"Mtafutae Hachoki, akichoka ujue kashapata. Japo Sometimes kile unachopata ni tofauti kabisa na kile hasa unachotaka ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika maana ukichagua sana haukawii kutoka kapa" Rest In Peace Ngwear that line was Hard
Walishaomba mwanangu mechi ili watupige....Anhaaa unafikiriaga tu dezo??? Kuna kitu hujaelewa katafute video ya KAMUA mcheki Jamaa yako alivyo kavu muda wote ndio utamuelewa vizuri 😅
imagine hii ni freestyle yaani Ngwea hakuandika. Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana japo hawakupata pesa sana. wa siku hizi wanapata pesa akili na uwezo wa kuandika hawana hata kidogo.
Kama
Unacheza 2024 na Ngwea
Gonga like
Ngwea R.I.p👊
Nature huwa mnamchukulia poa sana asee, Nature si chorus sio verse yuko sawa
Nasikia uchungu nnavoambiwa juma nature nimtu wa misele mambo yenyewe chamtoto changedele cheza ucheze kamapele asee akakitu kanatwanga anco dilizimekushinda sasa unawanga leonileo asemae kesho muongo, KR mula mziki mkubwa sidii miasaba njoo kichwakichwa kula zauso vaba🎤
2024 nipo hapa for ngwair
Ngwair kaicontrol beat..anaonesha kama angeweza kutembea nayo ad mwisho bila kukatisha
Wenyewe wakiwa studio wanakwambia jamaa alikua anaendelea majani kaikata
Kumbuka pia kama hajaandika hayo yote unayoyasikia yametoka hapo hapo jamaa alikua na kipaji kikubwa mno
Huyu ngwea noma
Nani amekuja humu baada ya interview ya KR Mulla??
Mimi hapa 😅
Mimi!👍
We jamaa umejuaje?😂
Nimekumbuka mwanangu leo rest in peace 🕊️ Ngwer
Wapi k.r Murla,uncle dili zimekushinda sasa unawanga
Cow Obama king 👑 da Noma Mzee 😭😭😭🙏❤️🌲sir nature king. ..kr kamua Baba da mungu yupo wakubwa
9/12/2023 still listening to the OGs
ila kweli Mangwair alipita na huu wimbo poa sana. August 2023 tupo pamoja
Cow weez alifreestyle hii ngoma, asee!! R.I.P bro
Noma sana
Classic Material, Still banging dis shit 2024 2025 2026
"Mtafutae Hachoki, akichoka ujue kashapata. Japo Sometimes kile unachopata ni tofauti kabisa na kile hasa unachotaka ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika maana ukichagua sana haukawii kutoka kapa" Rest In Peace Ngwear that line was Hard
Asante sana kwa zawadi ya mziki mzuri ulioniachia R.I.P Gwea
"Iyooh Nani mwingine wakufanya kama hii zaid ya mii tazama Niko P'..."Rest In Peace Albert
Viva majani
Naumia napoambiwa juma nature mtu wa misele😂😂😂KR kavu sana 😂😂😂
😂
😂2024
Walishaomba mwanangu mechi ili watupige....Anhaaa unafikiriaga tu dezo???
Kuna kitu hujaelewa katafute video ya KAMUA mcheki Jamaa yako alivyo kavu muda wote ndio utamuelewa vizuri 😅
Ngwea alitembea sana humu dah!
Jah Rastafari
fire🌋
imagine hii ni freestyle yaani Ngwea hakuandika. Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana japo hawakupata pesa sana. wa siku hizi wanapata pesa akili na uwezo wa kuandika hawana hata kidogo.
True
Umeongea point Sana ❤
Siku hizi kuna maboshoo tu hata kwenye soka watu wa zamani walikua shoka wachezaji wa sasa hivi hamna kitu
Apumzike kwa Amani..
Old is more than gold
We will miss you Ngwair
Mamaeeee hili ngomaa
Stiil banging 28/5/2022 Ngwair Day
Aaà
R.i.p ngwair 01.01.2025😭😭😭😭😭😭
Moja ya verse bora sana. RIP Mwamba
Huyu ngwear kichwa chake mpaka sasa sielewi
Hakuna anayeweza kumfikia na hatotokea kamwe, unaambiwa hapo ali-free style hadi Majani alikata verse zake, ukisikiliza vizuri utagundua alikatishwa kweli
Pfunk,Ngwear,Nature🤒🤒
2025 R.I.P COWBAMA
Ngoma ni kwere
Noma sana
ngoma kali sana RIP Ngawair
Here 2025
「こんなにいいとは思えない」、
Juma nature 🔥🔥2024
Ngwair 😭😭😭
Hakuna kama majani
Dah Ngwair rip
Cow boy RIP
Ngoma pekee alofunikwa Ngwea
Hapana
Kufunikwa au kafunika? Lkn nikwambie hii ngoma ngwea aliua mwanz mwisho
Mamae
R.I.P albert mangwear hakika ulikuwa nguzo ya hip hop.
Ngoma hadi leo naisikia 2022
Naskia hii verse marehem alipiga freestyle humo
Hakuna anayeweza kumfikia na hatotokea kamwe, unaambiwa hapo ali-free style hadi Majani alikata verse zake, ukisikiliza vizuri utagundua alikatishwa kweli
The music is alive
W
Comment if you are listening to this 2025
You try to give the video more brightness it will be great if you do
Rip mkali wa hip-hop
R.i.p vulture😭😭😭
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
rip
RIP Mangwear
Rest in peace
9/6/2024. 🎧
2024 july
2030