Nasemaje ! Haiwezekani | Powered by Used Dubai Phones

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 98

  • @shaidanidecoration1007
    @shaidanidecoration1007 Год назад +5

    Unyama sana bro usimaindi nasiwengine ndotumejuwa zaidi kupitia wao

  • @user-kp9fx7qg8i
    @user-kp9fx7qg8i Год назад +7

    Refurbished means that the product was used, deemed defective, recycled or returned for some reason, then tested and repaired by the manufacturer or a third party before being sold again. To sum it up, all refurbished products are used, but not all used electronics are refurbished.

  • @Digital_Security_Tz
    @Digital_Security_Tz 3 месяца назад

    Khaaaa sasa unataka usibishiwe kwa fo you think uko perfect sana

  • @mseselyato9916
    @mseselyato9916 Год назад +4

    Snash nakubali sana, nilikua naomba pia uweze kutupa review ya zile LED TV za kufunga ukutani tunazipataje

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 2 месяца назад

    iOS 18 now is out. Waiting your amazing review our lovely brother. SNASH♥

  • @IbrahimAKhasabi
    @IbrahimAKhasabi 2 месяца назад

    Tunatamani tujueee kuhusu issue za satellite 😊 fanya review ya role ya satellite

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 3 месяца назад

    Ila watu ni wabishiii daaaa

  • @AsiyaOmar-le1di
    @AsiyaOmar-le1di Год назад +4

    fact, ni kweli binafsi nimeshakutana na hiyo ishu ya refublish ilikuwa s22, nimerejesha, na nimeamua kuchkua latest s23

  • @Digital_Security_Tz
    @Digital_Security_Tz 3 месяца назад

    Hapo unatupiga na kitu kizito mzee 😂😂😂.

  • @mkingaempire3616
    @mkingaempire3616 Год назад +1

    We umetupiga tu apo Unajibishia mwenyewe

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Год назад +1

    Naomba video review ya gari aina ya Audi Q5 model 2010,2011 na hizi latest za 2019 mpaka 2022.

  • @husseinmtulivu663
    @husseinmtulivu663 Год назад +1

    Hawawezi kuelewa kaka hatakama mpya lakin so ya mwaka huuu so mpya hiyo 😂

  • @hugomedia9962
    @hugomedia9962 Год назад +3

    Kaka naomba review za behind the scenes za movie mbalimbali maan niliona Ile sound track ya game of thrones Ilinivutia sana lkn ckujua kam ilitengenezwa vile pia naomba ufnye review ya eSIM kutoka Airtel @snash

  • @andreamajura4527
    @andreamajura4527 Год назад +2

    Unakuta mtu kanunua simu iliyokua discontinued kama iPhone 8 Iko full boxed Halafu Anasema mpya. Hakuna kitu kama hicho.

  • @user-rs4ur6gk7e
    @user-rs4ur6gk7e 6 месяцев назад

    Sure bro

  • @suka_techtz
    @suka_techtz 8 месяцев назад

    Umeeleza vizur sana bro🔥🙌

  • @alimohamed4712
    @alimohamed4712 Год назад +1

    Mwanzo kabisa

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 5 месяцев назад

    Mimi nakupataga sana we kijana...

  • @leonardmaginamakubi2579
    @leonardmaginamakubi2579 Год назад +1

    I like ur explaination bro

  • @BIGBOIBigboigun-zt5ym
    @BIGBOIBigboigun-zt5ym Год назад +2

    Brother refurb na simu mpya unaweza kutofautisha vip...???

  • @magutumogeko6936
    @magutumogeko6936 Год назад +1

    Wameisha elewa broo maan sisi wabongo tunaamin uongo kuliko ukweli😂😂

  • @rushboetz
    @rushboetz 9 месяцев назад

    One Love❤

  • @gfvh7282
    @gfvh7282 Год назад +10

    Broo snash umesema haiwezekan kukaa na Stoke mwaka mzima !! Sasa what if kama biashara imekua mbaya na nna simba Dukan bado mpya

    • @cuvise
      @cuvise Год назад

      Kabisa mzee,

    • @rackadey
      @rackadey Год назад

      Hujui biashara kaka .. biashara haina ku assume

    • @swahililyrics4635
      @swahililyrics4635 Год назад

      Kama haijatoka na ni mpya haijawahi kutumia hutasemaje?

    • @goodluckpeter7371
      @goodluckpeter7371 Год назад

      Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima..
      Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha

    • @YusoufMjr
      @YusoufMjr Год назад

      ukiona umekaa na mzigo kwa muda mref ivo bas we biashara ipo kushoto kwako a year? mhh sasa maan ya average sales kwako ina maana gan? na ma simu yenyew yanashuka bei kadri siku zinav zd kwenda

  • @mafuruamnonikuboja7787
    @mafuruamnonikuboja7787 4 месяца назад

    Wewe jamaa ni muongo

  • @emmaxendru9926
    @emmaxendru9926 Год назад +2

    Bado kaka unaendelea kutudanganya tuu coz umebase kwenye IPHONE na SAMSUNG tuu. Kaka kumbuka kuna kina Tecno, Infinix ambapo kuna majamaa wanauza mpka leo hii anayo Tecno Pop3 na pop5 mpya anauza ipo dukan kwake haizijatokaga ss izo ni refurb au mpya na haaijawah kuuzwa kwa yoyote

    • @athumanijoseph3042
      @athumanijoseph3042 Год назад +1

      mwanang wwe umenena aisee big up

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Mbna hao unaowaongelea ndo kabisa kil mwak wanatoa mpya na za zaman zinapotea njoo kariakoo ukiipat techno pop3 mpya nakup pop8 bure😂

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      ​@@athumanijoseph3042😂😂😂e waongo nyie

  • @laurentedward1081
    @laurentedward1081 Год назад +1

    Kaka oppo nazo vp

  • @ibrahimovicstanson3761
    @ibrahimovicstanson3761 Год назад

    MZEE WA FACTS

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Год назад

    Kwanavyomjua mbongo bado atabisha tu apo , il kwakupita wew nimejua wauzaj simu wanapiga ela kinomanoma wanatuuzia refurb kwa bei ya simu mpya

  • @dicksonclassic3772
    @dicksonclassic3772 Год назад +2

    Umetisha sana bro ila kuna kitu umenkelewesha kuhusu stika ya warant ya refub japo natumia refub na mimi ila nilitoa stka

  • @geofreyukason
    @geofreyukason Год назад

    Umetisha bro

  • @benedictocharles
    @benedictocharles 3 месяца назад

    Kwaiyo hata tecno spark 10 pro ya mwaka jana saizi ni refub sio new??

  • @ericktv4116
    @ericktv4116 Год назад +1

    Naomba utuonye review ya samsung note 10 plus

  • @Digital_Security_Tz
    @Digital_Security_Tz 3 месяца назад

    What i know simu ikiwa status yake ni discontiuned means hapo production ndio hsifanyiki tena, acha kutupanga 😂😂😂😂😂

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 Год назад +1

    Mimi nataka simu ndogo android yenye uwezo zaidi ipi

  • @zamepeds5222
    @zamepeds5222 Год назад +1

    Snach kaka ongelea kuhusu push up board

  • @tonoboymwatonokaaa2862
    @tonoboymwatonokaaa2862 10 месяцев назад +1

    Unyama

  • @davidardolmbilinyi398
    @davidardolmbilinyi398 Год назад +2

    Kuna mduka kama sharaf haya ruhusiwi kuuza refurb na used its mpya tyh na wana cm ad s22utra unataka useme sio

  • @yassirmaulid683
    @yassirmaulid683 Год назад

    nakubal🎉

  • @nelsonjoseph3742
    @nelsonjoseph3742 8 месяцев назад

    Kaka umeeleweka naomba review ya Toyota landcruiser Lc 300 gxr ya 2023

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +1

    Uongo mtupu

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Ukwel ni upi au wew nd hujui bora ukae kimya

  • @user-et7sx9gn3i
    @user-et7sx9gn3i 6 месяцев назад

    Ni kwel san

  • @MLAWA501
    @MLAWA501 Год назад +1

    Broo naomb review ya samsung xcover 5 nataman xan kuiona maan mimi ni mutumiaji wa hiyo simu plz ilet kaka🙏🙏🙏

  • @shirazboy7689
    @shirazboy7689 Год назад +1

    Ebwana broo mm naomba kujua kuhusu izi sim aina ya Aquos water proof yake inaweza kukaa kwenye maji kwa muda gani

  • @kobanyawale3709
    @kobanyawale3709 Год назад +1

    Mbona namba zao sizioni

  • @sebatech3951
    @sebatech3951 Год назад

    Thanks

  • @laurentedward1081
    @laurentedward1081 Год назад +1

    Kaka oppo nazo vp 1:20 😊

  • @gadygrapher8039
    @gadygrapher8039 Год назад

    umeongea ukwel boss

  • @nassormohammed-xp8zo
    @nassormohammed-xp8zo Год назад

    Kuna w2 awaelewi tu ata uwachape awaelewi tu broo hapo umetsha sna

  • @lorivimbile45
    @lorivimbile45 Год назад +1

    Kaka me naomba elimu kuhusu internet imeanzia wapi na inafnyaj kazi

  • @praisegodnathan5426
    @praisegodnathan5426 Год назад

    We ni hatar

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Год назад

    Kumbe usomagi comments ndo Mana hujui washabiki wako wa damu

  • @tengeru
    @tengeru Год назад +2

    Unachobisha ni nn sasa hapo kuna maduka stock haiishi sababu ya bei zao njoo arusha kwa benson utapata iphone x mas mpya kabsa

    • @karimjay5021
      @karimjay5021 Год назад

      😂

    • @msafimedia
      @msafimedia Год назад

      😂😂😂

    • @rowlandfrancis8006
      @rowlandfrancis8006 Год назад

      Kuna kitu huyu jamaa naye haelewi,anadanganya umma.

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Haipo refurb hiyoo, sio mpyaaa ,mpya inaitwa non active na inakua na apple warranty ndani inayosoma tokea treh ulonunua simu,nenda kawauliz hii simu ni non active,na warranty itasom kuanzia leo mpk trh km y leo mwakan afu uone jibu lao😂😂

  • @shadrcboy2938
    @shadrcboy2938 Год назад +1

    Kaka fany review ya redmi 11 pro naomba

  • @charlesbrayson9901
    @charlesbrayson9901 Год назад

    Namba ufanyie review ya sm za vivo

  • @daudchameta
    @daudchameta Год назад

    Na Kuna anae faham kuhusu hizi Samsung zenye dot

  • @SHADOTUBETZ
    @SHADOTUBETZ Год назад

    Asanteeeeeee

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Год назад

    Bro naona umesahau mziki wa Colona byashala inachangamoto zake unapanga changamoto inapangua

  • @fadhilidaudi6260
    @fadhilidaudi6260 Год назад

    Watu wa DC una tutega Sanaa Shazam

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 Год назад +1

    Kwahiyo Bro snash hata nikinunua simu Apple store simu iliyotoka mwaka Jana bado ni refurbished?

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Kama haijapita 6month baada ya tolea jipya una asilimia kadhaa za kupata mpya ila after hapo kuipata ni nadra hata ukienda apple store wenyew watakuambia out of stock and if wana stock ya refurb watakwambia its official apple refurb na package zake huwa tofauti na za mpyaa

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 Год назад

    Na hizi simu unakuta mtu ametumia halafu anakuambia anaenda kutop up hii inamaana gani

  • @fadhilidaudi6260
    @fadhilidaudi6260 Год назад

    Shazam movie DC

  • @vicenttumaini5166
    @vicenttumaini5166 Год назад

    ulikuwa the tech 360 ukatuambia jamaa wana genuine phone kuanzia iphone 12 na kuendelea mwakajana hii imekaaje nayo...??

  • @mafwelegeorge3120
    @mafwelegeorge3120 Год назад +1

    katika vodeo yako yote umeshindwa kumcrush jamaa kwa facts
    unazunguka mle mle aliko pita yeye
    fanyen deep reviews ya kitu kabla hamjakaa mbele ya kamera

  • @rashidyunus1835
    @rashidyunus1835 Год назад

    Snash pamoja imeeleweka
    Tupe Review ya hacker na scammer
    Tuchambulie tofauti zao

  • @joeljoseph479
    @joeljoseph479 Год назад

    Na zile unakuta zipo sealed box na cmu ni ya mwaka jna

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Nyingi ni refurb au Active ila sio non active

  • @allenmosha7375
    @allenmosha7375 Год назад

    Mbona wanajiita used Dubai phone afu Wanauza rifabu hii imekaaje

    • @tonyboss6556
      @tonyboss6556 Год назад

      Sipmple!
      Refurbished yyt ilianza kuwa used kwanza..

  • @fadhilidaudi6260
    @fadhilidaudi6260 Год назад

    Shazam

  • @fmf5444
    @fmf5444 Год назад

    Ila snash kuna watu wakutengeneza copy 😄

  • @allenmosha7375
    @allenmosha7375 Год назад

    Snash samahan Kuna watu uwaga wananunua cm used ichi za wenzetu na kuja kuziuza uku na uwa Wana SEMA n used wakimaamisha imetumika na mzungu vp awo used Dubai phone

    • @abubakarmnasi1038
      @abubakarmnasi1038 7 месяцев назад

      Zinakua hazijabadilishwa chochote ila nyingi za dubai zinakua zimerekebishwa ndo izo ni refurb ila wanaita used dubai kuepusha complication

  • @vicenttumaini5166
    @vicenttumaini5166 Год назад

    bro stock huwa zinabaki tu inawezekana labda n chache sana

    • @goodluckpeter7371
      @goodluckpeter7371 Год назад

      Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima..
      Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha

  • @mtc8100
    @mtc8100 Год назад

    @snashtz Mambo vipi brother?
    Ebhana me nimekuelewa kinoma noma sema naomba utupe elimu kidgo kuhusu simu zilizokuwa na pin dot.
    Ni jambo lenye utata kdgo