JAY MELODY ASIMULIA ALIVYOISHI KWA MGANGA MWEZI MZIMA ILI ASAFISHE NYOTA "NILIKUA NA WENZANGU" PT II

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 188

  • @NancyPendo-of6by
    @NancyPendo-of6by Год назад +54

    This Guy is so humble and Real...Alafu Maswali Yote Kajibu Vizuriii
    He seems not to Fake Anything.. Mungu Akutangulie Na Akufungulie Katika Mziki Wako!

  • @IrakozeDorcas-l8c
    @IrakozeDorcas-l8c 25 дней назад +2

    Jay napenda nyimbo zako

  • @rwandan2538
    @rwandan2538 Год назад +23

    I can see the pain when he says watakuwa vizuri kwasababu mi nipo 😭❤️ keep working hard to make them happy

    • @metrinenaliaka1711
      @metrinenaliaka1711 10 месяцев назад

      This man is really sweet the way he talks l really love him from the deepest part of my heart

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад +15

    Yani nimejikuta adi machozi yananitoka Yani ,,,nikwer maisha ya mtaani ni magumu Yani ukoo mzima ila mwenye uwezo ni mmoja tu,,

  • @saramwamita4295
    @saramwamita4295 10 месяцев назад +2

    Ulivompolee mwenyewee munguu aendelee kukupaa uzima na afyaa kizazi adi kizazii kikujue kama msanii mkubwaaa

  • @Priver_Jabir
    @Priver_Jabir Год назад +8

    Video bingwaaaa sanaaaaaaa anamaswali ya kuingizia mnoooo🙌🏼🙌🏼

  • @user-mc8rz4yp4r
    @user-mc8rz4yp4r 5 месяцев назад +1

    I see that your very honesty Jay Melody, your taking very open truths and straight, keep going to help others for advice,

  • @jozeecharles782
    @jozeecharles782 Год назад +6

    Amapiano yako kaka ni kali inabid wa fate title ya wimbo waache wivu kuna wasan wengi wanaimba Amapiano asilimia kubwa nyimbo zao hazielewek hii ni hit broh ❤

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Год назад +13

    Very nice interview. Jaymelody namkubali sana namfatilia tokea kaanza. Nimefarijika kumuona amefika mbali na nikatika wasanii wadogo wenye uwezo mkubwa, huwezi kumkiuka. Mungu azidi kumpa mafanikio makubwa zaidi 😊

  • @BoukheitAmanaBaj
    @BoukheitAmanaBaj 5 месяцев назад +1

    I love Jay's HONESTY

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад +9

    Mungu akubariki jay melody,,mana wewe ni umebutua kombolela kwenye family,mungu akujalie Kila la heri kwenye mziki wako

  • @mariammgonja9182
    @mariammgonja9182 Год назад +9

    Mwenyez Mungu akutangie bro 🙏, i love yo

  • @dianamchami2720
    @dianamchami2720 Год назад +6

    Jay ban😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️we love yuh so much brother en majibu yako hayaboi ..mtu anapata nguvu ,ushawsh wa kukusklz keep up bro❤️

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад +10

    Nlitamn jay melody awe na mahusiano na uyo dada maana anauliza unapenda chakula gan frida amanii

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Год назад +2

    Thanks jaymelody jana nilikuwa kwetu Nyachilo kong'o nilikuwa na shangazi yako Wahindi Leo nimekukubali

  • @hugomedia9962
    @hugomedia9962 Год назад +12

    Hii interview imetulia Sanaa na nimeipenda cjawahi kuwatch interview mwanzo mwisho ukitoa za Salam na. Nimeipenda utulivu wa mapresenter pia utulivu wa j. Interview flan kwel jamaa ni amekuwa ustarabu safi kbx nimeipenda bigup San amplifier

  • @noeldaudi2068
    @noeldaudi2068 Год назад +5

    jamaa ni very bright ni genius sanaaaaa

  • @mtemiagribusiness-rr2hl
    @mtemiagribusiness-rr2hl Год назад +2

    j melody umenifanya niwe na moment ya kumkumbuka mama wa kambo katika maisha alonilea yaliyofanya mimi kutafuta pesa kwa hisia sana

  • @efronaaron6772
    @efronaaron6772 Год назад +15

    🤣🤣🤣🤣🤣 Part ya Mganga,, eti ilifikia hatua mganga anakutuma dukani.....

