Nipo arabuni mama wa boss wangu kunasiku alikuja jikoni akaniambia usiwe unapakua chakula huku unaimba nikamwambia ninacho kiimba si nyimbo za ki duniani ni maabudu eti usiimbe tena chakula kitaingiliwa na majini nikamwambia ukiiweka Imani itakuwa ila pia hii ni passion yangu siwezi kuiacha ndicho kilichopo ndani yangu huwezi kuninyamazisha siku hiyo nilishanda naongea na Mungu jikoni nikasema Mungu kinacho mtumia kishindwe asitokee mtu wa kuni nyamazisha maana ukini nyamazisha sasaivi dakika hiyo hiyo naanza tena nini iyo si mimi nikitu kilicho ndani yangu asante Mungu kwa mahubili ukiwa na woga utanyamazishwa ukiwa na ujasiri huta ogopa sauti yako ikalishwe kimya paza sauti mwambie sito nyamaza asante Mungu aliniongelesha mjibu huyo aliye ndani maana siyo mwanadamu bali giza ndio lipo hapo ndani
Tena hiyo roho sazingine mpaka unasikia kuhara yani kabisa unaona huyu mtu anashida mahara ila ukitaka kumshauli tu unasikia kwenda chooni kuhara mpaka nikawa nashindwa nini shida leo nimepata uhakika wa jambo
Ameni
Ooooo Yes na Isaya 43:4 imeniambia Mimi ni wathamani💪
Ubarikiwe Apostle Mungu azidi kukutunza na kukutumia kwa utukufu wake🙏
Ahsante sana kwa ujumbe mzuri
Nipo arabuni mama wa boss wangu kunasiku alikuja jikoni akaniambia usiwe unapakua chakula huku unaimba nikamwambia ninacho kiimba si nyimbo za ki duniani ni maabudu eti usiimbe tena chakula kitaingiliwa na majini nikamwambia ukiiweka Imani itakuwa ila pia hii ni passion yangu siwezi kuiacha ndicho kilichopo ndani yangu huwezi kuninyamazisha siku hiyo nilishanda naongea na Mungu jikoni nikasema Mungu kinacho mtumia kishindwe asitokee mtu wa kuni nyamazisha maana ukini nyamazisha sasaivi dakika hiyo hiyo naanza tena nini iyo si mimi nikitu kilicho ndani yangu asante Mungu kwa mahubili ukiwa na woga utanyamazishwa ukiwa na ujasiri huta ogopa sauti yako ikalishwe kimya paza sauti mwambie sito nyamaza asante Mungu aliniongelesha mjibu huyo aliye ndani maana siyo mwanadamu bali giza ndio lipo hapo ndani
Nakuelewa sana mtumishi barikiwa
I'm a reach person💃💃💓
Amen Apostle
Amen amen,, uku sihami ju najifunza neno la mungu
Amen barikiwa
Napokea kwa jina la yesu barikiwa mtumshi wa mungu kwa mafundisho mazur yameufungua ufahamu wangu kwa namna ya juu sana
Watching frm Saudi am blessed
Woga niachie achia kwa jina la Yesuuuu
Amen! am walking in prosperity!. God is goodoow
Kazi njema
AMEN 🙏 Barikiwa Sana Apostle Mungu azidi kukuinua ,kumbe Mimi ni wathamani 🙏🙏 Asante Sana
Kweli mimi ni shujaaa Leo woga towekaa kwa Jina la Yesu.🔥🔥🔥Asante baba Mungu azidi kukuinua.
Asante sn Apostle nmejielewa
Amen am a peculiar person
Amen 🙏
Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuimarisha.
Amenaaa
you are a blessing to me.
Mimi ni mshindi Mimi ni Wa thamani sana
May our almightyGod strenghten your Teaching in Jesus name.Amen
AMEN, AMEN, AMEN!!! MUNGU aendelee kukuweka ECG kwaajili ya Utukufu wake AMEN!!!
Amen...
🔥🔥🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Mungu niokoe
Thank you Jesus for the wonderful teaching
Yeahhhhh!!!!!!;
I agree that me ni wathamami.
I receive
Que le bon Dieu te comble de sa grâce Chief . Tume faidika tenaaaaaaaaaa
Chochea ,chochea karama yangu apostle nakuelewa mtumishi Wa Mungu ,sitakata tamaa ,sitaogopa tena, sitajidharau hata siku moja mimi
Ooh Yes
Amen.I am being blessed.
Amen
Amen
Nimechocheka kweli balikiweni mtumishi nimejielewa sasa nitazonga
Tena hiyo roho sazingine mpaka unasikia kuhara yani kabisa unaona huyu mtu anashida mahara ila ukitaka kumshauli tu unasikia kwenda chooni kuhara mpaka nikawa nashindwa nini shida leo nimepata uhakika wa jambo
Mungu niletee mtu Wa Faraja niondolee mtu anaeniletea tabu
Kweli baba hata Mimi ninakipawa kikubwa ila ninawoga hadi natetemeka
Simuogopi mtu Mimi ni mshindii
Mafundisho yanachochea karama tuzifanyize kazi.
JESUS,JESUS,JESUS THAT IS MY BOSSSSS
Migodi iliyo tembea isio fanya kazi unatupa vitu hatupati popote
AMEN AMEN 🙌🙌🙌