UUZAJI VIFAA VYA UPAKO NI UPOTOSHAJI, WIZI NA UTAPELI, SIO INJILI|| ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SAA YA KWELI NA ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA
    MADA: UUZAJI WA VIFAA VYA UPAKO NI SAHIHI AU NI UTAPELI?
    Je, vitu vinaweza kubeba upako (nguvu za kiroho za Mungu aliye hai au miungu mingine)?
    Je, Mungu amewahi kutumia na anatumia vitu kutenda miujiza au kutatua changamoto za watu?
    Je, mtumishi wa Mungu anaweza kuombea vitu vikabeba nguvu za Mungu za kuponya au kugeuza maisha ya watu?
    Je, ni sahihi kuuzia watu vitu vya upako?
    Wanaouza vifaa vya upako wana hoja zipi?
    Nini madhara ya vifaa vya upako kwa imani ya mtu na uzima wake wa milele?
    YOTE HAYA YAMEJIBIWA KWENYE VIDEO HII KWA KINA...
    UNAWEZA KUSIKILIZA VIZURI KISHA UKASHARE NA WATU WENGI UWEZAVYO ILI TUPONYE KIZAZI CHETU CHA SIKU ZA MWISHO...

Комментарии • 45

  • @janemazengo7095
    @janemazengo7095 2 месяца назад

    God bless you baba,mwenye sikio na asikie neno la saa hii kwa ajili ya uponyaji wa roho ya mwanadamu kabla ya kufumba kinywa na kupoteza uwezo wa kutubu kwa Mungu.

  • @helleneliakim8371
    @helleneliakim8371 2 месяца назад

    Extremely glorious and powerful

  • @RebekaKokan
    @RebekaKokan 2 месяца назад +1

    Hakika ubarikiwe...
    Wewe ni taifa Baba..
    Mimi najifunza mengi kutoka kwako

  • @NyahidiLutimba
    @NyahidiLutimba 23 дня назад

    Kweli tupu.

  • @BokaWaboka
    @BokaWaboka 2 месяца назад

    Ukweli Mtupu kwakweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @benjaminmartine-io6ry
    @benjaminmartine-io6ry 3 месяца назад +1

    Umebarikiwa sanaaa mtumishi wa Mungu

  • @JenniferKaiza
    @JenniferKaiza 3 месяца назад +1

    Kwa ukweli huu Mungu afungue ufahamu wa watanzania

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 3 месяца назад +1

    Inasikitisha Sana Mungu awasaidie nasi tuwaombe Sana waokolewe,Asante Mtumishi kwa neno la maarifa

  • @neemasamwel8968
    @neemasamwel8968 3 месяца назад

    🙏

  • @ikupachaula2609
    @ikupachaula2609 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @TalemwaBenson
    @TalemwaBenson 3 месяца назад +2

    Baba ndo maana nilikufata unahubiri kweli haupindishi hata kidogo Bwana Yesu alinihurumia sana akanifanya nikutane na wewe utukufu na heshima kwa Bwana Yesu.....

  • @MpingeSlaida
    @MpingeSlaida 3 месяца назад +1

    Safi sana baba uko vizuri, kufundisha neno la Mungu kazia.

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 3 месяца назад

    ameni sana bishop nafurahi sana kwa ukweli wa namna hii

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 3 месяца назад +2

    Kinywa cha Yesu duniani

  • @esterjackson7918
    @esterjackson7918 3 месяца назад +1

    Asante baba, umetufungua macho! ubarikiwe

  • @aminathatwahir8462
    @aminathatwahir8462 3 месяца назад +1

    Ukweli ni dawa tosha.
    Ubarikiwe sana sana kwa utayari wa kueleza maarifa haya. Mungu akutunze daima.
    #injiliisongembele

  • @LivingLeonard
    @LivingLeonard 3 месяца назад +1

    Amen ubarikiwe sana iyo ni Amri yakifalume aipingw,i

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885 3 месяца назад +3

    Hii napakua kabisa niwe naiweka hapa nyumbani kwangu watu waangalie

  • @VeronikaKhasab
    @VeronikaKhasab 3 месяца назад

    Ubarikiwe Baba kwa kusema Ile kweli ya MUNGU

  • @stevenjoakimu28
    @stevenjoakimu28 3 месяца назад +2

    Voice of the nation 💪🏽

  • @Geofrey-Martin-Kaputa
    @Geofrey-Martin-Kaputa 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kusema ukweli.

  • @annkim2690
    @annkim2690 3 месяца назад +3

    Naomba uende Kwa Mildred Ayo Juzi pia Mwaposa amekua huko hata wewe ukatuwakilishe wapinga mafuta

  • @ankoharunacomputers9709
    @ankoharunacomputers9709 3 месяца назад +2

    Pasua.

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885 3 месяца назад +2

    Amen

  • @johanesjoas9629
    @johanesjoas9629 3 месяца назад

    Nimejifunza sana

  • @vicetechtz
    @vicetechtz 3 месяца назад +2

    Ameen.

  • @katabefoundationteachings
    @katabefoundationteachings 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 nakuelewaaaa mnooooo 😂😂

  • @AlexMasea
    @AlexMasea 3 месяца назад +2

    Ameeen this is greatest message Glory to Jesus Christ

    • @kabigumila
      @kabigumila  3 месяца назад

      @@AlexMasea Thank you sir

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 3 месяца назад

    😂😂😂 Twendeee ❤

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 3 месяца назад +1

    Kuna watu nikiwasikiliza naona tunaendana aisee

  • @zephaniahnkombe1607
    @zephaniahnkombe1607 3 месяца назад

    Amen be blessed

  • @zawadiangolwisyemwalyaje6669
    @zawadiangolwisyemwalyaje6669 3 месяца назад

    Mnatabu sana

    • @kabigumila
      @kabigumila  3 месяца назад

      @@zawadiangolwisyemwalyaje6669 Ubarikiwe

  • @edibilym.manyaga8314
    @edibilym.manyaga8314 3 месяца назад +1

    Hahahahaa baba nimecheka tu...enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaloga??? 😂
    Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni.
    Nakupenda sana baba, yaani nakupenda tu..

  • @annkim2690
    @annkim2690 3 месяца назад +2

    Walipewa jina manabii mchongo

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 2 месяца назад

    ULE NAO SAHANI MOJA HAO MATAPELI MTUMISHI WA MUNGU. PAKA WABADILIKE

  • @Novath_dugange.LivingGod
    @Novath_dugange.LivingGod 2 месяца назад

    Mtu ulimwenguni

  • @BestMirian
    @BestMirian 3 месяца назад +2

    Kwa hili umesema kweli hapa nimejifunza kuwa makini

  • @annkim2690
    @annkim2690 3 месяца назад +2

    Wamekua wakimtafuta Amiel katekela ili wamuue alikua kuzimu naanawajua wote coz alikua anawauzia hayo mafuta

  • @Danfordmwakulega-sg2re
    @Danfordmwakulega-sg2re 3 месяца назад

    Nimejifunza mno mno

  • @TalemwaBenson
    @TalemwaBenson 3 месяца назад +1

    Baba ndo maana nilikufata unahubiri kweli haupindishi hata kidogo Bwana Yesu alinihurumia sana akanifanya nikutane na wewe utukufu na heshima kwa Bwana Yesu.....