Mungu wa Mbinguni akupe maisha marefu. Akuongezee hekima yake, maarifa yake, na ufahamu wake. Wasaidike wengi hasa vijana. Usikosekane mbinguni wewe na familia yako siku za mwisho
Nakufuatili sana kaka Joel uko vizuri sana kwenye life coach. Natamani sana kukutana na wewe kaka na Baba yangu Joel kwani nafanya network marketing na nawasaidia wanawake wa kitanzania kupata suluhisho la kudumu katika afya zao za uzazi, lakini sijawa vizuri sana kwenye sells. Ikiwa hata ni kwa ushauri nitashukuru, hata ikiwa vigumu kukuona kwa dk5 hata kuona namna ya kuniongezea kitu kwenye hilo. Mungu akubariki sana.
Kiukweli nashukuru sana ni somo zuri na mm ni ndoto zangu kuzungumza na watu kama hao waliofanikiwa kifikira na kimawazo ili na mm niweze kuongeza maarifa lakin pia ujuzi katika kitu ambacho Nina interest nacho JOEL NANAUKA I respect you forever🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa maisha yangu. Kila kukicha nataman niwe namoyo kama wako upendo kama wako usionachuki mana elimu unayo tupa nizaidi yamsaada. Mungu akupe umri mrefu zaidi!
Kaka yangu Natamani Sana kuonana nawewe na kuzungumzia maswala ya biashara.Karibu Sumbawanga siku moja tupate mafunzo live,nimejufunza mengi kutoka kwako.Bwana wangu Yesu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi siku hadi siku.
Asante Sana Bro Joel wew ni MTU mhimu sana kwangu yaan huwa siwezi kuanzia siku yangu bila kusikia masomo yako thank you so much your have changed my life Bro
Soma dini vizuri kaka. Ikiwa mungu anataka tuwaheshimu mfano wa wazazi wetu, viongozi wetu na n.k. inakuaje unapinga. Kumbuka kuheshimu sio kuabudu. Tazama kwa makini usikurupuke.
Yes, izi video ime nisahisiya Sana kwa sababu wa kati nilikuwa nikikutana namutu muhimu Mara nyingi nilikuwa nakosa nisemenini, ahidha niki hongeya na hongeya mengi yaku nihusu. Asante Sana Joel may God bless you and keep you alive so to help people over the world
KITU CHA MWISHO ALICHO KIFANYA MR. NANAUKA FROM YOU TUBE CHANNEL NI KUWEKA VIDEO YA UONGEE NINI UNAPO KUTANA NA MTU MUHIMU.... ABDULHALIM FROM ZANZIBAR...
Honestly! Tunaelimikasana kipitia darasalako..niombe kwaniaba yabaadhi yawenzangu...ikiwezekana tuandalie somo on how we can improve confidence when we speak on the audience by relating compitence and perfomance
Kaka Asante sana, Nimejifunza Maana Jumamosi ya 19.06.2021 Nilikutana na wewe kwa Mara ya kwanza Pale KISENGA LAPF ICC. Kisha tukapiga picha tu Lakini Nilishindwa kuzungumza lolote na wewe , Japokuwa nilikuwa na Mengi sana , Sababu ni kwamba Sikuwa na Hii knowledge , MUNGU AKUBARIKI SANA .
Shukran sana... Maudhui muhimu sana sana... Watu wengi kwa hakika wanakosa hili... na hasa vijana wengi wa sasa wanasoma lakini hawana uwezo wa kujiweka karibu na watu...
Nataman kukutana na karolina protsenko the fermous violinist in Europe and amerca. Kwakuwa mim pia ni violinist napambana naamin cku1 ntakutana naye pia niwe Kama au zaidi yake. Thats ma dream
Mimi Ilini tokea nilikutana na mtu ambae ni muhim kwangu ila Kwa maongezi jinsi nilivyo wasiliana nae ilikua nikama namlazimisha Kwa sabab jinsi nilivyo kua na wasiliananae ilikua nikama namlazimisha kwayo alikasilika na kuniacha na hakuta mawasiliano na mimi Sijui ata nifanyaje Naomba ushauri.
Natamani kukutana na wewe maana mimi nimtu ninayependa sana kushauli watu kuusu maswala ya mausiano na ndoa,natamani kutoa elimu kwa njia ya mtandao nashindwa
God bless you. Mtumishi Mimi nahitaji ushauri eneo la huduma, nakutana na watu wakubwa sana nilowataka. Mfano mwaka juzi nilikutana na Daniel kolenda na wakaniachia contact, nahitaji ushauri wa jambo hapa, nawasilianaje na wewe private mtumishi?
