Natamani sana nione ile preaching yenye utafanya yakutubu. Napenda vile unasisitiza kwa ukali n putting facts n the confidence in Jesus is brilliant 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 injili ya Bwana ienee kwa wingi
Apostle Bibi yangu Sophia anaumwa,amechanganyikiwa,miguu imejikunja ,ana maumivu makali sana.Naomba Tushirikiane baba kumuombea katika uzee wake wa miaka 91 awe na amani,afya na asiteseke .Mungu amhurumieeee.Anaumia mnoo!!Tunatamani tumuone akiwa hana maumivu baba!
Ameeen,Apostle.Barikiwa sana na Bwana.Unatujengea msuri wa maombi. Unatueleza ukweli(Yani nomanya kutugambila amazima).I love it,God bless you man of God.
Amen Man of God! SOMO hili nilimenifumbua macho ya rohoni na mwili ni jinsi gani ya kuomba na faida za kuomba. Kuanzia sasa Mungu wa Major one asimame na kunitetea. Hakika kwa uwezo wa Mungu na Roho Mtakatifu ninafanya. Amen
@@nansynansy4595Mungu ni mwema sana na anatupenda ndo maana anatufundisha kupitia mtumishi wake ,hatuna budi kuwa serious na mafundisho yote ya appostle
Sipo kwenye kanisa hili lakini wewe ni zaidi ya mwalimu baba kiongozi wa kiroho ndani yangu hakika mungu wa mbinguni amekutumia kunijenga na kunibadilisha
Hili ni somo ambalo kila mara ninapolisikiliza napata nguvu zaidi na hamu na shauku ya kuomba. Hata pale ambapo najihisi sina nguvu za kuomba ninasikiliza na kuangalia somo hili huwa ile shahuku ya maombi inarudi tena Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Mtalemwa
Who else is revisiting this teaching?? Somo zuri sana,Ahsante Apostle 🙏🙏
Ameeen!! Mtumishi wa Mungu, napenda sana mafundisho yako yanatia moyo sana, ubarikiwe sana
Haleluyah!!!!yani najiona nimepata kitu kikubwa sana ,ntakifanyia kazi naamini ntapata matokeo makubwa Mungu anisaidie kupitia roho mtakatifu amen
Huu ni ukweli mchungu, Mungu nisaidie nipe nguvu ya kuomba zaidi. Asante mtumishi wa Mungu kwa somo zuri.
Utukufu uwe kwa Mungu.Asante kwa mafundisho yenye hekima ya Mungu
Nimebarikiwa, in Jesus name, amen napokea
Feel blessed by your sermon prophet
That's why I like you for the way you express the word of God but most pastors they are after miracles I receive from kenya Amen Amen
Me2
Ameen 👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
This is a must watch... asante sana Apostle
Asante Mwalimu apostle mtalamwa... Kweli nimefaidika.
Be blessed and may God continue to protect you for all of us. Amen.
Ubarkiwe tufundishe Baba
Napenda Mafundisho haya, ni mazuri Sana
Mungu akubariki mtumishi wa🔥🔥🔥 BWANA🔥🔥🔥 WETU YESU KRISTO 🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Ameeen ameeen and ameeeeen🙏🙏🙏
Haya mafunzo yana nguvu sana Apostle...Mungu anipe neema
Natamani sana nione ile preaching yenye utafanya yakutubu. Napenda vile unasisitiza kwa ukali n putting facts n the confidence in Jesus is brilliant 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 injili ya Bwana ienee kwa wingi
Amen,Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi wako.Zidi kumpaka mafuta.ili nasi tupone kiroho,kimwili na kinafsi.iyee!!!
Wow nimependa iyo fundisho sana na nitaweka kwa matendo nikiwa hapa Kenya barikiwa sana
Niombee baba familia yng na mimi kupata kazi na mdogo wng afanye vzr katika masomo yake AMEN
Appostle uko vizuri Mungu amekupa neema ya revelation doctrine
Amen
Que Dieu m’aide à comprendre sa parole quand je lit la bible au nom puissant de Jesus Christ notre Seigneur et Sauveur. Amen
Naomba Rehema na Neema Ili nikaribie kiti cha enzi
Pour la vie....
Ee Bwana Yesu nipe uwezo wa kuomba mda mrefu
Apostle Bibi yangu Sophia anaumwa,amechanganyikiwa,miguu imejikunja ,ana maumivu makali sana.Naomba Tushirikiane baba kumuombea katika uzee wake wa miaka 91 awe na amani,afya na asiteseke .Mungu amhurumieeee.Anaumia mnoo!!Tunatamani tumuone akiwa hana maumivu baba!
Ameen
Amen chief powerful teaching nakuelewa sana
Asanteee pastor kwa somo la maombi.nimegundua kuwa Kuna vitu sipati kwa sababu Sina muda wa kujitenga na kuomba
Umenikumbusha jambo kubwa apostle najua kweli kuna mahali nililost hii
Naanza upya!
Asante kwa somo hili
🙏🙏🙏
Nabarikiwa
Praise God , Apostle mafunzo yako yamenibandilisha ,God bless u always.
