MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2020
  • Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
    Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 507

  • @josephlugembe2930
    @josephlugembe2930 3 года назад +64

    Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment

  • @dennisharry-tx8ig
    @dennisharry-tx8ig Год назад +9

    This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ

  • @noeliacharles7123
    @noeliacharles7123 3 года назад +23

    This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏

  • @aviaarchard5856
    @aviaarchard5856 3 года назад +4

    Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana

  • @veronicamakoye4102
    @veronicamakoye4102 3 года назад +2

    Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.

  • @neemalyakurwa9844
    @neemalyakurwa9844 3 года назад +3

    Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu

  • @MariaYusuf1
    @MariaYusuf1 3 года назад +5

    Good voices kaka zangu ongera

  • @fransisoroni9903
    @fransisoroni9903 3 года назад +3

    Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto1178 3 года назад +3

    Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu

  • @user-xl2px6mh6d
    @user-xl2px6mh6d 3 месяца назад

    Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo

  • @franciscambatha9353
    @franciscambatha9353 Год назад +3

    Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date

  • @consolatandinda8887
    @consolatandinda8887 11 месяцев назад +4

    For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11
    awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time

  • @julianamanimo7850
    @julianamanimo7850 4 года назад +7

    Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa

  • @solomonmenda6848
    @solomonmenda6848 3 года назад +2

    Napenda kweli mungu anatuwazia mema

  • @simonsebastian9477
    @simonsebastian9477 3 года назад +3

    Hongereni sana walimu

  • @janeakailokopu9829
    @janeakailokopu9829 3 года назад +4

    nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu

  • @graphphoto705
    @graphphoto705 3 года назад +4

    Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa

  • @guygerardmaindo6678
    @guygerardmaindo6678 2 года назад +5

    Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.

  • @sharonsimon2861
    @sharonsimon2861 2 года назад +2

    good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 3 года назад +9

    Wow! Simply incredible.
    Please give us more of this.
    My heart is touched,blessed,and eyes teary.
    Jesus i love you,thank you for loving me so much each second of my life!

  • @monicahmutuku5829
    @monicahmutuku5829 3 года назад +5

    Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.

  • @rachelsimon4275
    @rachelsimon4275 3 года назад +3

    Wow, wow, wow, wow
    Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's
    Kristo,,,,,,,

  • @siscosamson3960
    @siscosamson3960 3 года назад +4

    Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 года назад +7

    Daaaaa nimejikuta nikifurahia hongereni Sana mpo vzr

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 года назад +4

    Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 года назад +1

    Hongereni sana .mbarikiwe kwa utume

  • @anesiasalvatory7327
    @anesiasalvatory7327 3 года назад +3

    Mungu awabariki

  • @Rafaeljay76.
    @Rafaeljay76. 3 года назад +2

    Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥

  • @brysonnyembele5481
    @brysonnyembele5481 3 года назад +1

    Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana

  • @magrethlaurent2856
    @magrethlaurent2856 4 года назад +6

    Mbarikiwe sana mmeimba vizuri,,, Mungu awazidishie nimeipenda

  • @floraelias6458
    @floraelias6458 3 года назад +1

    Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema

  • @eddiendungi1571
    @eddiendungi1571 3 года назад +6

    Greetings in the Lord from Kinshasa, DR Congo. Sounds like male angels singing!!! Formidable!!!

  • @angelistashayo8925
    @angelistashayo8925 3 года назад +2

    Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri

  • @mapendoimani2462
    @mapendoimani2462 4 года назад +6

    Hongereni Mapacha wanne Utulivu 100% na ujumbe safi actually its in good memory of our lenged Composers

  • @fransiscabernard1070
    @fransiscabernard1070 3 года назад +5

    Pongezi Mungu awazidishie neema ya kibali🤞

  • @delvineondari9204
    @delvineondari9204 2 года назад

    Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.

