DR. SULLE | MAJINI 5 WAKOROFI DUNIANI | JINI MAHABA YUMO | KAMA UNADALILI HIZI | JUA UNAJINI MAHABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июн 2021
  • DR. SULLE | MAJINI 5 WAKOROFI DUNIANI | JINI MAHABA YUMO | KAMA UNADALILI HIZI | JUA UNAJINI MAHABA
    #Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle #JinniMahaba

Комментарии • 110

  • @jaymandy1914
    @jaymandy1914 2 года назад +4

    Dr. Sulle yupo vizuri sana jamani.

  • @zainabuabdi8549
    @zainabuabdi8549 9 месяцев назад +1

    Nadhani nitafaidika inshallah Allah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +2

    Shukraan sheikh wetu

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +1

    JazakAllahukhayr sheikh

  • @user-hw6bx8qd4e
    @user-hw6bx8qd4e 11 месяцев назад

    Jini mahaba shikamoo...

  • @SanchoMwakasendile-nr4um
    @SanchoMwakasendile-nr4um 10 дней назад

    Mm nipo mbeya antena inayumba je nini tatizo

  • @user-eu1nj6qu3y
    @user-eu1nj6qu3y 3 месяца назад +1

    Jamani mm dalili zote ulozitaja ninazo daa!!! Yaan kama swala la kufanya tendo la ndoa linanisumbua,,ahadi hazitimiliki ni mengi saana

  • @MarlenRaimundo
    @MarlenRaimundo 2 месяца назад

    Dr mm nataka mafuta nipo Mozambique 🇲🇿

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +2

    Assalamu alaykum sheykh
    Nahayo unowatolea siri zao majini wakijini na makini wakibinaadam yawezekana wanakufanyiya vitimbi uonekane m baya duniani nzima
    Wao hawapendi hivyo ujitahidi sheykh sule na adhakari za kinga

  • @JumaAbdallah-ln5vo
    @JumaAbdallah-ln5vo Год назад

    Tutapaje sheikh

  • @merryjeremiah7533
    @merryjeremiah7533 Год назад

    😢Mafuta yanaitwaje sheikh

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 2 года назад

    Sijui mmenielewa

  • @furahamwinyi9052
    @furahamwinyi9052 2 года назад

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh shukran shaihk kambe twaishi sote uliyongea yote nko nyo mungu t asaidie yarab

  • @leilagennet4886
    @leilagennet4886 3 года назад +2

    Nitapata vipi hio mafuta mini niko kenya mombasa

  • @rashidmasakhwe1172
    @rashidmasakhwe1172 3 года назад +2

    Nipo Mombasa kenya tafadhali shehe wangu nisaidie

    • @dhaharanijongo9700
      @dhaharanijongo9700 3 года назад +1

      ha,ha,kwetu tanzania wanatibu hilo tatizo tena waganga wapo wengi tu

    • @fatmayusuf1656
      @fatmayusuf1656 3 года назад +1

      @@dhaharanijongo9700 hatutaki waganga twataka kisheria

  • @hassanihathunu9531
    @hassanihathunu9531 2 года назад

    Haya mafuta nnayapataje sheikh wangu? Naomba taratibu zke plz

  • @user-fx6hp5wt4r
    @user-fx6hp5wt4r 4 месяца назад

    Hayo mafuta yanaitwaje nasumbuka san sheikh

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 3 года назад +5

    Dr Sulle tunapataje hayo mafuta ukiwa mombasa unasafirisha???

  • @farhyaabdallah2089
    @farhyaabdallah2089 2 года назад

    Assalam aleykum sheghe

  • @mwashamleo9996
    @mwashamleo9996 9 месяцев назад

    Mimi nayataka nasumbuliwa na hiyo hali had mapenz ya jinsia moja mara wanaume wawil au mmoja

  • @rehemakasuge3736
    @rehemakasuge3736 2 года назад

    A.alaykum shekh plz naomb ujib yanaitwaje Ayo mafut na yanapatikan wap kw mikoan

  • @kulthumahmedmwijaa6847
    @kulthumahmedmwijaa6847 2 месяца назад

    Asallam alykum shekh vipi mm Niko Qatar hio mafuta naipate

  • @user-xk5lm1xr1d
    @user-xk5lm1xr1d 3 дня назад

    mm nauliza hvyo ukiota unafanya mapenzi hua anakujia kufanya kweli au nd unajiona ushafanya2?

