Ihefu 0-2 Simba | Highlights | NBC Premier League 10/04/2023
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Magoli mawili Jean Baleke ndani ya dakika mbili yameipa Simba ushindi wa 2-0 ugenini kwenye Dimba la Haghland Estate, Mbarali Mbeya dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa ligi kuu ya NBC.
Ni katika mechi iliyoonekana kuwa ngumu kwa ‘Mnyama’ lakini dakika ya 84 na 86 Beleke akamaliza mchezo.
Tazama highlights....
Kipa Ali Saleim ametoa mchango mkubwaa. Dondisha like apa 🎉🎉
Likeeeee kwa baleeeeekeeeee😅😅
SIO POAAA HAALAND MWEUSS😂😂😂😂
9i2e😂😂
Hatali sana
Kila mtu anamtaja baleke,ni kweli jamaa anajua ila pia kipa kafanya kazi nzuri Sana
Utafika mbali
Saaaana leo mm naona ndie alikuwa bora zaidi
Haswaa
Lips bora
Kibu Denis ni mpambanaji Sana amecheza vzr Sana mechi mbili tatu hizi za mwisho ana dribbling nzur na anakaba na kutoa pass
Jmn kwangu man of the match n ally salum🔥🔥🔥🔥
KWELI KWELI 🤣🤣🤣
Daaah kumbe All salumu anajua kudaka jaman
Ally Salim Ni 🔥🔥 Jean baleke Sasa uwiiiiii ngoja ninyamaze kwanza
Baraka mpenja 😂😂hajavunjika mgongo wana simbaaa nguvu moja ❤❤
Ahsante Mungu kazi ya leo imeisha salama. Simba team players we love you so much ❤❤❤
Pamoja na yote lakini golikipa wetu amefanya kazi nzuri zaidi
Saaaana nakubalina na wewe kwangu mm amekuwa man of the match
Uyu mbona mzur
@@theresiagideon2178 Kweli dogo anajua sana amefanya saves nyingi sana na za hatari.
Natamani apewe nafasi zaidi anaweza kuwa bora zaidi ya Air manula
❤❤❤❤ nakupenda simba
Oooh bila chama team inayumba 😂😂😂😂,,,no chama,no manula,no saidoo,no Putin,no shabalala,no baba ester 😂😂😂no problem 🎉🎉🎉balekeeeeeee jiniii❤❤❤
😂😂😂
Nakupata nakupata mkuu wa kambi😂😂
@@nelsonjonathan7660 😅😅😅😅🏌🏾♀️🏌🏾♀️🏌🏾♀️
Israel akicheza vizuri nafurahi sana
Hongereni sana wachezaji , hongera sana kipa umeokoa sana
Ally salimu anabalaa sana
This is Simbaaaaaaaaa. Baleke on 🔥
Like kwa Aggy Simba
Hilijaamaaa kiboko ya mayere😂😂😂👇🙏🙏🙏❤❤linajua paka linakera
Baleke ongeza Kasi na umakini mkubwa wew ni mwamba
Ihefu muwe na adabu kama mlipiga hao ni hao, sio Simba ni hatari sana 🦁🦁🦁
Nimemfunga shemeji kwa Dada Uto. 😀😀
My man of the match jamn mie ni uyo kipa salim anabalaaaaa manura akifanya masiala atapitwa kwa kas ya 6g
Unajicho ww kwel
Baleke kaishangaza Ihefu 🔥🔥❤️❤️🙏🙏
Hongera ally salim umeoonesha kiwango chako
Hongera Sana Simba yangu kipenz nikupendaye mno Kwa ushindi bhaleke asante sana Kwa ushindi huu mnee
Ally salim n moto wa baadae wa Atari mamae
Tena bila huyo chama ambaye Kudere juzi kasema kabisa Simba bila chama hakuna mpira. Namsubiria kesho nisikie kauli yake mpya juu ya Simba. Ujue mungu akikupa busara usijione wewe ndio umejipa au unayo chunga sana akili isivuke mipaka ya maono yako. Anaongeaga siku zote kwa mafumbo ila juzi kataja kabisa Simba bila chama hakuna team..mungu waa jabu sn kampa maono mgunda hajampanga chama na point 3 wamechukua kule ambapo Huwa hazipatikani.
Ali Salim mumemuona
Huyu Alli Salimu yupo vizuri hatari hasubiri mpira ukatize goli, yes keep it up
Tumemuona pongezi nyingi kwake anajua kwa kweli
We ume muona ana mshinda hata benod
Love you more Jean balekeeeeee❤️❤️❤️❤️💖
Wallah kipa amejitaid sana ameonyesha uwezo wake
Du😊
comment nlxubr ndo hii nmmkubl kip xn
Kabisaaa
Huyu balekeee sio poa mamae ni mtu na nisu😂😂🔥
Bigg up sana team languuuuu💓💖💥💪💪
This is Simbaaaa Baraka Mpenja team yeyote akitangaza mpira sauti na vionjo vyake vinatiahamasa kuangalia mpira muda mrefu sijamsikia
Umeongea ukwel mm nammic sana kwenye game za kimataifa kule daah wazo zile 7 horoya anapigwa ingekuwaje kwa mkapa
@@BigDreamsWorldwide umeona eee mimi huwa nafurahi sana nikimskia Baraka Mpenja akitangaza mpira yuko vizuri subiri asubuh niwasikie Ahmed Ally, Mzaramo,Pass milion, Luhamba comedy ,K na wana Simba
Mwambaaa💪💪💪💪💪 Jean Halaaand Baleke❤❤❤
asatesana jean baleke umetu okoa asana ❤❤❤❤❤
Balekeeeee🔥🔥🔥🔥❤
Baleke ni superdupaa striker👊👊👊
It..=
,❤
🦁🦁💓
Simba team yngu💪💪
Niliiiimiss sana hiii saut ya Mpenjah
Mambo
@@nasorojuma1882 poa
Ewaaaaa huyu baleke tymelamba dume wanalunyasi 🔥🔥💪💪💪💪💯💯💯golikipa apewe nafac huyu yuko vzr
Hao ndio maforad nawataka wenye njaa
Simba waoooo
Jmn ally salum apite kwenye ya yanga maaan katusaidia sanaaa jmn angekuwa aish apo tungefungwaa sanaaa ilaaa salum katubeba😭😭😭😭
Kweli kbsa
Simba ni namba moja daima one on trending.
