This Guy is so humble and Real...Alafu Maswali Yote Kajibu Vizuriii He seems not to Fake Anything.. Mungu Akutangulie Na Akufungulie Katika Mziki Wako!
Amapiano yako kaka ni kali inabid wa fate title ya wimbo waache wivu kuna wasan wengi wanaimba Amapiano asilimia kubwa nyimbo zao hazielewek hii ni hit broh ❤
Very nice interview. Jaymelody namkubali sana namfatilia tokea kaanza. Nimefarijika kumuona amefika mbali na nikatika wasanii wadogo wenye uwezo mkubwa, huwezi kumkiuka. Mungu azidi kumpa mafanikio makubwa zaidi 😊
Hii interview imetulia Sanaa na nimeipenda cjawahi kuwatch interview mwanzo mwisho ukitoa za Salam na. Nimeipenda utulivu wa mapresenter pia utulivu wa j. Interview flan kwel jamaa ni amekuwa ustarabu safi kbx nimeipenda bigup San amplifier
Hapo kwa waganga wasanii munahangaika sana na muna siri kubwa sana munatoleshwa makafara tofauti tofauti mwisho munaangukia freemason ni mtihani mkubwa
Wanaume tupewe maua yetu Ingekua baba jay ndo kamuachia mama jay amlee peke yakeingekua drama kwamba jay kalelewa na single mama brah brah ila kwakua ni baba hakijatokea kitu
Tunapitia wakat mgumu sana na saingine tunamkufuru mungu lakin the best moment ni pale unapotambua kua hauko njia sahihi unaamua kurudi kwa mungu na anakusaidia big up jay melody ur story is an inspiration nice interview
Duh mdogo wangu umepitia maisha magumu sana sema mungu yupo nawewe ,jitahidi sana uwekeze kwenye mdaa wako ufanye biashara mbali mbali hata ukija kuchuja kimziki ubaki na kitu cha kukusaidia na familia yako ,alafu mwana mpole sana nakukubali mdogo wangu mungu akupe maisha marefu na maendeleo kati ka safari yako ya mziki .
Pole Sana Kwa matatizo ndugu yangu mungu akupe maisha marefu na Mazur pia usiache kumuomba mungu kila wakat nakupenda Sana jay good morning have a nice day my dear mmmwaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tafuta mwanamke mwenye Iman awe mwislam mpendane daima nikutakie kila la kher katika Safar yako ya mafanikio Amini mungu typo pamoja nawe daima I love you so much jay God bless you abadan mashaallah alhamndullillah❤❤❤❤❤❤
This Guy is so humble and Real...Alafu Maswali Yote Kajibu Vizuriii
He seems not to Fake Anything.. Mungu Akutangulie Na Akufungulie Katika Mziki Wako!
Jay napenda nyimbo zako
I can see the pain when he says watakuwa vizuri kwasababu mi nipo 😭❤️ keep working hard to make them happy
This man is really sweet the way he talks l really love him from the deepest part of my heart
Yani nimejikuta adi machozi yananitoka Yani ,,,nikwer maisha ya mtaani ni magumu Yani ukoo mzima ila mwenye uwezo ni mmoja tu,,
Ulivompolee mwenyewee munguu aendelee kukupaa uzima na afyaa kizazi adi kizazii kikujue kama msanii mkubwaaa
Video bingwaaaa sanaaaaaaa anamaswali ya kuingizia mnoooo🙌🏼🙌🏼
I see that your very honesty Jay Melody, your taking very open truths and straight, keep going to help others for advice,
Amapiano yako kaka ni kali inabid wa fate title ya wimbo waache wivu kuna wasan wengi wanaimba Amapiano asilimia kubwa nyimbo zao hazielewek hii ni hit broh ❤
Very nice interview. Jaymelody namkubali sana namfatilia tokea kaanza. Nimefarijika kumuona amefika mbali na nikatika wasanii wadogo wenye uwezo mkubwa, huwezi kumkiuka. Mungu azidi kumpa mafanikio makubwa zaidi 😊
mungu wa bongo fleva
I love Jay's HONESTY
Mungu akubariki jay melody,,mana wewe ni umebutua kombolela kwenye family,mungu akujalie Kila la heri kwenye mziki wako
Mwenyez Mungu akutangie bro 🙏, i love yo
Jay ban😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️we love yuh so much brother en majibu yako hayaboi ..mtu anapata nguvu ,ushawsh wa kukusklz keep up bro❤️
Nlitamn jay melody awe na mahusiano na uyo dada maana anauliza unapenda chakula gan frida amanii
Thanks jaymelody jana nilikuwa kwetu Nyachilo kong'o nilikuwa na shangazi yako Wahindi Leo nimekukubali
Hii interview imetulia Sanaa na nimeipenda cjawahi kuwatch interview mwanzo mwisho ukitoa za Salam na. Nimeipenda utulivu wa mapresenter pia utulivu wa j. Interview flan kwel jamaa ni amekuwa ustarabu safi kbx nimeipenda bigup San amplifier
jamaa ni very bright ni genius sanaaaaa
j melody umenifanya niwe na moment ya kumkumbuka mama wa kambo katika maisha alonilea yaliyofanya mimi kutafuta pesa kwa hisia sana
🤣🤣🤣🤣🤣 Part ya Mganga,, eti ilifikia hatua mganga anakutuma dukani.....