Powerful teaching Apostle God bless you
Ameeen,Apostle.Barikiwa sana na Bwana.Unatujengea msuri wa maombi.
Unatueleza ukweli(Yani nomanya kutugambila amazima).I love it,God bless you man of God.
Hallelujah hallelujah indeed when i follow you on your sermon i feel blessed
Amina
Amen Man of God! SOMO hili nilimenifumbua macho ya rohoni na mwili ni jinsi gani ya kuomba na faida za kuomba. Kuanzia sasa Mungu wa Major one asimame na kunitetea. Hakika kwa uwezo wa Mungu na Roho Mtakatifu ninafanya. Amen
Amina mtumishi
Amen amen
Nimekuelewa sana apostle,God bless you
Nime jifunza man of God
@@nansynansy4595Mungu ni mwema sana na anatupenda ndo maana anatufundisha kupitia mtumishi wake ,hatuna budi kuwa serious na mafundisho yote ya appostle
Amen and amen
Ameeen
Mtumishi ww ni mwalimu mzuri na nimekupenda
Amen Apostle
Nimekuelewa
Amennnnn 🔥💯 💥🙏🏼 ubarikiwe apostle
Amen hallelujah nimejifuza kitu daddy 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏
P
JINA LA YESU LIHIMIDIWE,YESU NI YULEYULE JANA,LEO NA HATA MILELE AMEN
I glorify your Holy name Jesus Christ
Amen,ubaikiwe sana mtumishi wa Mungu nimejifunza mengi sana juu ya kuwa karibu na Mungu 🙏🏿
Kizazi hiki kinahitaji kuambiwa Siri Kama hizi ili tufike tunako takiwa kufika Ubarikiwe sana Sana Apostle
Amen . Ubarikiwe sana kwa neno nzuri lenye kujenga n'a kutia nguvu .
Sipo kwenye kanisa hili lakini wewe ni zaidi ya mwalimu baba kiongozi wa kiroho ndani yangu hakika mungu wa mbinguni amekutumia kunijenga na kunibadilisha
Nimeelewa sana
😯 thank you Jesus
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kunifrudisha jinsi ya kujitenga wakati wa maombi
Hallelujah
Amen
Amen 🙏🏿🙏🏿
Asante sana Mtumishi wa MUNGU
Powerful teaching Apostle. Thank you.
Glory to God
Sio rahisi kukaribia Mungu na Mwanga wake
I am blessed
God bless you Apostle
eee Yesu naomba neema niweze kusoma bibilia
Thanks for the English Translation. Kenya
Hallelujah barikiwa mtumish nimejifunza nisiyoyajua.. Nimebarikiwa nikiwa 254
Shalom Mtumishi samahani kanisa lako lipo sehemu gan
Amena
Tuongoze mwalimu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu natamani j.pili hii nije uko nabarikiwa na wewe sana nipo Morogoro
AMEN
Amen God bless you Apostle
Asante kwa mafundisho. Be blessed 🙏
Praise God Apostle,nimebarikiwa na mahubiri yako na nimejifunza mengi kutoka kwakwo ..I am from kenya ..nitakua nafuatilia ibada yako🙏🙏
Jamani naona Mutumishi wa bwana jameni la siyo kila mtu anahufahamu kama wako haya mafundisho niya Roho mutakatifu ubarikiwe sana
Asante kwa kunipa ufaham nimefarijika sana .kwani nilikuwa sijui
Thanks me pastor jm
Powerful teaching Apostle
Amen and Amen man of God more Grace and blessing son of Major1
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
AMEN 🙏
Ubarikiwe sana mchungaji nabarikiwa sana na mafundisho natamani sana siku nije sijui kanisa liko wapi
Ubarikiwe sana
AMEN AMEN Ahsante sana Apostle 🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Ee Mungu nisaidie
Ameen 🙏 Ubarikiwe sana Apostle nimekuelewa sana
Ameen,nmepata langu nitajitahidi kujitenga,eMungu nisaidie
Amen. May Almighty God bless you the CHOSEN.
Amen amen mtumwa wa Bwana
UBARIKIWE SANAA
Apostle tunakuelewa,mtumishi wa Mungu.
Pastor Ubarikiwe sana utupe mafunzo zaidi hili tusimame na mausia ya mungu bila akili zetu
Amen Mutumishi
Hili ni somo ambalo kila mara ninapolisikiliza napata nguvu zaidi na hamu na shauku ya kuomba. Hata pale ambapo najihisi sina nguvu za kuomba ninasikiliza na kuangalia somo hili huwa ile shahuku ya maombi inarudi tena
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Mtalemwa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mungu atusahidie kabisa
👏
👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Amen
AMEEN Ahsante sana baba angu wa kiroho
Asante apostle. Powerful teachings. Haleluya haleluya
Amen Mtumishi najifunza mengi kupitia hii channel Mungu na akuzidishie hekima
Oh yes
Blessed pastor talking meaning.
Asanteee 🙏
Amen Apostle
Amen chief