Комментарии •

  • @ktwentynine4985
    @ktwentynine4985 Год назад +13

    Chama moyo wa Simba 💥💥💥💥💥

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Год назад +12

    What a perfomance for Simba players, hii ndio tafsiri ya timu kubwa africa 👋👋 mwaka huu simba watanya makubwa amen

    • @luqman4030
      @luqman4030 Год назад

      Wakidroo tu mech moja mnawaita ma bomonda😂

    • @baumbachogero9410
      @baumbachogero9410 Год назад

      Kama wachezaji wetu wa SSC wangecheza as a team na kwa ushirikiano wa hali ya juu na kupunguza UMIMI NA UBINAFSI, at least magoili matano yangewahusu hawa SBS.

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +4

    Kwa sababu ya simba leo hii Ligi yetu ipo no. 5

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Год назад +7

    Chama simba hiii bongo batimbaya🔥🔥🔥🙏🙏🙏🤣🤣🤣👇

  • @teacherd
    @teacherd Год назад +6

    Toka lingi imaeanza hii nimechi yangu Bora ya msimu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +6

    Namna alivofunga Baleke inadhihirisha uwezo wake♥️

  • @alikokayange1089
    @alikokayange1089 Год назад +14

    Huu ndio mpila wa Simba,ninaoujua, hongera wachezaji,na benchi la ufundi na mashabiki kwa ujumla.

  • @mwaijalaizer1613
    @mwaijalaizer1613 Год назад +5

    Video namba 3 on trending😅🎉

  • @ridhwanrashid6473
    @ridhwanrashid6473 Год назад +12

    Ila tuache mzaha ,baraka mpenja anajua kutangaza jamani.

  • @ghasukajoseph6595
    @ghasukajoseph6595 Год назад +2

    Thank God 🙏 this is Simba

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 Год назад +2

    Huyu kocha wa simba yuko vizuri sana anajichanganya na wachezaji vizuri sana naamini hii timu itakua na deeper energy connection sana zaidi ya hii siku zijazo.. wakiendelea hivi.

  • @shabanmfangavo4973
    @shabanmfangavo4973 Год назад +58

    Azam mnafel sana kwenye baadhi ya mambo, maana ya highlights ninkuonyesha matukio yote muhimu yaliyotokea kweny game, lkn naona kuna matukio mengi tu mmeyaacha kama Open chance alokosa baleke, pamoja na goli lililofungwa likaambiwa offside, that's was very important events kwenye highlights ya dakika 20

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Год назад +8

    Baleke forward ⏩⏩⏩ ya kweri

  • @deleejn5128
    @deleejn5128 Год назад +2

    Kumbe wale sio wabrazili ni wambulu bhana...this is SIMBA🔥🔥🔥

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +3

    The MVP chama 🐐❤️

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +3

    Huyu chama itapita miaka mingi mnoo kumpata kwenye hii ligi

  • @annastaziaandrea9789
    @annastaziaandrea9789 Год назад +2

    Ee mungu wajaalie wachezaji wetu waweze kuwa na maelewano zaidi ktk kazi yao kimaongezi ,kiuchezaji,na zaidi upendo udumu ck zote

  • @edouardniyongabo9436
    @edouardniyongabo9436 Год назад +2

    Simba is simba coz there is a lion n39 Saido Ntibazonkiza 🇧🇮

  • @murisaliyahaya8584
    @murisaliyahaya8584 Год назад +7

    Alafu anatokea popoma mmoja anakwambia chama hajui mpira

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Год назад +4

    Team nilie tokea kuipenda kama mke wangu

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад +2

    Sakho ni fundi ❤❤❤❤❤

  • @azizamihungo9659
    @azizamihungo9659 Год назад +11

    Kiukweli
    Baleke apewe Rushyna

  • @thomasfrankie1739
    @thomasfrankie1739 Год назад +4

    Mashabiki wote wanaoshabikia manyokanyoka aka utopolo mkae kwa kutuliaa mwenye Mpira wake anakula

  • @peterchidakwa9436
    @peterchidakwa9436 Год назад +1

    Saido the best from Burundi

  • @petroerinest6962
    @petroerinest6962 Год назад

    What a goal for sakho!🙆‍♂️

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад +2

    Timu kubwa ni timu kubwa tu, Simba nguvu moja.

  • @iddmtimi7920
    @iddmtimi7920 Год назад

    Asante sana makocha wangu kwa kuwafundisha mpira mzur

  • @nasmahkhalfa1337
    @nasmahkhalfa1337 Год назад +2

    Ata haturingiii🦁🦁🦁🦁

  • @zabronmbalwa9225
    @zabronmbalwa9225 Год назад +3

    Bilian is back

  • @dryna9512
    @dryna9512 Год назад +3

    Azam ni mbwa hawa 2naonyesha support afu mnafanya kaz chin yaviwango au mnavisa na simba

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 Год назад +1

    Unyama unyamani 🦁🦁🦁🦁🦁✔️✔️

  • @idaiaseverino3769
    @idaiaseverino3769 Год назад +1

    Simba ni baba lao🦁

  • @bedabenson6576
    @bedabenson6576 Год назад +3

    Huu ndo mfumo ambao Simba iko comfortable

  • @joelmsella7975
    @joelmsella7975 Год назад +1

    This is simbaa,,japo beki bado haijakaaa sawa,makosa mengi wamefanya

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Год назад +3

    Kagere bado yuko simba

  • @teresiamgimba5498
    @teresiamgimba5498 Год назад +2

    Hii ndo simba tuliyoizoea hongereni simba ila mabao mengi tumeyakosa

  • @timadex1019
    @timadex1019 Год назад +1

    That volley goal is superb and it kills the game!

