Kama wachezaji wetu wa SSC wangecheza as a team na kwa ushirikiano wa hali ya juu na kupunguza UMIMI NA UBINAFSI, at least magoili matano yangewahusu hawa SBS.
Huyu kocha wa simba yuko vizuri sana anajichanganya na wachezaji vizuri sana naamini hii timu itakua na deeper energy connection sana zaidi ya hii siku zijazo.. wakiendelea hivi.
Azam mnafel sana kwenye baadhi ya mambo, maana ya highlights ninkuonyesha matukio yote muhimu yaliyotokea kweny game, lkn naona kuna matukio mengi tu mmeyaacha kama Open chance alokosa baleke, pamoja na goli lililofungwa likaambiwa offside, that's was very important events kwenye highlights ya dakika 20
AZAM ACHENI ROHO ZA CHOYO ZILE PASS ZA MAUDHI MMEZITOA MNATAKA MKAJIKANDIE KWA MAUDHI SIMBA WALIYOWAPA TUONESHE KUANZIA DAKIKA YA 88 MPK YA 93 TUNASHIDA NAZO ACHENI ROHO MBAYA
Singida sijui kuna shida gani, wanaleta competition mwanzoni mwa mechi wanaonana fresh ila baadae wanalowa, imetokea kwa Yanga walivyoshinda nne na hata hii, we need competition ya hatari watu wengi wapende timu za kwao ligi izidi kupanda, namba tano naweza sema si kiwango chetu sisi ligi hii ni ya moto zaidi upande wa media hata utayari wa wachezaji wa kigeni kuitamani ligi hii VIVA TANZANIA
Hatutaki tena kusikia habari za Kibu hapa!Kikosi hiki kikilindwa kinaweza kufanya makubwa kuishangaza Afrika kwa misimu miwili ijayo..viongozi tafadhali tusiweke mbele tamaa ya pesa, mchezaji asiuzwe bila kupata mbadala yasijirudie ya msimu ule wa kuwauza miquison na chama kwa pupa
Mnafel pakubwa! Maana mtu kalipia alafu mitambo inakatika na hakuna fidia,,, na hakuna sanduku la maoni hamtaki kushauriwa,,, pesa mko makini lkn mitambo yenu hovyo lazima tuwaseme....
Chama moyo wa Simba 💥💥💥💥💥
What a perfomance for Simba players, hii ndio tafsiri ya timu kubwa africa 👋👋 mwaka huu simba watanya makubwa amen
Wakidroo tu mech moja mnawaita ma bomonda😂
Kama wachezaji wetu wa SSC wangecheza as a team na kwa ushirikiano wa hali ya juu na kupunguza UMIMI NA UBINAFSI, at least magoili matano yangewahusu hawa SBS.
Kwa sababu ya simba leo hii Ligi yetu ipo no. 5
Chama simba hiii bongo batimbaya🔥🔥🔥🙏🙏🙏🤣🤣🤣👇
Toka lingi imaeanza hii nimechi yangu Bora ya msimu🔥🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️💪💪
Namna alivofunga Baleke inadhihirisha uwezo wake♥️
kabsaaaaaaaaaa
Huu ndio mpila wa Simba,ninaoujua, hongera wachezaji,na benchi la ufundi na mashabiki kwa ujumla.
Wamefanya kazi nzur sana hakika
Video namba 3 on trending😅🎉
Ila tuache mzaha ,baraka mpenja anajua kutangaza jamani.
Thank God 🙏 this is Simba
Huyu kocha wa simba yuko vizuri sana anajichanganya na wachezaji vizuri sana naamini hii timu itakua na deeper energy connection sana zaidi ya hii siku zijazo.. wakiendelea hivi.
Azam mnafel sana kwenye baadhi ya mambo, maana ya highlights ninkuonyesha matukio yote muhimu yaliyotokea kweny game, lkn naona kuna matukio mengi tu mmeyaacha kama Open chance alokosa baleke, pamoja na goli lililofungwa likaambiwa offside, that's was very important events kwenye highlights ya dakika 20
Tengeneza tv yako mtandao wako halafu utoe hizo kasoro
Fact
Mbona ipo mzee sema mwishoni
We chizi kuna live na marudio
Yanawekwaga matukio ya muhimu sababu yakiwekwa yote ni dakika 90 saaa hio
Baleke forward ⏩⏩⏩ ya kweri
Kumbe wale sio wabrazili ni wambulu bhana...this is SIMBA🔥🔥🔥
The MVP chama 🐐❤️
Huyu chama itapita miaka mingi mnoo kumpata kwenye hii ligi
Ee mungu wajaalie wachezaji wetu waweze kuwa na maelewano zaidi ktk kazi yao kimaongezi ,kiuchezaji,na zaidi upendo udumu ck zote
Simba is simba coz there is a lion n39 Saido Ntibazonkiza 🇧🇮
Alafu anatokea popoma mmoja anakwambia chama hajui mpira
Team nilie tokea kuipenda kama mke wangu
Sakho ni fundi ❤❤❤❤❤
Kiukweli
Baleke apewe Rushyna
Nimejikuta nacheka tu
😆😆😆😆
Dah 😂🤣🤣🤣
Daaah 😂
Mashabiki wote wanaoshabikia manyokanyoka aka utopolo mkae kwa kutuliaa mwenye Mpira wake anakula
Saido the best from Burundi
What a goal for sakho!🙆♂️
Timu kubwa ni timu kubwa tu, Simba nguvu moja.
