Imbeni Kwa Shangwe - Kwaya ya Mt.Yosefu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kwaya Kuu ya Mt.Yosefu
    Kanisa Kuu la Mt.Yosefu
    Jimbo Kuu la Dar es salaam
    Albamu: Ukuu wa Mungu
    Wimbo - Imbeni Kwa Shangwe
    Mtunzi - Earnest Ogeda

Комментарии • 88

  • @miriamkessy4290
    @miriamkessy4290 Год назад +1

    Nabarikiwa Sana KATIKA wimbo huu, Mungu awabariki kwakiinjilisha kwa nyimbo,
    Ni mimi Aristides kessy,

  • @raphaelngoy1680
    @raphaelngoy1680 2 года назад +1

    Amina Amina Amina tumsifu na kushangiliya na tumshukuru kwani viote tuna pewa kwake bure tu

  • @emanuelevarist9661
    @emanuelevarist9661 2 года назад +1

    ujumbe mzuri

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dc 4 месяца назад

    Hamjui kufeli utume mwema wana Joseph

  • @robertshija6760
    @robertshija6760 3 года назад +1

    Imekaa vzr saana wapendwa

  • @justinmbai1414
    @justinmbai1414 4 года назад +2

    Kazi yenu ndg zangu kiukweli nasema toka moyoni ,,,kuwa Imenibariki mno,,,Mko juu sana,,,Mzidi Kupata mibaraka tele...Amina

  • @zakayojoseph4048
    @zakayojoseph4048 3 года назад +1

    Hongereni Sana makamanda watu wangu was nguvu Bado nawaona du!

  • @raphaelngoy1680
    @raphaelngoy1680 2 года назад

    Qui canta bene ora bis kumba mzuri nikusali mara ya pili

  • @joshuasarutwe4354
    @joshuasarutwe4354 3 года назад +2

    Daaaaaa....RC kweliiii 100% ,nimekubali sanaa ,hongereni

  • @fabianmabano8400
    @fabianmabano8400 4 года назад +4

    HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI WENYE UJUMBE MZURI WA KUMSHUKURU MUNGU DAIMA MILELE YOTE.

  • @raphaelngoy1680
    @raphaelngoy1680 2 года назад

    Tumshukuru

  • @miriamkessy4290
    @miriamkessy4290 Год назад +1

    Good for soang

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 4 года назад +2

    Nabarikiwa sana nisikilizapo wimbo huu. Shukrani sana mtunzi na kwanya yote. Mungu aendelee kuwatunza , kuwapa nguvu na imani kuu ili muendelee kuinjilisha kupitia nyimbo.
    Kuimba ni kusali mara mbili, Mt Augustino.

  • @valentinonakua150
    @valentinonakua150 3 года назад +1

    Amina Amina Amina kwa wimbo mzuuuuri, naomba mtunzi wa huo wimbo. Maana simu yangu hainyeshi vizuri jina LA mtunzi

  • @isayakahemela4881
    @isayakahemela4881 3 года назад +1

    Huu ndio uimbaji wa kikatoliki. Hongereni. Endeleeni hivi bila kupindukia visebenenga

  • @IndexTechnology
    @IndexTechnology 2 года назад

    TYK kuna ile kanda ya muda kidogo ya xmass wapi nitapata audio zake yenye nyimbo kama pangoni bethleum kazaliwaaaa mwana wa Mungu.. tuimbe woote haleluyaaa .. haleeeuya

  • @olexanderj.6969
    @olexanderj.6969 3 года назад +1

    Musuri sana

  • @fredymat1921
    @fredymat1921 4 года назад +1

    Mpangilio wa sauti uko vzri mpangilio wa kinanda vzri snaaa hakika mmeutendea haki huu wimbo mbalikiwe nawapenda snaa mko juu

  • @raphaelngoyi1342
    @raphaelngoyi1342 3 года назад

    Tu na wa tanzania kazi ndjema mungu awape nguvu ya Ku mtumikiya n'a ape akili n'a ekima wa endelee

  • @julianrubavu9583
    @julianrubavu9583 3 года назад

    Hongereni saana

  • @nestorykipanta2874
    @nestorykipanta2874 3 года назад +1

    Hongereni kwa uimbaji mzuri namuona vizuri kabisa Dada Vick mwangulube

    • @victoriamwangulube8468
      @victoriamwangulube8468 3 года назад

      Asanteee sana mdogo wangu Nestory Kipanta! Tubarikiwe sote! Nataizya kalesaa mwene 🙏

  • @Balozikijana25
    @Balozikijana25 4 года назад +1

    Jamn katika huu wimbo Nani mpiga kinandaa

  • @joshuasarutwe4354
    @joshuasarutwe4354 3 года назад

    Daaaaaaaaaa ,huyo organist anayepigia hiiii kwaya ni naniiii....anacharaza kinanda vzr sanaaaa

