FULL MATCH HIGHLIGHTS | SIMBA SC 1-0 WYDAD CASABLANCA | MAGOLI,SAVES, FOULS, CAF CHAMPIONS LEAGUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2023
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
    KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
    BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
    TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
    #Tv3Tanzania #GameOn
    #Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @michaelamon2437
    @michaelamon2437 6 месяцев назад

    Hii mechi chama kazingua sana yani angalia kwenye dk hizi 20:08 alikuwa na uwezo wa kutoa pasi kwa sakho

  • @halfanimalinda5421
    @halfanimalinda5421 Год назад

    Sawa

  • @raymondmacha3164
    @raymondmacha3164 Год назад

    Mtaangazajia anasema unachezea shilingii kwenyee tenduuu la sindaanoo!! 😂😂😂😂 Skizaa sekunde 59! Zote za kwanza dah.. but bless uu tunaenjoy burudan

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Год назад +2

    Saido ana mzidi kipi Moses phiri?

  • @mkagizimtemi-os6vv
    @mkagizimtemi-os6vv Год назад +2

    Simba kwa mpira huo mkipita niiteni mbwa nipo pale@👉🤣🤣😂

  • @rashidimkongewa3927
    @rashidimkongewa3927 Год назад +3

    Mshatolewa mkirudi bongo bingwa yanga

  • @kingibandajembe2247
    @kingibandajembe2247 Год назад

    Mimi simba lakini cosha mkunda yupo sawa mzungu Kuma sanaa badiliko yafanywe mapema sana dakika ya sitini sako na mosspili waingiye mapema hata kama tumeshinda boko na wengine watuache

  • @MohamedMkilalu-ef2dr
    @MohamedMkilalu-ef2dr Год назад

    Robartinho ampe nafasi phili mechi ijayo alau dakika 20 tu

  • @MohamedMkilalu-ef2dr
    @MohamedMkilalu-ef2dr Год назад

    Yaani wanasimba tumeandika istory kwani ivi karibu wydad watacheza kombe la mabara kwaiyo wydad watakutana na madrid kwenye kombe la mabara madrid watapaswa kuiangalia mechi hii ya leo na ijayo ili kuwasoma wydad kwaiyo wataiyona simba ikifanya yake

  • @user-wk3mz8ri8r
    @user-wk3mz8ri8r 7 месяцев назад

    Nyie watangazaji ndo mnajifunza nn mbon unachanganya maneno hata huelewek

  • @nsolachalo
    @nsolachalo Год назад

    Saido anatakiwa awe na utulivu ili apunguze upotoeaji wa mipila

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Год назад

    Mtangazaji wa leo sijui anaitwa nani

  • @creativetzbrand
    @creativetzbrand Год назад

    Mbona nyie hamuwekagi sauti za uwanjani (Audience) Hii ya mtangazaji mwenyewe tuuu, hata haipendezi kabsaaa

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Год назад

    Robertinho mjinga buers yake kwa Moses phiri inamkosesha ushindi ntibazonkiza na chama hawatoi pass haraka bocco wa Nini sasa

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 Год назад +2

    Mwisho wenu umefika

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353 Год назад

    Mtangazaji yupo firee

  • @israelkisserei524
    @israelkisserei524 Год назад

    SIMBA MBOVU IMEWAFUNGA MABINGWA WATETEZI WA KOMBE LA LIGI ILIYO KUBWA KABISA KULIKO ZOTE AFRIKA... SAMAHANI NINAOMBA KUJUA TU HIVI WALE WALIOFUNGWA NA "JANGA FC" A.K.A "UTO UNITED" NI MABINGWA WATETEZI WA KOMBE GANI VILE?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Год назад

    Hata kutunza uwanja hatuwezi? Huyu meneja wa uwanja hajasikia kuna maturubai hutandazwa mvua ikinyesha ili uwanja usiingie maji na kuteleza? Hilo hatuwezi kununua? Wakati mwingine muwaajiri watu walioishi nje wakaona mambo yafanywavyo, kuliko kuajiri washamba wajinga wa nyumbani, wasiojua tofauti. Imefikia wakati Tanzania iwe na standards za kimataifa.