FULL MATCH HIGHILIGHTS : WYDAD 1-0 SIMBA SC (CAF CHAMPIONS LEAGUE 2023)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
    KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
    BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
    TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
    #Tv3Tanzania #GameOn
    #Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala

Комментарии • 47

  • @azirajiabdallah7177
    @azirajiabdallah7177 10 месяцев назад +3

    mm mwan nch lkn kusem ukwel hii mech inauma san n aipendez at kuilejea kuitizam mn dah inaumiz tim zetu mwaka huu zinapitia magum lkn atun washambuliaj t bc dah

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 10 месяцев назад +1

    Simba imebaki majina ya wachezaji tu lakin haina watu wanaojua mpira watu washazeeka %saidoo ,chama, manulla, boko, onana, mixson hamna kitu wote fukuza tafuta wachezaji wengine lakin kwa timu haifiki popote%

  • @SuleimanAli-ub9fd
    @SuleimanAli-ub9fd 10 месяцев назад +1

    Yanga na Simba yayo kwa yayo tofaut ni magoli ya kufungwa

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 10 месяцев назад

    Phiri naye ni wauongo sana! Tunaitqji wachezaji aina ya Pakome au Abdelrahma Mohamed omdrman wa Al Hilal

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 10 месяцев назад +1

    SimBa Ina wachezaji wazuri. Lkn nadhan ustar ndo unawaaribia

  • @danieldastan1776
    @danieldastan1776 10 месяцев назад

    Kocha afanye mabadiliko Saido na bareke waanze benchi

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 10 месяцев назад +4

    TUMEFURAHIII 😂

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer 10 месяцев назад +2

    👏👏👏👏🦁❤💪

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 10 месяцев назад

    Refa wa hovyo sana mpira ulikua faulo lakini aliruhusu goli sikitu ngoja waje tuwakamue hao uwanja ni wetu simba kwa sasa siyo wale.

  • @officialYvaH3232
    @officialYvaH3232 10 месяцев назад

    Kwann highlights zako za upande mmoja tuu

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 10 месяцев назад +1

    Wydad haitoki kwa Mkapa, ila Galaxy siyo rahisi.

    • @ManPelo-d3u
      @ManPelo-d3u 6 месяцев назад

      Embu rudia Tena!!!

  • @BennyMtwasi-tu4tt
    @BennyMtwasi-tu4tt 10 месяцев назад

    Shida wabongo Weng mpira amjui

  • @ValenceBwenge
    @ValenceBwenge 10 месяцев назад

    Oya wee dakika zilisha lefa analuusiwa kumalizia mchezo

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 10 месяцев назад

    Sikna

  • @BettyThobias
    @BettyThobias 10 месяцев назад +1

    Yaan hawa marefa sjui wanakuwa wamebeti jmn makee mmhh mpira dk zimesha lkn unaendeleea tuu

    • @kipupwefedede7130
      @kipupwefedede7130 10 месяцев назад

      Mpaka mseme

    • @lkbechi
      @lkbechi 10 месяцев назад

      نعم الحكم غير عادل كان عليه أن يضيف 7 دقاءق ..سيمبا لم يكبر بعد .الوداد. قادم

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 10 месяцев назад

    UKUTA WA YERIKO SI NDIO ULIOKULA 5G TOKA YANGA!!!HAHAHAHA!? YERIKOOOOOO!!

  • @MnyageJuma
    @MnyageJuma 10 месяцев назад

    Tatizo kwa simba ni uzee hivi saidoo bado mchezaji huoni vibweka

  • @abdulyiddy358
    @abdulyiddy358 10 месяцев назад

    Kwanini watangazaji wanacheka cheka back ground???? Kuna mtu kabisaa anacheka

  • @MnyageJuma
    @MnyageJuma 10 месяцев назад

    Kama simba yenyewe ya akina saidoo mtafungwa hadi muombe poo

  • @japharymohamed4193
    @japharymohamed4193 10 месяцев назад

    Naomba msimamo wa kundi B

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 10 месяцев назад

    Timu ya simba kipa wenu alokutoeni kwenye maahimo hamumchezeshi mnambagua sana yule jamaa lakini goli analiweza mnamchezesha huyu mzungu mavi na manulla jibwa hawana mpango wowote fake%

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 10 месяцев назад

    Huyu mtangazaji ni muhindi nini? 😅😅😅

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 10 месяцев назад +1

    Ndiouwezo wake uo

    • @rashidgogo5558
      @rashidgogo5558 9 месяцев назад

      Wew umefika hiyo lobo au ndio nyani haoni kundule

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 10 месяцев назад

    REFA NDY ANAYEUHARIBU MPIRA ATAONGEZEJE DK. WAKATI ZILIZOONGEZWA ZIMEISHA? REFA NDY NI TATIXO SANA. NA YANGA WALINYIMWA GOLI TATIZO REFA HV CAF HUWA MNAYAFUATILIA? MNATUUMIZA SANA

  • @HamisMrisho-f5b
    @HamisMrisho-f5b 10 месяцев назад

    Smba afar

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 10 месяцев назад

    huyu baleke mumrudishe kongo

  • @elishakishiwa599
    @elishakishiwa599 10 месяцев назад +5

    polen mwakarobo safari hii hata robo siion