Ihefu 0-2 Simba | Highlights | NBC Premier League 10/04/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Magoli mawili Jean Baleke ndani ya dakika mbili yameipa Simba ushindi wa 2-0 ugenini kwenye Dimba la Haghland Estate, Mbarali Mbeya dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa ligi kuu ya NBC.
    Ni katika mechi iliyoonekana kuwa ngumu kwa ‘Mnyama’ lakini dakika ya 84 na 86 Beleke akamaliza mchezo.
    Tazama highlights....

Комментарии • 301

  • @chosenjonathan2919
    @chosenjonathan2919 Год назад +19

    Kipa Ali Saleim ametoa mchango mkubwaa. Dondisha like apa 🎉🎉

  • @Johnnie_k
    @Johnnie_k Год назад +88

    Likeeeee kwa baleeeeekeeeee😅😅

  • @richardmadoshi529
    @richardmadoshi529 Год назад +18

    Kila mtu anamtaja baleke,ni kweli jamaa anajua ila pia kipa kafanya kazi nzuri Sana

  • @protasmtechula9705
    @protasmtechula9705 Год назад +10

    Kibu Denis ni mpambanaji Sana amecheza vzr Sana mechi mbili tatu hizi za mwisho ana dribbling nzur na anakaba na kutoa pass

  • @midahdivver
    @midahdivver Год назад +6

    Jmn kwangu man of the match n ally salum🔥🔥🔥🔥

    • @f.a6043
      @f.a6043 Год назад

      KWELI KWELI 🤣🤣🤣

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 Год назад +8

    Daaah kumbe All salumu anajua kudaka jaman

  • @aloyceshaban1348
    @aloyceshaban1348 Год назад +4

    Ally Salim Ni 🔥🔥 Jean baleke Sasa uwiiiiii ngoja ninyamaze kwanza

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +10

    Baraka mpenja 😂😂hajavunjika mgongo wana simbaaa nguvu moja ❤❤

  • @RachelThomas-ox3jr
    @RachelThomas-ox3jr Год назад +3

    Ahsante Mungu kazi ya leo imeisha salama. Simba team players we love you so much ❤❤❤

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +11

    Pamoja na yote lakini golikipa wetu amefanya kazi nzuri zaidi

    • @theresiagideon2178
      @theresiagideon2178 Год назад +2

      Saaaana nakubalina na wewe kwangu mm amekuwa man of the match

    • @shanmlawa
      @shanmlawa Год назад +1

      Uyu mbona mzur

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Год назад +1

      @@theresiagideon2178 Kweli dogo anajua sana amefanya saves nyingi sana na za hatari.

    • @legendcharles841
      @legendcharles841 Год назад +2

      Natamani apewe nafasi zaidi anaweza kuwa bora zaidi ya Air manula

  • @AsanteJustine
    @AsanteJustine Год назад +6

    ❤❤❤❤ nakupenda simba

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 Год назад +13

    Oooh bila chama team inayumba 😂😂😂😂,,,no chama,no manula,no saidoo,no Putin,no shabalala,no baba ester 😂😂😂no problem 🎉🎉🎉balekeeeeeee jiniii❤❤❤

  • @athanaschipanha8366
    @athanaschipanha8366 Год назад +5

    Israel akicheza vizuri nafurahi sana

  • @teresiamgimba5498
    @teresiamgimba5498 Год назад +4

    Hongereni sana wachezaji , hongera sana kipa umeokoa sana

  • @officialYvaH3232
    @officialYvaH3232 Год назад +7

    Ally salimu anabalaa sana

  • @chosenjonathan2919
    @chosenjonathan2919 Год назад +3

    This is Simbaaaaaaaaa. Baleke on 🔥

  • @stevenhokororo9156
    @stevenhokororo9156 Год назад +6

    Like kwa Aggy Simba

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +5

    Hilijaamaaa kiboko ya mayere😂😂😂👇🙏🙏🙏❤❤linajua paka linakera

  • @fettyabuu2644
    @fettyabuu2644 Год назад +6

    Baleke ongeza Kasi na umakini mkubwa wew ni mwamba

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 Год назад +2

    Ihefu muwe na adabu kama mlipiga hao ni hao, sio Simba ni hatari sana 🦁🦁🦁

  • @SalmineJkinyuru-vf4bd
    @SalmineJkinyuru-vf4bd Год назад +4

    Nimemfunga shemeji kwa Dada Uto. 😀😀

  • @estherpatrick2304
    @estherpatrick2304 Год назад +5

    My man of the match jamn mie ni uyo kipa salim anabalaaaaa manura akifanya masiala atapitwa kwa kas ya 6g

