ATHARI ZA URITHI/ATHARI ZA MIZIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 71

  • @hatibumakondemakondemakond1479

    Apostle Mtalamwe uko vizuri sana katika fundisha neno la Mungu

  • @susanemora687
    @susanemora687 2 года назад +3

    Atukuzwe Mungu. Haya ndio mafundisho yanayo takiwa wa kristo wote wayasikie... Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hakllelujah hallelujah hallelujah, napokea utajiri wa utukufu wa urithi wa Mungu Baba muumba vyote,
    Mimi sio maskini, mimi ni tajiri, Amen!

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh 4 месяца назад

    Amen 🙏🙏🙏, Asante kwa kunijuza kuhusiana na nafundisho haya ya uridhi

  • @karwaniamendaddyzawadi4028
    @karwaniamendaddyzawadi4028 2 года назад

    Ameen and ameen napokea urithi wa MUNGU Baba 🙏

  • @annastaziamajele8173
    @annastaziamajele8173 2 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @gracekwila5674
    @gracekwila5674 2 года назад +1

    Amen my Apostle nimelielewa sanaa hili somo
    Asante kwa mafundisho haya
    Mungu azidi kukutumia kama chombo chake
    Mimi nimeitiwa kuwa tajiri
    Nina Amani tangu Bwana Yesu aniokoee nina Amaniiii🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 2 года назад +5

    Following you from Saudi Arabia your sermon indeed is 💯💯💯

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    Ahsante baba kwasasa naimani kubwa mno

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Год назад

    Mungu azidikukuzidishia baraka mtumishi.

  • @elluminathabei5050
    @elluminathabei5050 Год назад

    Nimepokea ujumbe mzuri sana,God bless you apostle

  • @zabronimussiba3830
    @zabronimussiba3830 2 года назад

    barikiwa mnoooo mtumishi wa Bwana nmepata kitu kimya hatujibiwi kw vile twaomba vibaya

  • @winniesainet8635
    @winniesainet8635 2 года назад

    Amen...Mungu akubariki utokapo na uingiapo.Naamini Sickle cell inayomtesa my 10 months baby itaenda kuhama in Jesus Almighty God

  • @deograciakashaigili5973
    @deograciakashaigili5973 2 года назад

    Asante Mtumishi wa Mungu kwa Maarifa haya ya kutumia Damu ya Yesu kwa kunyunyiza na kufuta URITHI mbaya.

  • @janethmussa9475
    @janethmussa9475 2 года назад

    Mwamba piece kinyama ....mungu akubariki na jua mungu akubariki na wewe kwa neema hio utatubariki Ila baraka hiyo ianzie na mm.

  • @dayannatheonest8461
    @dayannatheonest8461 2 года назад

    Amina ubarikiwe sana mtumishi

  • @graceid
    @graceid 2 года назад

    Amen

  • @oswardgeorge2916
    @oswardgeorge2916 2 года назад

    kwa hapo nimekukubari na Roho wa Bwana asikuache,Ubarikiwe.

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 2 года назад

    Asante Mungu kuniepusha na KURITHI vitu vya ajabu.haleluyaa umenichagua kukutumikia tangu tumboni nabii wa mataifa🌺💕🇹🇿❤️

  • @karwaniamendaddyzawadi4028
    @karwaniamendaddyzawadi4028 2 года назад

    Shalom Apostle nimebarmikiwa na Somo hili...ubarikiwe mtumishi 🙏

  • @enriqueganywamulume570
    @enriqueganywamulume570 2 года назад +2

    Come on homme de Dieu !! Mungu azidi Kuku tuliya . Una tu faa sana . Enrique toka ka Congo

  • @veronicaguilherme8430
    @veronicaguilherme8430 Год назад

    Amêm! Nimepona sana

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 года назад

    Ubarikiwe Apostle kamanda wa Yesu,Damu ya Yesu isiyo na mawaa,Damu ya kunyunyiza oooh Glory to God 🙏

