MAGUFULI - "MIMI BABA LAO" - ONA ALIVYOTEMBELEA WAGONJWA ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 янв 2020
  • MAGUFULI - "MIMI BABA LAO" - ONA ALIVYOTEMBELEA WAGONJWA ZANZIBAR
    Rais Dkt John Magufuli, ametembelea wagonjwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja iliyopo visiwani Zanzibar leo Januari 11, 2019...
    GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
    HABARI MPYA DAILY:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    ruclips.net/user/playlist?li

Комментарии • 87

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 года назад +25

    Maguuu baba laoo nimeipenda hiyo 😂😂😂CCm oyeee zenji hongeleni huyu ndo Rais wa wanyonge nchin kwetu tunakupenda baba laooo😂😂like kwa baba laoo

  • @husseinally9925
    @husseinally9925 4 года назад +11

    Mheshimiwa rais wewe kweli baba Lao, ongera sana mungu akubariki waliopita hawakuwa hivyo una moyo wa kipekee kabisa, mungu katupenda sana watanzania kwa kutupa kiongozi bora

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 4 года назад

    Magufuli baba lao tuna kushukuru sana watanzani kwa kutusaidia watu wasiyo jiweza na pia wenye kuzurumiwa akizao wewe una tusaidia sisi wanyonge ubarikiwe 🙏🙏sana babs Leo allah akupe maisha malefu na nguvu tele

  • @uundaselemani7709
    @uundaselemani7709 4 года назад +10

    I got goosebumps when I see this great son of Africa .Kudos Mr president

  • @dennybrown7930
    @dennybrown7930 4 года назад +27

    World best President wasio kupenda wajinyonge

  • @kipagomedia6857
    @kipagomedia6857 4 года назад +11

    Magufuli raisi wa wanyonge nakukubali sana

  • @yalakaluta2546
    @yalakaluta2546 4 года назад +3

    I’m Congolese I really love you president JPM

  • @antoinea.katembo5326
    @antoinea.katembo5326 4 года назад +6

    Kabisa hadi wananchi wenyewe ndo wanamuita BABA LAO! That is the full meaning of YES WE CAN!

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 4 года назад +12

    Maguful baba lao

  • @antarsaid4021
    @antarsaid4021 4 года назад +8

    Na kukubal san anko Magufuli ww una stahili asaa kuwa Raisi kwa utendaji uwo lazima nikukubali tangu nachukulia mambo y vyama lkn nime kuangalia san kwny mizunguko yako unafaa kuwa Raisi ww💯💯 Mungu ajaalie n mara hii upate ww ila uje uishuhulikie hiii Zanzibar ..

  • @sumabata5864
    @sumabata5864 4 года назад

    Upo vizuri kaka endelea kuchapa kazi na mungu atakusaidia

  • @deejaychuii5978
    @deejaychuii5978 4 года назад +2

    Mungu akupe maisha malefu rais wetu

  • @adnanidarous3117
    @adnanidarous3117 3 года назад

    Oya acheni unafiki mfano wa rais kama magufuli kw Tanzania yeye ni wa pili baada ya Al marhum Karume yeye anafuata long life to Uncle magu we alwys proud of you

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад

    M.mungu akubariki rais

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 4 года назад +6

    Wazanzibar mnajuwa kunifurahisha et Baba lao

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 4 года назад +1

      Kabisaaa si uongo huyu BABA lao

    • @shibilitimedia3312
      @shibilitimedia3312 4 года назад +1

      @@mohammedabdallah6390 Hakika juhudi zake zinaonekana wazi anachapa Kazi Hongera kwake Mwalimu Magufuri

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 4 года назад +6

    Safi

  • @polloz77
    @polloz77 4 года назад +3

    Great great Son of Africa Dr John Pombe Magufuli mwanamapinduzi mzalendo wa kweli

  • @muntazirhaji8837
    @muntazirhaji8837 4 года назад +6

    Respect mr.president (people's president)🙏🙏

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 года назад +10

    Raisi wawa nyonge nakuaminiyaga unafanyaga jambo hata hakuna aliyekuwa anatarajiya

  • @jonaskilomba4094
    @jonaskilomba4094 4 года назад +7

    Hadi Zenji wamekubali kuwa wewe ni Baba lao

  • @kipagomedia6857
    @kipagomedia6857 4 года назад +11

    Kupitia wew tunaomba Zanzibar iwe kama huko unakotoka

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 4 года назад

    Hongera sana Baba lao!!!!