  • @lauramushi3299
    @lauramushi3299 Год назад +1

    Bravo RAJO'S PRODUCTION👏

  • @user-tv8ts3lt8c
    @user-tv8ts3lt8c 8 месяцев назад +2

    I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤

    • @rajopro
      @rajopro  8 месяцев назад

      Be blessed.

    • @user-tv8ts3lt8c
      @user-tv8ts3lt8c 8 месяцев назад

      Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .

  • @hildaqorro2225
    @hildaqorro2225 4 года назад +3

    My favourite song of all times.... mmenibariki kwakweli.....

  • @merryngowi6607
    @merryngowi6607 3 года назад

    Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina

  • @nelsonkyaruzi1482
    @nelsonkyaruzi1482 4 года назад +2

    Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 11 месяцев назад

    Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @claudemushimanja469
    @claudemushimanja469 3 года назад +2

    Ndugu zangu, kweli mumenibariki kabisa. Mungu baba yetu awakumbuke kupitia kipaji hiki. Claude / Bukavu-DRC

  • @gladysmakokha2098
    @gladysmakokha2098 2 года назад

    Ningeweza kuhamia huku singefikiria mara mbili katu!
    Rajo productions is just super 👌 and 🙌

  • @magrethmosha9626
    @magrethmosha9626 3 года назад +4

    Nice song guys 🙏🙏

  • @brendamoraa6400
    @brendamoraa6400 Год назад

    Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 2 года назад +6

    This is my best bible verse Jeremiah 29;11 ever,God bless you all
    I like it, it always rings in my mind like an alarm
    Mob love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰

  • @phillipmbuligwe7946
    @phillipmbuligwe7946 Год назад

    Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.

  • @pilisungwa6072
    @pilisungwa6072 4 года назад +2

    Hongereni sana,hakika mawazo yenu kwa pamoja yameweza kutukumbusha utukufu wa mungu

  • @zawadishiga1123
    @zawadishiga1123 4 года назад +2

    Hongereeeeni sanaaaaa....mbarikiweeee...viva Roman Catholic church

  • @tibetswai104
    @tibetswai104 4 года назад +2

    Mungu azidi kuwainua rajoprodaction naitwa aleluya kutoka kibosho umbwe parokia ya umbwe naomba mtoe albam mpo vizuri. Izosauti kama mapdre au mafrater hivi au mashemasi

    • @tibetswai104
      @tibetswai104 4 года назад +2

      Rajoproduction nawafutiliaga sana ni Mimi Tibeti au Aleluya kutoka kibosho umbwe kombo sokoni ( parokia ya utukufu wamsalaba ubwe ) 0652528673 napenda sana kwaya mungu awabariki

  • @donathagerald8759
    @donathagerald8759 3 года назад +3

    Amina, Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji mnayoifanya. Nafarijika sana kila nisikiapo wimbo huu. Mliimba vizuri saana na kwa utulivu mkubwa. Asante sana

  • @levinadotto4147
    @levinadotto4147 3 года назад +4

    Congratulations brothers

  • @mwalimuaudi8844
    @mwalimuaudi8844 3 года назад +2

    Wow! Nimebarikiwa sana. Utunzi huu unavutia sana. Mola na Awazidishie maarifa katika kumtumikia.🎶🎶🎼🎼🎹🎹😍🤗🤩😘

  • @eliseindakidemi7159
    @eliseindakidemi7159 3 года назад +1

    Maorganist ...safi sana

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 2 года назад +8

    A year later and am still in love with this song.
    It reminds me that a year ago, i was battling mental health/depression, but Jesus made my story beautiful.
    Thank you for always reminding me how Jesus has better plans for me everyday despite being a sinner. I still love you guys.

  • @globalcitizentv7467
    @globalcitizentv7467 3 года назад +4

    Congratulations!!

