Njoni niwasimulie by Damu Takatifu ya Yesu Choir- Tegeta

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Let us go back to those days when storytelling was the biggest and most important thing than what we glue ourselves today into. Another production from Keen Insights Productions.
    Music Composed by David Wasonga and produced by Alexander Ndibalema & David Wasonga
    Sang by Damu Takatifu ya Yesu Choir - Tegeta
    Gaffer: Benny (Ombeni) Msemo
    Directed by Edgar Ngelela
    Turudi nyakati zile ambapo hadithi zilikuwa muhimu sana katika kurithisha mila, desturi na tamaduni lakini pia tukiburudika wakati huo huo. Tofauti na siku zile, siku hizi tunatumia muda mwingi sana tukiangalia na kupokea vitu kengeushi tukishindwa kuchuja yepi ni mazuri ya kuchukua na yepi mabaya ya kuacha. Burudika kwa wimbo huu ulioimbwa na kwaya ya Damu Takatifu ya Yesu - Tegeta.
    Mwanga: Benny (Ombeni) Msemo
    Imeongozaji na Edgar Ngelela

Комментарии • 27

  • @HellenaMrema-e7k
    @HellenaMrema-e7k 9 месяцев назад

    Safi sana hongereni Kwa utume

  • @georginamulebya4932
    @georginamulebya4932 3 года назад +2

    Hongereni wana Damu Takatifu ya Yesu, wimbo njoni niwasimulie ni kiboko. Mungu awaimarishe zaidi.

  • @tamkohuru
    @tamkohuru 4 года назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @georginamulebya4932
    @georginamulebya4932 2 года назад +1

    Such a marvelous song. Congrants damu takatifu ya Yesu.

  • @georginamulebya4932
    @georginamulebya4932 3 года назад +1

    Kazi nzuri sana.Mungu azidi kuwaimarisha wana DTY.

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 3 года назад +1

    Mbarikiwe sana kwa sauti zote yani sauti ya 1- hadi bes nawimbo mzuri mmeutendea haki

  • @WildergodKnight
    @WildergodKnight 4 года назад +2

    Hakika kumuimbia Mungu ni raha sana

  • @aristarickmallya26
    @aristarickmallya26 5 лет назад +2

    Wimbo mzuri ila mgumu hatari nimejaribu kucheck nota zake duh
    Hadi mpiga kinanda kaelekezwa namna ya kucheza ila wassonga Mungu anakuona
    Yaani unapendaga tu watu waumie

  • @jeoffreyngonyani4088
    @jeoffreyngonyani4088 5 лет назад +2

    DTY,KAZI NZURI SANA,MUNGU AWABARIKI MDUMU KATIKA UPENDO NA KUFANYA KAZI YA KUTANGAZA NENO LA MUNGU KUPITIA UIMBAJI WENU.

  • @shijalugiko4053
    @shijalugiko4053 5 лет назад +1

    Hakika Mungu wetu ni mkuu. Sauti nzuri sana. Asanteni kwa tafakari ilioshiba hakika ni mengi sana ambayo Mungu anatujalia. Kubwa kuliko yote ni hii pumnzi atujaliayo pasipo Gharama yoyote ile. hakika ni miujiza mikubwa mno atutendeao na upendo wa hali ya juu sana. Tukimwomba kwa unyenyekevu atatujalia. Hakika nimeonja ukarimu wa Mungu. Asanteni Kwaya ya Damu Takatifu Ya Yesu.-Tegeta

  • @eternalword1843
    @eternalword1843 5 лет назад +1

    Nimeipenda sana. Hongereni sana.

  • @billyrique
    @billyrique 2 года назад

    Nice song!

  • @joachimligwa5424
    @joachimligwa5424 5 лет назад +1

    Wimbo unanibariki sana huu

  • @bonnyventureshayo9305
    @bonnyventureshayo9305 4 года назад +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri na iliyotukuka

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 5 лет назад +1

    Asanteni kwa uinjilishaji mzuri

  • @joachimligwa5424
    @joachimligwa5424 5 лет назад +1

    Wimbo mtamu sana

  • @comwijage
    @comwijage 5 лет назад +2

    God bless you all for this album

  • @abalindam.gorret275
    @abalindam.gorret275 5 лет назад +1

    woow!! this is great work. this your multicultural video is super great. I love love love

  • @felisteredward1599
    @felisteredward1599 5 лет назад

    Duh nzuri sana.. Namuona kaka Kidaluso

  • @berthajohn2722
    @berthajohn2722 5 лет назад +1

    Safi sana..Sauti za kikatoliki

  • @ceciliansemiwe8188
    @ceciliansemiwe8188 5 лет назад +1

    Wow! Great! Kazi nzuri sana ya kwaya yetu ya Damu Takatifu ya Yesu!

    • @davidwasonga3894
      @davidwasonga3894 5 лет назад +1

      asante sana

    • @billyrique
      @billyrique 2 года назад +1

      @@davidwasonga3894 Wewe kaka ni mtunzi mzuri sana. Niliona comment moja watu wanadhani umzee...hahahaa...ninaelewa ni kwasababu ya nyimbo zako nzuri na ngumu ambazo ukizipatia lazima utamu wa music uwepo. Mungu na aendelee kukubariki na ukatoe nyimbo nyingi zaidi za aina hii ukawena vitabu vingi hata kina G.F. Handel na J.S. Bach wangojee. Pia nakushauri andaa vitabu vya music wako maana nimeona una nyimbo za toka mwanzoni mwa 2000. kwa hili litapeleka hii huduma mbali zaidi. kama Great composers wa zamani used to do. Compile kitabu kimoja baada ya kingine...una so many songs. Mwingine niliusikia wa miaka 150 uliimbwa na St. Joseph Cathedral na mingine miingi sana. Be Blessed.

    • @davidwasonga3894
      @davidwasonga3894 11 месяцев назад

      asante sana kaka Billy, nitazingatia ushauri wako@@billyrique