  • @hadijamutie5383
    @hadijamutie5383 2 года назад

    Aslm aleikum naipataje hyo dawa mm Niko kenya

  • @ramadhanmohamed1290
    @ramadhanmohamed1290 Год назад +1

    ustadhi asalaam alykum,, naomba jina la hayo Mafuta

  • @kulthumahmedmwijaa6847
    @kulthumahmedmwijaa6847 2 месяца назад +1

    Kwani dalili zote mm Niko nazo

  • @mwanaidiali3754
    @mwanaidiali3754 2 года назад

    Assalamualaikum yk dk sule mm naomba hy mafuta bei

  • @fadhilimatano3213
    @fadhilimatano3213 Год назад

    Assalam alaykum vp hali Sheikh afwan nitayapata vipi mafuta haya

  • @joanjuma4473
    @joanjuma4473 Месяц назад

    Hizo dalili zote, Nimeshuhudia mm.. Haya mafuta naitoa wapi Hapa kenya

  • @allymloti7738
    @allymloti7738 10 месяцев назад

    Naitaji dawa ya jini mahaba sh ngapi

  • @faizatmfaume9051
    @faizatmfaume9051 Год назад

    Hbr nawezaje kuwapata

  • @hamisisalmah8764
    @hamisisalmah8764 2 года назад +4

    Mafta haya uanapatikana wapi huku kenya

  • @danskill3770
    @danskill3770 Год назад

    Tutapaje Madura shehe?

  • @UncleChenShoushan
    @UncleChenShoushan 2 года назад

    Suleiman hii mafuta abasoudah au asalamaleiku waramatullahi wabarakatu

  • @tunnukhamisi4531
    @tunnukhamisi4531 2 года назад

    Dodoma yanapatikana wp

  • @ThuwaibahHaji
    @ThuwaibahHaji Месяц назад

    Yanapatika wapi

  • @HusseinRamadhan-ei1el
    @HusseinRamadhan-ei1el 2 месяца назад

    Je unaweza kupata zaitul fedha maduka ya dawa za asili

  • @Marimu-if2zk
    @Marimu-if2zk 11 месяцев назад

    Tunapataje mafuta hayo tukiwa Kenya mana Mimi tayari nasumbuliwa hasira pasipo sababu Sina hamu la tendo na kila nikipangacho hakiwi, shida Ni nn

  • @user-rg9fu1pv5b
    @user-rg9fu1pv5b 4 месяца назад

    Ostadhi mimi ninashida kichwa kinauma alafu hofu kutetemeka na macho kuwa na ukungu

  • @rahmarajabu6803
    @rahmarajabu6803 Год назад +1

    Nitayapataje hayo mafuta mm niko mwanza

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 2 года назад +1

    Jina lake yanaitwaje

  • @africanboy4354
    @africanboy4354 2 года назад

    Sheikh Nakupigia sana haupokei sim nahtaji huduma

    • @angelambondelo2836
      @angelambondelo2836 Год назад

      Naomba no yake nahitaji no yake uyo shehe tafadhali

    • @monicageorge2181
      @monicageorge2181 Год назад

      @@angelambondelo2836 namba si kaiweka hapo jamani hamuoni?

  • @martinsimiyu3378
    @martinsimiyu3378 15 дней назад

    Nitayapataje mafuta niko kenya

  • @SanchoMwakasendile-nr4um
    @SanchoMwakasendile-nr4um 10 дней назад

    Je napataje ayo mafuta

  • @zenamfaume4622
    @zenamfaume4622 5 месяцев назад

    Nayapate

  • @jacklinelyimo2672
    @jacklinelyimo2672 2 года назад

    Doctor mbona hujibu jamanii

  • @ommydanger8860
    @ommydanger8860 Год назад

    Shee hayo maji msikiti wa mtolo yapo. Na bei gan Na ya itwaje mm Na yataka

  • @user-ki6nw6ve7p
    @user-ki6nw6ve7p 3 года назад +1

    Asaalmwalekm, sheh tufanye ni2

  • @user-fx6hp5wt4r
    @user-fx6hp5wt4r 4 месяца назад

    Zote unazozitaja naziona kwangu nachukia watoto w kiume nakuwa n hasira kali mpak najiuliz n mim tu au

  • @joyjusuf9454
    @joyjusuf9454 3 месяца назад

    Naitaji hayo mafuta,niko saudi arabia

  • @kalawasisters
    @kalawasisters 6 месяцев назад

    Niko Kenya iyo mafuta nitaipata aji

  • @sama-jo1ux
    @sama-jo1ux 3 года назад +1

    Ajeni utapeli ma sheikh wa Tanzania

  • @user-xd3be5hj5k
    @user-xd3be5hj5k 7 месяцев назад

    Napataje hayo mafuta doctor sule

  • @araphamustapha2584
    @araphamustapha2584 Год назад

    Nk nashida kwl jmn ago mafuta tunayapataje nk dom

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 2 года назад

    Tuambie hayo mafuta jina lake please

  • @user-hd9ih7tq4j
    @user-hd9ih7tq4j 4 месяца назад

    Je mim ni mkenya niko mombasa nitaipata wap

  • @rizyonebatuli1851
    @rizyonebatuli1851 9 дней назад

    Mafuta hayo nayapaje ostadhi

  • @slimbanks8708
    @slimbanks8708 Год назад

    Haya shekhe mafuta hayo Kenya tunayapata vp nasi

  • @jacklinelyimo2672
    @jacklinelyimo2672 2 года назад

    Nayataka nayapataje

  • @rashidmasakhwe1172
    @rashidmasakhwe1172 3 года назад

    Nitapateje hiyo dawa shehe niko na shida ya jini mahaba linanisubua sana plz plz shehe nisaidie