  • @suzanakameta9973
    @suzanakameta9973 Год назад +2

    Baleke kaishangaza Ihefu 🔥🔥❤️❤️🙏🙏

  • @suhaylahjumanne6191
    @suhaylahjumanne6191 Год назад +4

    Hongera ally salim umeoonesha kiwango chako

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Год назад +1

    Hongera Sana Simba yangu kipenz nikupendaye mno Kwa ushindi bhaleke asante sana Kwa ushindi huu mnee

  • @officialfredoo3549
    @officialfredoo3549 Год назад +5

    Ally salim n moto wa baadae wa Atari mamae

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Год назад +8

    Tena bila huyo chama ambaye Kudere juzi kasema kabisa Simba bila chama hakuna mpira. Namsubiria kesho nisikie kauli yake mpya juu ya Simba. Ujue mungu akikupa busara usijione wewe ndio umejipa au unayo chunga sana akili isivuke mipaka ya maono yako. Anaongeaga siku zote kwa mafumbo ila juzi kataja kabisa Simba bila chama hakuna team..mungu waa jabu sn kampa maono mgunda hajampanga chama na point 3 wamechukua kule ambapo Huwa hazipatikani.

  • @mughdhalimapande8139
    @mughdhalimapande8139 Год назад +11

    Ali Salim mumemuona

    • @samweliafwilile2315
      @samweliafwilile2315 Год назад

      Huyu Alli Salimu yupo vizuri hatari hasubiri mpira ukatize goli, yes keep it up

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz Год назад

      Tumemuona pongezi nyingi kwake anajua kwa kweli

    • @selinafabiano3024
      @selinafabiano3024 Год назад

      We ume muona ana mshinda hata benod

  • @naahally936
    @naahally936 Год назад +2

    Love you more Jean balekeeeeee❤️❤️❤️❤️💖

  • @faustinaedward3242
    @faustinaedward3242 Год назад +8

    Wallah kipa amejitaid sana ameonyesha uwezo wake

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 Год назад +4

    Huyu balekeee sio poa mamae ni mtu na nisu😂😂🔥

  • @jacksonmollel9867
    @jacksonmollel9867 Год назад +2

    Bigg up sana team languuuuu💓💖💥💪💪

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي Год назад +3

    This is Simbaaaa Baraka Mpenja team yeyote akitangaza mpira sauti na vionjo vyake vinatiahamasa kuangalia mpira muda mrefu sijamsikia

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide Год назад

      Umeongea ukwel mm nammic sana kwenye game za kimataifa kule daah wazo zile 7 horoya anapigwa ingekuwaje kwa mkapa

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي Год назад +1

      @@BigDreamsWorldwide umeona eee mimi huwa nafurahi sana nikimskia Baraka Mpenja akitangaza mpira yuko vizuri subiri asubuh niwasikie Ahmed Ally, Mzaramo,Pass milion, Luhamba comedy ,K na wana Simba

  • @obadiakakende2250
    @obadiakakende2250 Год назад +1

    Mwambaaa💪💪💪💪💪 Jean Halaaand Baleke❤❤❤

  • @frasiscobasigie-xo2qs
    @frasiscobasigie-xo2qs Год назад +3

    asatesana jean baleke umetu okoa asana ❤❤❤❤❤

  • @FatnaHassan-ix4nh
    @FatnaHassan-ix4nh Год назад +2

    Balekeeeee🔥🔥🔥🔥❤

  • @kingkaboss9692
    @kingkaboss9692 Год назад +3

    Baleke ni superdupaa striker👊👊👊

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +4

    🦁🦁💓

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +3

    Simba team yngu💪💪

  • @Miss___phay
    @Miss___phay Год назад +3

    Niliiiimiss sana hiii saut ya Mpenjah

  • @faridamuniss6465
    @faridamuniss6465 Год назад +1

    Ewaaaaa huyu baleke tymelamba dume wanalunyasi 🔥🔥💪💪💪💪💯💯💯golikipa apewe nafac huyu yuko vzr

  • @elishayona5887
    @elishayona5887 Год назад +5

    Hao ndio maforad nawataka wenye njaa

  • @EmmanuelLeken-go4ib
    @EmmanuelLeken-go4ib Год назад +3

    Simba waoooo

  • @AishaKabungu-ib5mx
    @AishaKabungu-ib5mx Год назад +4

    Jmn ally salum apite kwenye ya yanga maaan katusaidia sanaaa jmn angekuwa aish apo tungefungwaa sanaaa ilaaa salum katubeba😭😭😭😭

  • @patrickherman1906
    @patrickherman1906 Год назад

    Simba ni namba moja daima one on trending.