  • @neyhmrs7704
    @neyhmrs7704 2 года назад

    AMEEN AMEEN AMEEN

  • @stellafety4332
    @stellafety4332 2 года назад +1

    Amennnnn 🔥💯🙏🏼 ubarikiwe apostle kbs mungu akujaz tna full mafuta

  • @faustinriziki6787
    @faustinriziki6787 2 года назад +1

    Nakataa roho ya kurithi , nifunguliwe kila eneo la maisha yangu, kuanzia leo niwe huru, Barikiwa Sana Apostle 🙏🙏🙏

  • @jasminemboje1850
    @jasminemboje1850 2 года назад

    Am blessed daddy

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 2 года назад

    Mungu atufuñgue

  • @suzanalemau6601
    @suzanalemau6601 2 года назад

    Namtukuza sana Mungu wa Major 1 kwa mafunuo hay aliyoyaachilia kwa baba yangu mlezi wa taifa chief Apostle Mtalemwa hakika nimefunguliwa

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад +1

    Amen baba nimepitia kwa jina nilio itwa nakombolewa kwa jina la yesu

  • @jacknicksrepha1553
    @jacknicksrepha1553 2 года назад

    Ubarikiwe sana mtumish umenifunza mengi hadi nimebadilika kabisa.. MUNGU aendelee kufunulia zaidi..tuelewe bibilia vizuri

  • @brendahwekesa8892
    @brendahwekesa8892 2 года назад

    Glory to God , Apostle,,urithi wowote wa mababu ndani ya maisha yangu naikataaa katika jina la yesu Christo.Mungu azidi kuwe nawe Apostle.

  • @stellamtenga24
    @stellamtenga24 2 года назад

    I have learned and received all the blessing despite not being there physical. Fresh anointing upon your altar pastor...

  • @mercykoech1487
    @mercykoech1487 2 года назад

    Mungu yupo

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 2 года назад +3

    Praise God The Most High
    glory to you holy name 🕊
    Thank You Apostle Mtalemwa 🙌

  • @shaphats2437
    @shaphats2437 2 года назад

    Hallelujah...mafundisho ya maana sana kwa kanisa ...nimefaidika. Amen

  • @annekangai7115
    @annekangai7115 2 года назад

    Amen...God bless his word.. Am blessed. Mwalimu.

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 2 года назад +1

    Amen ,Nakataa roho za urithi kwa maisha yangu katika Damu ya Yesu kristo

  • @oliviasalivatory5934
    @oliviasalivatory5934 2 года назад

    Mungu akubaliki mtumish wa mungu akika umenigusa sana

  • @swedyjovano8275
    @swedyjovano8275 2 года назад

    Amen .ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai . Asante sana kwa ujumbe mzuri sana .

  • @nestorytemba2876
    @nestorytemba2876 2 года назад

    Ameen, Napokea urithi mpya wa kiroho na kimwili katika Kristo Yesu, Kwa damu yake inenayo mema ika nene mema juu ya magonjwa ktk familia yangu na mimi mwenyewe,Umaskini na roho za kucheleweshwa.Ikazae afya,utajiri na mpenyo ktk kila mipango na malengo yangu na familia yangu.

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 2 года назад

    Amen Baba kwa ufunuo huu

  • @pastorkennypauls9486
    @pastorkennypauls9486 2 года назад +3

    Eh Mungu nifungue mpaka nimefunguliwa completely, KILA urithi usionekana ambao ni mbaya kutoka kwa babu zangu naukataa KWA JINA LA YESU, Nakataa kubeba style zao za kuishi ambazo hazikupendezi Elohim , Apostle Mtalemwa, Thank You for Serving Us. I'm delivered

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад

    Utukufu kwa mungu kijiti nimeipokea kwa imani na tumaini

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    😢😢 nashangaa naomba sifunguliwi kwa hyo ni Kwa sababu sitoi sadaka

  • @hellenwanyama6608
    @hellenwanyama6608 2 года назад +1

    Powerful teaching God bless you

  • @gamaliellubondo1206
    @gamaliellubondo1206 2 года назад

    Asante kwa mafundicho, Mungu anitoshe katika urithi mubaya ya kifamiliya n'a maisha.