  • @emmydzoo8729
    @emmydzoo8729 4 года назад +5

    Babalaoo

  • @devidpanja115
    @devidpanja115 4 года назад +4

    Baba lao

  • @noorabdi339
    @noorabdi339 4 года назад

    The best. And best. President

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 4 года назад +7

    Afu baba lao, hutaki unataka ukweli ndo huo piga kazi baba tupo pamoja na wewe

  • @bakarizuberikambanga4531
    @bakarizuberikambanga4531 4 года назад +2

    Kuanzia leo mr raisi ni baba lao

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 года назад +2

    Nice

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 года назад

    Maalim Seif hapo Roho inamuuma sanaa KUONA MZEE MAGUFULI NDANI YA UNGUJA

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 4 года назад +6

    Raisi kama huyu twaeza mpata kenya kweli

    • @moudys
      @moudys 4 года назад

      Mimi nipeni hio nafasi zaid ya magu

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 4 года назад

      Hadija Angura alafu mimi nashangaa raisi wenu yupo karibu na wetu kwanini asihige kazi yake

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 4 года назад +1

      Ombeni Mungu majirani zetu. Hata cc wa tz hatukutarajia kumpata tulikuwa bize na Lowassa kumbe Mungu kamuandaa Magufuli. Mtapata tu.

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 4 года назад +4

    Vitanda havina hata mashuka jamani

    • @makameabdalla3147
      @makameabdalla3147 4 года назад

      Wazenj huw hatsem kitu, we know how far we r on health services and facilities

  • @amosdusenge1486
    @amosdusenge1486 4 года назад

    Best president of i have never seen. Africa we need president like you God bless you abundantly

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 года назад +2

    MUNGU AKUPE AFYA NJEMA MH RAIS WETU MCHAPA KAZI

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад

    Wewe ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli,huyu ndiye Rais wetu wa Tanzania.

  • @st.schogg6772
    @st.schogg6772 4 года назад

    Good example to all leaders

  • @firstname600
    @firstname600 4 года назад

    Baba lao fundisha kazi Hao, ikiwezekana njoo uhamie kabisa kura yng unayo, Zanzibar Jina tu saiv tunataka jembe km ww la kuifufua Zanzibar bila kuogopa, huku kwetu Wana fanya kwa mazoeya wanaogopana, Maendeleo hayaji kwa mazoeya ni kukanyaga tu.

  • @saidaali9379
    @saidaali9379 4 года назад +2

    2020 zenji shauri zenu

  • @mohammadbamvua2394
    @mohammadbamvua2394 4 года назад +9

    Naichukia ccm kama njaa lkn hapa kwa magu kura yangu chukua

    • @annambokaanatoli9700
      @annambokaanatoli9700 4 года назад

      CCM ILICHAFULIWA NA WATU .......CCM ITASAFISHWA NA WATU COZ CCM NI KARATASI TU WATU NDIO WANAOIFANYA CCM ha ha

  • @issaissa8572
    @issaissa8572 4 года назад

    Hivi shein alishatembelea wagonjwa

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan2517 4 года назад

    Hahaaaa asante daimond platnumz ..magufuli babalaooo

  • @kelvinsangu6861
    @kelvinsangu6861 2 года назад

    Baba mfariji

  • @zenj1986
    @zenj1986 4 года назад

    Huyu mzee anahuruma sana.

