Gwear ft juma nature & KR-msela audio

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • R.I.P cowboy 🙏🏻

Комментарии • 77

  • @josephmarigi6374
    @josephmarigi6374 4 месяца назад +15

    Kama
    Unacheza 2024 na Ngwea
    Gonga like
    Ngwea R.I.p👊

  • @hamisimkongo1543
    @hamisimkongo1543 5 месяцев назад +7

    Nature huwa mnamchukulia poa sana asee, Nature si chorus sio verse yuko sawa

  • @HemedyWaziri
    @HemedyWaziri Год назад +4

    Nasikia uchungu nnavoambiwa juma nature nimtu wa misele mambo yenyewe chamtoto changedele cheza ucheze kamapele asee akakitu kanatwanga anco dilizimekushinda sasa unawanga leonileo asemae kesho muongo, KR mula mziki mkubwa sidii miasaba njoo kichwakichwa kula zauso vaba🎤

  • @samstephano3771
    @samstephano3771 4 месяца назад +4

    2024 nipo hapa for ngwair

  • @festohaule1499
    @festohaule1499 3 года назад +14

    Ngwair kaicontrol beat..anaonesha kama angeweza kutembea nayo ad mwisho bila kukatisha

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 5 месяцев назад +2

      Wenyewe wakiwa studio wanakwambia jamaa alikua anaendelea majani kaikata

    • @allysaleh2220
      @allysaleh2220 5 месяцев назад +2

      Kumbuka pia kama hajaandika hayo yote unayoyasikia yametoka hapo hapo jamaa alikua na kipaji kikubwa mno

  • @hamzaNyasi-vw2de
    @hamzaNyasi-vw2de 14 часов назад

    Huyu ngwea noma

  • @greyloso9789
    @greyloso9789 2 года назад +38

    Nani amekuja humu baada ya interview ya KR Mulla??

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 2 года назад +6

    Nimekumbuka mwanangu leo rest in peace 🕊️ Ngwer

  • @barakakayeba5206
    @barakakayeba5206 4 года назад +6

    Wapi k.r Murla,uncle dili zimekushinda sasa unawanga

  • @DanielJoseph-nx6yp
    @DanielJoseph-nx6yp 16 дней назад

    Cow Obama king 👑 da Noma Mzee 😭😭😭🙏❤️🌲sir nature king. ..kr kamua Baba da mungu yupo wakubwa

  • @augustinhopastory1142
    @augustinhopastory1142 Год назад +2

    9/12/2023 still listening to the OGs

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 Год назад +4

    ila kweli Mangwair alipita na huu wimbo poa sana. August 2023 tupo pamoja

  • @erickmoses6395
    @erickmoses6395 2 года назад +7

    Cow weez alifreestyle hii ngoma, asee!! R.I.P bro

  • @biagiotchitecreati6416
    @biagiotchitecreati6416 3 месяца назад +2

    Classic Material, Still banging dis shit 2024 2025 2026

  • @mikidadimangula9136
    @mikidadimangula9136 Месяц назад

    "Mtafutae Hachoki, akichoka ujue kashapata. Japo Sometimes kile unachopata ni tofauti kabisa na kile hasa unachotaka ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika maana ukichagua sana haukawii kutoka kapa" Rest In Peace Ngwear that line was Hard

  • @goodluckdalali8063
    @goodluckdalali8063 3 года назад +5

    Asante sana kwa zawadi ya mziki mzuri ulioniachia R.I.P Gwea

  • @godfreymunishi4727
    @godfreymunishi4727 Год назад +1

    "Iyooh Nani mwingine wakufanya kama hii zaid ya mii tazama Niko P'..."Rest In Peace Albert

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 4 года назад +8

    Viva majani

  • @LahtinoNation-dt2ui
    @LahtinoNation-dt2ui Год назад +5

    Naumia napoambiwa juma nature mtu wa misele😂😂😂KR kavu sana 😂😂😂

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Год назад

      😂

    • @youngdula5409
      @youngdula5409 6 месяцев назад

      😂2024

    • @gracioussteven7953
      @gracioussteven7953 3 месяца назад

      Walishaomba mwanangu mechi ili watupige....Anhaaa unafikiriaga tu dezo???
      Kuna kitu hujaelewa katafute video ya KAMUA mcheki Jamaa yako alivyo kavu muda wote ndio utamuelewa vizuri 😅

  • @gwamakamlungu5679
    @gwamakamlungu5679 2 года назад +1

    Ngwea alitembea sana humu dah!

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 14 дней назад

    Jah Rastafari

  • @STANFORDLEAKY
    @STANFORDLEAKY 2 месяца назад

    fire🌋

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 4 месяца назад +1

    imagine hii ni freestyle yaani Ngwea hakuandika. Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana japo hawakupata pesa sana. wa siku hizi wanapata pesa akili na uwezo wa kuandika hawana hata kidogo.