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 2 года назад

    Hallelujah

  • @godfreyngamau3305
    @godfreyngamau3305 2 года назад +1

    Katika Kristu tuna Uridhi Upya... I received it in The Holy name of Jesus Christ.. Shalom

  • @numbulajango9040
    @numbulajango9040 2 года назад

    hallelujah

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад

    Amen baba nasubiri mafunzo ya msiba na makaburi

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Год назад

    Nakataa roho ya kurithi kwa jina la yesu.

  • @palepale7768
    @palepale7768 2 года назад +2

    Tumsifu Yeu Kristo Apostle. Neno la Mungu lasema, bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake
    Kweli kabisa knowledge is power

  • @irakazaeriekim4753
    @irakazaeriekim4753 2 года назад +1

    Mwakore maana ndakutegeza cane ndewe

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 2 года назад

    Namshukuru Mungu amekutumia Apostle, leo nilikuwa najiuliza maswali mengi juu ya mambo mengi yamenizunguka ya urithi mbaya wa familia,namshukuru Mungu nilipoingia tu utube nikakutana na hili....leo nimefunguliwa Mungu akubariki Apostle.

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 2 года назад

    Amen🇰🇪

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 2 года назад +1

    Hakika mtume unafundisha.Mi siabudu kanisani kwako lakn unanivusha kwa mafundisho yako.Mungu akuinue zaidi.
    Kanisa hili liko wap?

  • @happymlay4696
    @happymlay4696 2 года назад

    Jamani apostle naomba uniombee ,hili somo limenifungua nimegundua kwenye familia yetu kuna roho ya kusema uongo kwa Dada zangu na kaka zangu yani akikwambia kitu cha uongo utadhani ni ukweli na ni wote kwenye familia hata Mimi ingawaje naomba kwa ajili ya halo hiyo Mungu aondoe kila urith

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 2 года назад

    AMEN

  • @clinton3168
    @clinton3168 2 года назад +1

    WACHAGA wote tupo Ninafuatilia neno la Mungu nikiwa KENYAA.
    AISEEEE NGIIKIA MUURII WA ROHO SHO TIKI NGIWONIKE USHYA

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 5 месяцев назад

    😢😢dah nateseka na mizimu naswali weee bila msaada

  • @RoroRoserororo
    @RoroRoserororo 2 года назад

    Walai uku sihami najifunza mambo ya ya mungu

  • @ashamaeda6112
    @ashamaeda6112 Год назад

    Kanisa liko wapi???

  • @siakiwelu3255
    @siakiwelu3255 11 месяцев назад

    Napokeq utajiri wa utajiri wa utukufu

  • @joyamani4746
    @joyamani4746 2 года назад +3

    I receive the new inheritance of Christ! Amen

  • @williamaron1914
    @williamaron1914 2 года назад

    SAWA MTUME UKO DEEP SANA,MIMI NIMEPOKEA MAFUNUO MAKUBWA SANA

  • @enriqueganywamulume570
    @enriqueganywamulume570 2 года назад +1

    Ufunuo ju ya ufunuo!! Comme c'est ce édifiant !

  • @rosemarymallya4458
    @rosemarymallya4458 2 года назад

    Praise the Lord🙋‍♀️🙋‍♀️ASILI NI CHANZO CHA UANGAMIVU MKUU WETU🤦‍♀️Mungu endelea kutupa UFAHAMU TUFUNGUKE🙌🔥🙌🔥🙌

  • @otarueventsplanner1353
    @otarueventsplanner1353 2 года назад +1

    First view

  • @Estherm309
    @Estherm309 2 года назад

    Maroho ya urithi nakataa asira talaka uchungu kukataliwa navuka leo

  • @dottokillangi7184
    @dottokillangi7184 2 года назад

    Nina urithi mpya kupitia yesu kristo na ahadi za ibrahimu