  • @jacobmarandu6327
    @jacobmarandu6327 3 года назад

    hongereni kwa wimbo mzuri wenye kuinjilisha vema

  • @finiasmkulia6160
    @finiasmkulia6160 4 года назад +2

    Mbarikiwe saana kazi mzuri muendelee kushirikikana tutawasaport

  • @kamera1989
    @kamera1989 4 года назад +1

    ✞︎✞︎✞︎AMINA✞︎✞︎✞︎ Hongerei kwa nyimbo☞︎︎︎♫︎♫︎♫︎ nzuri♫︎♫︎♫︎

  • @pasilisajerono7409
    @pasilisajerono7409 2 года назад

    Nice song congratulations.

  • @eliudwakundu3726
    @eliudwakundu3726 4 года назад +1

    Pongezi sana wanakwaya kwa uimbaji wa ustadi

  • @joshuasarutwe4354
    @joshuasarutwe4354 3 года назад +1

    WALIMU NISHAWAELEWA SANA

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 4 года назад +3

    Hii ndio sababu ya kuitwa Kwaya Kuu ya Kanisa Kuu.
    Hongera Waimbaji wote.
    Hongera Mwl. Mathew Luhanga kwa ukufunzi wenye weledi wa juu hivi.
    Hongera Organist Pascal Gunganamtwa Mhangamkali.
    Hongera Mwl. Santino, organist unayekuja juu kwa nyakati hizi.
    Endeleeni kutuonesha njia ya kupita.
    IMBENI KWA SHANGWE, MSIFUNI BWANA MUNGU ALIYE MUUMBA WA VITU VYOTE!

  • @alphonsemundala6151
    @alphonsemundala6151 3 года назад

    Mzuri sana, kazi ya ajabu yanao nena Utukufu na Sifa ya Mungu wetu. Asanti sana. Baba Mungu awabariki wote pia vipaji ipewe nguvu zaidi na zaidi. Alphonse Marie !

  • @pascalmussa8338
    @pascalmussa8338 4 года назад +2

    Hongereni kwa wimbo, fire,fire,fire...naitaji nota tafadhali, my number +254 70 15 69 773

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu9698 4 года назад +2

    Hongera sana Ernestus Ogeda kwa utunzi mzuri sana sana.
    Hongereni wanakwaya mmeimba vizuri sana. Ukuu wa Mungu ni album nzuri mno mno. Najivunia kununua copy yenu. Utume wenu unatugusa wengi.
    Nabarikiwa sana. 💕

  • @aidanvincent708
    @aidanvincent708 4 года назад +2

    Hongereni sana👍

  • @marianasasmos1722
    @marianasasmos1722 4 года назад +1

    😳😳 huu wimbo ni mnzuri sana, ila na sisi tulirekodi wimbo huu miaka miwili iliyopita, so nashangaa mtunzi amefanya nini tena

    • @faustinelucas7478
      @faustinelucas7478 4 года назад

      huyu mwl ogeda ni muhuni huu wimbo tumerekod mt elizabet arusha mwka 2018
      0766195311

  • @martinkayombo807
    @martinkayombo807 4 года назад +1

    Nyimbo imetulia Kama Niko mbinguni 🙏👋👋👋👋👋

  • @francispaul6297
    @francispaul6297 4 года назад

    Hongereni sana kwaya Kuu, kanisa Kuu Mt Yoseph kwa uinjilishaji uliotukuka, wimbo mzuri sanaa na mmeutendea haki, ,sema mcheza kinanda ni vyema tukamjua. .hongera sana OGEDA kwa utunzi safi wa mziki mtakatifu wa kanisa, toka dodoma nabarikiwa sanaaaa

    • @saintjosephcathedralchoird3769
      @saintjosephcathedralchoird3769  4 года назад

      Ahsante Sana kaka Francis,
      Katika albamu hii,
      Kinanda kimepigwa na ndugu Pascal Gunganamtwa,isipokuwa wimbo mmoja (Sauti yao) ambao ulipigwa na Santino Kuhanga.

    • @francispaul6297
      @francispaul6297 4 года назад +1

      @@saintjosephcathedralchoird3769 amina sana mtumishi pascal Gunganamtwa anafahamu, Mungu amtangulie alicheza pia albamu ya "NI KWA KUTOA NDIO TUNAPOKEA" kwaya ya Mt fransisco wa asizi Kinyerezi, kiukweli Mungu awabariki sanaa

    • @norbethkisogole6629
      @norbethkisogole6629 3 года назад

      Amina Sana

  • @marialaudagoyayi6775
    @marialaudagoyayi6775 4 года назад +2

    Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya utume

  • @wafulaabel6870
    @wafulaabel6870 4 года назад

    Wimbo mtamu ajabu, hongera waimbaji

  • @butungo1
    @butungo1 3 года назад

    Organist ni mzuri. Selection ya nyimbo imekuwa perfect! Nadhani ntahitaji album hii ...+46735720057. Naomba nilipie tupange namna ya kupata nakala.