Kaka joeli siwezi kumaliza siku bila kusikiliza mafunzo yako Yani wewe umekua mwalimu wangu siku zote najifunza mengi Sana kupitia darasa lako ,ila natamani sikumoja nikuone live lakini natamani nizungumze na wewe ata kwa simu , kuna namba yako malanyingi nikipiga haipatikani nakukubali Sana brother
Kaka Joel kwanini hukutoa haya mafunzo mapema zaidi jmn😅😅nimekutana na watu muhimu ninao wa admire lkn kwa sababu ya kushindwa kujieleza mbele yao naishia tu kuwatazama kwa mbali na kushindwa kutengeneza connection lkn asante sana kwa mwanga huo ulionipa kupitia hii video. Mungu akubariki sana.
Me naomba kujua apo mwalim mimi ni mfugaji wa kuku afu nimekutana mtu muhimu ila yeye labda ni kiongoz wa siasa sasa apo iyo point namba 2 ntawezaje kumpa solution
AsAnte Sana Kaka Joel, nakumbuka siku niliyokutana na wewe, nilishindwa kabisa kueleza kile nilichopanga kukuuliza nikikuona, nilijawa na furaha ikichanganyikana na hofu, Baada ya kuondoka nilitamani nirudi Tena Ila fursa ikawa imeshapita, nikajilaumu Sitofanya makosa Kama haya Tena, Na Mungu anisaidie.
Mungu wa Mbinguni akupe maisha marefu. Akuongezee hekima yake, maarifa yake, na ufahamu wake. Wasaidike wengi hasa vijana. Usikosekane mbinguni wewe na familia yako siku za mwisho
Mungu azidi kukikuza na kukilinda kitu ulichobeba ndani yako Mr joel
Nakufuatili sana kaka Joel uko vizuri sana kwenye life coach.
Natamani sana kukutana na wewe kaka na Baba yangu Joel kwani nafanya network marketing na nawasaidia wanawake wa kitanzania kupata suluhisho la kudumu katika afya zao za uzazi, lakini sijawa vizuri sana kwenye sells.
Ikiwa hata ni kwa ushauri nitashukuru, hata ikiwa vigumu kukuona kwa dk5 hata kuona namna ya kuniongezea kitu kwenye hilo. Mungu akubariki sana.
NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.. Mr.Nanauka IN THE AIR.... ABDULHALIM FROM ZANZIBAR... 🔥 🔥
Napenda sana kua mfanyabiashara mkubwa kweny dunia hii napenda kukutana na the best business man
"Ninachokuombea siku zote ni uzima ili uendelee kutupa masomo kila iwapo siku mpya,,,,,
Kiukweli nashukuru sana ni somo zuri na mm ni ndoto zangu kuzungumza na watu kama hao waliofanikiwa kifikira na kimawazo ili na mm niweze kuongeza maarifa lakin pia ujuzi katika kitu ambacho Nina interest nacho JOEL NANAUKA I respect you forever🙏🙏🙏🙏🙏
Nice kwa hujumbe wako..nilikutana. na mama moja ako mkubwa..kwa kampuni fulani huku. Kenya. Alibadilisha..maisha yangu..kabiza
Kwa maisha yangu. Kila kukicha nataman niwe namoyo kama wako upendo kama wako usionachuki mana elimu unayo tupa nizaidi yamsaada. Mungu akupe umri mrefu zaidi!
Ahsante sana
Ni Elimu haina Mipaka
Asante, kwa Maarifa hayo,Mimi ninapenda kukutana na Mwalimu Wa Neno la Mungu Christopher Mwakasege.
Kaka yangu Natamani Sana kuonana nawewe na kuzungumzia maswala ya biashara.Karibu Sumbawanga siku moja tupate mafunzo live,nimejufunza mengi kutoka kwako.Bwana wangu Yesu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi siku hadi siku.
Very interesting bro na Mimi ningependa kukutana na wewe Sana. Ukija Kenya 🇰🇪 nitahakikisha nimehudhuria kongamano lako
Asante Sana Bro Joel wew ni MTU mhimu sana kwangu yaan huwa siwezi kuanzia siku yangu bila kusikia masomo yako thank you so much your have changed my life Bro
Kwa kweli umenipa mwanga nakushukuru sana brother
Okay 👍🙏
Kukutana na wewe itachukua muda Sana,,,lkn angalau ningepata mawasiliano yako tu,, nikuulize angalau Swali Moja,,Akili yang ifunguke zaidi🙏🙏
Shukuran
Nmejifunza vyema ,,,me natamani kukutana na wewe JOEL NANAUKA
Hakuna kunyenyekea mtu, anyenyekeweao ni mungu tu. TREAT HIM THE WAY HE TREATS YOU
Soma dini vizuri kaka. Ikiwa mungu anataka tuwaheshimu mfano wa wazazi wetu, viongozi wetu na n.k. inakuaje unapinga. Kumbuka kuheshimu sio kuabudu. Tazama kwa makini usikurupuke.
