Utayapenda mafundisho mazito ya Askofu Mkuu Ruwaichi/Misa ya Upadrisho Mashemasi 09 - Dar es Salaam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • Radio Maria Tanzania
    S.L.P 34573,
    Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
    Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
    Wavuti: www.radiomaria.co.tz
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: Radio Maria Tanzania
    Facebook Link: / radiomaria.tanzania
    Instagram: Radio Maria Tanzania
    Instagram Link: / radiomariatanzania
    Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 8

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 13 дней назад +1

    Asante baba askofu, nakoshwa na mafundisho yako tangu ukiwa Dodoma. Nimekupenda, unafanya kazi ya utume kwa mstari mnyofu.

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 13 дней назад

    Hakika, wewe ni zawadi ya Mungu kwa taifa letu. Mungu akupe afya njema na baraka zake katika kutimiza wajibu wa ukuhani aliokupa.

  • @KasianiAloyce
    @KasianiAloyce 15 дней назад +4

    Nilikuwepo Msimbazi Centre Kwenye Adhimisho la Daraja Takatifu la Upadrisho Kwa Hawa Mapadre. Mmoja wapo wa Shirika la Mt Joseph Benedict Cottolengo Padre Bernardo Msuya Nilisoma nae Minaki High School. Hongereni sana Mapadre wetu. Mungu awalinde na siku zote katika utume wenu!

  • @fortunatamango8441
    @fortunatamango8441 14 дней назад +1

    Asante Mungu kwa kutupatia Mapadre tisa.

  • @edsonkulyakwave2302
    @edsonkulyakwave2302 15 дней назад

    Mungu awatie nguvu na awatangulie ktk safari ya wito wa Mungu wa kuwatumikia waamini wake

  • @mariawandiba6736
    @mariawandiba6736 15 дней назад

    Asante Mungu wangu.

  • @GraceNtiga
    @GraceNtiga 15 дней назад

    Mungu awasimamie

  • @amanihaule-c6j
    @amanihaule-c6j 15 дней назад

    Anafundisha vizuri sana