Mitaa ya kati (Bila Sanaa) - Immam Abbas Ft Juma Nature
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Immam Abbas at his best on this one
Disclaimer: No copyright infringement intended. lyrics & music belong to it's rightful owner. This video is for entertainment purposes only.
Beats za majani bwana sijui jamaa alikua anafkiria nini mpaka kuweza kugonga beats kali kama hizi big up kwako majani🔥🔥🔥🔥
Jamaa kwa mtoni angekuwa billionaire yani ila bongo system mbovu katika kila kitu
Fikiria kama asingekuwepo duniani kipindi hicho. Ingekuweje? Dah
makofi Kwa majani yaani anatikisa ulimwengu wa hip hop 🔥
kabla kajala hajazingua
Daa Imamm Abbas Upanga East Cost , TMK Juma Nature Kiroboto mapokopoko kitu pwani
Zama hizi ni ngumu mno kutokea ngoma kali ya hip hop kama hii.
Ninamiss sana ngoma kali za hivi mpaka naishia kusikiliza ngoma za zamani.
Juma kama Juma yaani namaanisha Juma Nature sauti hiyo Baba Daaah umepiga sana kazi mzeiya
Uniambie kitu kuhusu ili pini imam abas Ngoma kama akuna mtu anaweza fanya bongo imetulia katika kila kitu
NOma sana hii Ngoma iko kwenye top 5 zangu za muda wote za Rap Tanzania
Hawa watu wanajua 100 %
Ngwair ,best rapper of all time Tz
Wimbo umenikumbusha mbali mno
Bwana hii beat ni kisanga💯💯💯
Huyo ndio majani p funk kwenye balaa lake
Hiyo korasi sasa daaaaahhhhh
Moja kati chorus Kali za kiroboto
23 years ago but still living much respect to Immam Abbas 🔥🔥🔥👑🤝
Bila sanaa,ningekua mkabaj mitaayakati...
Umefia wapi Mzee, lud tumikumis imamu abasi banaa
Neno Mitaa ya kati hapo ndipo likakaa midomoni kwa vijana
"Oi wapi hiyo.....Mitaa ya kati hapo"
Respect
Production nzuuri kutoka Bongo Record chini ya P funk Majani
Penda sana nature,diamond kwangu hapana simuelewi kwakweli
When da music was at it's own home!! Salute
This kind of vibe give me strong way back memories, Sept 2023 it's still Rocking 🔥🔥🔥🔥
Bongo Hip Hop at it's very Best. Salute to Sir Nature and Majani. Too much contents on Verses Respect Imam Abbas
True dats, i salute Sir nature
Kiroboto goat no one comes close 🇰🇪
Hii ngoma ilitakiwa iwe na views hata 1bln moja ya ngoma inayoishi
Pure talent no kiki!
Incredible rapper ever happen in this HIP HOP music in our Country . Thank you Abbasi
Imam Abbas ulikuwa unatoaga Sana enzi ,ako
nikisikiliza nyimbo hi moyo wasuzika wale wezangu nami gonga 💪
huyu ndioo alikuwa juma nature chorus hapana.... hiki kipaji jmn! respect sir nature
Bonge la Ngoma kutoka bongo record ...Majani pfunk hakika uliutendea haki mziki wa bongo Flava.
Sir Juma Nature... respect brother
Ni uwandishi mkubwa Sana kwa wanaokuwa hip hop wataelewa
Big up
Bila sanaa will stay forever young again 2022
Ivi huumuziki utakuja kuludi kweli, miiningeomba hawa wasanii waanzishe ata kampeni ya kuutetea muzikiwao ili tusisikie nyimbo zahovyo
Ni ngumu sana hii vitu kurudi,wanaoelewa kuwa huu ndio ulikua muziki ni wachache sana kama vile mm na ww!
Sidhanii kama utarejea.... Huu mziki wa kiwango hiki
Sawa
Tisini kurudi nyuma ndio tuna kiu Sana na nyimbo hizi sio watoto wa elfu 2 awaelewi kitu ndio wenye miziki ya ovyo
Hautakuja kurudi na hakuna msanii atakaeweza kuja kufanya kama hivi.
Kila kitu kila humo
Juma nature... legend
Bila sanaa ningekua mkabaji mitaa ya kati
Bila sanaa ningekua mtaja mitaa ya kati
Mkali wa mitaa.... Abbas
Bonge moja ya beat+ngoma
Bonge ra beat bonge ra chorus bonge ra verse
Hiyo nyimbo haina chorus hiyo inaitwa hooks
Naam
2025 ❤❤
Kipindi ik nilikuwa naishi mabibo daaah nakumbuka mbali saana
Naikubali Sana hii truck inspection Sana kuusu life ya street dah asee nibonge la truck Nature hajawahi poteza kuusu vitikio mbambie tu atafanya na akifanya hakosei nawakubali Sana wanangu wanguvu
Unyamaa 💥💥💥💥
Nimekuja apa baada ya kumsikia jamaa kwenye interview ya Blue chin ya lilly ommy
Tupo wengi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Twamsikiza hadi Mombasa.
hip hop kama hip hop ♥️ 2024
Mitaa ya kati kama Imamu Abbas
Bendera ya bati
Imamu Abass
Kiongozi wa mitaa ya kati
Listen 🎧 till now 💪🏽🇹🇿
Nice 🤩
hatari sana,real hip hop aisee,kiblaaaaa
Emmam Abbas 🔥🔥🔥
Bila sanaa... 👍👍👍👍👍👍👍
Nasikia sauti kwa mbali kama ya Balozi hivi, dah 2022 kitu bado kina dunda ....
#Bila Sana!
Bongomotoni.
#Mitaayakati
HoT Rap!!!..
HoT Rapper!
Nimeletwa na Nyandu Tozzy
Namimi
Jamaa siku hz swala tano
Yuko wap?
Natafuta lyrics
Aisee respect hip-hop 💪💪💪
Legend
Majani alikua ananyonga beat za kuchana kina 50 cent daah noma sana kama drdre
hili goma si mchezo😂
Hili goma ni historical 2023
Taifa la leo la majambazi wa kesho
noma sana
Best tz hip hop song
kitambo hiko
Hata wewe ulikuwa mitaa ya kati?
Sasa hivi wana hiphop wana chambana😅😅😅😅
"ni kipofu ata ukivaa miwani"
Kama ww umeletwa Apo na nyandu tozy gonga dole tujuane
TIA moja
It was Fan Imam kama hayupo vile
Imamu abass
🔥🔥🔥🔥🔥
The hip hop! pls man tustue
2022 bado nasikiliza pini za zamani
Kitu moto @abbas imaam
Bila sanaa
🇹🇿❤️
Sana 2.
Classic Bongo Hiphop my era
Abasi.ludibwana.nimekumisi.r.ip.kakayangu.aliupendauwimbi
Hizi back vocals naskia kama sauti ya Baloz Dolla Soul.
2023 go with me for one like
Bendera ya bati
2024 🔥
Hii bit Ni hatari sana,kiitikio nature Amelia sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
2025
Lyrics please
Bongo Records
nice
old skulz✍️✍️
Shika madil pig misele