MAGUFULI - "MIMI BABA LAO" - ONA ALIVYOTEMBELEA WAGONJWA ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 10 янв 2020
- MAGUFULI - "MIMI BABA LAO" - ONA ALIVYOTEMBELEA WAGONJWA ZANZIBAR
Rais Dkt John Magufuli, ametembelea wagonjwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja iliyopo visiwani Zanzibar leo Januari 11, 2019...
GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
ruclips.net/user/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
ruclips.net/user/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
ruclips.net/user/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
ruclips.net/user/playlist?li
Maguuu baba laoo nimeipenda hiyo 😂😂😂CCm oyeee zenji hongeleni huyu ndo Rais wa wanyonge nchin kwetu tunakupenda baba laooo😂😂like kwa baba laoo
@@zeinabuali1984 baba laooo
Hivyo vicheko vya kejeliii
@@benbenedict2720 ni kwafurahaa
Mheshimiwa rais wewe kweli baba Lao, ongera sana mungu akubariki waliopita hawakuwa hivyo una moyo wa kipekee kabisa, mungu katupenda sana watanzania kwa kutupa kiongozi bora
Magufuli baba lao tuna kushukuru sana watanzani kwa kutusaidia watu wasiyo jiweza na pia wenye kuzurumiwa akizao wewe una tusaidia sisi wanyonge ubarikiwe 🙏🙏sana babs Leo allah akupe maisha malefu na nguvu tele
I got goosebumps when I see this great son of Africa .Kudos Mr president
World best President wasio kupenda wajinyonge
Mimi tangu nitoke tumboni sijaona rais kama huyu
Magufuli raisi wa wanyonge nakukubali sana
I’m Congolese I really love you president JPM
Kabisa hadi wananchi wenyewe ndo wanamuita BABA LAO! That is the full meaning of YES WE CAN!
Maguful baba lao
Na kukubal san anko Magufuli ww una stahili asaa kuwa Raisi kwa utendaji uwo lazima nikukubali tangu nachukulia mambo y vyama lkn nime kuangalia san kwny mizunguko yako unafaa kuwa Raisi ww💯💯 Mungu ajaalie n mara hii upate ww ila uje uishuhulikie hiii Zanzibar ..
Upo vizuri kaka endelea kuchapa kazi na mungu atakusaidia
Mungu akupe maisha malefu rais wetu
Oya acheni unafiki mfano wa rais kama magufuli kw Tanzania yeye ni wa pili baada ya Al marhum Karume yeye anafuata long life to Uncle magu we alwys proud of you
M.mungu akubariki rais
Wazanzibar mnajuwa kunifurahisha et Baba lao
Kabisaaa si uongo huyu BABA lao
@@mohammedabdallah6390 Hakika juhudi zake zinaonekana wazi anachapa Kazi Hongera kwake Mwalimu Magufuri
Safi
Great great Son of Africa Dr John Pombe Magufuli mwanamapinduzi mzalendo wa kweli
Respect mr.president (people's president)🙏🙏
Raisi wawa nyonge nakuaminiyaga unafanyaga jambo hata hakuna aliyekuwa anatarajiya
Hadi Zenji wamekubali kuwa wewe ni Baba lao
Kupitia wew tunaomba Zanzibar iwe kama huko unakotoka
Hongera sana Baba lao!!!!
Babalaoo
Baba lao
The best. And best. President
Afu baba lao, hutaki unataka ukweli ndo huo piga kazi baba tupo pamoja na wewe
Daaah aise hatar
Kuanzia leo mr raisi ni baba lao
Nice
Maalim Seif hapo Roho inamuuma sanaa KUONA MZEE MAGUFULI NDANI YA UNGUJA
Raisi kama huyu twaeza mpata kenya kweli
Mimi nipeni hio nafasi zaid ya magu
Hadija Angura alafu mimi nashangaa raisi wenu yupo karibu na wetu kwanini asihige kazi yake
Ombeni Mungu majirani zetu. Hata cc wa tz hatukutarajia kumpata tulikuwa bize na Lowassa kumbe Mungu kamuandaa Magufuli. Mtapata tu.
Vitanda havina hata mashuka jamani
Wazenj huw hatsem kitu, we know how far we r on health services and facilities
Best president of i have never seen. Africa we need president like you God bless you abundantly
MUNGU AKUPE AFYA NJEMA MH RAIS WETU MCHAPA KAZI
Wewe ndiye Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli,huyu ndiye Rais wetu wa Tanzania.
Good example to all leaders
Baba lao fundisha kazi Hao, ikiwezekana njoo uhamie kabisa kura yng unayo, Zanzibar Jina tu saiv tunataka jembe km ww la kuifufua Zanzibar bila kuogopa, huku kwetu Wana fanya kwa mazoeya wanaogopana, Maendeleo hayaji kwa mazoeya ni kukanyaga tu.
2020 zenji shauri zenu
Naichukia ccm kama njaa lkn hapa kwa magu kura yangu chukua
CCM ILICHAFULIWA NA WATU .......CCM ITASAFISHWA NA WATU COZ CCM NI KARATASI TU WATU NDIO WANAOIFANYA CCM ha ha
Hivi shein alishatembelea wagonjwa
Hahaaaa asante daimond platnumz ..magufuli babalaooo
Baba mfariji
Huyu mzee anahuruma sana.
Vicheko vya kejeli!
Saafi udumu daima
Kwel baba laooooo
Kabisa baba laooo
mm sijui nisemeje kuhusu rais magufuli nabakia tu kufurahi kila nikimuona
Aibu kiongozi wa inchi hafanyi kazi izo magu ndio ivo ccm t lkni ingekua so ccm ungefanya mengi najua uwongozi wa ccm huwezi kufanya mengi aibu kubwa kiongozi wa inchi hajawahi kufanya magu mungu akubarki kwa mema yko
Kama kuna mtu amemuelewa huyu jamaa anitag plz😂😂
😁😂comment yako imenichanganya. Hata sielewiki2
@@chantalgakima2276 huhuhu soma utakachokifaham
@@chantalgakima2276 ushawahi kuona video kumuonesha kiongozi yyte wa zanzibar kutembelea wagonjwa
@@gangmore9091 aaaa kumbe ulimanisha
Jamaa anauweza uongozi
Ata Mashuka Hakuna!
Veronica Kidolezi dooh aisee, nmeshangaa sijaona ikiongelewa hii kero jmn akaifuta chap, au kiitifaki ikoje sijajua
Hv BBC hua wanapitaga nahuku
Magu babalao
Kesho zamu ya mashavu mama lao atakuja kuona wagonjwa
Hogera mkuu umeeapita viogozi wengi
Magufuli watu wanampenda wenyewe hawashawishi
😡😡😡kwanini baba lao na asiitwe mushumaa??
Au kwanini isiwe HAINISHTUI? 😜😂😂😂😂😂
Hahaha noma kweli
WASIOKUPENDA WABANE CHOO TU BABA ANGU
Ile kwangwaru nahis maguful ajaikubal sana kama alivoikubal Baba Lao hahahahahhaaaa
Uchaguzi umekaribia kazi kupumbazwa tu
Hayo mawazo yako tu hiyo ndiyo babalao kamaulivyo sikia hivyo tulia hivyo hivyo
Na nyie wapinzani pumbazeni basi
KAMPENI ZIMEANZA
Hii ni desturi yake sio kampeni. Hata tangu anaanza urahisi alifanya hivi.
Usikariri man kila unapofanya mema ni kampen
Utajuwa tu
Una lolote kafie uko
Magufuli ni wapekee Mungu akutimizie mahitaji yako