TAHADHARI! Iphone Fake (Refurbished) zimekua nyingi, JE UTAZIJUAJE?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 мар 2020
  • Katika video hii tunakwenda kuangalia ni namna gani utaweza kutambua tofauti kati ya Iphone original na Refurbished(fake) na kuweza kukwepa kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Watu wengi sana wameshauziwa simu hizi za refurbished na zimeharibika na kubaki kuwa hasara tu. Hivyo sipendi na wewe uingie kwenye kundi hilo. Kama una maswali zaidi unaweza kucomment hapo chini na nitakujibu au nicheck instagram kwa kubonyeza lini hiyo hapo chini.
    Njoo tuzungumze kupitia mitandao ya kijamii
    / tech_africa
    / techafrica1
    / tekfrika

Комментарии • 121

  • @diyagen9217
    @diyagen9217 2 года назад +3

    Usifanye iphone tu fanya na kwasimu nyingin utapata followers wengi kwasababu wizi wa simu ni mwingi Sanaa Tanzania mbaka watu wanakua wanaogopa kununua simu

  • @AlbertinaFuraha

    Ndio yang 15 Nina Imani ni feki because ina chaji ya samsung 😂

  • @wenseslausraphael
    @wenseslausraphael 4 года назад +3

    Watu wengi hawaelewi tofauti na inakuwa ngumu sana kumuelewesha mtu kwamba simu ni refurbished sio original.

  • @user-vu7yq3lx5r

    Hii yakwangu chaji Dakika 20 imeisha chaji😢

  • @danielzablon8388
    @danielzablon8388 2 года назад +3

    Mie nahitaji sanakununua cm ya iphone ila naogopa Sana kuuziwa cm fake.unaweza kunsaida je...!?

  • @abdallahrajab866
    @abdallahrajab866 4 года назад +4

    Hyo point ya kwanza kuhusu box naipinga mkuu

  • @radiukamala3833
    @radiukamala3833 4 года назад +3

    Nais wengi tunatumia fek

  • @user-vu7yq3lx5r

    Asante bro kwa elim maana hata mimi nimepigwa nimenunua iPhone 6s plas atumii mtandao wowote wa kijamii

  • @amimimananino2080
    @amimimananino2080 3 года назад +5

    Umenifunza sana bro sasa nnafanyaje

  • @user-vu7yq3lx5r

    Hii yakwangu chaji Dakika 20 imeisha chaji

  • @viviandeus4581
    @viviandeus4581 4 года назад +3

    This video needs to go viral uuwiii🙌🏽

  • @nasloyal5886
    @nasloyal5886 4 года назад +2

    Appreciate you bro

  • @fakimaneno8930
    @fakimaneno8930 2 года назад +2

    Asante sana kaka umenizindua kiakili nitaishi na Spark 4 yangu tu kak

  • @viviandeus4581
    @viviandeus4581 4 года назад +6

    For an iPhone newbie like myself this is such an eye opening video. Thanks man

  • @ibrahsanga2899
    @ibrahsanga2899 4 года назад +4

    Ukow vizuri sana bro unatoa maelezo safi kabisa yani nakuelewa vizuri

  • @monucamwambanje3128
    @monucamwambanje3128 2 года назад +1

    Nashukuru kwa kutuelewesha bro

  • @onlinebibleschoolforkids485
    @onlinebibleschoolforkids485 4 года назад +1

    Oooh jamani ni kweli.. Asante kwa kutusaidia

  • @mariampeter5064
    @mariampeter5064 Год назад +1

    Kaka mambo, samahani mimi sim yangu imegoma kubonyeza kurudi nyuma navyo minimize ila nikiwasha nikaclick file lolote kabla haijaingia lock inakubali kutoa pasword nikaingia kwenye kwenye hilo file,,

  • @sebastianmasawe1135
    @sebastianmasawe1135 4 года назад +2

    Nakubali sana mkuu