  • @rahabumkama8954
    @rahabumkama8954 3 года назад +1

    Hongeren sana watumishi

  • @marthanjeri9227
    @marthanjeri9227 3 года назад +1

    I like the song hongera wanachoir

  • @mercymwende361
    @mercymwende361 2 года назад +1

    Wow😍baraka

  • @bestinathadey7767
    @bestinathadey7767 4 года назад +2

    Mungu awatunzeni sana sana, mnaimba vizuri kupita kiasi. Good brothers.

  • @annefelistasojowa7396
    @annefelistasojowa7396 2 года назад +5

    I've literally listened to this song the whole day today. it was speaking to my heart. great job guys.

  • @hildaqorro2225
    @hildaqorro2225 4 года назад +11

    Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ...
    ****nami nitawarudisha.....👌👌
    Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 4 года назад

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 10 месяцев назад

    Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki

  • @wanguijanerose8073
    @wanguijanerose8073 3 года назад +2

    Hiyo choir iko juu...I love the song

  • @remnantkikiwa3488
    @remnantkikiwa3488 4 года назад +1

    Tam sana.
    Mbarikiwe wapendwa

  • @stephaniejoseph3545
    @stephaniejoseph3545 4 года назад +1

    Huwww wooow amazing!!!!! sherehe njema ya mwili na damu ya bwana wetu yesu kristo

  • @premsekela9060
    @premsekela9060 2 года назад

    AMEC CHOIR hatuoni kazi nyingine nzuri kama inavyoada

  • @joymo2799
    @joymo2799 3 года назад +2

    Nice song still here on July 13 2021
    Nabarikiwa sanaa

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 3 года назад +1

    Asnteni sana,nimebarikiwa mno

  • @wakykundy6016
    @wakykundy6016 3 года назад +2

    Big up sanaaaa

  • @ernestkashunja1514
    @ernestkashunja1514 4 года назад +2

    Sichoki kuusikiliza wimbo huuu, daaah!! Mungu awabariki sana

  • @asunguchembena6996
    @asunguchembena6996 4 года назад +1

    Wimbo mzuri, sauti nzuri, mziki safi. Nimebarikiwa kweli. Mungu awabariki

  • @leocadiajohnbinkuchiloveyo8940
    @leocadiajohnbinkuchiloveyo8940 4 года назад +2

    Namuona bro lawrence ktk ubora wake congrats to all 🌹🎉🎇👏👍

  • @mercykagichu
    @mercykagichu 3 года назад +3

    Angelic voices!!!! Sichoki kamwe kuuskiza wimbo huu mzuri sana,,,,, twapenda uimbaji wenu kwa sana na siku moja yaani mimi hutamani niwaskize mkiimba kwa karibu👏👏hongera nduguzanguni watanzania

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 3 года назад +1

      Usijal soon tutaku invite

    • @mercykagichu
      @mercykagichu 3 года назад

      @@lawrencesilas3050 Mwaliko huo naungoja kwa sana......Lakini itabidi kwanza nijifunze kiswahili sanifu 😅 Mwendelee kumshukuru Mungu kwa nyimbo na sauti nzuri......Mungu awazidishie baraka zake

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 3 года назад +1

      Usijal shall teach you proper swahil

  • @olivambala3086
    @olivambala3086 4 года назад +3

    Hongereni Mungu amesikia kilio chetu cha ugonjwa wa corona

  • @anatoriacronery3487
    @anatoriacronery3487 3 года назад +1

    Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana

  • @meryzacharia7577
    @meryzacharia7577 4 года назад +2

    Wimbo mzuri wenye ujumbe mzito,hongereni sana.

  • @sr.donathanyiramanagerard9782
    @sr.donathanyiramanagerard9782 3 года назад +2

    Nafarijika sana kila nisikilizapo huu wimbo. Asanteni sana sana ndugu katika Kristu kwa kutuinjilisha. Mungu awabariki.