    • @AngleRobert-wy5jw
      @AngleRobert-wy5jw 11 месяцев назад

      Unaona hiyo kopi mgunda na mbrazili mambo yalivyokuwa yanaenda uzuri baleke ameshuka sana kiwango siku hizi

  • @youngchuda1568
    @youngchuda1568 Год назад +4

    Kwaiz faulo za simba ange kuwa chama au ntibanzokiza wangekula nyingi sana😅😅😅

  • @hastatz
    @hastatz Год назад +3

    Balekeeeeee tayari bwana

  • @athanaschipanha8366
    @athanaschipanha8366 Год назад +3

    Yani pia Kuna kusubili udunde lakini mh sio kwa baleke anaufuata na hausubili udunde

  • @joe-bm7oy
    @joe-bm7oy Год назад +5

    Huy Ali salim hat akienda PSG anakuw namb1 ila simb wanamikwala san

  • @SandyaMudy-fn4ls
    @SandyaMudy-fn4ls Год назад +1

    I love it

  • @imaniulindula6440
    @imaniulindula6440 Год назад +1

    Big up kwa baleke

  • @hassanmorea5766
    @hassanmorea5766 Год назад +1

    Mwamba knows no doubt 👏👏👏

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 Год назад +7

    Kipa wa simba kajituma mnooo

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +4

    Ally Salim atakuja kuwa kipa hatari sana

    • @AishaKabungu-ib5mx
      @AishaKabungu-ib5mx Год назад +1

      Yaaan katubeba sanaa nafurah Kwa kilio 🤣🤣🤣🤣

  • @makkamakka9171
    @makkamakka9171 Год назад

    Huyu balake huyu ni htr 🔥🔥🔥🥰🥰💪💪👊

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 Год назад +4

    Balehaaland from Congo to Tanzania kwa wana Lunyasi 😂😂

  • @GabrielManyaji-zl2zh
    @GabrielManyaji-zl2zh Год назад +3

    Makosa yapo mzee baba unadhani hat ihefu wangefungwa bila kuwepo na makosa lakini baleke huyu jini la bongo sahv Ni fire bao Saba now Kat ya msimu kaingia

  • @MUKHANDI1
    @MUKHANDI1 Год назад +2

    Huyu onyango kwa mwarabu kama hatujapogwa 7 sijui!¡!😊😊

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Год назад +1

    Weuweeweeeee ❤❤

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Год назад +1

    Yaani baleke ni nomaaa sana

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 Год назад +1

    Baleke tupe raha♥️♥️♥️

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 Год назад +1

    Huyu ni jiniii balekeeee ❤❤🎉

  • @steve_tz
    @steve_tz Год назад +2

    Hii Simba hatarii sana

  • @jamilplatnumz
    @jamilplatnumz Год назад +3

    Wamemsajili mchezaji aje awe mfungaj bora Tanzania msimu wa kwanza amemaliza kwa goal 14 ambazo baleke kafunga kwa mach 14 😂😂

  • @mercycharles5151
    @mercycharles5151 Год назад +2

    Kipa mbna mmemsahau maana kachomoa nyngi 😊

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Год назад +6

    Kocha mbona hampangi phiri jamani daah

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Год назад +3

    Ihef mlituamishia magoli kenge nyie😅😅

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Год назад +2

    Mmmh baleke sio kwa mavichwa hayo na acrobatic hiyo duuuh alijaribu mayele nusu avunjike shingo kinda baleke 21 years😀😀😀

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 Год назад +6

    TUNAOMBA MAREFA WAKOME MASUALA YA KUMALIZA MPIRA WAKAT BALEKE HAJAKAMILISHA HAT TRICK YAKE AISEE 🙏 SUALA LA UHABA WA MIPIRA LINAZUNGUMZIKA ANAWEZA KUPEWA ATA MPIRA MMOJA KATIKA hat trick 3