  • @user-hb4zu7ui8h
    @user-hb4zu7ui8h 3 месяца назад

    Haya mafuta nayapataje nipo buguruni

  • @nyawahamisi2747
    @nyawahamisi2747 Год назад

    Hio dawa zaitul fedha nitayapataje

  • @aishagakurya5364
    @aishagakurya5364 Год назад

    Jina la mafuta please 🙏

  • @leilajurdini9110
    @leilajurdini9110 2 года назад +1

    Naipataje iyo dawa shee

  • @marobaraka
    @marobaraka 5 месяцев назад

    Majini wema huwa wanakazi gani yani huwa mnawapa kazi gani mnauhusiano gani na majini wema??
    Je majini wema ni kama alivyo malaika??
    Na kwanini majini wanaishi duniani na malaika wanaishi mbinguni mahali anapoishi Mungu??
    Kwanini malaika waishi mahali patakatifu mbinguni na majini waishi duniani ambako hapana utakatifu maana dhambi imetawala dunia na mbinguni Hamna dhambi wanapoishi malaika?
    Kwanini majini wanatumiwa na binadam na malaika Mungu pekee ndie anawatumia??
    Au kunamwanadamu wa sasa anaweza kumuita na kumtuma malaika wa mbinguni kama anavyoweza kumuita jini na kumtuma??
    Je wema wa jini ni sawa na utakatifu wa malaika?
    Asalam aleykum

  • @RahmaRujaina-qq3cd
    @RahmaRujaina-qq3cd 8 месяцев назад

    Shekh mafuta tunayapataje nipo daa huku

  • @husseinmahenge3176
    @husseinmahenge3176 3 года назад

    Watalamu wa kufuga majin maji
    N yote ni mabaya hakuna jin zur dunian

  • @judithadhiambo950
    @judithadhiambo950 2 года назад

    Nitakupataje

  • @saumudama6616
    @saumudama6616 2 года назад

    Niko Mombasa dawa nitaipataje

  • @jacklinelyimo2672
    @jacklinelyimo2672 2 года назад

    Mafuta hayo nayapatajee

  • @UncleChenShoushan
    @UncleChenShoushan 2 года назад +1

    Kwani ujatupea jina

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Год назад

    Nataka hayo mafuta

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад

    Tunapataje

  • @user-xd3be5hj5k
    @user-xd3be5hj5k 7 месяцев назад

    😂😂😂 tafadhari dct naomba hayo mafuta yanapatikana wapi?..

  • @halimakidoti2101
    @halimakidoti2101 Год назад

    Ayo mafuta tunayapataje shekh

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 2 года назад

    Tawaipataj

  • @fatumamwadungo4643
    @fatumamwadungo4643 3 года назад

    Jina la mafuta hayo

  • @happinessmakombe8797
    @happinessmakombe8797 2 года назад

    Nahitaji hayo mafuta

  • @mohamedmwanyasi678
    @mohamedmwanyasi678 3 года назад +1

    Mafuta ya

  • @farhyaabdallah2089
    @farhyaabdallah2089 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂 hahahahh

  • @swiyamumussa2137
    @swiyamumussa2137 Год назад

    Tunapataje mafuta

  • @neemafabian6758
    @neemafabian6758 Год назад

    Mafuta yanaitwaje

  • @hajjikiguson482
    @hajjikiguson482 2 года назад

    Yanaitwaj na 2nayapataj

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sophiasophia4668
    @sophiasophia4668 2 года назад +1

    Kumbe ni wewe Dr sulle tumesikia habari yako kutoka kwa mwaipopo

  • @UncleChenShoushan
    @UncleChenShoushan 2 года назад

    Mafuta yaitwaje

  • @sophiasophia4668
    @sophiasophia4668 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤

  • @godwinmwabukus4145
    @godwinmwabukus4145 Год назад

    Shey ayo mafuta tuyapataje

  • @FirminNDIHOKUBWAYO
    @FirminNDIHOKUBWAYO 3 месяца назад

    ASANTE DR HAHAAH HAPO UNAPOSEMA KUPANDISHA ANTENA

  • @jacklinelyimo2672
    @jacklinelyimo2672 2 года назад

    Doctor mbona hujibu jamanii

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 6 месяцев назад

    Tunapataje mafuta jamani