Usiseme fake kabla hujaelewa huwezi fananisha iphone ya usa na africa ni vitu viwili tofauti usitegmee vifanane na hakuna fake ni kwamba soko lenu la africa liko chini kwaiyo wanatengeneza kulingana na kwamba hii simu inaenda kutumika nchi gani au bara gari Kwaiyo fuatilia hiyo kitu utaelewa
@@daluckyFinancialServices Mbona kama mnajichanganya wenyewe Ya chini Ya vigezo ipo tu. Nilipokea mgeni kutoka Tanzania kuja Danmark na alipofika kwangu alikuwa na Iphone 10 huwezi amini alivyo fika hapa simu iligoma kufanya kazi kwa line Za hapa Alafu ilikua nyepesi mno. Ila mie nimeshuka Bongo na iphone yangu Yani inafanya kazi bila shida ndio utofauti huo.
Unaposema kuna iphone copy hakuna iPhone fake maana yake nini Ukisema iPhone copy maana yake ni iPhone fake acha kuzungusha maneneo iPhone fake zipo tena nyingi tuuu nazinakuja kwenye mabox kabisa na nyingi ukiifungua ndio unajua kuwa ni fake acha review za uongoo iPhone za magumashi zipo sana tena ni nyingi sana kuriko original
nakubaliana na wewe copy ni kitu sio chenyewe ni mfano wa mfanano na kile ambacho ni sahihi ukisema hakuna fake kuna copy hapo kidogo unatuchanganya au tusaidie tofauti ya fake na copy ndio nielewe
Uko sawa ils sisi wachina tunawajua vzuriiii...mm hiyo ya china hapana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwanz izo simu watu wanazitaman kwajili ya show off ...kwel unashowoff na made in china
Respect kwako mzee ,umeeleza kila kitu from the beginning..ni kwamba apple hawatengenezi iPhone fake...ila usichojua ni kwamba crown iphones zipo tena nyingi broo IPhone yenye storage 512GB unakuta fake...je unahisi such kind of products (iPhone) zinakuwa made and assembled wapi?? Naomba jibu kwa hili na pia Products nying bongo ni fake... Mfano mzur mtu yupo states ameweka order ya iPhone 14 mpka sasa hajapata ila bongo waja wanazo 😂 what do you think????
Hahaha...bro huyoo ameeleza vzur sana..ilaa iPhone crown zipo tena nyingi bei kitonga..haiwezekani mtu yupo States amaweka order ya iPhone 14 mpka leo hajaipata ilaa still bongo zipo kibaoo Na watu still wanaweza ku afford such a product..zenye 1TB storage...bro Africa is the worst continent..mostly products tunazotumia from abroad are fake ni wachache sana wanaoweza ku afford OG kama magar, simu laptops nk...
Naomba utufafanulie sasa hivi simu nyingi tunazouziwa used iphone unasikia NO FACE ID hicho ni kitu gani? kinasababishwa na nini? na je kinahusiana na ubovu wa camera?na je kinatengenezeka na kwa nini simu nyingi used kwa sasa zimekua na hiyo shida na bei zao ni kitonga naomba ufafanuzi
Ukiona simu unaambiwa NO FACE TIME ujue imetokea Dubai kwa sababu kule ni nchi ndo inaagiza na sio wafanyabiashara kwahiyo nchi ina vigezo inayovitaka na kuna vingine haivitaki kwahiyo kwao walisema simu za Iphone zinazoingia kwao zisiwe na hiyo feature ya Face Time wao wanachukua kutoka Marekani ila kuna nchi kama China wao waliomba wawe wanatengeneza kwao zisitoke Marekani kwasababu za kiusalama wa taifa hivyo Apple wakakubali ila makubaliano yakawa kuwa China watengeneze kwa viwango vile vya simu za Marekani.
