Hakuna rais asiyewahi kutukanwa, hata rais hayati JPM baada ya kifo chake bada hadi sasa anatukanwa. Isimamiwe sheria ya atakayetukana rais yeyote wa nchi hii akiwemo hayati JPM, akamatwe na kufunguliwa mashitaka kwa mujibu wa sheria bila kujali cheo wala wadhifa wa mtu
Ushauri tuu kuhusu sensa mkitaka kujianika ,kwenye sensa ni jitihada za kujua taifa lina udhaifu gani na raia wangapi,mfano wenu ni china ,mipango ya ndani ibaki ndani kwa wazalendo hata kukiwa na vyama vingi..muhimu tu ni uhuru na maslahi kwa taifa kwa ujumla tuachane na siasa za chuki bila maendeleo ya taifa, tangu uhuru.
Pointless kwahiyo unaona anayejituma ni muuza zabibu wa nyumbani kwako tu au kisa ni ccm,,,kati watumishi wa UMMA MAISHA magumu mishahara midogo harafu kikokotooo ndio ovyo kabisa.....NA HILI BUNGE LA AWAMU HII NDIO HALIVUTII KABISA NA WALA HALIMSAIDII RAIS
Kuna haja ya vyombo vya habari kuandaa midahalo itakayosaidia serikali kubadili uelekeo waliouchukua kuhusu kikokotoo kwa WATUMISHI. Nchi nyingi barani Asia na Ulaya Zina uhitaji mkubwa wa rasilimali watu hivyo niwarai viongozi kulinda afya ya watumishi hasa walimu kwani tunaweza kujilaumu kuwekeza miundomsingi ya elimu huku tukimtelekeza Mtumishi yaani hata nyumba mtu ajenge kwa mikopo tena baada ya kustaafu. Hili halikubaliki sheria, kwanini na taratibu anuwai tunaweka sisi wenyewe hivyo tubadilikeni ikibidi kwa afya ya akili ya Mtumishi hasa walimu kwani ni haki yao. Tupunguzeni SIASA za kuonesha kuwajali walimu kwa matukio halafu hata posho zao za likizo tunawakopa miaka na mikaka sasa. Nikiwa kama MTAFITI na MTAALAMU WA HISABATI nasema tuwasikilizeni walimu na WATUMISHI WENGINE tusiwapuuze. *#Tarmih_Mihijarat_Misjil*
Halafu wanaosababisha raisi atukanwe niwatendaji wake aliyowaamini kwa kuwateua Ili wasimamie pesa zinapotea za serikali ambazo zilikuwa za kufanya maondeleo zinaibiwa wateule wapo CAG inatoa riport ndoo maana watendaji wake wasimamie pesa za serik wananchi wanashida nyingi sana ndoo maana akionekana tu wa ngazi ya juu misululu kuomba msaada yakutatuliwa matatizo Yao mungu atusaidie
Hakuna rais asiyewahi kutukanwa, hata rais hayati JPM baada ya kifo chake bada hadi sasa anatukanwa.
Isimamiwe sheria ya atakayetukana rais yeyote wa nchi hii akiwemo hayati JPM, akamatwe na kufunguliwa mashitaka kwa mujibu wa sheria bila kujali cheo wala wadhifa wa mtu
Kikokotooo Lusinde uwe mkweli watumishi wanalia hata hawaamini kabisa !!
Sio kweli shule nyingi kwa sasa wanagoma kupokea hata wanaojitolea
Kanuni za ajira zinatokana na ufaulu wa masomo chuoni
Kumbe unajua mzunguzaji namna ilivyongumu kutibitisha vyeti vya kujitolea
Mbona magufuli alitukanwa
Acha kumsifia hizo fedha anazotoa ni za mshahara wake au ni kodi za wananchi?achani uchawa wote fanyeni kazi mliyo tumwa na wananchi
Kkikokotoo jamani tusemeheni Serikali Hali
Katika vtu vina changamoto ni hao Askari wanaochunga hao ndovu
Maji tunahitaji vijiji vya musoma vijijini Chumwi murangi mabui merafuru hakuna maji Safi na salama
Punguzeni mishahara yenu wabunge msaidibima ya Afya
MH LUSINDE TUNAKUELEWA WANANCHI KWA KUTUPIGANIA WANNYINGE
Chawa mzoefu
Yan ni chawaPromax
Ushauri tuu kuhusu sensa mkitaka kujianika ,kwenye sensa ni jitihada za kujua taifa lina udhaifu gani na raia wangapi,mfano wenu ni china ,mipango ya ndani ibaki ndani kwa wazalendo hata kukiwa na vyama vingi..muhimu tu ni uhuru na maslahi kwa taifa kwa ujumla tuachane na siasa za chuki bila maendeleo ya taifa, tangu uhuru.
Kama mungu niwawote sikilizeni watanzania wanapodai katiba ya taifa lao.Mnapokataa tunaamini nyie hamna mungu kwaajilonya kulinda vyeo vyenu
Siku nyingi sana
Nikweli posho la NNE nasabini mshahara 18 lazima mfurahi
Huna mvuto sikuhizi unajikweza unaacha kupgania maendeleo jimbonikwako unakaziya kujikweza nakusifia visivyoonekana
Apidomia Wacha abebe zabibu mpaka shati lichanike
Wewe hamnakitu kabisa kichwani,sujuikma utarudi mjengoni tena,machawa kwenye najimbo yetu hatuwataki
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Pointless kwahiyo unaona anayejituma ni muuza zabibu wa nyumbani kwako tu au kisa ni ccm,,,kati watumishi wa UMMA MAISHA magumu mishahara midogo harafu kikokotooo ndio ovyo kabisa.....NA HILI BUNGE LA AWAMU HII NDIO HALIVUTII KABISA NA WALA HALIMSAIDII RAIS
😂
Kuna haja ya vyombo vya habari kuandaa midahalo itakayosaidia serikali kubadili uelekeo waliouchukua kuhusu kikokotoo kwa WATUMISHI. Nchi nyingi barani Asia na Ulaya Zina uhitaji mkubwa wa rasilimali watu hivyo niwarai viongozi kulinda afya ya watumishi hasa walimu kwani tunaweza kujilaumu kuwekeza miundomsingi ya elimu huku tukimtelekeza Mtumishi yaani hata nyumba mtu ajenge kwa mikopo tena baada ya kustaafu. Hili halikubaliki sheria, kwanini na taratibu anuwai tunaweka sisi wenyewe hivyo tubadilikeni ikibidi kwa afya ya akili ya Mtumishi hasa walimu kwani ni haki yao. Tupunguzeni SIASA za kuonesha kuwajali walimu kwa matukio halafu hata posho zao za likizo tunawakopa miaka na mikaka sasa. Nikiwa kama MTAFITI na MTAALAMU WA HISABATI nasema tuwasikilizeni walimu na WATUMISHI WENGINE tusiwapuuze. *#Tarmih_Mihijarat_Misjil*
Halafu wanaosababisha raisi atukanwe niwatendaji wake aliyowaamini kwa kuwateua Ili wasimamie pesa zinapotea za serikali ambazo zilikuwa za kufanya maondeleo zinaibiwa wateule wapo CAG inatoa riport ndoo maana watendaji wake wasimamie pesa za serik wananchi wanashida nyingi sana ndoo maana akionekana tu wa ngazi ya juu misululu kuomba msaada yakutatuliwa matatizo Yao mungu atusaidie