Hasema kunyenyekea jamani amesema ufanye nini unapokutana na mtu mhimu kwako
@@kadeliamateo9627 ukipima vizuri utakuta unyenyekevu ndani
@@zubedaally9479 Dini haijafunza kunyenyekea viongozi ama mameneja, wengi wao ni Arrogant, RIZK MIN ALLAH
Vizuri sana
Napenda sana ushauri wako mtumishi wa mungu
Asante kaka.. mungu azidi kukulinda
Yes, izi video ime nisahisiya Sana kwa sababu wa kati nilikuwa nikikutana namutu muhimu Mara nyingi nilikuwa nakosa nisemenini, ahidha niki hongeya na hongeya mengi yaku nihusu. Asante Sana Joel may God bless you and keep you alive so to help people over the world
Ubarikiwe sana kaka j
Mim ni dereva kaka naomba ushauri juu ya hili maana tunakutana na watu wa kubwa weng lakin tunawaogopa
Nakuelewa sana kaka hakika najiona nimeshaanza kubadirika toka mwaka umeanza
You are ma roll model bro joel
KITU CHA MWISHO ALICHO KIFANYA MR. NANAUKA FROM YOU TUBE CHANNEL NI KUWEKA VIDEO YA UONGEE NINI UNAPO KUTANA NA MTU MUHIMU.... ABDULHALIM FROM ZANZIBAR...
Barikiwa sana
Honestly! Tunaelimikasana kipitia darasalako..niombe kwaniaba yabaadhi yawenzangu...ikiwezekana tuandalie somo on how we can improve confidence when we speak on the audience by relating compitence and perfomance
That would be you Joel! I am very interested in honing my people skills and you’re ideal when it comes to that!
Kaka Asante sana, Nimejifunza Maana Jumamosi ya 19.06.2021 Nilikutana na wewe kwa Mara ya kwanza Pale KISENGA LAPF ICC. Kisha tukapiga picha tu Lakini Nilishindwa kuzungumza lolote na wewe , Japokuwa nilikuwa na Mengi sana , Sababu ni kwamba Sikuwa na Hii knowledge , MUNGU AKUBARIKI SANA .
As ante brothernafatiliza sana masomo yako mungu akubariki akuzidishie elimu
Et nauza gundi😀
Umeniongezea kitu tena shukran sana
Ahsante Brother kwa kuongezea Elimu maana kuna sehem niliteleza baada ya kukutana na mtu mmoja hivi 🙏
bro nakupenda sana nahitaji kuonana na wewe tafandharii
Bro!! We n genius 🙌 Shukran sana
Ahsante Joel
Shukran sana...
Maudhui muhimu sana sana...
Watu wengi kwa hakika wanakosa hili... na hasa vijana wengi wa sasa wanasoma lakini hawana uwezo wa kujiweka karibu na watu...
I appreciate you, what you teach are all define my life. God bless you
Somo nzuri
Shukran San kakjoel nanauka
Nataman kukutana na karolina protsenko the fermous violinist in Europe and amerca. Kwakuwa mim pia ni violinist napambana naamin cku1 ntakutana naye pia niwe Kama au zaidi yake. Thats ma dream
Nashukuru kwa ajili yako...
Habali brother
Shukran sana
Thanks brother Joel,
Natamani kukutana nawe Kaka Joel Kuna mengi najifunza toka kwako
Safi Sana broo kila siku naingia kwenye account yako nakujifunza vitu vingi
Mimi Ilini tokea nilikutana na mtu ambae ni muhim kwangu ila Kwa maongezi jinsi nilivyo wasiliana nae ilikua nikama namlazimisha Kwa sabab jinsi nilivyo kua na wasiliananae ilikua nikama namlazimisha kwayo alikasilika na kuniacha na hakuta mawasiliano na mimi
Sijui ata nifanyaje
Naomba ushauri.
Nabarikiwa mimi uwiii 😘😘🙏
Nataman nikutane na kaka Joel nanauka nijifunz sanakupitia masomo yako.