Fac3 Id ni mfumo wa ku unlock simu yako kupitia camera.mara nyingi kama mtu alibadilisha kioo cha iphone ndo inaua huo mfumo wa id..pia sometimes ni shida ya software.so ili kurekebisha iyo kitu ni lazima ununue kioo origina chenye face id
Iphone fake zipo ndugu tena nyingi sana nimeshamiliki iphone 4 fake pia kunasiku nilishawahi kutaka kuingizwa mkenge kuuziwa iphone 11 pro max fake baada ya kuikagua ndo nikagundua kuwa ni fake kwasabu ukilog in icloud inagoma haiingii na vitu vingine kama camera na display hazina ubora ule wa iphone og
Acha utoto wewe, sasa copy na fake tofauti ipo wapi??? Ni aina tu yakuongea, neno FAKE ndio imetawala midomoni kuliko neno COPY, at the end COPY AND FAKE ni same things
Kuna mtu alinunua iphone hapa tanzania akaja kupata safari kwenda poland lakini cha ajabu anadai alivofika kule ile simu ni kam ilizimwa au tusema ilikua restrictede ku function nchi ile akasema pengne aliuziwa fake… hebu nisaidie n hilo @snashtz
More than 80% ya iPhones, iPad na Apple computers zinaundwa/ assembled in china. Foxconn ndiyo kampuni iliyopewa contract na Apple! During pandemic of covid 19 wali pata shida sana kwenye uzalishaji, sasa wanafikiria kufanya assembling nchi nyengine ikiwemo America yenyewe! Shida ni cost of production itakuwa juu kwa ajili ya cost ya labour. iPhone fake zipo kibao mtaani, sielewi vipi unasema hakuna. Kila bidhaa bora ina mbovu yake kitaa
Wewe acha u fala wewe we from usa na there’s a lots fake iPhone special the phone coming from 🇨🇳 ni fake even this 14 the one from usa no sim the others the got sim and the phone is for usa how then acha u malaya wewe
Huna akili sana.. 1. Huelew kuhusu Technology.. kuhusu Iphone ambazo ziko US nikwamba zinatumia eSIM technology hawawezi kuweka esim zote kwajili third party world kwa sababu inatumia local simu. 2: ujui English, you’re disappointing yourself education level.
Ogg sana sema trailer ya wakanda forever imetoka fanya kweli😁
Iko broo nishailinganisha iphone ya USA na INDIA camera quality very very different refubs 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Usiseme fake kabla hujaelewa huwezi fananisha iphone ya usa na africa ni vitu viwili tofauti usitegmee vifanane na hakuna fake ni kwamba soko lenu la africa liko chini kwaiyo wanatengeneza kulingana na kwamba hii simu inaenda kutumika nchi gani au bara gari Kwaiyo fuatilia hiyo kitu utaelewa
@@daluckyFinancialServices
Mbona kama mnajichanganya wenyewe Ya chini Ya vigezo ipo tu.
Nilipokea mgeni kutoka Tanzania kuja Danmark na alipofika kwangu alikuwa na Iphone 10 huwezi amini alivyo fika hapa simu iligoma kufanya kazi kwa line Za hapa Alafu ilikua nyepesi mno.
Ila mie nimeshuka Bongo na iphone yangu Yani inafanya kazi bila shida ndio utofauti huo.
Asante sana kwa elimu hii.
💥💥 makin sana
🙌🙌🙌🙌🙌Kaka snatch nimekukubali sanaaa
You are the Best
Unatisha sana Mzee baba
Unaposema kuna iphone copy hakuna iPhone fake maana yake nini
Ukisema iPhone copy maana yake ni iPhone fake acha kuzungusha maneneo iPhone fake zipo tena nyingi tuuu nazinakuja kwenye mabox kabisa na nyingi ukiifungua ndio unajua kuwa ni fake acha review za uongoo iPhone za magumashi zipo sana tena ni nyingi sana kuriko original
Zipo fabricated products, na iphone anayo, means parts ni kweli from iphone na other parts sio
nakubaliana na wewe copy ni kitu sio chenyewe ni mfano wa mfanano na kile ambacho ni sahihi ukisema hakuna fake kuna copy hapo kidogo unatuchanganya au tusaidie tofauti ya fake na copy ndio nielewe
Nakubari sana Brother
Nimekuelewa vizuri
Umetisha brother
Tumemis review za movie, but big up kwa kazi unazofanya
Haina tofauti na ndege kila parts inatoka nchi yake then vinakuwa assembled even screw zinatoka kwenye kampuni tofauti
Nimekuelewa sana👍
Hapo umenena kaka
Uko sawa ils sisi wachina tunawajua vzuriiii...mm hiyo ya china hapana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwanz izo simu watu wanazitaman kwajili ya show off ...kwel unashowoff na made in china
Zipo ww acha zako
Watu ndo wame elewa 🔥🔥
Njoo Dubai utalewa
Zipo tu. Zinauzwa 'kichinga' bei che .Zinafanya kazi siku mbili tatu kwishnei. Ishu si zilikotengenezwa ila fake ni fake tu.
