FULL MATCH HIGHLIGHTS | SIMBA SC 1-0 WYDAD CASABLANCA | MAGOLI,SAVES, FOULS, CAF CHAMPIONS LEAGUE
HTML-код
- Опубликовано: 21 апр 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala Спорт
Hii mechi chama kazingua sana yani angalia kwenye dk hizi 20:08 alikuwa na uwezo wa kutoa pasi kwa sakho
Sawa
Mtaangazajia anasema unachezea shilingii kwenyee tenduuu la sindaanoo!! 😂😂😂😂 Skizaa sekunde 59! Zote za kwanza dah.. but bless uu tunaenjoy burudan
Ktgggttty
Saido ana mzidi kipi Moses phiri?
Simba kwa mpira huo mkipita niiteni mbwa nipo pale@👉🤣🤣😂
Mshatolewa mkirudi bongo bingwa yanga
Ww mpra unajuwa ushabk mav
Yanga bingwa inshaallah
Acha uchawi
Mimi simba lakini cosha mkunda yupo sawa mzungu Kuma sanaa badiliko yafanywe mapema sana dakika ya sitini sako na mosspili waingiye mapema hata kama tumeshinda boko na wengine watuache
Robartinho ampe nafasi phili mechi ijayo alau dakika 20 tu
Yaani wanasimba tumeandika istory kwani ivi karibu wydad watacheza kombe la mabara kwaiyo wydad watakutana na madrid kwenye kombe la mabara madrid watapaswa kuiangalia mechi hii ya leo na ijayo ili kuwasoma wydad kwaiyo wataiyona simba ikifanya yake
Nyie watangazaji ndo mnajifunza nn mbon unachanganya maneno hata huelewek
Saido anatakiwa awe na utulivu ili apunguze upotoeaji wa mipila
Mtangazaji wa leo sijui anaitwa nani
Mbona nyie hamuwekagi sauti za uwanjani (Audience) Hii ya mtangazaji mwenyewe tuuu, hata haipendezi kabsaaa
Robertinho mjinga buers yake kwa Moses phiri inamkosesha ushindi ntibazonkiza na chama hawatoi pass haraka bocco wa Nini sasa
Mwisho wenu umefika
Mtangazaji yupo firee
SIMBA MBOVU IMEWAFUNGA MABINGWA WATETEZI WA KOMBE LA LIGI ILIYO KUBWA KABISA KULIKO ZOTE AFRIKA... SAMAHANI NINAOMBA KUJUA TU HIVI WALE WALIOFUNGWA NA "JANGA FC" A.K.A "UTO UNITED" NI MABINGWA WATETEZI WA KOMBE GANI VILE?
Hata kutunza uwanja hatuwezi? Huyu meneja wa uwanja hajasikia kuna maturubai hutandazwa mvua ikinyesha ili uwanja usiingie maji na kuteleza? Hilo hatuwezi kununua? Wakati mwingine muwaajiri watu walioishi nje wakaona mambo yafanywavyo, kuliko kuajiri washamba wajinga wa nyumbani, wasiojua tofauti. Imefikia wakati Tanzania iwe na standards za kimataifa.