Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea: 1. Machozi 2. Tiba ya stress 3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona 4. Utaiona huruma ya Mungu 5. Utajuta dhambi 6. Utakusudia kuacha dhambi 7. Utaungama dhambi zako 8. Utaenda kanisani kila wakati 9. Utajiona mwenye thamani kubwa 10. Utarudia kuusikiliza.
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda! Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako! Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
INTRODUCTION. Malgré la faiblesse humaine, vous êtes précieux pour Dieu. Dieu ne vous a pas créé par accident, car Dieu vous est précieux. RÉACTION. Bien qu'ils tombent dans le péché pour Dieu que vous appréciez, Bien que la société vous ait séparé de Dieu, vous êtes précieux. POEME 1. Vous avez abandonné l'espoir, le désir de vivre, réalisez que Dieu connaît votre valeur. Ne pleure jamais, regarde vers le Tout-Puissant, réalise que Dieu connaît ta valeur. POEME 2. Amis et parents, ils vous ont tous séparés, sachez que Dieu connaît votre valeur. Et ceux qui vous jugent, par vos actions, réalisent que Dieu connaît votre valeur. POÈME 3. Ne vous fatiguez pas, priez Dieu, réalisez, Dieu connaît votre valeur. Priez chaque jour, il vous aidera, réalisez que Dieu connaît votre valeur. CONCLUSION. Dieu est le seul qui connaisse ta valeur, Dieu est le seul qui puisse vous aider. Oh, il y a de l'espoir, parce que tu es précieux, Il y a de l'espoir, pour votre Créateur.
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Barikiwa sana 🙏
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ruclips.net/video/ZkqeC2bhzsk/видео.html
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
Hakika ndgu
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
INADHAMANI.
Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu
Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,
Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
Amina 🙏 sana
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
Mungu anaijua dhamani yako.
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
1. Machozi
2. Tiba ya stress
3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
4. Utaiona huruma ya Mungu
5. Utajuta dhambi
6. Utakusudia kuacha dhambi
7. Utaungama dhambi zako
8. Utaenda kanisani kila wakati
9. Utajiona mwenye thamani kubwa
10. Utarudia kuusikiliza.
Barikiwa sana kaka
@@mwitaisack9582 nimefulahia nikiwa zanzibar asante sana
Kwel kabisa nimejikuta nipenda no 9 najiona wa thaman Sana hasa nikiskiliza ubeti wa pili 🙏🙏
Toka nimeufahamu nasikiliza kila siku
Very true
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana RUclips pekee ake mediaa nyingine hapana
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
Wow ❤ I love your song
Keep it up
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa
Amina sana
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
hongereni kwa kazi njema
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
Asante sana mkuu
Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..
Tujinasua kuanguka dhambini
Bless song much i love it
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
Amina..wimbo unabariki sana
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
Ujumbe mzuri
Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki
Yesu nakupenda
Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
I feel this is how music will be in heaven.
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
Nyimbo ni nzuri sana kupita kiasi waimbaji wameimba vizuri sauti IPO standard na HD video. KWA MUNGU UNATHAMANI
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
Broo nimekuelewa ila hiyo nyimbo na ihitaji nakala yake kama hautajali
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine
🙏
Ujumbe mzito sana,, pongezini kwa kazi nzuri.
Naomba number ya mmoja ya mwasaliano tafadhali
Kazi Safi sana
#Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
Amina 🙏
Nasikiliza kutoka kigango Cha Mt Petro ibulyu parokia ya Mt john Bariadi
Mtunzi hongera sana sana
Hakika kwa Mungu nina thamani
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda!
Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako!
Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
Thanks broo na Mungu atukuzwe
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
Wimbo mzuri sana
Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina
congratulate to a good song
Mungu.aliyetuumba.sote.niorijino
Hakika.mungu.ainuliwe.milele.yote
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
Mmeimba vizur Sana mbarikiwa Sana, Ila kwa video aliesolo kaimba vizur Sana Ila hafungui midomo
Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki
Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤
J'aimerais quelqu'un m'interprète cette chanson en français svp, j'adore sa douceur ❤❤😊
INTRODUCTION.
Malgré la faiblesse humaine, vous êtes précieux pour Dieu. Dieu ne vous a pas créé par accident, car Dieu vous est précieux.
RÉACTION.
Bien qu'ils tombent dans le péché pour Dieu que vous appréciez, Bien que la société vous ait séparé de Dieu, vous êtes précieux.
POEME 1.
Vous avez abandonné l'espoir, le désir de vivre, réalisez que Dieu connaît votre valeur. Ne pleure jamais, regarde vers le Tout-Puissant, réalise que Dieu connaît ta valeur.
POEME 2.
Amis et parents, ils vous ont tous séparés, sachez que Dieu connaît votre valeur. Et ceux qui vous jugent, par vos actions, réalisent que Dieu connaît votre valeur.
POÈME 3.
Ne vous fatiguez pas, priez Dieu, réalisez, Dieu connaît votre valeur. Priez chaque jour, il vous aidera, réalisez que Dieu connaît votre valeur.
CONCLUSION.
Dieu est le seul qui connaisse ta valeur, Dieu est le seul qui puisse vous aider. Oh, il y a de l'espoir, parce que tu es précieux, Il y a de l'espoir, pour votre Créateur.
Awesome..
Mr Mwita Isack can you share a copy of this beautiful music?
Sasa pdf ya huo wimbo unapatikana swahilimusicnote
@@mwitaisack9582 nimejarbu kudowload video sipati kaka please
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
Hongeren kazi nzuri Sana
Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
Umetiachia pengo Huku
Hongera sana mwalimu
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
sichoki kusikiliza huu wimbo
Barikiwa sana
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
Amina 🙏
Mungu awabariki sana mwimbo mzur sana
Amina
Mungu awabariki sana kwa wimbo huu
Naipenda huu wimbo jaman mpaka nasisimka mwili na roho
Hongereni kwa kazi nzuri
Nice song
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
Kaka Isack huu wimbo ufungue ufae kuudaunload.acha uchoyo. Kwa Nia njema kaka.
Hongereni sana kuanzia utunzi, ala, uimbaji na muonekano. Mungu awabariki sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nimeipenda Sana hii wimbo mungu azidi kukuzidishia katika utunzi wako🎉
Feeling so blessed with this song
We were all created with a purpose..
Jamani hongereni sana waimbaj wezangu mmeimba mpaka mnasisimua duuuu
Uuu .nio