Nakubali San jey melod❤❤❤ nimekufata mwazo adi mwisho 😊😊
Jamaa yuko social sana nimempenda sana hana majivuno
uyu dada nampenda sana tena sana@Frida
You seem to be so humble,polite
and hardworkman brother, Keep up
Hapo kwa waganga wasanii munahangaika sana na muna siri kubwa sana munatoleshwa makafara tofauti tofauti mwisho munaangukia freemason ni mtihani mkubwa
Sema hii interview ipo vizuri
Vido yuko makin sna i like that
Jay once again
Wanaume tupewe maua yetu
Ingekua baba jay ndo kamuachia mama jay amlee peke yakeingekua drama kwamba jay kalelewa na single mama brah brah ila kwakua ni baba hakijatokea kitu
Tunapitia wakat mgumu sana na saingine tunamkufuru mungu lakin the best moment ni pale unapotambua kua hauko njia sahihi unaamua kurudi kwa mungu na anakusaidia big up jay melody ur story is an inspiration nice interview
Mwana anajua sana
Baba yako hajasoma
Mzungu alitokea wap nababa yako
Me shabiki namba moja wa Jay Melody
This guy is still innocent 😅
Good story with memories J.M
Nimependa sana ujibuji wako wa maswali ukweli umenyooka safi sana
Mwenyezi Mungu akulinde kijana,unajua unachofanya
I love him 😍
Uhalisia utamfikisha mbali sana mungu amsaidie asibadilike.
Interview nzur sana nmeipenda
Duh mdogo wangu umepitia maisha magumu sana sema mungu yupo nawewe ,jitahidi sana uwekeze kwenye mdaa wako ufanye biashara mbali mbali hata ukija kuchuja kimziki ubaki na kitu cha kukusaidia na familia yako ,alafu mwana mpole sana nakukubali mdogo wangu mungu akupe maisha marefu na maendeleo kati ka safari yako ya mziki .
Jay is so handsome say halo to him
Nakukubali sana mwamba💪
store nzuri
Jay mélodie nimustarabu huyu Kaka anaongea vizuri napenda watu kama jay
Mganga alikuzoea mpka akawa anakutuma mpka dukani😋😋😋
🐐 communication skill
Vidox ur so genius bro
Waooooo waukaee🥰🥰Moro moja
Sana bro na kukubari kinoma sio kama Marioo mjinga anaongea ujinga tu
Vary proud of you Jay👏👏👏🙏
Natamani munguanfikishe hapa ata zaidi na mimi
Mwenyezi Mungu akuwezeshe jay
Daah mganga alkuzoea had anakutuma dukan daah
🇹🇿 hatuulizani makabila ila alisema ni mluguru
Mmh jamani ndo mmemuekea kiduku cha nyumba😮😅😅😅😂😅😂
mwenyew nmechoka😂
Oya wee😂😂😂nakubali sana
Komweeeeeee refuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmh😢😢😢 why we say like that
Kumbe we ni wakwetu
Sio kusoma ndie kua Ana akili ❤❤❤❤🎉🎉
Maarifa na matumizi ya maarifa.Kwa dunia ya sasa soma, hata kama hauendi shule soma vitabu, sikiliza vitu vya kukujenga fanyia kazi.
