DR. SULLE | MAJINI 5 WAKOROFI DUNIANI | JINI MAHABA YUMO | KAMA UNADALILI HIZI | JUA UNAJINI MAHABA
HTML-код
- Опубликовано: 20 июн 2021
- DR. SULLE | MAJINI 5 WAKOROFI DUNIANI | JINI MAHABA YUMO | KAMA UNADALILI HIZI | JUA UNAJINI MAHABA
#Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle #JinniMahaba
Dr. Sulle yupo vizuri sana jamani.
Nadhani nitafaidika inshallah Allah
Shukraan sheikh wetu
Tapataj nipo burundi
JazakAllahukhayr sheikh
Jini mahaba shikamoo...
Mm nipo mbeya antena inayumba je nini tatizo
Jamani mm dalili zote ulozitaja ninazo daa!!! Yaan kama swala la kufanya tendo la ndoa linanisumbua,,ahadi hazitimiliki ni mengi saana
Dr mm nataka mafuta nipo Mozambique 🇲🇿
Assalamu alaykum sheykh
Nahayo unowatolea siri zao majini wakijini na makini wakibinaadam yawezekana wanakufanyiya vitimbi uonekane m baya duniani nzima
Wao hawapendi hivyo ujitahidi sheykh sule na adhakari za kinga
Tutapaje sheikh
😢Mafuta yanaitwaje sheikh
Sijui mmenielewa
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh shukran shaihk kambe twaishi sote uliyongea yote nko nyo mungu t asaidie yarab
Nitapata vipi hio mafuta mini niko kenya mombasa
Nipo Mombasa kenya tafadhali shehe wangu nisaidie
ha,ha,kwetu tanzania wanatibu hilo tatizo tena waganga wapo wengi tu
@@dhaharanijongo9700 hatutaki waganga twataka kisheria
Haya mafuta nnayapataje sheikh wangu? Naomba taratibu zke plz
Hayo mafuta yanaitwaje nasumbuka san sheikh
Dr Sulle tunapataje hayo mafuta ukiwa mombasa unasafirisha???
Assalam aleykum sheghe
Mimi nayataka nasumbuliwa na hiyo hali had mapenz ya jinsia moja mara wanaume wawil au mmoja
A, aleykum, je ulishapata tiba
A.alaykum shekh plz naomb ujib yanaitwaje Ayo mafut na yanapatikan wap kw mikoan
Asallam alykum shekh vipi mm Niko Qatar hio mafuta naipate
mm nauliza hvyo ukiota unafanya mapenzi hua anakujia kufanya kweli au nd unajiona ushafanya2?
Aslm aleikum naipataje hyo dawa mm Niko kenya
ustadhi asalaam alykum,, naomba jina la hayo Mafuta
naomba kujuwa hayo mafuta yanaitwaje
Kwani dalili zote mm Niko nazo
Assalamualaikum yk dk sule mm naomba hy mafuta bei
Assalam alaykum vp hali Sheikh afwan nitayapata vipi mafuta haya
Hizo dalili zote, Nimeshuhudia mm.. Haya mafuta naitoa wapi Hapa kenya
Naitaji dawa ya jini mahaba sh ngapi
Hbr nawezaje kuwapata
Mafta haya uanapatikana wapi huku kenya
Uliyapata hayo mafuta?
Tutapaje Madura shehe?
Suleiman hii mafuta abasoudah au asalamaleiku waramatullahi wabarakatu
Dodoma yanapatikana wp
Yanapatika wapi
Je unaweza kupata zaitul fedha maduka ya dawa za asili
Tunapataje mafuta hayo tukiwa Kenya mana Mimi tayari nasumbuliwa hasira pasipo sababu Sina hamu la tendo na kila nikipangacho hakiwi, shida Ni nn
Ostadhi mimi ninashida kichwa kinauma alafu hofu kutetemeka na macho kuwa na ukungu
Nitayapataje hayo mafuta mm niko mwanza
Jina lake yanaitwaje
Sheikh Nakupigia sana haupokei sim nahtaji huduma
Naomba no yake nahitaji no yake uyo shehe tafadhali
@@angelambondelo2836 namba si kaiweka hapo jamani hamuoni?
Nitayapataje mafuta niko kenya
Je napataje ayo mafuta
Nayapate
Doctor mbona hujibu jamanii
Shee hayo maji msikiti wa mtolo yapo. Na bei gan Na ya itwaje mm Na yataka
Asaalmwalekm, sheh tufanye ni2
Zote unazozitaja naziona kwangu nachukia watoto w kiume nakuwa n hasira kali mpak najiuliz n mim tu au
Naitaji hayo mafuta,niko saudi arabia
Niko Kenya iyo mafuta nitaipata aji
Ajeni utapeli ma sheikh wa Tanzania
Si kila kitu ni utapeli 🤣🤣🤣🤣
Acha chuki @sama
Napataje hayo mafuta doctor sule
Nk nashida kwl jmn ago mafuta tunayapataje nk dom
Tuambie hayo mafuta jina lake please
Je mim ni mkenya niko mombasa nitaipata wap
Mafuta hayo nayapaje ostadhi
Haya shekhe mafuta hayo Kenya tunayapata vp nasi
Nayataka nayapataje
Nitapateje hiyo dawa shehe niko na shida ya jini mahaba linanisubua sana plz plz shehe nisaidie
Haya mafuta nayapataje nipo buguruni
Hio dawa zaitul fedha nitayapataje
Jina la mafuta please 🙏
Naipataje iyo dawa shee
Majini wema huwa wanakazi gani yani huwa mnawapa kazi gani mnauhusiano gani na majini wema??
Je majini wema ni kama alivyo malaika??
Na kwanini majini wanaishi duniani na malaika wanaishi mbinguni mahali anapoishi Mungu??
Kwanini malaika waishi mahali patakatifu mbinguni na majini waishi duniani ambako hapana utakatifu maana dhambi imetawala dunia na mbinguni Hamna dhambi wanapoishi malaika?
Kwanini majini wanatumiwa na binadam na malaika Mungu pekee ndie anawatumia??
Au kunamwanadamu wa sasa anaweza kumuita na kumtuma malaika wa mbinguni kama anavyoweza kumuita jini na kumtuma??
Je wema wa jini ni sawa na utakatifu wa malaika?
Asalam aleykum
Shekh mafuta tunayapataje nipo daa huku
Watalamu wa kufuga majin maji
N yote ni mabaya hakuna jin zur dunian
Asalaam aleikum,ndugu huyu sheykh wa Tz au Kenya
Tz
Nitakupataje
Pga no zao zile kwenye screen
Niko Mombasa dawa nitaipataje
Mafuta hayo nayapatajee
Kwani ujatupea jina
Zaitul fedha
Nataka hayo mafuta
Tunapataje
😂😂😂 tafadhari dct naomba hayo mafuta yanapatikana wapi?..
Ayo mafuta tunayapataje shekh
Zaitul fedha
Tawaipataj
Jina la mafuta hayo
Nahitaji hayo mafuta
Mafuta ya
Ndio 7l9o
😂😂😂😂😂😂 hahahahh
🤣🤣
Tunapataje mafuta
Mafuta yanaitwaje
Yanaitwaj na 2nayapataj
🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe ni wewe Dr sulle tumesikia habari yako kutoka kwa mwaipopo
Mafuta yaitwaje
Mafuta ya zeit
Mafuta ya itwaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
Shey ayo mafuta tuyapataje
ASANTE DR HAHAAH HAPO UNAPOSEMA KUPANDISHA ANTENA
Doctor mbona hujibu jamanii
Tunapataje mafuta jamani