Simu zote za Samsung na bei zake(2022-2024)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Zitambue ubora, sifa na bei za samsung galaxy zilizotoka kati ya mwaka 2022 hadi 2024
    Utajua bei ya Samsung Galaxy A13, Samsung Galaxy A14, Samsung Galaxy A15, Samsung Galaxy A03, Samsung Galaxy A04, Samsung Galaxy A05, Samsung Galaxy S24 na pia Samsung Galaxy s23 na kaka zake kwa hapa Tanzania
    Ukitazama mpaka mwisho wa video utapata hitimisho la simu ya samsung sahihi ya kununua
    Maana utafahamu mpaka ubora wa matoleo ya samsung ya zamani

Комментарии • 21

  • @mamakebrighton1337
    @mamakebrighton1337 15 дней назад

    Samsung note 10 bei gani plz naomba na no zako

    • @simunzuri
      @simunzuri  14 дней назад

      Inayopatikana sana kwa sasa ni samsung galaxy note 10 plus gb 256, ambayo inaenda 850k

  • @davidmartins4843
    @davidmartins4843 Месяц назад

    Kaka naitaji samsung galax kwanzia A15 kuja chini ninunue ipi bora?

    • @simunzuri
      @simunzuri  Месяц назад

      hAPA jibu lipo wazi ni a15

  • @marcombise9984
    @marcombise9984 2 месяца назад

    Hizo SIM.mikoa gan bei yake nihiyo maana nahitaji Samsung s 450000 je nitapata wali Kwa mikoa ya Kanda ya ziwa

    • @simunzuri
      @simunzuri  2 месяца назад

      Samsung toleo gani

  • @IvanIssa-t4p
    @IvanIssa-t4p Месяц назад

    Samsung galaxy s10 kioo chake sh.ngp?

    • @simunzuri
      @simunzuri  Месяц назад

      bei yake ya sasa siifahamu ila nitakuangalazia

  • @MasoudNabeel-bk6en
    @MasoudNabeel-bk6en 2 месяца назад

    Naitaji simu ya mkopo

  • @SamweliZaburi-fk3qj
    @SamweliZaburi-fk3qj 2 месяца назад

    Samsang ao5s siris sh ngap?

    • @simunzuri
      @simunzuri  2 месяца назад

      Bei ya Samsung Galaxy A05s kwa sasa ni shilingi laki nne ikiwa ni ya GB 128

  • @nicholauselishakissikissi8311
    @nicholauselishakissikissi8311 Месяц назад

    Galaxy a73 5g ina bei gani?

    • @simunzuri
      @simunzuri  Месяц назад

      mpya inaenda mil 1.2 used chini ya laki sita

  • @sikulumbwetv5200
    @sikulumbwetv5200 Месяц назад

    Kioo cha Samsung note 20.bei gani

    • @simunzuri
      @simunzuri  Месяц назад

      Vioo vyake bei siifahamu kwa sasa ila nitakuulizia

  • @WastaraWastarabosslady
    @WastaraWastarabosslady 2 месяца назад

    Samsung s20 bei gani

    • @simunzuri
      @simunzuri  2 месяца назад

      S20 Ultra ni shilingi 800,000 used

    • @Fantastic.-gm1eo
      @Fantastic.-gm1eo Месяц назад

      ​@@simunzuri mnapo sema used mnamaanisha ya imetumiwa na mtu au

    • @simunzuri
      @simunzuri  Месяц назад

      @@Fantastic.-gm1eo ndio kiongozi

    • @Fantastic.-gm1eo
      @Fantastic.-gm1eo Месяц назад

      @@simunzuri inauzwaje?