  • @massangamaulidi3383
    @massangamaulidi3383 Год назад +2

    Jamani tushakubaliana wana simba chama apewe rushyna mchana kweupeee, bila hatar mahali

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Год назад +2

    Wachezaji wa simba wanawaka waka kudadeeki kule utopolo sikuiz hata goli halingii wavuni bila fei toto

  • @midahdivver
    @midahdivver Год назад +3

    AZAM ACHENI ROHO ZA CHOYO ZILE PASS ZA MAUDHI MMEZITOA MNATAKA MKAJIKANDIE KWA MAUDHI SIMBA WALIYOWAPA TUONESHE KUANZIA DAKIKA YA 88 MPK YA 93 TUNASHIDA NAZO ACHENI ROHO MBAYA

  • @kingcole60
    @kingcole60 Год назад +1

    Wanalunyasi 🦁🦁🦁

  • @radhiakabyero3223
    @radhiakabyero3223 Год назад +1

    Singida wamechezeshwa kama watoto

  • @tumaintarra9960
    @tumaintarra9960 Год назад +3

    Hongeren watani

  • @ayoubsemundi6038
    @ayoubsemundi6038 Год назад +2

    Credit to commentator 1 #Baraka Mpenja na commentator 2 #Ayoub hinjo

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp 8 месяцев назад

    Baraka mpenja anajuw sana apew mauwa yak 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jacksonmenas6026
    @jacksonmenas6026 Год назад +4

    Azam mmechelewesha Sana hii kitu

  • @gaudencehaule7398
    @gaudencehaule7398 Год назад +2

    LEO AZAM MEDIA WAMETUKOSEA WANA SIMBA WOTE NCHI NZIMA🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️😖😖😖😖

  • @dweenyoyo2836
    @dweenyoyo2836 Год назад +5

    Bruno gommez ni hatari kubwa

  • @rahmahassan6534
    @rahmahassan6534 Год назад +3

    simba damu

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 Год назад

    Singida sijui kuna shida gani, wanaleta competition mwanzoni mwa mechi wanaonana fresh ila baadae wanalowa, imetokea kwa Yanga walivyoshinda nne na hata hii, we need competition ya hatari watu wengi wapende timu za kwao ligi izidi kupanda, namba tano naweza sema si kiwango chetu sisi ligi hii ni ya moto zaidi upande wa media hata utayari wa wachezaji wa kigeni kuitamani ligi hii VIVA TANZANIA

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 Год назад +2

    simba baba lao

  • @mosenrecords5562
    @mosenrecords5562 Год назад +1

    Trending hatariii

  • @sandravisram461
    @sandravisram461 Год назад +1

    Simba nguvu moja

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +3

    Hahaaa, kagere tumekushtukia...!

  • @maliatabuerenesti6681
    @maliatabuerenesti6681 Год назад +2

    Et azama anasherekea miaka 10 ya utandaji kazi hivi ndio nn imeonyesha vinini

  • @mwanajumaraso4637
    @mwanajumaraso4637 Год назад +1

    Alhmdhulillah

  • @slimmtani8236
    @slimmtani8236 Год назад

    🔥🔥🔥🔥Simba

  • @sadicksally8139
    @sadicksally8139 Год назад +2

    Azam angalieni ni wapi mnakwama

  • @honeem
    @honeem Год назад +2

    Hatutaki tena kusikia habari za Kibu hapa!Kikosi hiki kikilindwa kinaweza kufanya makubwa kuishangaza Afrika kwa misimu miwili ijayo..viongozi tafadhali tusiweke mbele tamaa ya pesa, mchezaji asiuzwe bila kupata mbadala yasijirudie ya msimu ule wa kuwauza miquison na chama kwa pupa

  • @jumamenge2
    @jumamenge2 Год назад

    Simba to the world

    • @fredysosiya345
      @fredysosiya345 Год назад

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @kiutamambi8514
    @kiutamambi8514 Год назад +1

    SIMBA mnatIsha

  • @abeidkarume1644
    @abeidkarume1644 10 месяцев назад +1

    Kikosi cha singida

  • @saidijuma1656
    @saidijuma1656 Год назад +2

    Azam mnazingua sana miaka 10 mmelekebisha nn! Leo mpila hatujaangalia mpila kwa laha