Mi nataka nikutane na wewe tu maana ni mtu wangu wa nguvu 🤝💪
Thank you coach
Be blessed
Asante
Mwanafunzi wako kutoka burundi natamani niwe na contact yako unanisaidia mengi
Nataman sana kuonana na Mr Joer Nanauka SKU nikionana nae nahisi nitafanya vzur niliyojifunza na pia nitamkumbusha hii comment asante sana
Wewe Apo kaka Joel
Me Abay kado... Nakumbuka nilifanyag hivy hivy pale Airport na ukanipokea vizur san
Natamani kukutana na wewe maana mimi nimtu ninayependa sana kushauli watu kuusu maswala ya mausiano na ndoa,natamani kutoa elimu kwa njia ya mtandao nashindwa
Ving'ang'anizi Oyeeeee 😊
Kaka umekua sana msaada kwangu naomba unipe namba zako 🙏nimezitafuta muda sana
Sana kaka angu ♥️♥️
Me natk nikutan nawe inshaallah
God bless you. Mtumishi Mimi nahitaji ushauri eneo la huduma, nakutana na watu wakubwa sana nilowataka. Mfano mwaka juzi nilikutana na Daniel kolenda na wakaniachia contact, nahitaji ushauri wa jambo hapa, nawasilianaje na wewe private mtumishi?
Siku nyingine uchange kidgo location au background whiteboard hiyo intufny tuiozeee kidgo tusuprize kitofauti
Hakika nimejifunza kitu muhimu hususani hapo kwenye namna ya ku display profile yako. Barikiwa sana bro
Kaka joeli siwezi kumaliza siku bila kusikiliza mafunzo yako Yani wewe umekua mwalimu wangu siku zote najifunza mengi Sana kupitia darasa lako ,ila natamani sikumoja nikuone live lakini natamani nizungumze na wewe ata kwa simu , kuna namba yako malanyingi nikipiga haipatikani nakukubali Sana brother
Kaka Joel kwanini hukutoa haya mafunzo mapema zaidi jmn😅😅nimekutana na watu muhimu ninao wa admire lkn kwa sababu ya kushindwa kujieleza mbele yao naishia tu kuwatazama kwa mbali na kushindwa kutengeneza connection lkn asante sana kwa mwanga huo ulionipa kupitia hii video. Mungu akubariki sana.
Naitaji nionane na mkemia mkuu wa kemikali
Nikitaka mawasiliano naee
Mimi NATAMANI KUKUTANA NA JOEL ARTHUR NANAUKA NI APPLY YOTE ULIYOYAZUNGUMZA APO " SEE YOU AT THE TOP"
Mimi nipo na mtu ambaye ana nifahamu ila nataka kuongea nae nashindwa nianzeje nisaidie
Me naomba kujua apo mwalim mimi ni mfugaji wa kuku afu nimekutana mtu muhimu ila yeye labda ni kiongoz wa siasa sasa apo iyo point namba 2 ntawezaje kumpa solution
Mtu muhimu ninayetamani kukutana naye ni WEWE kakangu..japo cha kuulzia hasa cjapata
Kaka najifunza mengi juu yako
M nikukutana nawew
Sr Joel naomba no yako plz
Mo dewji
Umenishawishi ni sabscribe chaneli yako asante.
Funzo jema
Kaka joeli HIV auna Group WhatsApp
Naomba kukutana na w wwe
Utunzwe na MUNGU kaka.
jamani nawaomba asijitokeze mtu na kuweka unlike kwenye hii video.Asanteni sana.
Natamani siku nikutane na ww unishauri kwny channel yangu nini nakosea au niboreshe vp kaz yangu
Mimi nimeshapoteza MTU mhim sasa kaka namrudisha VIP ili nimpate tena
Sàfi
Kwangu Nahitaji Kukutana na Mtu Atakayenikuza Kisiasa kwani Nna Ndoto Ya Kua kiongozi Mkubwa katika jamii yangu
Ni wewe umenifundisha vitu vingi na kunakitu na hitaji kujifunza
Hapa kwenye gundi si ndio pale ulipocheka kama nyegere.... Ha ha ha ha (joke)😁😁
Masony
nataka kukutana na wewe NOEL
juma pili naenda kuonana na mc pili
Kukutana na wewe nikirudi Tz 😃😃😃muhimu nijipange tu maaana sio muongeaji kabisa
AsAnte Sana Kaka Joel, nakumbuka siku niliyokutana na wewe, nilishindwa kabisa kueleza kile nilichopanga kukuuliza nikikuona, nilijawa na furaha ikichanganyikana na hofu, Baada ya kuondoka nilitamani nirudi Tena Ila fursa ikawa imeshapita, nikajilaumu
Sitofanya makosa Kama haya Tena, Na Mungu anisaidie.
mi naitaji kukutana na wewe
Thank you brother
Asante
Be blessed