MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI
HTML-код
- Опубликовано: 13 июн 2020
- Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios Видеоклипы
Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment
Iiiiiiiiiiiiijjjijjjjjjjjijjj
im
Mmmmmj
Ijmmi
Mijjk
This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ
This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏
Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana
Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.
Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu
Good voices kaka zangu ongera
Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana
Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu
Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo
Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date
For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11
awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time
Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa
Napenda kweli mungu anatuwazia mema
Hongereni sana walimu
nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu
Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa
Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.
good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents
Wow! Simply incredible.
Please give us more of this.
My heart is touched,blessed,and eyes teary.
Jesus i love you,thank you for loving me so much each second of my life!
Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.
Wow, wow, wow, wow
Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's
Kristo,,,,,,,
Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.
Amina
Daaaaa nimejikuta nikifurahia hongereni Sana mpo vzr
Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe
Omba nawe utapata
@@josephlango5591 Amina
Hongereni sana .mbarikiwe kwa utume
Mungu awabariki
Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥
Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana
Mbarikiwe sana mmeimba vizuri,,, Mungu awazidishie nimeipenda
Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema
Greetings in the Lord from Kinshasa, DR Congo. Sounds like male angels singing!!! Formidable!!!
Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri
Hongereni Mapacha wanne Utulivu 100% na ujumbe safi actually its in good memory of our lenged Composers
Pongezi Mungu awazidishie neema ya kibali🤞
Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.
Bravo RAJO'S PRODUCTION👏
I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤
Be blessed.
Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .
My favourite song of all times.... mmenibariki kwakweli.....
Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina
Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic
Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri
Ndugu zangu, kweli mumenibariki kabisa. Mungu baba yetu awakumbuke kupitia kipaji hiki. Claude / Bukavu-DRC
Ningeweza kuhamia huku singefikiria mara mbili katu!
Rajo productions is just super 👌 and 🙌
Nice song guys 🙏🙏
Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu
This is my best bible verse Jeremiah 29;11 ever,God bless you all
I like it, it always rings in my mind like an alarm
Mob love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰
Be blessed my dear sister
Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.
Hongereni sana,hakika mawazo yenu kwa pamoja yameweza kutukumbusha utukufu wa mungu
Hongereeeeni sanaaaaa....mbarikiweeee...viva Roman Catholic church
Mungu azidi kuwainua rajoprodaction naitwa aleluya kutoka kibosho umbwe parokia ya umbwe naomba mtoe albam mpo vizuri. Izosauti kama mapdre au mafrater hivi au mashemasi
Rajoproduction nawafutiliaga sana ni Mimi Tibeti au Aleluya kutoka kibosho umbwe kombo sokoni ( parokia ya utukufu wamsalaba ubwe ) 0652528673 napenda sana kwaya mungu awabariki
Amina, Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji mnayoifanya. Nafarijika sana kila nisikiapo wimbo huu. Mliimba vizuri saana na kwa utulivu mkubwa. Asante sana
Congratulations brothers
Wow! Nimebarikiwa sana. Utunzi huu unavutia sana. Mola na Awazidishie maarifa katika kumtumikia.🎶🎶🎼🎼🎹🎹😍🤗🤩😘
Maorganist ...safi sana
A year later and am still in love with this song.
It reminds me that a year ago, i was battling mental health/depression, but Jesus made my story beautiful.
Thank you for always reminding me how Jesus has better plans for me everyday despite being a sinner. I still love you guys.
Be Blessed Angie
@@rajopro mw
@@rajopro mw
Congratulations!!
Hongeren sana watumishi
I like the song hongera wanachoir
Wow😍baraka
Mungu awatunzeni sana sana, mnaimba vizuri kupita kiasi. Good brothers.
I've literally listened to this song the whole day today. it was speaking to my heart. great job guys.
Ooooooh be blessed my dear sister
Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ...
****nami nitawarudisha.....👌👌
Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki
Hiyo choir iko juu...I love the song
Tam sana.
Mbarikiwe wapendwa
Amina sana mate wng
Huwww wooow amazing!!!!! sherehe njema ya mwili na damu ya bwana wetu yesu kristo
AMEC CHOIR hatuoni kazi nyingine nzuri kama inavyoada
Nice song still here on July 13 2021
Nabarikiwa sanaa
Asnteni sana,nimebarikiwa mno
Big up sanaaaa
Sichoki kuusikiliza wimbo huuu, daaah!! Mungu awabariki sana
Wimbo mzuri, sauti nzuri, mziki safi. Nimebarikiwa kweli. Mungu awabariki
Namuona bro lawrence ktk ubora wake congrats to all 🌹🎉🎇👏👍
Mbarikiwe sana vijana
Angelic voices!!!! Sichoki kamwe kuuskiza wimbo huu mzuri sana,,,,, twapenda uimbaji wenu kwa sana na siku moja yaani mimi hutamani niwaskize mkiimba kwa karibu👏👏hongera nduguzanguni watanzania
Usijal soon tutaku invite
@@lawrencesilas3050 Mwaliko huo naungoja kwa sana......Lakini itabidi kwanza nijifunze kiswahili sanifu 😅 Mwendelee kumshukuru Mungu kwa nyimbo na sauti nzuri......Mungu awazidishie baraka zake
Usijal shall teach you proper swahil
Hongereni Mungu amesikia kilio chetu cha ugonjwa wa corona
Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana
Wimbo mzuri wenye ujumbe mzito,hongereni sana.
Nafarijika sana kila nisikilizapo huu wimbo. Asanteni sana sana ndugu katika Kristu kwa kutuinjilisha. Mungu awabariki.
Miss u sr Donatha miaka 11 tangu nikuone. Nakutakia kila jema ktk utume wako. Milima haikutani binadamu hukutana ipo siku tutaonana our Champika
@@naomibenjamini2088 Asante sana.
Hakika Mungu awatumie ktk viwango na viwango,nimetafakar maneno mazito
Daa hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ubunifu mzuri
Haya ni maombi moja kwa moja.
Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.
Love your harmonized voices... when am downtrodden, this is the song that gives me strength, love you all guys, may our good Lord keep you going
Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali
Hongera sana choir🎉🎉
Laurence Kameja hongera Sana kwa Sauti nzuri ya kwanza ubarikiwe Sana wote
Amina bro Mungu ni mwema
Ni Mawazo ya Amani ...Good Music
Ameen. Huu wimbo nimerudia maradufu💥💯🔥🔥. Huyu sauti ya mashauri umetishaaa. Pumzi ya kutosha. Bass hatarii.
Mpo vizuri. Mungu awariki kwa utume kwani nimebarikiwa.🙏
Amina Dada yetu
Yaan huyu kaka ana pumzi hatari na bado anadai ha ha haaa wakati mwenzangu na mm hadi jasho limenitoka kwa kweli glory to God hakika Mungu ana vyombo vya sifa
Mungu yu mwema jamanii na m'balikiwe kwa kaz nzurii hiyoo
Kumjua mungu kuna faida sana hongeren san kaka zangu
Nimebarikiwa kwa wimbo huu 🙏🙏🙏 mbarikiwe sana.
Safi Sana kaka zangu
Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana
Waoo🙏🙏🙏hii nyimbo na hizi sauti daaaaah hongereni wanna watu wa Mungu
Hongereni vijana kwa wimbo mzuri
Sweet and encouraging song 😇😇❤❤🙏
Hongerani sana kwa nyimbo nzuri sana
Mungu awabariki sana wimbo ni mzuri sauti mmezitendea haki
Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j
Mko vizuri, Mungu awabariki na adumishe vipaji Vyenu kwa sifa na utukufu wake.