    • @naomibenjamini2088
      @naomibenjamini2088 3 года назад

      Miss u sr Donatha miaka 11 tangu nikuone. Nakutakia kila jema ktk utume wako. Milima haikutani binadamu hukutana ipo siku tutaonana our Champika

    • @sr.donathanyiramanagerard9782
      @sr.donathanyiramanagerard9782 3 года назад

      @@naomibenjamini2088 Asante sana.

  • @justineamanyisye7675
    @justineamanyisye7675 4 года назад +2

    Hakika Mungu awatumie ktk viwango na viwango,nimetafakar maneno mazito

  • @dicksonthewira6388
    @dicksonthewira6388 4 года назад +2

    Daa hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ubunifu mzuri

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 года назад +3

    Haya ni maombi moja kwa moja.

  • @antoniaproty6808
    @antoniaproty6808 3 года назад +1

    Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.

  • @liznjoroge3799
    @liznjoroge3799 2 года назад +3

    Love your harmonized voices... when am downtrodden, this is the song that gives me strength, love you all guys, may our good Lord keep you going

  • @consolattagabriel255
    @consolattagabriel255 4 года назад +1

    Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali

  • @stephenmathenge9723
    @stephenmathenge9723 16 дней назад

    Hongera sana choir🎉🎉

  • @basilmponzi291
    @basilmponzi291 4 года назад

    Laurence Kameja hongera Sana kwa Sauti nzuri ya kwanza ubarikiwe Sana wote

  • @enockponera8387
    @enockponera8387 4 года назад +2

    Ni Mawazo ya Amani ...Good Music

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 4 года назад +8

    Ameen. Huu wimbo nimerudia maradufu💥💯🔥🔥. Huyu sauti ya mashauri umetishaaa. Pumzi ya kutosha. Bass hatarii.
    Mpo vizuri. Mungu awariki kwa utume kwani nimebarikiwa.🙏

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 4 года назад +1

      Amina Dada yetu

    • @rahabumkama8954
      @rahabumkama8954 3 года назад

      Yaan huyu kaka ana pumzi hatari na bado anadai ha ha haaa wakati mwenzangu na mm hadi jasho limenitoka kwa kweli glory to God hakika Mungu ana vyombo vya sifa

  • @hongerazabron1759
    @hongerazabron1759 4 года назад +2

    Mungu yu mwema jamanii na m'balikiwe kwa kaz nzurii hiyoo

    • @marialekey8135
      @marialekey8135 4 года назад

      Kumjua mungu kuna faida sana hongeren san kaka zangu

  • @kamera1989
    @kamera1989 4 года назад +2

    Nimebarikiwa kwa wimbo huu 🙏🙏🙏 mbarikiwe sana.

  • @angelmalavanu9723
    @angelmalavanu9723 3 года назад +2

    Safi Sana kaka zangu

  • @elizabethemmanuel4167
    @elizabethemmanuel4167 Год назад

    Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana

  • @fortunatamjengi4603
    @fortunatamjengi4603 3 года назад +1

    Waoo🙏🙏🙏hii nyimbo na hizi sauti daaaaah hongereni wanna watu wa Mungu

  • @mwitamichael9087
    @mwitamichael9087 4 года назад +1

    Hongereni vijana kwa wimbo mzuri

  • @franciscakai5490
    @franciscakai5490 Год назад +2

    Sweet and encouraging song 😇😇❤❤🙏

  • @bebetoanselme3826
    @bebetoanselme3826 4 года назад +2

    Hongerani sana kwa nyimbo nzuri sana

  • @hyasintafelix6022
    @hyasintafelix6022 4 года назад +1

    Mungu awabariki sana wimbo ni mzuri sauti mmezitendea haki

  • @gabrielchelehani5119
    @gabrielchelehani5119 4 года назад +1

    Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j

  • @theresiaseverin5754
    @theresiaseverin5754 4 года назад +2

    Mko vizuri, Mungu awabariki na adumishe vipaji Vyenu kwa sifa na utukufu wake.