  • @benbenedict2720
    @benbenedict2720 4 года назад

    Vicheko vya kejeli!

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 года назад

    Saafi udumu daima

  • @monicamwazambe9427
    @monicamwazambe9427 4 года назад

    Kwel baba laooooo

  • @sabinashabani9742
    @sabinashabani9742 4 года назад

    Kabisa baba laooo

    • @saidhg483
      @saidhg483 4 года назад

      mm sijui nisemeje kuhusu rais magufuli nabakia tu kufurahi kila nikimuona

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 года назад +2

    Aibu kiongozi wa inchi hafanyi kazi izo magu ndio ivo ccm t lkni ingekua so ccm ungefanya mengi najua uwongozi wa ccm huwezi kufanya mengi aibu kubwa kiongozi wa inchi hajawahi kufanya magu mungu akubarki kwa mema yko

    • @khalmandrojr.5537
      @khalmandrojr.5537 4 года назад +1

      Kama kuna mtu amemuelewa huyu jamaa anitag plz😂😂

    • @chantalgakima2276
      @chantalgakima2276 4 года назад

      😁😂comment yako imenichanganya. Hata sielewiki2

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 4 года назад

      @@chantalgakima2276 huhuhu soma utakachokifaham

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 4 года назад

      @@chantalgakima2276 ushawahi kuona video kumuonesha kiongozi yyte wa zanzibar kutembelea wagonjwa

    • @shibilitimedia3312
      @shibilitimedia3312 4 года назад

      @@gangmore9091 aaaa kumbe ulimanisha

  • @dullahmudy2255
    @dullahmudy2255 4 года назад

    Jamaa anauweza uongozi

  • @veronicakidolezi9263
    @veronicakidolezi9263 4 года назад +1

    Ata Mashuka Hakuna!

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 4 года назад

      Veronica Kidolezi dooh aisee, nmeshangaa sijaona ikiongelewa hii kero jmn akaifuta chap, au kiitifaki ikoje sijajua

  • @vintz338
    @vintz338 4 года назад

    Hv BBC hua wanapitaga nahuku

  • @trumptz4536
    @trumptz4536 4 года назад

    Magu babalao

  • @theroots2743
    @theroots2743 4 года назад

    Kesho zamu ya mashavu mama lao atakuja kuona wagonjwa

  • @hajimakame1062
    @hajimakame1062 4 года назад

    Hogera mkuu umeeapita viogozi wengi

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 года назад

    Magufuli watu wanampenda wenyewe hawashawishi

  • @bmpchanneltz2438
    @bmpchanneltz2438 4 года назад +2

    😡😡😡kwanini baba lao na asiitwe mushumaa??

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 4 года назад

    WASIOKUPENDA WABANE CHOO TU BABA ANGU

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад

    Ile kwangwaru nahis maguful ajaikubal sana kama alivoikubal Baba Lao hahahahahhaaaa

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 4 года назад

    Uchaguzi umekaribia kazi kupumbazwa tu

    • @vitusmdegela5356
      @vitusmdegela5356 4 года назад

      Hayo mawazo yako tu hiyo ndiyo babalao kamaulivyo sikia hivyo tulia hivyo hivyo

    • @cholowao
      @cholowao 4 года назад

      Na nyie wapinzani pumbazeni basi

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 года назад +1

    KAMPENI ZIMEANZA

    • @issatido1740
      @issatido1740 4 года назад +1

      Hii ni desturi yake sio kampeni. Hata tangu anaanza urahisi alifanya hivi.

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 4 года назад

      Usikariri man kila unapofanya mema ni kampen

    • @jacksonjoseph9257
      @jacksonjoseph9257 4 года назад

      Utajuwa tu

  • @kayongooba8774
    @kayongooba8774 4 года назад

    Una lolote kafie uko

  • @profesaorthogonal6095
    @profesaorthogonal6095 4 года назад

    Magufuli ni wapekee Mungu akutimizie mahitaji yako