Hata mimi yangu na familia yangu narudisha niko mwanza sijawahi kumwona hata mkuu wa wilaya yetu anafananaje hakuna sababu wengine wamezikusanya zimejaa gunia utafukuza wangapi mamaaa?
ASANTE SANA MAMA KWA KULIONA HILO. NA HILO NI TATIZO KATIKA HALMASHAURI NYINGI( MIS-LOCATION OF FUND). ATAEJICHANGANYA PIGA CHINI! VIJANA TUKO WENGI TUKO TAYARI KUTUMIKA!
Li chama limeshaoza,,wee mama nchi imekushinda achia ngazi
Tanzania nzima rudisha kazi za ccm
KADI ZA CCM MBONA ZITARUDI SANA MAMA HATA DC NA RC WANAOGOPA TU KURUDISHA MAMA
Tutarudisha sana tu hujui tu tunarudisha kwasababu yako samia shida sio wakuu wa wilaya
kadi zitarudi sana mama kwamwendo wenu huu
Hata mimi yangu na familia yangu narudisha niko mwanza sijawahi kumwona hata mkuu wa wilaya yetu anafananaje hakuna sababu wengine wamezikusanya zimejaa gunia utafukuza wangapi mamaaa?
Hata yangu wakipita CHADEM Kanda ya kaskazn narudisha, maana hii nchi saiz inaendeshwa kwa umbea umbea na taarabu hamna la maana
Namm narudisha
Tutarudisha hata Mimi nitarudisha!! nifanye unapotaka, jadilini maendleo hata watoto wadogo watawacheka
Kila mtu ana haki ya kufuata chama akipendacho
Hongera kwa kupenda upande wa haki
Wamekichoka chama
Mbona zitarudiahwa nyingi hata mikoa mingine yangu nimeirudisha sitaki hata kuiona
Zitarudi sana
Mambo yasiyofaa huwa hayalazimishwi hata mara moja! Kama mkubwa anajisahau, je kwa wadogo itakuwaje?
Hapa nimejifunza kumbe hata ajira zinatolewa mpaka uwe CCM pia hawa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kumbe ni makada wa chama cha mapinduzi
Chama sio shida,shida uongozi watu wamechoka,,,
Wanalindana sana hao mkuu
Mtaelewa maana unyanyasaji na uonevu umezidi Njoo Nyatwali pia uchukkuwe kadi zako
umeona mtwatu mikowamingi watarudisha kadi zenu ccm
Kwan lazm kuwa CCM
Umeoneshaa udhaifuu mkubwaa sanaaa wamejua udhaifu wako watakunyooshaa
Unatumia ubabe kulazimisha watu kubaki kwenye moto never huo ni udikiteta
Dah mitihani ,Ewe Mungu tulinde kw ulinzi wako wa 🇹🇿, nashari zakila mwenyeshari ,hakika wewe Mungu unawatambua
Tumewachoka kwelikweli
Kazi iendeleeeeeee
Na bado mbona hizo ni chache anda sandarusi za kubebea
Watu wameichoka CCM sio kumchoka mkuu wa wilaya
Watu wamechoka raisi huna kauli
Hao waliopita bila kupingwa ndo mavuno yake hayo
Watumbue tu mama maana maendeleo hayana chama
Ahhhhhhhhhhhhh zitarudi sana tumewachokaaaaaaa nyie mafisadi
Tumechoka kwani watu wakirudisha kadi ni tatizo kwani lazima wawe nazo hatutaki
Tarmo tarmo acha uchadema wako, maendereo hayana chama, DC apishe chama chetu kinamkataba na watanzania, tuenderee kuaminika
Mkatsba wa WIZI NA UBADHILIFU WA FEDHA ZA UMMA.
Mkataba gani wezi wa kura 2020 mna mkataba gani na sisis hatuwatakiiiiiii
Mh,hao wap wengo,,2 kuanzia MRC NA MDC zaid ya 89 ,MRC ,40 NA MDc 49 nadhan mh,unawajua,😅
ASANTE SANA MAMA KWA KULIONA HILO. NA HILO NI TATIZO KATIKA HALMASHAURI NYINGI( MIS-LOCATION OF FUND). ATAEJICHANGANYA PIGA CHINI! VIJANA TUKO WENGI TUKO TAYARI KUTUMIKA!
Watu warudisha kadi mtwara
Macard mabovu
Kurudisha KADI ni uzembe na kazi mbovu ya CCM IKIWEMO BANDARI
Kidi cha chama kinashida gani kikirudishwa
MSHAMBA MMOJA HAVUNJI SOKO KITOWE TU USILETE BLAA BLAA.
Bandari inakuchanganya
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Watanzania sio wajinga tena hawaangalii chama tena chama ndo kimeifikisha nchi yetu hapa ilipo kwahy hakitusaidii tena
Bandari mama