  • @aminanuranassor660
    @aminanuranassor660 Год назад +6

    Nakubali San jey melod❤❤❤ nimekufata mwazo adi mwisho 😊😊

  • @masungadutta3823
    @masungadutta3823 Год назад +12

    Jamaa yuko social sana nimempenda sana hana majivuno

  • @SamirBSam
    @SamirBSam Год назад +7

    uyu dada nampenda sana tena sana@Frida

  • @bizzyrayamon7091
    @bizzyrayamon7091 Год назад +4

    You seem to be so humble,polite
    and hardworkman brother, Keep up

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +12

    Hapo kwa waganga wasanii munahangaika sana na muna siri kubwa sana munatoleshwa makafara tofauti tofauti mwisho munaangukia freemason ni mtihani mkubwa

  • @suleymanmakiwa1651
    @suleymanmakiwa1651 Год назад +8

    Sema hii interview ipo vizuri

  • @musajuma5364
    @musajuma5364 Год назад +5

    Vido yuko makin sna i like that

  • @Mr4Real
    @Mr4Real Год назад +7

    Jay once again

  • @iambaizo
    @iambaizo Год назад +3

    Wanaume tupewe maua yetu
    Ingekua baba jay ndo kamuachia mama jay amlee peke yakeingekua drama kwamba jay kalelewa na single mama brah brah ila kwakua ni baba hakijatokea kitu

  • @abbyvanny
    @abbyvanny Год назад +13

    Tunapitia wakat mgumu sana na saingine tunamkufuru mungu lakin the best moment ni pale unapotambua kua hauko njia sahihi unaamua kurudi kwa mungu na anakusaidia big up jay melody ur story is an inspiration nice interview

    • @izzoboy
      @izzoboy Год назад +2

      Mwana anajua sana

    • @humphreymeela9817
      @humphreymeela9817 Год назад

      Baba yako hajasoma
      Mzungu alitokea wap nababa yako

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад +7

    Me shabiki namba moja wa Jay Melody

  • @dorcasnasimiyu9002
    @dorcasnasimiyu9002 Год назад +15

    This guy is still innocent 😅

  • @DOTHYARTIST
    @DOTHYARTIST Год назад +3

    Good story with memories J.M

  • @KhadijaKhadijadunia-ed5nv
    @KhadijaKhadijadunia-ed5nv Год назад +3

    Nimependa sana ujibuji wako wa maswali ukweli umenyooka safi sana

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад +1

    Mwenyezi Mungu akulinde kijana,unajua unachofanya

  • @sureiamboo
    @sureiamboo Год назад +6

    I love him 😍

  • @bokabecca5473
    @bokabecca5473 Год назад +3

    Uhalisia utamfikisha mbali sana mungu amsaidie asibadilike.

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад +8

    Interview nzur sana nmeipenda

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Год назад +6

    Duh mdogo wangu umepitia maisha magumu sana sema mungu yupo nawewe ,jitahidi sana uwekeze kwenye mdaa wako ufanye biashara mbali mbali hata ukija kuchuja kimziki ubaki na kitu cha kukusaidia na familia yako ,alafu mwana mpole sana nakukubali mdogo wangu mungu akupe maisha marefu na maendeleo kati ka safari yako ya mziki .