Asante sana makocha wangu kwa kuwafundisha mpira mzur
Ata haturingiii🦁🦁🦁🦁
Bilian is back
Azam ni mbwa hawa 2naonyesha support afu mnafanya kaz chin yaviwango au mnavisa na simba
Unyama unyamani 🦁🦁🦁🦁🦁✔️✔️
Simba ni baba lao🦁
Huu ndo mfumo ambao Simba iko comfortable
This is simbaa,,japo beki bado haijakaaa sawa,makosa mengi wamefanya
Kagere bado yuko simba
Hii ndo simba tuliyoizoea hongereni simba ila mabao mengi tumeyakosa
That volley goal is superb and it kills the game!
Jamani tushakubaliana wana simba chama apewe rushyna mchana kweupeee, bila hatar mahali
Wachezaji wa simba wanawaka waka kudadeeki kule utopolo sikuiz hata goli halingii wavuni bila fei toto
AZAM ACHENI ROHO ZA CHOYO ZILE PASS ZA MAUDHI MMEZITOA MNATAKA MKAJIKANDIE KWA MAUDHI SIMBA WALIYOWAPA TUONESHE KUANZIA DAKIKA YA 88 MPK YA 93 TUNASHIDA NAZO ACHENI ROHO MBAYA
Wanalunyasi 🦁🦁🦁
Singida wamechezeshwa kama watoto
Hongeren watani
Asante
Sante
Credit to commentator 1 #Baraka Mpenja na commentator 2 #Ayoub hinjo
Baraka mpenja anajuw sana apew mauwa yak 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Azam mmechelewesha Sana hii kitu
Imagine
LEO AZAM MEDIA WAMETUKOSEA WANA SIMBA WOTE NCHI NZIMA🙆🏼♀️🙆🏼♀️😖😖😖😖
Bruno gommez ni hatari kubwa
simba damu
Singida sijui kuna shida gani, wanaleta competition mwanzoni mwa mechi wanaonana fresh ila baadae wanalowa, imetokea kwa Yanga walivyoshinda nne na hata hii, we need competition ya hatari watu wengi wapende timu za kwao ligi izidi kupanda, namba tano naweza sema si kiwango chetu sisi ligi hii ni ya moto zaidi upande wa media hata utayari wa wachezaji wa kigeni kuitamani ligi hii VIVA TANZANIA
simba baba lao
Trending hatariii
Simba nguvu moja
Hahaaa, kagere tumekushtukia...!
Et azama anasherekea miaka 10 ya utandaji kazi hivi ndio nn imeonyesha vinini
Alhmdhulillah
🔥🔥🔥🔥Simba
Azam angalieni ni wapi mnakwama
Hatutaki tena kusikia habari za Kibu hapa!Kikosi hiki kikilindwa kinaweza kufanya makubwa kuishangaza Afrika kwa misimu miwili ijayo..viongozi tafadhali tusiweke mbele tamaa ya pesa, mchezaji asiuzwe bila kupata mbadala yasijirudie ya msimu ule wa kuwauza miquison na chama kwa pupa
Hatari sana
Simba to the world
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
SIMBA mnatIsha
Kikosi cha singida
Azam mnazingua sana miaka 10 mmelekebisha nn! Leo mpila hatujaangalia mpila kwa laha
Jifunze kiswahili fasaha
Chama
Wa kwanza
Hatareee
05:38 kagere nyieeee nyieee😁😁
Waaaaaooooo
Ira Chama 🤣🙏 Bac tu Murungu ankare pamozi na Imwe 🙏🙏🙏
Walimtemwa chama
Mnafel pakubwa! Maana mtu kalipia alafu mitambo inakatika na hakuna fidia,,, na hakuna sanduku la maoni hamtaki kushauriwa,,, pesa mko makini lkn mitambo yenu hovyo lazima tuwaseme....
Hiyo michezo Huwa mnaiga wapi mbona haeleweki kama vichaa vile, kama hamuwezi Bora muache
Ila Manula unamanuliwa magol ya free Kiki sana
🦁🦁
HII NDIO SIMBA SASAAAA SIO ILEEEE YA AWALI TUMERUDI TENA KAMA ZAANIIIIIII
Mbona mnayumba sana kwenye mitambo saiz huyo fundi wa mitambo anazingua
Waoooh
Dah Simba ispo cheza Raha hakunà nchin
Uwiiiiiiii nakufa mie Kwa raha hizi
Niceeeeeee
Kagere kaona asiwafunge maboss zake au co
Saido
Jaman mbona Wawa Makonda sana
Simba in Simba tu
🦁🦁🦁
#aboi_4rm_makambako huyu manula mtakuja mua
Duuuh trending 2
Azam Media fanyeni usafi kwenye timu yenu ya Production
Kwakeli watu wamechoka
Sasa jmn magoli kamayale yasiluhusiwe mtauwa magolikiipa
Leo vjaangalia boli kwa ubora wenu
Hawakawii kusema 2mebebwa hahaha
Mpenja katangaza Badogo miaka kama 16kama sikosei
Yan Singida hamna kitu kbs biti nyingi yan mmenpotezea time tuu sheeeh
❤❤❤
Yanga bingwa 2022-2023
Goli la kwanza Kanoute alitambaa dah nimecheka sana
huyo kagere cjui walimpanga kiwe nn!!
huyo ndie kauza mechi
Kazadi kafanya nn cha maana? Si bira hata kagere kasumbua
Today alhil catch osman and numerous 4
Huyu kipa hafaii mamae ,anapewa mshahara wa bure tu
Elizabeth ismile imeuma ee puliza iingie vizuri
Forward line ya Simba moto sana. Beki nzuri ila inahitaji kuwa makini zaidi kwenye marking. Manula na magoli ya free kick
Azam Tv jilekebisheni bhana sasa nini maana ya highlights Shame On yoU
Singida big star wazur wangeweza kuwafunga simba shida tuu mkubwa ni mkubwa tu wachezaji baadhi wasingida wameuza mechi kama kagere kukataa kufunga
🙏🙏🙏
Sawa mtangazaji