Njoni niwasimulie by Damu Takatifu ya Yesu Choir- Tegeta
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Let us go back to those days when storytelling was the biggest and most important thing than what we glue ourselves today into. Another production from Keen Insights Productions.
Music Composed by David Wasonga and produced by Alexander Ndibalema & David Wasonga
Sang by Damu Takatifu ya Yesu Choir - Tegeta
Gaffer: Benny (Ombeni) Msemo
Directed by Edgar Ngelela
Turudi nyakati zile ambapo hadithi zilikuwa muhimu sana katika kurithisha mila, desturi na tamaduni lakini pia tukiburudika wakati huo huo. Tofauti na siku zile, siku hizi tunatumia muda mwingi sana tukiangalia na kupokea vitu kengeushi tukishindwa kuchuja yepi ni mazuri ya kuchukua na yepi mabaya ya kuacha. Burudika kwa wimbo huu ulioimbwa na kwaya ya Damu Takatifu ya Yesu - Tegeta.
Mwanga: Benny (Ombeni) Msemo
Imeongozaji na Edgar Ngelela
Safi sana hongereni Kwa utume
Hongereni wana Damu Takatifu ya Yesu, wimbo njoni niwasimulie ni kiboko. Mungu awaimarishe zaidi.
Mungu akubariki sana
Such a marvelous song. Congrants damu takatifu ya Yesu.
Kazi nzuri sana.Mungu azidi kuwaimarisha wana DTY.
Mbarikiwe sana kwa sauti zote yani sauti ya 1- hadi bes nawimbo mzuri mmeutendea haki
Hakika kumuimbia Mungu ni raha sana
Wimbo mzuri ila mgumu hatari nimejaribu kucheck nota zake duh
Hadi mpiga kinanda kaelekezwa namna ya kucheza ila wassonga Mungu anakuona
Yaani unapendaga tu watu waumie
DTY,KAZI NZURI SANA,MUNGU AWABARIKI MDUMU KATIKA UPENDO NA KUFANYA KAZI YA KUTANGAZA NENO LA MUNGU KUPITIA UIMBAJI WENU.
Hakika Mungu wetu ni mkuu. Sauti nzuri sana. Asanteni kwa tafakari ilioshiba hakika ni mengi sana ambayo Mungu anatujalia. Kubwa kuliko yote ni hii pumnzi atujaliayo pasipo Gharama yoyote ile. hakika ni miujiza mikubwa mno atutendeao na upendo wa hali ya juu sana. Tukimwomba kwa unyenyekevu atatujalia. Hakika nimeonja ukarimu wa Mungu. Asanteni Kwaya ya Damu Takatifu Ya Yesu.-Tegeta
Nimeipenda sana. Hongereni sana.
Nice song!
Wimbo unanibariki sana huu
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri na iliyotukuka
Amina
Asanteni kwa uinjilishaji mzuri
Wimbo mtamu sana
God bless you all for this album
woow!! this is great work. this your multicultural video is super great. I love love love
Duh nzuri sana.. Namuona kaka Kidaluso
Safi sana..Sauti za kikatoliki
Mungu awainue mzidi kuzitangaza sifa zake! kazi nzuri!
nimeutwa sana na ubunifu wa mwandishi wa wimbo!
Wow! Great! Kazi nzuri sana ya kwaya yetu ya Damu Takatifu ya Yesu!
asante sana
@@davidwasonga3894 Wewe kaka ni mtunzi mzuri sana. Niliona comment moja watu wanadhani umzee...hahahaa...ninaelewa ni kwasababu ya nyimbo zako nzuri na ngumu ambazo ukizipatia lazima utamu wa music uwepo. Mungu na aendelee kukubariki na ukatoe nyimbo nyingi zaidi za aina hii ukawena vitabu vingi hata kina G.F. Handel na J.S. Bach wangojee. Pia nakushauri andaa vitabu vya music wako maana nimeona una nyimbo za toka mwanzoni mwa 2000. kwa hili litapeleka hii huduma mbali zaidi. kama Great composers wa zamani used to do. Compile kitabu kimoja baada ya kingine...una so many songs. Mwingine niliusikia wa miaka 150 uliimbwa na St. Joseph Cathedral na mingine miingi sana. Be Blessed.
asante sana kaka Billy, nitazingatia ushauri wako@@billyrique