Tsha San mwanangu Jay melody wa tandale
Nam Kubali sana duuuuh mungu akulinde
I love you because you are humble
Dah nimejifunza kitu kutoka kwa jey
Ulitoka goroka cjui najiweka lakini ukutoboa kama ulivyotoboa leo hiii''
Ngoja mganga asikie akushe hizo nyota zenyewe uone kama utatamba
Afu kweli ni kama kajisahau hahahaaa
😂😂😂 Acheni ujunga mpangaji ni Mungu
Jay melody wasage
Wewe Bana ninoma ukomuzuri kwenye music
Very humble
Ndio unaona sasa hv mambo yapo yanaenda ujui kama hao jamaa ndio wanakupa nguvu
Nmehisi pia, dawa nyingine zinachukua muda
Bro nakubali sana kaka atamimi nihivo bro
Watangazaji wengine igeni hii ulizaji wa maswali ni wa mpangilio
ruclips.net/video/SW_W1SBWt3M/видео.html
Hivi ni kweli kuna mambo ya nyota
Sitochoka broo kusema napenda interview zako...nataman sana unifanyie interview hata kama sio famous daah
😂😂😂😂😂
Uko vizuri sana
Jay for live....
Wasanii bongo wengi wao ni wachawi tu,hawa ukikaa nao karibu wana kuibia nyota
Ni kweli na wanajuana na wanaogopana mikono hawapeani kwa kutoaminiana
Sio bongo tu, ni dunia nzima, mziki unamtego mkubwa sana wa kiroho
Jay mellord nakuombea kwaMungu mafanikio mema and just believe in God na kamwe usije uka mwamini binadamu mwenzako
Me Nina kusubili home😊
Warugulu wanajua sana kuimba jamani basi tuuy mana Dimo anaimba mpaka anaboa
Afu mbona goma la acha wivu kali tu , waache unafki 🥲
This guy deserve it ...ni mtu nimegrow nikimuona through the journey hajagiveup
Pole Sana Kwa matatizo ndugu yangu mungu akupe maisha marefu na Mazur pia usiache kumuomba mungu kila wakat nakupenda Sana jay good morning have a nice day my dear mmmwaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tafuta mwanamke mwenye Iman awe mwislam mpendane daima nikutakie kila la kher katika Safar yako ya mafanikio Amini mungu typo pamoja nawe daima I love you so much jay God bless you abadan mashaallah alhamndullillah❤❤❤❤❤❤
Maturity.
Utoto kando hapa.
Big upp kaka Hauna baya
💥
15:42
Kumbe wa nyumbani morogoro oyee. Waruguru oyeee hya
Yy ni mnoma c uongo🎉
Mnajifnya hamjui uchawi kumbe una loga alaf una tubu nn ss unafnya mziki unazngua mchz kama anakusikia huyo mganga anakuchukulia miyayusho
I told you this Tanzanian love's uchawi 😂😂😂
Ayo tv tunamuomba maliyo aje ayo tv😂
KALIBU KUSIKILIZA NYIMBO YANGU MPYA
Watu tunatoka mbari wallah arafu unaona mijitu inakwambia unajiskia sana unaringa wakati urikua namaisha magumu warikua hawa kusaidi
Haya Mambo yanaharibu Sana tasnia😎
Huyu jamaa ni mkweli
Waruguru wachawi kama Babu Tale
Hyo movie naipat hta me ilinigusa htr
Kumbe mluguru mwenzangu kuanzia Leo Ngoma zako nitazielewa
Acha wivu ngoma kali saana
Mwambieni nampenda
😂😂😂😂😂😂chezea nyota..komaa 😂😂😂kaa miezi6 kabisa
Jamaa anajitahidi sana 👏
We jamaa kwani huo mdomo hauwezi kuuweka kawaida mpaka uupinde?
Ahahahahahaha ila nyie ahahaha
😂😂😂
ndivo alivo sio anapindisha ndo shape ya mdomo wake
From 🇺🇲🇺🇲
Nobody ask you 😂😂😂