Hakuna Fake iPhone ,Asikudanganye MTU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024
  • #snashtz #technology #apple
    Hakuna Fake iPhone ,Asikudanganye MTU

Комментарии • 93

  • @kevinwolfjames4220
    @kevinwolfjames4220 2 года назад +3

    Ogg sana sema trailer ya wakanda forever imetoka fanya kweli😁

  • @Arealdayinlife
    @Arealdayinlife 2 года назад +8

    Iko broo nishailinganisha iphone ya USA na INDIA camera quality very very different refubs 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝

    • @daluckyFinancialServices
      @daluckyFinancialServices 2 года назад +2

      Usiseme fake kabla hujaelewa huwezi fananisha iphone ya usa na africa ni vitu viwili tofauti usitegmee vifanane na hakuna fake ni kwamba soko lenu la africa liko chini kwaiyo wanatengeneza kulingana na kwamba hii simu inaenda kutumika nchi gani au bara gari Kwaiyo fuatilia hiyo kitu utaelewa

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 года назад

      @@daluckyFinancialServices
      Mbona kama mnajichanganya wenyewe Ya chini Ya vigezo ipo tu.
      Nilipokea mgeni kutoka Tanzania kuja Danmark na alipofika kwangu alikuwa na Iphone 10 huwezi amini alivyo fika hapa simu iligoma kufanya kazi kwa line Za hapa Alafu ilikua nyepesi mno.
      Ila mie nimeshuka Bongo na iphone yangu Yani inafanya kazi bila shida ndio utofauti huo.

  • @manasemakasi3068
    @manasemakasi3068 Год назад +1

    Asante sana kwa elimu hii.

  • @philbertmtweve
    @philbertmtweve 2 года назад

    💥💥 makin sana

  • @Patsonmnyama
    @Patsonmnyama 2 года назад

    🙌🙌🙌🙌🙌Kaka snatch nimekukubali sanaaa

  • @chibudangote8186
    @chibudangote8186 2 года назад +1

    You are the Best

  • @Kacharich
    @Kacharich 2 года назад

    Unatisha sana Mzee baba

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas 2 года назад +9

    Unaposema kuna iphone copy hakuna iPhone fake maana yake nini
    Ukisema iPhone copy maana yake ni iPhone fake acha kuzungusha maneneo iPhone fake zipo tena nyingi tuuu nazinakuja kwenye mabox kabisa na nyingi ukiifungua ndio unajua kuwa ni fake acha review za uongoo iPhone za magumashi zipo sana tena ni nyingi sana kuriko original

    • @imranhussein55
      @imranhussein55 2 года назад

      Zipo fabricated products, na iphone anayo, means parts ni kweli from iphone na other parts sio

    • @fabiananthony6168
      @fabiananthony6168 7 месяцев назад

      nakubaliana na wewe copy ni kitu sio chenyewe ni mfano wa mfanano na kile ambacho ni sahihi ukisema hakuna fake kuna copy hapo kidogo unatuchanganya au tusaidie tofauti ya fake na copy ndio nielewe

  • @jservantofgodgosplemusic6943
    @jservantofgodgosplemusic6943 2 года назад

    Nakubari sana Brother

  • @JosephMhecha
    @JosephMhecha 2 года назад

    Nimekuelewa vizuri

  • @bwiganeuswege2366
    @bwiganeuswege2366 2 года назад

    Umetisha brother

  • @kenethchihwalo5295
    @kenethchihwalo5295 2 года назад +5

    Tumemis review za movie, but big up kwa kazi unazofanya

  • @aliganzel6512
    @aliganzel6512 2 года назад +3

    Haina tofauti na ndege kila parts inatoka nchi yake then vinakuwa assembled even screw zinatoka kwenye kampuni tofauti

  • @yohananyabu5556
    @yohananyabu5556 2 года назад

    Nimekuelewa sana👍

  • @samsoniraphael4723
    @samsoniraphael4723 2 года назад

    Hapo umenena kaka

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl 2 года назад

    Uko sawa ils sisi wachina tunawajua vzuriiii...mm hiyo ya china hapana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwanz izo simu watu wanazitaman kwajili ya show off ...kwel unashowoff na made in china

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Год назад

    Zipo ww acha zako

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад

    Watu ndo wame elewa 🔥🔥

  • @nshimirimanablaise2763
    @nshimirimanablaise2763 2 года назад

    Njoo Dubai utalewa

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 2 года назад +1

    Zipo tu. Zinauzwa 'kichinga' bei che .Zinafanya kazi siku mbili tatu kwishnei. Ishu si zilikotengenezwa ila fake ni fake tu.

