FULL MATCH HIGHILIGHTS : WYDAD 1-0 SIMBA SC (CAF CHAMPIONS LEAGUE 2023)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala
mm mwan nch lkn kusem ukwel hii mech inauma san n aipendez at kuilejea kuitizam mn dah inaumiz tim zetu mwaka huu zinapitia magum lkn atun washambuliaj t bc dah
Simba imebaki majina ya wachezaji tu lakin haina watu wanaojua mpira watu washazeeka %saidoo ,chama, manulla, boko, onana, mixson hamna kitu wote fukuza tafuta wachezaji wengine lakin kwa timu haifiki popote%
Yanga na Simba yayo kwa yayo tofaut ni magoli ya kufungwa
Phiri naye ni wauongo sana! Tunaitqji wachezaji aina ya Pakome au Abdelrahma Mohamed omdrman wa Al Hilal
SimBa Ina wachezaji wazuri. Lkn nadhan ustar ndo unawaaribia
Kocha afanye mabadiliko Saido na bareke waanze benchi
TUMEFURAHIII 😂
😂😂😂 saaana yaani😂😂😂
@@FirdausyAbubakary-bl2wo 🤣🤣
👏👏👏👏🦁❤💪
Refa wa hovyo sana mpira ulikua faulo lakini aliruhusu goli sikitu ngoja waje tuwakamue hao uwanja ni wetu simba kwa sasa siyo wale.
Kwann highlights zako za upande mmoja tuu
Wydad haitoki kwa Mkapa, ila Galaxy siyo rahisi.
Embu rudia Tena!!!
Shida wabongo Weng mpira amjui
Asante, tunajazana uongo mno
Oya wee dakika zilisha lefa analuusiwa kumalizia mchezo
Sikna
Yaan hawa marefa sjui wanakuwa wamebeti jmn makee mmhh mpira dk zimesha lkn unaendeleea tuu
Mpaka mseme
نعم الحكم غير عادل كان عليه أن يضيف 7 دقاءق ..سيمبا لم يكبر بعد .الوداد. قادم
UKUTA WA YERIKO SI NDIO ULIOKULA 5G TOKA YANGA!!!HAHAHAHA!? YERIKOOOOOO!!
Tatizo kwa simba ni uzee hivi saidoo bado mchezaji huoni vibweka
Kwanini watangazaji wanacheka cheka back ground???? Kuna mtu kabisaa anacheka
Kama simba yenyewe ya akina saidoo mtafungwa hadi muombe poo
Naomba msimamo wa kundi B
Timu ya simba kipa wenu alokutoeni kwenye maahimo hamumchezeshi mnambagua sana yule jamaa lakini goli analiweza mnamchezesha huyu mzungu mavi na manulla jibwa hawana mpango wowote fake%
Huyu mtangazaji ni muhindi nini? 😅😅😅
Ndiouwezo wake uo
Wew umefika hiyo lobo au ndio nyani haoni kundule
REFA NDY ANAYEUHARIBU MPIRA ATAONGEZEJE DK. WAKATI ZILIZOONGEZWA ZIMEISHA? REFA NDY NI TATIXO SANA. NA YANGA WALINYIMWA GOLI TATIZO REFA HV CAF HUWA MNAYAFUATILIA? MNATUUMIZA SANA
Smba afar
huyu baleke mumrudishe kongo
polen mwakarobo safari hii hata robo siion
Sisi sio nyinyi mzee
Kafie mbele huko
Lazima usiione mana mwaka huu umeingia ww makundi timu yenye gundu
Brich unafikili utakua pakome pole
Kuku wew