Iko wacha uongo
broh snash me nashda hpa na i phone zangu
Nakubali man
Hizi ni blaa blaaa tu.. simu za bongo ni tofauti na za USA bishana hadi kesho huo ndio ukweli.
💪💪namwamin kuliko Millard ayo
mbona leo kama unatufokea
Tunakubar snash.,,ila dah review
za movie kitambo
Nimekusoma kiongoz thanks
Basiii ninanunua I phone 14 pro.
First one✅
Broh nilikuwa naomba cku ueleze kuhusu PPI density
Respect kwako mzee ,umeeleza kila kitu from the beginning..ni kwamba apple hawatengenezi iPhone fake...ila usichojua ni kwamba crown iphones zipo tena nyingi broo
IPhone yenye storage 512GB unakuta fake...je unahisi such kind of products (iPhone) zinakuwa made and assembled wapi?? Naomba jibu kwa hili na pia
Products nying bongo ni fake...
Mfano mzur mtu yupo states ameweka order ya iPhone 14 mpka sasa hajapata ila bongo waja wanazo 😂 what do you think????
Unaonekana huna maarifa na tayari unamajibu yako
Huna haja ya elimu toka kwa mtu mwingine
Brother tunaomba ufanye video ya kuelezea Esim yaan, inafanyaje fanyaje kazi,🙏
Umetshaaaa 🔥🔥🔥
Wewe una jua definition ya fake? Clone or first copy ni fake ya original.
Ujakaaa kariakoo ww uwone i phone za mchongo
Mzee tufanyie review ya range 2023
Mwamba unazingua kwanza ulipotelea wapi ulikua unatupa tec kwa urahisi
Mmmmh...! Jaamaaa Umezingua Copy na Fake Utofauti ni upi..?Haya mtaalam
snash na hizi zimeandikwa remanufactured by asurion hizi zipoje
Snash big upo lakini tunataka review za movies ao wengine kavu tu
Pa1
kuna mtyu aliniambia iphone za lain mbili ni feki nikamkatalia sasa mimi ndio nipo sahihi au yeye
Og 🔥🔥🔥
made in california and assemble in china
pia tueleweshe refubrished phone, copy iphone na original.......... but all in all umetisha kinoma noma
Ombi langu hujajib had leo asee!!
.
kaka dune taxi bmw wameachia
Tofauti ya copy na feki ni nn
Mmh je zile iphone 12 za mchongo 🤣
Waulize wanao nunua iPhone Shenzhen na kuleta africa unatuambia Ni copy lakini sio fake
Bro ungekuwa uko kama zaman sahv sub wangefika 150k
200k
N hizi iphone 13 gb 513 za laki tatu zimetoka wap?
Hahaha...bro huyoo ameeleza vzur sana..ilaa iPhone crown zipo tena nyingi bei kitonga..haiwezekani mtu yupo States amaweka order ya iPhone 14 mpka leo hajaipata ilaa still bongo zipo kibaoo
Na watu still wanaweza ku afford such a product..zenye 1TB storage...bro Africa is the worst continent..mostly products tunazotumia from abroad are fake ni wachache sana wanaoweza ku afford OG kama magar, simu laptops nk...