  • @malosimuni7187
    @malosimuni7187 Год назад +1

    Iko wacha uongo

  • @ChristopherChingande-mg4tf
    @ChristopherChingande-mg4tf Год назад +1

    broh snash me nashda hpa na i phone zangu

  • @saimonmaiko1054
    @saimonmaiko1054 2 года назад

    Nakubali man

  • @elymollel
    @elymollel 2 года назад

    Hizi ni blaa blaaa tu.. simu za bongo ni tofauti na za USA bishana hadi kesho huo ndio ukweli.

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa 2 года назад

    💪💪namwamin kuliko Millard ayo

  • @fahimsungura775
    @fahimsungura775 Год назад +1

    mbona leo kama unatufokea

  • @bakarapeche9043
    @bakarapeche9043 2 года назад

    Tunakubar snash.,,ila dah review
    za movie kitambo

  • @sebatech3951
    @sebatech3951 2 года назад

    Nimekusoma kiongoz thanks

  • @aginesaemanuel4025
    @aginesaemanuel4025 Год назад

    Basiii ninanunua I phone 14 pro.

  • @noelyrajabu105
    @noelyrajabu105 2 года назад

    First one✅

  • @moseskizondo5888
    @moseskizondo5888 2 года назад

    Broh nilikuwa naomba cku ueleze kuhusu PPI density

  • @anthonysindabaha7517
    @anthonysindabaha7517 2 года назад +1

    Respect kwako mzee ,umeeleza kila kitu from the beginning..ni kwamba apple hawatengenezi iPhone fake...ila usichojua ni kwamba crown iphones zipo tena nyingi broo
    IPhone yenye storage 512GB unakuta fake...je unahisi such kind of products (iPhone) zinakuwa made and assembled wapi?? Naomba jibu kwa hili na pia
    Products nying bongo ni fake...
    Mfano mzur mtu yupo states ameweka order ya iPhone 14 mpka sasa hajapata ila bongo waja wanazo 😂 what do you think????

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 года назад

      Unaonekana huna maarifa na tayari unamajibu yako
      Huna haja ya elimu toka kwa mtu mwingine

  • @philbertmtweve
    @philbertmtweve 2 года назад

    Brother tunaomba ufanye video ya kuelezea Esim yaan, inafanyaje fanyaje kazi,🙏

  • @abdulhamidabdallah8975
    @abdulhamidabdallah8975 2 года назад

    Umetshaaaa 🔥🔥🔥

  • @donmlevi
    @donmlevi 2 года назад

    Wewe una jua definition ya fake? Clone or first copy ni fake ya original.

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah6984 2 года назад

    Ujakaaa kariakoo ww uwone i phone za mchongo

  • @romessjunior5643
    @romessjunior5643 2 года назад

    Mzee tufanyie review ya range 2023

  • @gynae8407
    @gynae8407 2 года назад

    Mwamba unazingua kwanza ulipotelea wapi ulikua unatupa tec kwa urahisi

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад

    Mmmmh...! Jaamaaa Umezingua Copy na Fake Utofauti ni upi..?Haya mtaalam

  • @miltoon4893
    @miltoon4893 2 года назад

    snash na hizi zimeandikwa remanufactured by asurion hizi zipoje

  • @Whitegsm
    @Whitegsm 2 года назад

    Snash big upo lakini tunataka review za movies ao wengine kavu tu

  • @jorammedard9159
    @jorammedard9159 2 года назад

    Pa1

  • @swalehpapic9048
    @swalehpapic9048 Год назад +1

    kuna mtyu aliniambia iphone za lain mbili ni feki nikamkatalia sasa mimi ndio nipo sahihi au yeye

  • @princeshafk3877
    @princeshafk3877 2 года назад

    Og 🔥🔥🔥

  • @vicenttumaini5166
    @vicenttumaini5166 2 года назад

    made in california and assemble in china
    pia tueleweshe refubrished phone, copy iphone na original.......... but all in all umetisha kinoma noma

  • @rahelkiteka
    @rahelkiteka 2 года назад

    Ombi langu hujajib had leo asee!!