  • @margarethenry693
    @margarethenry693 Год назад +9

    Jay is so handsome say halo to him

  • @habibumbawala1173
    @habibumbawala1173 Год назад +6

    Nakukubali sana mwamba💪

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW Год назад +5

    store nzuri

  • @RigeuneMalik-vb9fy
    @RigeuneMalik-vb9fy Год назад +1

    Jay mélodie nimustarabu huyu Kaka anaongea vizuri napenda watu kama jay

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Год назад +6

    Mganga alikuzoea mpka akawa anakutuma mpka dukani😋😋😋

  • @Apparelstudio271
    @Apparelstudio271 Год назад +3

    🐐 communication skill

  • @sabuyangealphonse3737
    @sabuyangealphonse3737 Год назад +4

    Vidox ur so genius bro

  • @giftj4606
    @giftj4606 9 месяцев назад +1

    Waooooo waukaee🥰🥰Moro moja

  • @nathan6751
    @nathan6751 Год назад +4

    Sana bro na kukubari kinoma sio kama Marioo mjinga anaongea ujinga tu

  • @wellwell1663
    @wellwell1663 11 месяцев назад +1

    Vary proud of you Jay👏👏👏🙏

  • @KatoiTabu-bc5ny
    @KatoiTabu-bc5ny Год назад +1

    Natamani munguanfikishe hapa ata zaidi na mimi

  • @bahatihanna7782
    @bahatihanna7782 4 месяца назад

    Mwenyezi Mungu akuwezeshe jay

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад +6

    Daah mganga alkuzoea had anakutuma dukan daah

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi9514 Год назад +6

    🇹🇿 hatuulizani makabila ila alisema ni mluguru

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Год назад +9

    Mmh jamani ndo mmemuekea kiduku cha nyumba😮😅😅😅😂😅😂

    • @ELLYTECH
      @ELLYTECH Год назад +1

      mwenyew nmechoka😂

  • @SefuMaine-of6qe
    @SefuMaine-of6qe Год назад +1

    Oya wee😂😂😂nakubali sana

  • @dianamchami2720
    @dianamchami2720 Год назад +4

    Komweeeeeee refuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @christinachande2260
    @christinachande2260 Год назад +2

    Kumbe we ni wakwetu

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 Год назад +7

    Sio kusoma ndie kua Ana akili ❤❤❤❤🎉🎉

    • @moneythemes
      @moneythemes Год назад +3

      Maarifa na matumizi ya maarifa.Kwa dunia ya sasa soma, hata kama hauendi shule soma vitabu, sikiliza vitu vya kukujenga fanyia kazi.

  • @user-mf1dm4xf2i
    @user-mf1dm4xf2i Год назад +2

    Tsha San mwanangu Jay melody wa tandale

  • @user-vc1pq4di1o
    @user-vc1pq4di1o Год назад

    Nam Kubali sana duuuuh mungu akulinde

  • @metrinenaliaka1711
    @metrinenaliaka1711 10 месяцев назад

    I love you because you are humble

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Год назад +1

    Dah nimejifunza kitu kutoka kwa jey

  • @habibafeithal4014
    @habibafeithal4014 Год назад +5

    Ulitoka goroka cjui najiweka lakini ukutoboa kama ulivyotoboa leo hiii''
    Ngoja mganga asikie akushe hizo nyota zenyewe uone kama utatamba

  • @adohmusic870
    @adohmusic870 5 месяцев назад

    Jay melody wasage

  • @IrakozeDorcas-l8c
    @IrakozeDorcas-l8c 25 дней назад

    Wewe Bana ninoma ukomuzuri kwenye music

  • @princecharmingtz8130
    @princecharmingtz8130 Год назад +4

    Very humble

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад +6

    Ndio unaona sasa hv mambo yapo yanaenda ujui kama hao jamaa ndio wanakupa nguvu

  • @neymarjunior8404
    @neymarjunior8404 Год назад +1

    Bro nakubali sana kaka atamimi nihivo bro

  • @giftrevocatus8040
    @giftrevocatus8040 Год назад +6

    Watangazaji wengine igeni hii ulizaji wa maswali ni wa mpangilio

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba Год назад

      ruclips.net/video/SW_W1SBWt3M/видео.html

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад +4

    Hivi ni kweli kuna mambo ya nyota

  • @reenlee1926
    @reenlee1926 Год назад +5

    Sitochoka broo kusema napenda interview zako...nataman sana unifanyie interview hata kama sio famous daah

  • @user-mv5zl4xm3m
    @user-mv5zl4xm3m Год назад

    Uko vizuri sana

  • @user-tp9oe7yt3e
    @user-tp9oe7yt3e 10 месяцев назад

    Jay for live....