upovizuri ila achana na kubana poa
Ungeweka na subtitle za Kingereza ili ujibebee wengi
Kwell ila sio weng
Movies
Fanya tafiti vizuri fake ipo usiporoje tuu
Ndio hiyo copy ambayo amesema, ila apple kama apple hawatengezi iphone fake
Naomba utufafanulie sasa hivi simu nyingi tunazouziwa used iphone unasikia NO FACE ID hicho ni kitu gani? kinasababishwa na nini? na je kinahusiana na ubovu wa camera?na je kinatengenezeka na kwa nini simu nyingi used kwa sasa zimekua na hiyo shida na bei zao ni kitonga naomba ufafanuzi
Ukiona simu unaambiwa NO FACE TIME ujue imetokea Dubai kwa sababu kule ni nchi ndo inaagiza na sio wafanyabiashara kwahiyo nchi ina vigezo inayovitaka na kuna vingine haivitaki kwahiyo kwao walisema simu za Iphone zinazoingia kwao zisiwe na hiyo feature ya Face Time wao wanachukua kutoka Marekani ila kuna nchi kama China wao waliomba wawe wanatengeneza kwao zisitoke Marekani kwasababu za kiusalama wa taifa hivyo Apple wakakubali ila makubaliano yakawa kuwa China watengeneze kwa viwango vile vya simu za Marekani.
Na kama ulishawahi kuona simu ya Iphone imetengenezwa Calfornia alf assembled in China
Fac3 Id ni mfumo wa ku unlock simu yako kupitia camera.mara nyingi kama mtu alibadilisha kioo cha iphone ndo inaua huo mfumo wa id..pia sometimes ni shida ya software.so ili kurekebisha iyo kitu ni lazima ununue kioo origina chenye face id
@@geraldjohn5430 hakuna kioo chenye face id.Asante
@@maujanjatv24h41 FACE ID inatengenezeka kwa simu iliyokua na shida ya FACE ID, haina uhusiano wa ubovu wa camera.
iPhone fake zipo
1
Je kuna iphone inoyo ruhus sim card 2
Labda E Sim unaweza unga Laini hata 6+
Xr iphone inayo
Iphone fake zipo ndugu tena nyingi sana nimeshamiliki iphone 4 fake pia kunasiku nilishawahi kutaka kuingizwa mkenge kuuziwa iphone 11 pro max fake baada ya kuikagua ndo nikagundua kuwa ni fake kwasabu ukilog in icloud inagoma haiingii na vitu vingine kama camera na display hazina ubora ule wa iphone og
iphone 14 pro inauzwa shingap za kitanzania
2M tzsh
Copy na fake ni same thing hizo ni terminology tu.
Acha utoto wewe, sasa copy na fake tofauti ipo wapi??? Ni aina tu yakuongea, neno FAKE ndio imetawala midomoni kuliko neno COPY, at the end COPY AND FAKE ni same things
Kuna mtu alinunua iphone hapa tanzania akaja kupata safari kwenda poland lakini cha ajabu anadai alivofika kule ile simu ni kam ilizimwa au tusema ilikua restrictede ku function nchi ile akasema pengne aliuziwa fake… hebu nisaidie n hilo @snashtz
Na nikuulizege kwanini bongo magari yanayoingia ni ya miaka ya nyuma sanna
Watu hawana ela
Kwan ww hujui bongo ni maskini mpk uulize hilo swali?
Shida ni pesa tuu ukiwa na ela unaweza nunua gari mpya
More than 80% ya iPhones, iPad na Apple computers zinaundwa/ assembled in china. Foxconn ndiyo kampuni iliyopewa contract na Apple! During pandemic of covid 19 wali pata shida sana kwenye uzalishaji, sasa wanafikiria kufanya assembling nchi nyengine ikiwemo America yenyewe! Shida ni cost of production itakuwa juu kwa ajili ya cost ya labour. iPhone fake zipo kibao mtaani, sielewi vipi unasema hakuna. Kila bidhaa bora ina mbovu yake kitaa
😄😄😄bruh u knw nothing abt tech bana
just try to prepare you own video always una copy ya mtu then una edit ndiyo una present acha uwizi wenzio wameanda content wew una copy
Wewe acha u fala wewe we from usa na there’s a lots fake iPhone special the phone coming from 🇨🇳 ni fake even this 14 the one from usa no sim the others the got sim and the phone is for usa how then acha u malaya wewe
Huna akili sana.. 1. Huelew kuhusu Technology.. kuhusu Iphone ambazo ziko US nikwamba zinatumia eSIM technology hawawezi kuweka esim zote kwajili third party world kwa sababu inatumia local simu.
2: ujui English, you’re disappointing yourself education level.