  • @vannybrezy9508
    @vannybrezy9508 2 года назад

    kaka dune taxi bmw wameachia

  • @faustinemakona-vj9gj
    @faustinemakona-vj9gj Год назад

    Tofauti ya copy na feki ni nn

  • @izkonka_movie_recap
    @izkonka_movie_recap 2 года назад

    Mmh je zile iphone 12 za mchongo 🤣

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 Год назад

    Waulize wanao nunua iPhone Shenzhen na kuleta africa unatuambia Ni copy lakini sio fake

  • @youngpaincompany1440
    @youngpaincompany1440 2 года назад

    Bro ungekuwa uko kama zaman sahv sub wangefika 150k

  • @iconentertainment1057
    @iconentertainment1057 2 года назад

    N hizi iphone 13 gb 513 za laki tatu zimetoka wap?

    • @anthonysindabaha7517
      @anthonysindabaha7517 2 года назад

      Hahaha...bro huyoo ameeleza vzur sana..ilaa iPhone crown zipo tena nyingi bei kitonga..haiwezekani mtu yupo States amaweka order ya iPhone 14 mpka leo hajaipata ilaa still bongo zipo kibaoo
      Na watu still wanaweza ku afford such a product..zenye 1TB storage...bro Africa is the worst continent..mostly products tunazotumia from abroad are fake ni wachache sana wanaoweza ku afford OG kama magar, simu laptops nk...

  • @browngennestone5979
    @browngennestone5979 2 года назад

    upovizuri ila achana na kubana poa

  • @lawrenceemmanuel3306
    @lawrenceemmanuel3306 2 года назад

    Ungeweka na subtitle za Kingereza ili ujibebee wengi

  • @tanzaniaunforgettable4401
    @tanzaniaunforgettable4401 2 года назад

    Movies

  • @swahilistories01
    @swahilistories01 2 года назад

    Fanya tafiti vizuri fake ipo usiporoje tuu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 года назад

      Ndio hiyo copy ambayo amesema, ila apple kama apple hawatengezi iphone fake

  • @nmasare9364
    @nmasare9364 2 года назад +3

    Naomba utufafanulie sasa hivi simu nyingi tunazouziwa used iphone unasikia NO FACE ID hicho ni kitu gani? kinasababishwa na nini? na je kinahusiana na ubovu wa camera?na je kinatengenezeka na kwa nini simu nyingi used kwa sasa zimekua na hiyo shida na bei zao ni kitonga naomba ufafanuzi

    • @kelvinlema8555
      @kelvinlema8555 2 года назад

      Ukiona simu unaambiwa NO FACE TIME ujue imetokea Dubai kwa sababu kule ni nchi ndo inaagiza na sio wafanyabiashara kwahiyo nchi ina vigezo inayovitaka na kuna vingine haivitaki kwahiyo kwao walisema simu za Iphone zinazoingia kwao zisiwe na hiyo feature ya Face Time wao wanachukua kutoka Marekani ila kuna nchi kama China wao waliomba wawe wanatengeneza kwao zisitoke Marekani kwasababu za kiusalama wa taifa hivyo Apple wakakubali ila makubaliano yakawa kuwa China watengeneze kwa viwango vile vya simu za Marekani.

    • @kelvinlema8555
      @kelvinlema8555 2 года назад

      Na kama ulishawahi kuona simu ya Iphone imetengenezwa Calfornia alf assembled in China

    • @geraldjohn5430
      @geraldjohn5430 2 года назад +2

      Fac3 Id ni mfumo wa ku unlock simu yako kupitia camera.mara nyingi kama mtu alibadilisha kioo cha iphone ndo inaua huo mfumo wa id..pia sometimes ni shida ya software.so ili kurekebisha iyo kitu ni lazima ununue kioo origina chenye face id

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 2 года назад

      @@geraldjohn5430 hakuna kioo chenye face id.Asante

    • @lyobathabit535
      @lyobathabit535 2 года назад

      @@maujanjatv24h41 FACE ID inatengenezeka kwa simu iliyokua na shida ya FACE ID, haina uhusiano wa ubovu wa camera.

  • @lodrickmwambene133
    @lodrickmwambene133 2 года назад

    iPhone fake zipo

  • @gataramaabdul9761
    @gataramaabdul9761 2 года назад

    1

  • @ahmadmbwiza9780
    @ahmadmbwiza9780 2 года назад +1

    Je kuna iphone inoyo ruhus sim card 2

  • @researcher7946
    @researcher7946 2 года назад

    Iphone fake zipo ndugu tena nyingi sana nimeshamiliki iphone 4 fake pia kunasiku nilishawahi kutaka kuingizwa mkenge kuuziwa iphone 11 pro max fake baada ya kuikagua ndo nikagundua kuwa ni fake kwasabu ukilog in icloud inagoma haiingii na vitu vingine kama camera na display hazina ubora ule wa iphone og

  • @juniorbrown4728
    @juniorbrown4728 2 года назад

    iphone 14 pro inauzwa shingap za kitanzania

  • @saidmziray8579
    @saidmziray8579 2 года назад

    Copy na fake ni same thing hizo ni terminology tu.

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 2 года назад

    Acha utoto wewe, sasa copy na fake tofauti ipo wapi??? Ni aina tu yakuongea, neno FAKE ndio imetawala midomoni kuliko neno COPY, at the end COPY AND FAKE ni same things

  • @dyllassmj
    @dyllassmj 2 года назад

    Kuna mtu alinunua iphone hapa tanzania akaja kupata safari kwenda poland lakini cha ajabu anadai alivofika kule ile simu ni kam ilizimwa au tusema ilikua restrictede ku function nchi ile akasema pengne aliuziwa fake… hebu nisaidie n hilo @snashtz

  • @vainqueur6382
    @vainqueur6382 2 года назад

    Na nikuulizege kwanini bongo magari yanayoingia ni ya miaka ya nyuma sanna

    • @user-cu5kh5eh8o
      @user-cu5kh5eh8o 2 года назад

      Watu hawana ela

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 года назад

      Kwan ww hujui bongo ni maskini mpk uulize hilo swali?

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 года назад

      Shida ni pesa tuu ukiwa na ela unaweza nunua gari mpya

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 2 года назад +1

    More than 80% ya iPhones, iPad na Apple computers zinaundwa/ assembled in china. Foxconn ndiyo kampuni iliyopewa contract na Apple! During pandemic of covid 19 wali pata shida sana kwenye uzalishaji, sasa wanafikiria kufanya assembling nchi nyengine ikiwemo America yenyewe! Shida ni cost of production itakuwa juu kwa ajili ya cost ya labour. iPhone fake zipo kibao mtaani, sielewi vipi unasema hakuna. Kila bidhaa bora ina mbovu yake kitaa

  • @Sheffa-Black-Hat
    @Sheffa-Black-Hat 2 года назад

    😄😄😄bruh u knw nothing abt tech bana

  • @Bn-media
    @Bn-media 2 года назад

    just try to prepare you own video always una copy ya mtu then una edit ndiyo una present acha uwizi wenzio wameanda content wew una copy

  • @Kaleztoz
    @Kaleztoz 2 года назад

    Wewe acha u fala wewe we from usa na there’s a lots fake iPhone special the phone coming from 🇨🇳 ni fake even this 14 the one from usa no sim the others the got sim and the phone is for usa how then acha u malaya wewe

    • @escobar6760
      @escobar6760 2 года назад

      Huna akili sana.. 1. Huelew kuhusu Technology.. kuhusu Iphone ambazo ziko US nikwamba zinatumia eSIM technology hawawezi kuweka esim zote kwajili third party world kwa sababu inatumia local simu.
      2: ujui English, you’re disappointing yourself education level.