KWA TANZANIA NIMEKUWA ASKOFU MKUU WA KWANZA KUHAMISHWA | HII ILINIUMIZA SANA | MUNGU ANAJUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap akielezea safari ya Miaka 25 katika Utume wa Uaskofu ndani ya Kanisa Katoliki | Picha hizi zinatengenezwa na TUMAINI MEDIA. Matumizi yoyote ya picha hizi ni marufuku bila idhini kutoka TUMAINI MEDIA
    Hakimiliki © Tumaini Television - Haki zote zimehifadhiwa.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.

Комментарии • 39

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg 3 месяца назад

    Mwenyezi MUNGU akujaalie afya njema baba askofu, aponye maradhi yako akunyooshee mapito yako, mapaji ya roho mtakatifu daima yawe pamoja nawe amina.

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro4266 3 месяца назад

    Amin Baba Adkofu. Tunakuombea afya njema na mafanikio mema katika Utume.

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 5 месяцев назад +5

    Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina

  • @eudesjonasbukhay9437
    @eudesjonasbukhay9437 4 месяца назад

    Kweli Mungu ana jua...Tulikupenda sana Mbulu...binafsi nilikupenda sanaa Mwl wangu wa mwaka wa malezi(Chief formator wangu)Nakuombea afya njema na utume mwema wakutukukuka daima...nayakumbuka maneno yako"Bidii kama mwanzo" na "Mungu yupo tumtumainie"

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg 3 месяца назад

    Karibu unyamwezini Baba askofu.

  • @BernadethaMihele
    @BernadethaMihele 4 месяца назад +2

    Mungu akutune Askofu wetu .wewe ni mtu wa maendeleo sana.

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 5 месяцев назад +1

    Nakukumbuka Sana Tulifanya kazi nikiwa karibu na wee

  • @irenelyimo4443
    @irenelyimo4443 5 месяцев назад

    Mungu aendelee kukupigania kukulinda na kukuheshimisha.Alichokiweka Mungu ndani yk uyatekeleze anakusidi nawe.Hongera sn Mh. Bb Askofu mMkuu❤

  • @JohnLewanga
    @JohnLewanga 5 месяцев назад

    Ruwa'ichi. Baba Mhashamu Askofu jina hili ndiyo njia kwako na kwetu Waumini! Mungu awapokee wazaizi mikonono, ama vipi awape Kila tunalo takiwa kama wako hai. Ila awape vyote. Amina!!!

  • @BonifaceZumba
    @BonifaceZumba 4 месяца назад

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @maxmilliannoel2605
    @maxmilliannoel2605 5 месяцев назад +1

    Amina .

  • @rahelmsuya7271
    @rahelmsuya7271 5 месяцев назад

    Authentic speech

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 5 месяцев назад

    Stay blessed Askofu Mkuu Ruwaichi

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 5 месяцев назад +4

    Baba Askofu Mkuu Thadeus ni baba wa mikakati. Mbulu uliacha ujenzi wa Kanisa kuu, Jimbo kuu la Mwanza umetuachia ujenzi wa Kanisa Kuu (cathedral), Jimbo kuu la Dsm mmeanza harakati za ujenzi wa Cathedral mpya badala ya St. Joseph. Ni dhahiri kila ulipokanyaga umeacha alama ya unyayo wa Bwana wetu Yesu Kristu! Hakika Ruwa`chi MUNGU ANAJUA !

    • @gishigrace97
      @gishigrace97 4 месяца назад

      Yes exactly may Almighty God bless Ruwaichi abundantly in Jesus name

    • @olivasafari1059
      @olivasafari1059 4 месяца назад

      Kanisa kuu la kupalizwa Bikira Maria Mbulu, lilijengwa na Askofu Nikodemus Hhando wa Mbulu na sio Thadeus.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 4 месяца назад

      @@olivasafari1059 Ubarikiwe kwa ufafanuzi huo,, ahsante sana

  • @EricMhongole
    @EricMhongole 5 месяцев назад

    Amina baba

  • @simonmaziku4235
    @simonmaziku4235 4 месяца назад +1

    Alitaka saana ukadinali ila ndo hivyo @

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 5 месяцев назад

    Safi Baba askofu

  • @JohnLewanga
    @JohnLewanga 5 месяцев назад

    UKWELI wa kuishi dunia. Amina

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 4 месяца назад +2

    Hivi tukumbushane! Askofu mkuu Rugambwa hakuhamishiwa DSM toka Bukoba? Kama alihamishwa kwa kuwa alipata ukadinari mbona Rugambwa wa sasa bado yuko Tabora?

    • @TheophilRomward-FBAttorneys
      @TheophilRomward-FBAttorneys 4 месяца назад +1

      Lakini Cardinali Rugambwa alipata ulardinali 1960 na alihamia Dar es Salaam 1968 (miaka 8 baadae). Inaonekana kabisa kilichompeleka Dar siyo ukardinali. Ingekuwa ukardinali isingechukua miaka 8. Pili, hakuwahi kutamgazwa kuwa Askofu mkuu- niliwahisikia hii.

    • @richardboniphace1305
      @richardboniphace1305 3 месяца назад

      Sio lazima kuhamia Dar maana kila jimbo lina mamlaka yake.

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 5 месяцев назад +1

    Hii imetokana na Mama Kwenda kwa papa

  • @josephatevarist1822
    @josephatevarist1822 5 месяцев назад

    Inaonekana dodoma ulipata changamoto kubwa....but hongera sana Baba🎉

  • @nzioka.n1675
    @nzioka.n1675 4 месяца назад

    Mhashamu askofu usijali

  • @YohanaMbano
    @YohanaMbano 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 4 месяца назад

    wakubwa walikuona pale ulipomtendea vibaya yule wa haki na aliekua mtu wa upande wako mimi binafsi sitakuekewa kabisa

  • @frankngajilo7137
    @frankngajilo7137 4 месяца назад +1

    Ana akili mingi sana .anakaa kimya muda mrefu akiongea tu neno moja kamaliza

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 5 месяцев назад

    TYK
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii

  • @godfreymokoki1027
    @godfreymokoki1027 5 месяцев назад +1

    Kondoa ulitupenda sana, pamoja na uchache wetu kumbe ulikuwa na mchakato wa Kondoa kuwa JIMBO KATOLIKI na ikawa hivyo na hatutakuangusha kamwe kusudi lako jema na takatifu..

  • @pacetimer6441
    @pacetimer6441 4 месяца назад

    Kanisa Biashara siku hizi

  • @francisngalimoto7552
    @francisngalimoto7552 3 месяца назад

    Vijana tunasema wewe n jembe

  • @ebenezerlawuo6667
    @ebenezerlawuo6667 5 месяцев назад +1

    runda meku

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад +1

    Kwani hutaki kuhamishwa umejenga au

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 5 месяцев назад

    Aaaahahahaaa unajuwa ukiwa kiongozi haitakiwi kujipangiya mahali popote wewe nikutumikiyatu

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 5 месяцев назад

    Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina