KADI ZA CCM Zamfukuzisha Kazi Mkuu wa Wilaya Mtwara, Kisa Wapinzani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #BmtvTanzania #Bmtv
    Tembelea
    bmtvtanzania.com/
    INSTAGRAM
    / bmtvtanzania
    FACEBOOK
    / bmtvtanzania
    TWITTER
    / bmtvtanzania1

Комментарии • 50

  • @nickkakumbi9567
    @nickkakumbi9567 Год назад +6

    Li chama limeshaoza,,wee mama nchi imekushinda achia ngazi

  • @user-cw7fn4zz2z
    @user-cw7fn4zz2z Год назад +4

    Tanzania nzima rudisha kazi za ccm

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад +4

    KADI ZA CCM MBONA ZITARUDI SANA MAMA HATA DC NA RC WANAOGOPA TU KURUDISHA MAMA

  • @user-cw7fn4zz2z
    @user-cw7fn4zz2z Год назад +4

    Tutarudisha sana tu hujui tu tunarudisha kwasababu yako samia shida sio wakuu wa wilaya

  • @hamisiOmari-fz5ku
    @hamisiOmari-fz5ku 11 месяцев назад +3

    kadi zitarudi sana mama kwamwendo wenu huu

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +3

    Hata mimi yangu na familia yangu narudisha niko mwanza sijawahi kumwona hata mkuu wa wilaya yetu anafananaje hakuna sababu wengine wamezikusanya zimejaa gunia utafukuza wangapi mamaaa?

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius 11 месяцев назад +2

    Hata yangu wakipita CHADEM Kanda ya kaskazn narudisha, maana hii nchi saiz inaendeshwa kwa umbea umbea na taarabu hamna la maana

  • @elipidiuscleophace113
    @elipidiuscleophace113 Год назад +3

    Namm narudisha

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo Год назад +7

    Tutarudisha hata Mimi nitarudisha!! nifanye unapotaka, jadilini maendleo hata watoto wadogo watawacheka

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 11 месяцев назад +2

    Kila mtu ana haki ya kufuata chama akipendacho

  • @musamwanji4389
    @musamwanji4389 11 месяцев назад

    Hongera kwa kupenda upande wa haki

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад +4

    Wamekichoka chama

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 месяцев назад +2

    Mbona zitarudiahwa nyingi hata mikoa mingine yangu nimeirudisha sitaki hata kuiona

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 11 месяцев назад +1

    Zitarudi sana

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Год назад +1

    Mambo yasiyofaa huwa hayalazimishwi hata mara moja! Kama mkubwa anajisahau, je kwa wadogo itakuwaje?

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 11 месяцев назад +1

    Hapa nimejifunza kumbe hata ajira zinatolewa mpaka uwe CCM pia hawa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kumbe ni makada wa chama cha mapinduzi

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Год назад +1

    Chama sio shida,shida uongozi watu wamechoka,,,

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 11 месяцев назад

    Wanalindana sana hao mkuu

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Год назад +1

    Mtaelewa maana unyanyasaji na uonevu umezidi Njoo Nyatwali pia uchukkuwe kadi zako

  • @hulukasefu
    @hulukasefu Год назад +1

    umeona mtwatu mikowamingi watarudisha kadi zenu ccm

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Год назад +2

    Kwan lazm kuwa CCM

  • @judiththobias5132
    @judiththobias5132 10 месяцев назад

    Umeoneshaa udhaifuu mkubwaa sanaaa wamejua udhaifu wako watakunyooshaa

  • @ibrahimlukumay8430
    @ibrahimlukumay8430 11 месяцев назад

    Unatumia ubabe kulazimisha watu kubaki kwenye moto never huo ni udikiteta

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 11 месяцев назад

    Dah mitihani ,Ewe Mungu tulinde kw ulinzi wako wa 🇹🇿, nashari zakila mwenyeshari ,hakika wewe Mungu unawatambua

  • @ChrisUromi
    @ChrisUromi 6 дней назад

    Tumewachoka kwelikweli

  • @user-br3jc4ej7j
    @user-br3jc4ej7j Год назад +1

    Kazi iendeleeeeeee

  • @hussenanyimike8305
    @hussenanyimike8305 11 месяцев назад

    Na bado mbona hizo ni chache anda sandarusi za kubebea

  • @hamisathadeo4870
    @hamisathadeo4870 11 месяцев назад

    Watu wameichoka CCM sio kumchoka mkuu wa wilaya

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x Год назад +2

    Watu wamechoka raisi huna kauli

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 11 месяцев назад

    Hao waliopita bila kupingwa ndo mavuno yake hayo

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Год назад +1

    Watumbue tu mama maana maendeleo hayana chama

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj 5 месяцев назад

    Ahhhhhhhhhhhhh zitarudi sana tumewachokaaaaaaa nyie mafisadi

  • @nashonsendo4755
    @nashonsendo4755 Год назад

    Tumechoka kwani watu wakirudisha kadi ni tatizo kwani lazima wawe nazo hatutaki

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 Год назад +1

    Tarmo tarmo acha uchadema wako, maendereo hayana chama, DC apishe chama chetu kinamkataba na watanzania, tuenderee kuaminika

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 Год назад

      Mkatsba wa WIZI NA UBADHILIFU WA FEDHA ZA UMMA.

    • @PhilipoMwita-ge2oj
      @PhilipoMwita-ge2oj 5 месяцев назад

      Mkataba gani wezi wa kura 2020 mna mkataba gani na sisis hatuwatakiiiiiii

  • @NassorSalumMengi-jj1nf
    @NassorSalumMengi-jj1nf Год назад

    Mh,hao wap wengo,,2 kuanzia MRC NA MDC zaid ya 89 ,MRC ,40 NA MDc 49 nadhan mh,unawajua,😅

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Год назад

    ASANTE SANA MAMA KWA KULIONA HILO. NA HILO NI TATIZO KATIKA HALMASHAURI NYINGI( MIS-LOCATION OF FUND). ATAEJICHANGANYA PIGA CHINI! VIJANA TUKO WENGI TUKO TAYARI KUTUMIKA!

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Год назад

    Watu warudisha kadi mtwara

  • @DoreenMichael-dg7le
    @DoreenMichael-dg7le Год назад

    Macard mabovu

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад +1

    Kurudisha KADI ni uzembe na kazi mbovu ya CCM IKIWEMO BANDARI

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo Год назад +1

    Kidi cha chama kinashida gani kikirudishwa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      MSHAMBA MMOJA HAVUNJI SOKO KITOWE TU USILETE BLAA BLAA.

  • @christophermalongo1577
    @christophermalongo1577 Год назад +1

    Bandari inakuchanganya

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 Год назад

      😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @SebatianKisokola-hy7qs
    @SebatianKisokola-hy7qs 11 месяцев назад

    Watanzania sio wajinga tena hawaangalii chama tena chama ndo kimeifikisha nchi yetu hapa ilipo kwahy hakitusaidii tena

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад

    Bandari mama