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Год назад +4

    tuseme tu ukweli Baleke ni hatari zaidivya mayele ni Ronaldo mdogo

  • @harounali9057
    @harounali9057 Год назад +3

    Picture ya mechi hii Azam tv jirekebisheni ya hovyo sana kwenye mechi hii

    • @franksmalls218
      @franksmalls218 Год назад +2

      Wa nnunulie camera bhc.maana ni wazi shukrani huna kbsaa

    • @triplea3463
      @triplea3463 Год назад

      ​@@franksmalls218 Azam hawana camera mbaya tatizo ni wapiga picha

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Год назад +3

    Baleke apewe uraia wa Tanzania

  • @paulsamwel1144
    @paulsamwel1144 Год назад +2

    Like Kwa mnyama Simba

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад +2

    Pamoja na kwamba wameshinda lakini makosa mengi sana kwa walinzi

  • @najmakhamis373
    @najmakhamis373 Год назад +2

    Like wa aliy Salim kanidakia mipila

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад

    Wonderful goals.

  • @dharaksharkh6809
    @dharaksharkh6809 Год назад +2

    baleke noma sana mayere asbr kabsa simba walikua wap kumleta mapema baleke

  • @clemencelazaro7891
    @clemencelazaro7891 Год назад +7

    Sisi kama yanga tume kubali simba ndio babaetu

  • @hajidakalembo7138
    @hajidakalembo7138 Год назад +5

    Simba ya mpenja inatshaaa

  • @issakikwazi7337
    @issakikwazi7337 Год назад +2

    baleke mtu kazi

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 Год назад +1

    Sio kwa raha hii🦁🦁🦁

  • @bakarimasiki
    @bakarimasiki Год назад +2

    Jean Claude van dame vieira besala bokungu Mo Baleke😂😂😂

    • @f.a6043
      @f.a6043 Год назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Год назад +3

    Balekeeeee... UTOPWENGA na WYDAD mjipangeeee....

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Год назад +2

    Mwonekano hafifu sana huu

  • @lama6310
    @lama6310 Год назад +3

    Bonge la Mechi..Mpira wa Tanzania umekua

  • @NajaribuZamaradi
    @NajaribuZamaradi Год назад +1

    ❤❤balekeeeeeeeee

  • @LeonardMathias-ke6ki
    @LeonardMathias-ke6ki Год назад +3

    jamani tujikumbushe hii

  • @margrethvegula-wc7px
    @margrethvegula-wc7px Год назад +1

    Goal keeper ni motoooo

  • @lama6310
    @lama6310 Год назад +3

    Yacouba anaujua

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Год назад +4

    Hajavunjika mgongo😅😅😅😅😅😅

    • @Aaron-nu7dv
      @Aaron-nu7dv Год назад

      Baba ako mlevi alipotoka kilabuni ndo akavunjika mgongo...taarifa hizo tunazo

  • @fettyabuu2644
    @fettyabuu2644 Год назад +1

    Baleke wew ni mwamba

  • @dicksoncyprian8259
    @dicksoncyprian8259 Год назад +5

    nasoro kapama ni bonge la kiungo,awe anacheza mara kwa mara

    • @fj8317
      @fj8317 Год назад +1

      ndio ndio

  • @JaclinDaniel-zc5zz
    @JaclinDaniel-zc5zz Год назад +2

    Baleke balaaaa

  • @jonasibraysoni1859
    @jonasibraysoni1859 Год назад +4

    uyu kipa kaiva sahavi

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад +1

    Hawa polisi simba😊

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Год назад

    Balekeeeee 💪🏿♥️♥️♥️🦁🦁🦁💪🏿

  • @wilsonchalle562
    @wilsonchalle562 Год назад +1

    Mpenja buanaaa ety tayari buanaaa 😛😛😜😜! Ihefu wamelowaaaa

  • @abilikehano
    @abilikehano Год назад +2

    Wamejitahi kujificha kwenye masha ya mpunga wamejikwaaa hawa madogo hiyo dozi ndgo

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Год назад +1

    Simba nguvu moja

  • @RobbyMassawe-lv7js
    @RobbyMassawe-lv7js Год назад +2

    Jini balekee🦁