    • @josephmarigi6374
      @josephmarigi6374 4 месяца назад +1

      True
      Umeongea point Sana ❤

    • @gracioussteven7953
      @gracioussteven7953 3 месяца назад +1

      Siku hizi kuna maboshoo tu hata kwenye soka watu wa zamani walikua shoka wachezaji wa sasa hivi hamna kitu

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 2 года назад +1

    Apumzike kwa Amani..

  • @FedrickDanielJob
    @FedrickDanielJob Год назад +1

    Old is more than gold

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 года назад +4

    We will miss you Ngwair

  • @paschalmichael665
    @paschalmichael665 2 года назад +1

    Mamaeeee hili ngomaa

  • @fredrickmatunda4312
    @fredrickmatunda4312 2 года назад +11

    Stiil banging 28/5/2022 Ngwair Day

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada Месяц назад +1

    R.i.p ngwair 01.01.2025😭😭😭😭😭😭

  • @justinpaul541
    @justinpaul541 Год назад

    Moja ya verse bora sana. RIP Mwamba

  • @alfonsimwalongo9164
    @alfonsimwalongo9164 Год назад +1

    Huyu ngwear kichwa chake mpaka sasa sielewi

    • @jilalamaligisa4854
      @jilalamaligisa4854 6 месяцев назад +1

      Hakuna anayeweza kumfikia na hatotokea kamwe, unaambiwa hapo ali-free style hadi Majani alikata verse zake, ukisikiliza vizuri utagundua alikatishwa kweli

  • @petercley6230
    @petercley6230 2 года назад +1

    Pfunk,Ngwear,Nature🤒🤒

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 8 дней назад +1

    2025 R.I.P COWBAMA

  • @AdolfAkyoo
    @AdolfAkyoo Месяц назад

    Ngoma ni kwere

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 2 года назад

    Noma sana

  • @FredrickKivuyo
    @FredrickKivuyo Год назад

    ngoma kali sana RIP Ngawair

  • @ignobatphimaga3520
    @ignobatphimaga3520 12 дней назад

    Here 2025

  • @leszekleszek8586
    @leszekleszek8586 2 года назад +3

    「こんなにいいとは思えない」、

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 6 месяцев назад +1

    Juma nature 🔥🔥2024

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 2 года назад

    Ngwair 😭😭😭

  • @patrickmgaza9927
    @patrickmgaza9927 Год назад

    Hakuna kama majani

  • @sezaryriziky940
    @sezaryriziky940 Год назад

    Dah Ngwair rip

  • @jamaliahmadi1383
    @jamaliahmadi1383 Год назад +1

    Cow boy RIP

  • @12322879
    @12322879 8 месяцев назад

    Ngoma pekee alofunikwa Ngwea

    • @hijaally8032
      @hijaally8032 6 месяцев назад

      Hapana

    • @nelmisana919
      @nelmisana919 3 месяца назад

      Kufunikwa au kafunika? Lkn nikwambie hii ngoma ngwea aliua mwanz mwisho

  • @Mo_Blaze
    @Mo_Blaze 3 года назад

    Mamae

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 4 месяца назад

    R.I.P albert mangwear hakika ulikuwa nguzo ya hip hop.

  • @shijaathanas1897
    @shijaathanas1897 2 года назад +1

    Ngoma hadi leo naisikia 2022

  • @patrickkessy3912
    @patrickkessy3912 2 года назад +1

    Naskia hii verse marehem alipiga freestyle humo

    • @jilalamaligisa4854
      @jilalamaligisa4854 6 месяцев назад

      Hakuna anayeweza kumfikia na hatotokea kamwe, unaambiwa hapo ali-free style hadi Majani alikata verse zake, ukisikiliza vizuri utagundua alikatishwa kweli

  • @malickmalick4805
    @malickmalick4805 4 года назад +2

    The music is alive

  • @daimonbaraka7624
    @daimonbaraka7624 Месяц назад +1

    Comment if you are listening to this 2025

  • @DuyPham-qs8qy
    @DuyPham-qs8qy 3 года назад +1

    You try to give the video more brightness it will be great if you do

  • @mohamedkhalifa6014
    @mohamedkhalifa6014 2 года назад

    Rip mkali wa hip-hop

  • @davidamukowa2428
    @davidamukowa2428 4 года назад +1

    R.i.p vulture😭😭😭

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 года назад +4

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @emmanuelmwangosi894
    @emmanuelmwangosi894 4 года назад +3

    rip

  • @chrisomondi4633
    @chrisomondi4633 4 года назад +1

    RIP Mangwear

  • @cosmaskamwela4921
    @cosmaskamwela4921 4 года назад +2

    Rest in peace

  • @mtasingwarugarinda8181
    @mtasingwarugarinda8181 8 месяцев назад +1

    9/6/2024. 🎧

  • @FaustiniKalyembe
    @FaustiniKalyembe 6 месяцев назад

    2024 july

  • @jamengaboy2324
    @jamengaboy2324 9 месяцев назад +1

    2030