Atukuzwe Mungu. Haya ndio mafundisho yanayo takiwa wa kristo wote wayasikie... Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hakllelujah hallelujah hallelujah, napokea utajiri wa utukufu wa urithi wa Mungu Baba muumba vyote, Mimi sio maskini, mimi ni tajiri, Amen!
Amen my Apostle nimelielewa sanaa hili somo Asante kwa mafundisho haya Mungu azidi kukutumia kama chombo chake Mimi nimeitiwa kuwa tajiri Nina Amani tangu Bwana Yesu aniokoee nina Amaniiii🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Ameen, Napokea urithi mpya wa kiroho na kimwili katika Kristo Yesu, Kwa damu yake inenayo mema ika nene mema juu ya magonjwa ktk familia yangu na mimi mwenyewe,Umaskini na roho za kucheleweshwa.Ikazae afya,utajiri na mpenyo ktk kila mipango na malengo yangu na familia yangu.
Eh Mungu nifungue mpaka nimefunguliwa completely, KILA urithi usionekana ambao ni mbaya kutoka kwa babu zangu naukataa KWA JINA LA YESU, Nakataa kubeba style zao za kuishi ambazo hazikupendezi Elohim , Apostle Mtalemwa, Thank You for Serving Us. I'm delivered
Tumsifu Yeu Kristo Apostle. Neno la Mungu lasema, bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake Kweli kabisa knowledge is power
Namshukuru Mungu amekutumia Apostle, leo nilikuwa najiuliza maswali mengi juu ya mambo mengi yamenizunguka ya urithi mbaya wa familia,namshukuru Mungu nilipoingia tu utube nikakutana na hili....leo nimefunguliwa Mungu akubariki Apostle.
Jamani apostle naomba uniombee ,hili somo limenifungua nimegundua kwenye familia yetu kuna roho ya kusema uongo kwa Dada zangu na kaka zangu yani akikwambia kitu cha uongo utadhani ni ukweli na ni wote kwenye familia hata Mimi ingawaje naomba kwa ajili ya halo hiyo Mungu aondoe kila urith
Apostle Mtalamwe uko vizuri sana katika fundisha neno la Mungu
Atukuzwe Mungu. Haya ndio mafundisho yanayo takiwa wa kristo wote wayasikie... Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hakllelujah hallelujah hallelujah, napokea utajiri wa utukufu wa urithi wa Mungu Baba muumba vyote,
Mimi sio maskini, mimi ni tajiri, Amen!
Amen 🙏🙏🙏, Asante kwa kunijuza kuhusiana na nafundisho haya ya uridhi
Ameen and ameen napokea urithi wa MUNGU Baba 🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen my Apostle nimelielewa sanaa hili somo
Asante kwa mafundisho haya
Mungu azidi kukutumia kama chombo chake
Mimi nimeitiwa kuwa tajiri
Nina Amani tangu Bwana Yesu aniokoee nina Amaniiii🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Following you from Saudi Arabia your sermon indeed is 💯💯💯
Ahsante baba kwasasa naimani kubwa mno
Mungu azidikukuzidishia baraka mtumishi.
Nimepokea ujumbe mzuri sana,God bless you apostle
barikiwa mnoooo mtumishi wa Bwana nmepata kitu kimya hatujibiwi kw vile twaomba vibaya
Amen...Mungu akubariki utokapo na uingiapo.Naamini Sickle cell inayomtesa my 10 months baby itaenda kuhama in Jesus Almighty God
Asante Mtumishi wa Mungu kwa Maarifa haya ya kutumia Damu ya Yesu kwa kunyunyiza na kufuta URITHI mbaya.
Mwamba piece kinyama ....mungu akubariki na jua mungu akubariki na wewe kwa neema hio utatubariki Ila baraka hiyo ianzie na mm.
Amina ubarikiwe sana mtumishi
Amen
kwa hapo nimekukubari na Roho wa Bwana asikuache,Ubarikiwe.
Asante Mungu kuniepusha na KURITHI vitu vya ajabu.haleluyaa umenichagua kukutumikia tangu tumboni nabii wa mataifa🌺💕🇹🇿❤️
Shalom Apostle nimebarmikiwa na Somo hili...ubarikiwe mtumishi 🙏
Come on homme de Dieu !! Mungu azidi Kuku tuliya . Una tu faa sana . Enrique toka ka Congo
Amêm! Nimepona sana
Ubarikiwe Apostle kamanda wa Yesu,Damu ya Yesu isiyo na mawaa,Damu ya kunyunyiza oooh Glory to God 🙏
AMEEN AMEEN AMEEN
Amennnnn 🔥💯🙏🏼 ubarikiwe apostle kbs mungu akujaz tna full mafuta
Nakataa roho ya kurithi , nifunguliwe kila eneo la maisha yangu, kuanzia leo niwe huru, Barikiwa Sana Apostle 🙏🙏🙏
Am blessed daddy
Mungu atufuñgue
Namtukuza sana Mungu wa Major 1 kwa mafunuo hay aliyoyaachilia kwa baba yangu mlezi wa taifa chief Apostle Mtalemwa hakika nimefunguliwa
Amen baba nimepitia kwa jina nilio itwa nakombolewa kwa jina la yesu
Ubarikiwe sana mtumish umenifunza mengi hadi nimebadilika kabisa.. MUNGU aendelee kufunulia zaidi..tuelewe bibilia vizuri
Glory to God , Apostle,,urithi wowote wa mababu ndani ya maisha yangu naikataaa katika jina la yesu Christo.Mungu azidi kuwe nawe Apostle.
