Nini Hukumu Ya Kumuua Jini? / Je Majini Wanakula Pamoja Na Sisi? / Sheikh Hashimu Rusaganya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Nini Hukumu Ya Kumuua Jini? / Je Majini Wanakula Pamoja Na Sisi? / Sheikh Hashimu Rusaganya
    Darsa la tafsiri Mwinyimkuu 2021 la mwezi Muharramii mwaka 1443H lilotolewa na sheikh Hashimu Rusaganya kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks

Комментарии • 15

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Месяц назад

    Mtu unaweza ukawa umepotea na usijue kwamba umepotea, Ngoja tuwafundi japo kidogo ingawaje tunajua hamuwezi kurudi kwenye Mungu Jehovah.Ni hivi roho haifi hata sisi wanadamu unaokufa ni mwili tu lakini roho haifi na hiyo ndiyo itakayo hukumiwa,sasa basi viumbe kama mashetani,majini, vibwengo hizo ni roho hazifi,tokeni kwenye upotevu

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 месяца назад

    SUBHANALLAH
    LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +1

    Ustaaz unachanganya hapo mbn? Tulikuwa kwa maada ya majini ss umerukia kwa shetani! Shetani ni jini aliekufuru lkn kuna majini maswalihin hapo fafanua juu ya kula nao

    • @Jasminehamisi29
      @Jasminehamisi29 День назад

      Sasa hapo ujaelewa nn kabla ya kuanza kitu mtangulize mungu dunia ina vingi tunavyo viona na tusivyo viona licha ya majini kuna wachawi misikule vita ni kubwa 😂😂😂

  • @PeterXyzdlv
    @PeterXyzdlv 3 месяца назад

    Dini ina mambo😢

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 Год назад +1

    Watu wenye tabia inayofanana, hutembea pamoja. Hawa wenzetu .... na majini hula sahani moja. Mafundisho haya yanajieleza wazi kabisa.

    • @mariamumrina6761
      @mariamumrina6761 Год назад

      Hivi kwanini ninyi wakristu mnapenda kukashfu imani za wengine hampendi kabisa kujifunza mambo mazuri kutoka kwa wengine hapa shekh anafundisha kwamba ukila bila kutaja Mwenyezi Mungu ,bac utakula pamoja na sheitwani wewe umemnukuu vibaya sio lazima ukoment ndugu

    • @munirshabani8731
      @munirshabani8731 Год назад

      ​@@mariamumrina6761wanamatatizo ya akili hawa jamaa si bure

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 9 месяцев назад

      ​@@mariamumrina6761Siyo kukashifu, nyie mmepotea nasisi hatufurahii kipotea kwenu maana Mungu anatamani kila mwanadamu ifikie toba maana Mungu hapendi mwanadamu apotee, kwakuwa jehanamu ameumbiwa shetani na malaika zake

  • @bonfacemlembezi7914
    @bonfacemlembezi7914 11 месяцев назад +2

    Mzee okoka

  • @harondust1247
    @harondust1247 Год назад

    Majini ni malaika waasi...hakuna ibada kati ya binadamu na majini

    • @hattusilli2225
      @hattusilli2225 Год назад

      Aliekuambia hio amekudanganya au na yeye hana elimu

  • @rokoowilfred2318
    @rokoowilfred2318 3 года назад +1

    Ndugu huteteana

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 2 года назад

      Kafiri wewe

    • @rusiachupa5374
      @rusiachupa5374 2 года назад +2

      Mungu akulipe shekhe wetu na hakika hekima umfanya mtu awe karibu na wewe shekhe nakupenda sana Allah akupe umri mrefu inshaallah 🙏 💖