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 Год назад +2

    Chama

  • @rhodamboje7156
    @rhodamboje7156 Год назад +2

    Wa kwanza

  • @michaeltungu1600
    @michaeltungu1600 Год назад +1

    Hatareee

  • @StarDugs
    @StarDugs Год назад +1

    05:38 kagere nyieeee nyieee😁😁

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Год назад +1

    Waaaaaooooo

  • @nguombagalarang3jfashioncl524
    @nguombagalarang3jfashioncl524 Год назад +4

    Ira Chama 🤣🙏 Bac tu Murungu ankare pamozi na Imwe 🙏🙏🙏

  • @stephenking3602
    @stephenking3602 Год назад +3

    Mnafel pakubwa! Maana mtu kalipia alafu mitambo inakatika na hakuna fidia,,, na hakuna sanduku la maoni hamtaki kushauriwa,,, pesa mko makini lkn mitambo yenu hovyo lazima tuwaseme....

    • @evefesto7454
      @evefesto7454 Год назад +1

      Hiyo michezo Huwa mnaiga wapi mbona haeleweki kama vichaa vile, kama hamuwezi Bora muache

  • @janethmbaga3515
    @janethmbaga3515 Год назад +1

    Ila Manula unamanuliwa magol ya free Kiki sana

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +1

    🦁🦁

  • @mbwetetv
    @mbwetetv Год назад +2

    HII NDIO SIMBA SASAAAA SIO ILEEEE YA AWALI TUMERUDI TENA KAMA ZAANIIIIIII

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 Год назад +2

    Mbona mnayumba sana kwenye mitambo saiz huyo fundi wa mitambo anazingua

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 Год назад

    Dah Simba ispo cheza Raha hakunà nchin

  • @faridamuniss6465
    @faridamuniss6465 Год назад +1

    Uwiiiiiiii nakufa mie Kwa raha hizi

  • @salomelucas7218
    @salomelucas7218 Год назад

    Niceeeeeee

  • @faridamuniss6465
    @faridamuniss6465 Год назад +1

    Kagere kaona asiwafunge maboss zake au co

  • @peterchidakwa9436
    @peterchidakwa9436 Год назад +2

    Saido

  • @aminarashidi1621
    @aminarashidi1621 Год назад +1

    Jaman mbona Wawa Makonda sana

  • @katoivan8212
    @katoivan8212 Год назад

    Simba in Simba tu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад

    🦁🦁🦁

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 Год назад +2

    #aboi_4rm_makambako huyu manula mtakuja mua

  • @angelasenga5800
    @angelasenga5800 Год назад

    Duuuh trending 2

  • @ukweli255
    @ukweli255 Год назад +3

    Azam Media fanyeni usafi kwenye timu yenu ya Production

  • @aishermangombe
    @aishermangombe Год назад +1

    Sasa jmn magoli kamayale yasiluhusiwe mtauwa magolikiipa

  • @destianjackson4195
    @destianjackson4195 Год назад +1

    Leo vjaangalia boli kwa ubora wenu

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 Год назад +3

    Hawakawii kusema 2mebebwa hahaha

  • @AbuuLugule-tg6hr
    @AbuuLugule-tg6hr Год назад +1

    Mpenja katangaza Badogo miaka kama 16kama sikosei

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 Год назад

    Yan Singida hamna kitu kbs biti nyingi yan mmenpotezea time tuu sheeeh

  • @GodfreyMushy-nq9sv
    @GodfreyMushy-nq9sv 10 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @rashidimkongewa3927
    @rashidimkongewa3927 Год назад

    Yanga bingwa 2022-2023

  • @edsonjonas229
    @edsonjonas229 Год назад

    Goli la kwanza Kanoute alitambaa dah nimecheka sana

  • @ramoballawa5783
    @ramoballawa5783 Год назад +2

    huyo kagere cjui walimpanga kiwe nn!!
    huyo ndie kauza mechi

    • @shaabansungura3205
      @shaabansungura3205 Год назад

      Kazadi kafanya nn cha maana? Si bira hata kagere kasumbua

  • @fatimasoliman967
    @fatimasoliman967 Год назад

    Today alhil catch osman and numerous 4

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Год назад +2

    Huyu kipa hafaii mamae ,anapewa mshahara wa bure tu

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah2802 Год назад

    Forward line ya Simba moto sana. Beki nzuri ila inahitaji kuwa makini zaidi kwenye marking. Manula na magoli ya free kick

  • @stellakiyenze5980
    @stellakiyenze5980 Год назад +3

    Azam Tv jilekebisheni bhana sasa nini maana ya highlights Shame On yoU

    • @sharhabilabas9183
      @sharhabilabas9183 Год назад

      Singida big star wazur wangeweza kuwafunga simba shida tuu mkubwa ni mkubwa tu wachezaji baadhi wasingida wameuza mechi kama kagere kukataa kufunga

  • @amossbubu
    @amossbubu Год назад

    🙏🙏🙏

  • @focusmasunga1584
    @focusmasunga1584 Год назад +1

    Sawa mtangazaji