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 4 года назад +1

    So sweety

  • @aidanngaiza6352
    @aidanngaiza6352 4 года назад +1

    hongereni kwa kazi nzuri

  • @paulmziba1060
    @paulmziba1060 4 года назад +1

    Dah hongereni kwa kazi nzuri, japo inaniuma sana maaana wimbo huu nimeuziwa na mtunzi kwa ajira ya kurekodi na kwaya yangu ya Buswelu mwanza tangu mwaka 2017 na tayaree tumeshaurekodi uko jikoni nashanga kuona tayareee kuna kwaya watapewa tena na wameshaufanyia kazi kweli inaniuma japo kosa liko kwa mtunzi kutokukumbuka kama tayaree ashautoa kweingine na kuuza wimbo zaidi ya mara moja......

    • @saintjosephcathedralchoird3769
      @saintjosephcathedralchoird3769  4 года назад +1

      Pole Sana mkuu nasi tungejua tungeuacha,
      Maana hata sisi hakutupatia yeye

    • @paulmziba1060
      @paulmziba1060 4 года назад +2

      @@saintjosephcathedralchoird3769 haina namna madam uumbaji umekamilika Mungu naatukuzwe

    • @paulmziba1060
      @paulmziba1060 4 года назад

      @@saintjosephcathedralchoird3769 uliipata wapi pdf yake

    • @marianasasmos1722
      @marianasasmos1722 4 года назад

      Huu wimbo wenyewe tushaurekodi miaka miwili iliyopita. Mtunzi anafanya mambo gani haya

    • @faustinelucas7478
      @faustinelucas7478 4 года назад

      tyk mtumishi,huyu mwl mtunzi atakuwa na laaan huu wimbo nmerekodi na kwaya ya mt elizabet burka arusha,dah hiii ni shida kubwa sANA, 0766195311

  • @josephadolph605
    @josephadolph605 4 года назад

    Whaoo Wimbo mzuri sana hongereni kwa utume

    • @saintjosephcathedralchoird3769
      @saintjosephcathedralchoird3769  4 года назад

      Ahsante Sana kaka,
      Tunakuahidi kukuletea nyimbo nzuri tulivu zenye kuinjilisha kiibada
      Kuna kitu kinafuata soon

    • @josephadolph605
      @josephadolph605 4 года назад +1

      Ameen pia mmenifanya nimiss zaid kuimba maana mimi pia ni mwana ukwakata sauti ya tatu nawapenda sana

  • @faustinefaustine2854
    @faustinefaustine2854 4 года назад

    Hii album naipataje nipo shinyanga

  • @faustinefaustine2854
    @faustinefaustine2854 4 года назад +1

    Na ina nyimbo ngapi

  • @faustinelucas7478
    @faustinelucas7478 4 года назад

    HII NI AIBU,WIMBO AMETUUZIA KWAY YA MT ELIZABET BURKA ARUSHA NAALITUPATIA APR 2017 NA TUKAUREKOD OCT 7 2018,NA VIDEO TUKAFANYA 2019 JUNE ,0766195311,WATUNZI WENGINE BANA MUNGU ATAWALIPA SAWA SAW NA MATENDO YENU

    • @danielmatemu9698
      @danielmatemu9698 4 года назад

      Fausine vipi ndugu yangu? Kuna shida unalalamika.

    • @justinmbai1414
      @justinmbai1414 4 года назад +1

      Yawezekana Hamkuutendea kazi vzr hebu tutumie tuuone

    • @faustinelucas7478
      @faustinelucas7478 3 года назад

      @@justinmbai1414 Aisee tumeutendea vuzuri mno mtumishi kuliko hata hii,kwanza hapa wamebadilisha maneno mwishoni .... Natamani nikutumie uone/usikie tofauti na ubora wa mvumo wa sauti, nicheki KWA namba hizo hapo juu WhatsApp

    • @faustinelucas7478
      @faustinelucas7478 3 года назад

      @@danielmatemu9698 ndyo shida ipo mtumishi watunzi baadhi kukoswa usitarabu ,kama hii mambo wimbo huu umerekodiwa zaidi ya kwaya 3 nini maana yake na kila kwaya inajua kuwa yenyewe ndo imeurekodi pekee kumbe kwaya kibao zimeurekodi.....hii ni mchanganyo

    • @viaurfk
      @viaurfk Год назад

      Sasa hutaki wengine wafanye utume???...Shabaha kubwa ni kumsifu Mungu

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 4 года назад

    Hongereniiii sana