Unaona hiyo kopi mgunda na mbrazili mambo yalivyokuwa yanaenda uzuri baleke ameshuka sana kiwango siku hizi
Kwaiz faulo za simba ange kuwa chama au ntibanzokiza wangekula nyingi sana😅😅😅
Balekeeeeee tayari bwana
Yani pia Kuna kusubili udunde lakini mh sio kwa baleke anaufuata na hausubili udunde
Huy Ali salim hat akienda PSG anakuw namb1 ila simb wanamikwala san
I love it
Big up kwa baleke
Mwamba knows no doubt 👏👏👏
Kipa wa simba kajituma mnooo
Najiuliza kwann hapewi nafasi kipa bora kama uyuuu
Kila mbora ana mbora wake
Ally Salim atakuja kuwa kipa hatari sana
Yaaan katubeba sanaa nafurah Kwa kilio 🤣🤣🤣🤣
Huyu balake huyu ni htr 🔥🔥🔥🥰🥰💪💪👊
Balehaaland from Congo to Tanzania kwa wana Lunyasi 😂😂
Makosa yapo mzee baba unadhani hat ihefu wangefungwa bila kuwepo na makosa lakini baleke huyu jini la bongo sahv Ni fire bao Saba now Kat ya msimu kaingia
Huyu onyango kwa mwarabu kama hatujapogwa 7 sijui!¡!😊😊
Weuweeweeeee ❤❤
Yaani baleke ni nomaaa sana
Baleke tupe raha♥️♥️♥️
Huyu ni jiniii balekeeee ❤❤🎉
Hii Simba hatarii sana
Wamemsajili mchezaji aje awe mfungaj bora Tanzania msimu wa kwanza amemaliza kwa goal 14 ambazo baleke kafunga kwa mach 14 😂😂
Kipa mbna mmemsahau maana kachomoa nyngi 😊
Kocha mbona hampangi phiri jamani daah
Wamepumzishwa mpak 16
ALIKUWA MAJERUHI
Ihef mlituamishia magoli kenge nyie😅😅
Mmmh baleke sio kwa mavichwa hayo na acrobatic hiyo duuuh alijaribu mayele nusu avunjike shingo kinda baleke 21 years😀😀😀
TUNAOMBA MAREFA WAKOME MASUALA YA KUMALIZA MPIRA WAKAT BALEKE HAJAKAMILISHA HAT TRICK YAKE AISEE 🙏 SUALA LA UHABA WA MIPIRA LINAZUNGUMZIKA ANAWEZA KUPEWA ATA MPIRA MMOJA KATIKA hat trick 3
😂🤣
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tuseme tu ukweli Baleke ni hatari zaidivya mayele ni Ronaldo mdogo
Picture ya mechi hii Azam tv jirekebisheni ya hovyo sana kwenye mechi hii
Wa nnunulie camera bhc.maana ni wazi shukrani huna kbsaa
@@franksmalls218 Azam hawana camera mbaya tatizo ni wapiga picha
Baleke apewe uraia wa Tanzania
Like Kwa mnyama Simba
Pamoja na kwamba wameshinda lakini makosa mengi sana kwa walinzi
Like wa aliy Salim kanidakia mipila
Wonderful goals.
baleke noma sana mayere asbr kabsa simba walikua wap kumleta mapema baleke
Sisi kama yanga tume kubali simba ndio babaetu
Ww unawashwa
Yanga bashawenu nyote makoro
@@jumakhalid5554 njooo nikune
Simba ya mpenja inatshaaa
baleke mtu kazi
Sio kwa raha hii🦁🦁🦁
Jean Claude van dame vieira besala bokungu Mo Baleke😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Balekeeeee... UTOPWENGA na WYDAD mjipangeeee....
Hata hawez kuonekana mtamtoa mmuingize boko
Mtani unaitani
Mwonekano hafifu sana huu
Bonge la Mechi..Mpira wa Tanzania umekua
❤❤balekeeeeeeeee
jamani tujikumbushe hii
Goal keeper ni motoooo
Yacouba anaujua
Hajavunjika mgongo😅😅😅😅😅😅
Baba ako mlevi alipotoka kilabuni ndo akavunjika mgongo...taarifa hizo tunazo
Baleke wew ni mwamba
nasoro kapama ni bonge la kiungo,awe anacheza mara kwa mara
ndio ndio
Baleke balaaaa
uyu kipa kaiva sahavi
Hawa polisi simba😊
Balekeeeee 💪🏿♥️♥️♥️🦁🦁🦁💪🏿
Mpenja buanaaa ety tayari buanaaa 😛😛😜😜! Ihefu wamelowaaaa
Wamejitahi kujificha kwenye masha ya mpunga wamejikwaaa hawa madogo hiyo dozi ndgo
Simba nguvu moja
Jini balekee🦁
Napenda sana Simba on behalf of my daughter Moreen