TAHADHARI! Iphone Fake (Refurbished) zimekua nyingi, JE UTAZIJUAJE?
HTML-код
- Опубликовано: 24 мар 2020
- Katika video hii tunakwenda kuangalia ni namna gani utaweza kutambua tofauti kati ya Iphone original na Refurbished(fake) na kuweza kukwepa kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Watu wengi sana wameshauziwa simu hizi za refurbished na zimeharibika na kubaki kuwa hasara tu. Hivyo sipendi na wewe uingie kwenye kundi hilo. Kama una maswali zaidi unaweza kucomment hapo chini na nitakujibu au nicheck instagram kwa kubonyeza lini hiyo hapo chini.
Njoo tuzungumze kupitia mitandao ya kijamii
/ tech_africa
/ techafrica1
/ tekfrika
Usifanye iphone tu fanya na kwasimu nyingin utapata followers wengi kwasababu wizi wa simu ni mwingi Sanaa Tanzania mbaka watu wanakua wanaogopa kununua simu
Ndio yang 15 Nina Imani ni feki because ina chaji ya samsung 😂
Watu wengi hawaelewi tofauti na inakuwa ngumu sana kumuelewesha mtu kwamba simu ni refurbished sio original.
Hii yakwangu chaji Dakika 20 imeisha chaji😢
Mie nahitaji sanakununua cm ya iphone ila naogopa Sana kuuziwa cm fake.unaweza kunsaida je...!?
Hyo point ya kwanza kuhusu box naipinga mkuu
Nais wengi tunatumia fek
Asante bro kwa elim maana hata mimi nimepigwa nimenunua iPhone 6s plas atumii mtandao wowote wa kijamii
Umenifunza sana bro sasa nnafanyaje
Hii yakwangu chaji Dakika 20 imeisha chaji
This video needs to go viral uuwiii🙌🏽
Appreciate you bro
Asante sana kaka umenizindua kiakili nitaishi na Spark 4 yangu tu kak
For an iPhone newbie like myself this is such an eye opening video. Thanks man
Ukow vizuri sana bro unatoa maelezo safi kabisa yani nakuelewa vizuri
Nashukuru kwa kutuelewesha bro
Oooh jamani ni kweli.. Asante kwa kutusaidia
Good
Kaka mambo, samahani mimi sim yangu imegoma kubonyeza kurudi nyuma navyo minimize ila nikiwasha nikaclick file lolote kabla haijaingia lock inakubali kutoa pasword nikaingia kwenye kwenye hilo file,,
Nakubali sana mkuu