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Год назад +5

    Wasanii bongo wengi wao ni wachawi tu,hawa ukikaa nao karibu wana kuibia nyota

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      Ni kweli na wanajuana na wanaogopana mikono hawapeani kwa kutoaminiana

    • @geeva99
      @geeva99 Год назад +1

      Sio bongo tu, ni dunia nzima, mziki unamtego mkubwa sana wa kiroho

  • @giftanney
    @giftanney 9 месяцев назад

    Jay mellord nakuombea kwaMungu mafanikio mema and just believe in God na kamwe usije uka mwamini binadamu mwenzako

  • @BabyMapenz
    @BabyMapenz Год назад +3

    Me Nina kusubili home😊

  • @relaxstarman
    @relaxstarman Год назад +1

    Warugulu wanajua sana kuimba jamani basi tuuy mana Dimo anaimba mpaka anaboa

  • @Ndecha255
    @Ndecha255 Год назад +2

    Afu mbona goma la acha wivu kali tu , waache unafki 🥲

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice Год назад +9

    This guy deserve it ...ni mtu nimegrow nikimuona through the journey hajagiveup

    • @MDNUZRULISLAM-vd7ew
      @MDNUZRULISLAM-vd7ew 9 месяцев назад

      Pole Sana Kwa matatizo ndugu yangu mungu akupe maisha marefu na Mazur pia usiache kumuomba mungu kila wakat nakupenda Sana jay good morning have a nice day my dear mmmwaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @MDNUZRULISLAM-vd7ew
      @MDNUZRULISLAM-vd7ew 9 месяцев назад

      Tafuta mwanamke mwenye Iman awe mwislam mpendane daima nikutakie kila la kher katika Safar yako ya mafanikio Amini mungu typo pamoja nawe daima I love you so much jay God bless you abadan mashaallah alhamndullillah❤❤❤❤❤❤

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 Год назад

    Maturity.
    Utoto kando hapa.

  • @OmariHamisi-ty2wr
    @OmariHamisi-ty2wr Год назад

    Big upp kaka Hauna baya

  • @wendijackson5629
    @wendijackson5629 Год назад +2

    💥

  • @bakariomary5781
    @bakariomary5781 Год назад +1

    15:42

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +3

    Kumbe wa nyumbani morogoro oyee. Waruguru oyeee hya

  • @mr.g7360
    @mr.g7360 Год назад +1

    Yy ni mnoma c uongo🎉

  • @chibumnyama1558
    @chibumnyama1558 Год назад +1

    Mnajifnya hamjui uchawi kumbe una loga alaf una tubu nn ss unafnya mziki unazngua mchz kama anakusikia huyo mganga anakuchukulia miyayusho

  • @fridahaly9749
    @fridahaly9749 Год назад +9

    I told you this Tanzanian love's uchawi 😂😂😂

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Год назад +5

    Ayo tv tunamuomba maliyo aje ayo tv😂

  • @squevo
    @squevo Год назад +1

    KALIBU KUSIKILIZA NYIMBO YANGU MPYA

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Год назад +7

    Watu tunatoka mbari wallah arafu unaona mijitu inakwambia unajiskia sana unaringa wakati urikua namaisha magumu warikua hawa kusaidi

  • @alexiddtv
    @alexiddtv Год назад +8

    Haya Mambo yanaharibu Sana tasnia😎

  • @jennyslvanos4063
    @jennyslvanos4063 Год назад +7

    Huyu jamaa ni mkweli

  • @oyay2821
    @oyay2821 Год назад +2

    Waruguru wachawi kama Babu Tale

  • @user-mn1qj4mk8y
    @user-mn1qj4mk8y 10 месяцев назад

    Hyo movie naipat hta me ilinigusa htr

  • @raymondkimbe4210
    @raymondkimbe4210 10 месяцев назад

    Kumbe mluguru mwenzangu kuanzia Leo Ngoma zako nitazielewa

  • @stahncalifornia214
    @stahncalifornia214 Год назад +3

    Acha wivu ngoma kali saana

  • @user-vd9xt4vo4n
    @user-vd9xt4vo4n 10 месяцев назад

    Mwambieni nampenda

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +3

    😂😂😂😂😂😂chezea nyota..komaa 😂😂😂kaa miezi6 kabisa

  • @misosikonki
    @misosikonki Год назад +5

    Jamaa anajitahidi sana 👏

  • @all-victorious2156
    @all-victorious2156 Год назад +5

    We jamaa kwani huo mdomo hauwezi kuuweka kawaida mpaka uupinde?

  • @salvashaban9194
    @salvashaban9194 Год назад +5

    From 🇺🇲🇺🇲

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Nobody ask you 😂😂😂