
kaka kikot mbiu umeitendea haki hongera
❤
Mungu ni mwema
ASANTE BABA SHEMASI ,,,,,,UMEWAKILISHA VEMA KANISA LA MUNGU ,,,,ENDELEA KUBARIKIWA,!!!!
Asante sana shemasi