I have learned and received all the blessing despite not being there physical. Fresh anointing upon your altar pastor...
Mungu yupo
Praise God The Most High
glory to you holy name 🕊
Thank You Apostle Mtalemwa 🙌
Hallelujah...mafundisho ya maana sana kwa kanisa ...nimefaidika. Amen
Amen...God bless his word.. Am blessed. Mwalimu.
Amen ,Nakataa roho za urithi kwa maisha yangu katika Damu ya Yesu kristo
Mungu akubaliki mtumish wa mungu akika umenigusa sana
Amen .ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai . Asante sana kwa ujumbe mzuri sana .
Ameen, Napokea urithi mpya wa kiroho na kimwili katika Kristo Yesu, Kwa damu yake inenayo mema ika nene mema juu ya magonjwa ktk familia yangu na mimi mwenyewe,Umaskini na roho za kucheleweshwa.Ikazae afya,utajiri na mpenyo ktk kila mipango na malengo yangu na familia yangu.
Amen
Amen Baba kwa ufunuo huu
Eh Mungu nifungue mpaka nimefunguliwa completely, KILA urithi usionekana ambao ni mbaya kutoka kwa babu zangu naukataa KWA JINA LA YESU, Nakataa kubeba style zao za kuishi ambazo hazikupendezi Elohim , Apostle Mtalemwa, Thank You for Serving Us. I'm delivered
Utukufu kwa mungu kijiti nimeipokea kwa imani na tumaini
😢😢 nashangaa naomba sifunguliwi kwa hyo ni Kwa sababu sitoi sadaka
Powerful teaching God bless you
Asante kwa mafundicho, Mungu anitoshe katika urithi mubaya ya kifamiliya n'a maisha.
Hallelujah
Katika Kristu tuna Uridhi Upya... I received it in The Holy name of Jesus Christ.. Shalom
hallelujah
Amen baba nasubiri mafunzo ya msiba na makaburi
Nakataa roho ya kurithi kwa jina la yesu.
Tumsifu Yeu Kristo Apostle. Neno la Mungu lasema, bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake
Kweli kabisa knowledge is power
Mwakore maana ndakutegeza cane ndewe
Namshukuru Mungu amekutumia Apostle, leo nilikuwa najiuliza maswali mengi juu ya mambo mengi yamenizunguka ya urithi mbaya wa familia,namshukuru Mungu nilipoingia tu utube nikakutana na hili....leo nimefunguliwa Mungu akubariki Apostle.
Amen🇰🇪
Hakika mtume unafundisha.Mi siabudu kanisani kwako lakn unanivusha kwa mafundisho yako.Mungu akuinue zaidi.
Kanisa hili liko wap?
Jamani apostle naomba uniombee ,hili somo limenifungua nimegundua kwenye familia yetu kuna roho ya kusema uongo kwa Dada zangu na kaka zangu yani akikwambia kitu cha uongo utadhani ni ukweli na ni wote kwenye familia hata Mimi ingawaje naomba kwa ajili ya halo hiyo Mungu aondoe kila urith
AMEN
WACHAGA wote tupo Ninafuatilia neno la Mungu nikiwa KENYAA.
AISEEEE NGIIKIA MUURII WA ROHO SHO TIKI NGIWONIKE USHYA
😢😢dah nateseka na mizimu naswali weee bila msaada
Walai uku sihami najifunza mambo ya ya mungu
Kanisa liko wapi???
Napokeq utajiri wa utajiri wa utukufu
I receive the new inheritance of Christ! Amen
SAWA MTUME UKO DEEP SANA,MIMI NIMEPOKEA MAFUNUO MAKUBWA SANA
Ufunuo ju ya ufunuo!! Comme c'est ce édifiant !
Praise the Lord🙋♀️🙋♀️ASILI NI CHANZO CHA UANGAMIVU MKUU WETU🤦♀️Mungu endelea kutupa UFAHAMU TUFUNGUKE🙌🔥🙌🔥🙌
First view
Maroho ya urithi nakataa asira talaka uchungu kukataliwa navuka leo
Nina urithi mpya kupitia yesu kristo na ahadi za ibrahimu