UUZAJI VIFAA VYA UPAKO NI UPOTOSHAJI, WIZI NA UTAPELI, SIO INJILI|| ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SAA YA KWELI NA ASKOFU DICKSON CORNEL KABIGUMILA
MADA: UUZAJI WA VIFAA VYA UPAKO NI SAHIHI AU NI UTAPELI?
Je, vitu vinaweza kubeba upako (nguvu za kiroho za Mungu aliye hai au miungu mingine)?
Je, Mungu amewahi kutumia na anatumia vitu kutenda miujiza au kutatua changamoto za watu?
Je, mtumishi wa Mungu anaweza kuombea vitu vikabeba nguvu za Mungu za kuponya au kugeuza maisha ya watu?
Je, ni sahihi kuuzia watu vitu vya upako?
Wanaouza vifaa vya upako wana hoja zipi?
Nini madhara ya vifaa vya upako kwa imani ya mtu na uzima wake wa milele?
YOTE HAYA YAMEJIBIWA KWENYE VIDEO HII KWA KINA...
UNAWEZA KUSIKILIZA VIZURI KISHA UKASHARE NA WATU WENGI UWEZAVYO ILI TUPONYE KIZAZI CHETU CHA SIKU ZA MWISHO...
God bless you baba,mwenye sikio na asikie neno la saa hii kwa ajili ya uponyaji wa roho ya mwanadamu kabla ya kufumba kinywa na kupoteza uwezo wa kutubu kwa Mungu.
Extremely glorious and powerful
Hakika ubarikiwe...
Wewe ni taifa Baba..
Mimi najifunza mengi kutoka kwako
Kweli tupu.
Ukweli Mtupu kwakweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Umebarikiwa sanaaa mtumishi wa Mungu
Kwa ukweli huu Mungu afungue ufahamu wa watanzania
Inasikitisha Sana Mungu awasaidie nasi tuwaombe Sana waokolewe,Asante Mtumishi kwa neno la maarifa
🙏
Ubarikiwe sana mtumishi
Baba ndo maana nilikufata unahubiri kweli haupindishi hata kidogo Bwana Yesu alinihurumia sana akanifanya nikutane na wewe utukufu na heshima kwa Bwana Yesu.....
Safi sana baba uko vizuri, kufundisha neno la Mungu kazia.
ameni sana bishop nafurahi sana kwa ukweli wa namna hii
Kinywa cha Yesu duniani
Asante baba, umetufungua macho! ubarikiwe
Ukweli ni dawa tosha.
Ubarikiwe sana sana kwa utayari wa kueleza maarifa haya. Mungu akutunze daima.
#injiliisongembele
Amen ubarikiwe sana iyo ni Amri yakifalume aipingw,i
Hii napakua kabisa niwe naiweka hapa nyumbani kwangu watu waangalie
Ubarikiwe Baba kwa kusema Ile kweli ya MUNGU
Voice of the nation 💪🏽
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa kusema ukweli.
Naomba uende Kwa Mildred Ayo Juzi pia Mwaposa amekua huko hata wewe ukatuwakilishe wapinga mafuta
Pasua.
Amen
Nimejifunza sana
Ameen.
😂😂😂😂😂 nakuelewaaaa mnooooo 😂😂
Ameeen this is greatest message Glory to Jesus Christ
@@AlexMasea Thank you sir
😂😂😂 Twendeee ❤
Kuna watu nikiwasikiliza naona tunaendana aisee
Amen be blessed
Mnatabu sana
@@zawadiangolwisyemwalyaje6669 Ubarikiwe
Hahahahaa baba nimecheka tu...enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaloga??? 😂
Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni.
Nakupenda sana baba, yaani nakupenda tu..
Walipewa jina manabii mchongo
ULE NAO SAHANI MOJA HAO MATAPELI MTUMISHI WA MUNGU. PAKA WABADILIKE
Mtu ulimwenguni
Kwa hili umesema kweli hapa nimejifunza kuwa makini
Asante sana
Wamekua wakimtafuta Amiel katekela ili wamuue alikua kuzimu naanawajua wote coz alikua anawauzia hayo mafuta
Nimejifunza mno mno
Baba ndo maana nilikufata unahubiri kweli haupindishi hata kidogo Bwana Yesu alinihurumia sana akanifanya nikutane na wewe utukufu na heshima kwa Bwana Yesu.....