Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize. Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu. Let’s gather here.
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea: 1. Machozi 2. Tiba ya stress 3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona 4. Utaiona huruma ya Mungu 5. Utajuta dhambi 6. Utakusudia kuacha dhambi 7. Utaungama dhambi zako 8. Utaenda kanisani kila wakati 9. Utajiona mwenye thamani kubwa 10. Utarudia kuusikiliza.
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
nafarijika sana na wimbo huu kwa mungu unathamani nashuru walio andaa mungu awaongezee ujuzi zaidi
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
Wooow wimbo mzuri mubarikiwe sana
Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize.
Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu.
Let’s gather here.
✋✋❤❤
Nisadie kuupata yotubu siwez danilod
@ i can help
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Barikiwa sana 🙏
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ruclips.net/video/ZkqeC2bhzsk/видео.html
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
Hakika ndgu
Wimbo wenye ujumbe mzuri wenye kujenga imani.
Amina..wimbo unabariki sana
Safi safi
Nawapenda sana elias method kutoka kwaya ya familia takatifu shinyanga mjini niwatakie utume mwema
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
Ujumbe mzuri
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
INADHAMANI.
Kwa Mungu nina thamani🙏🙏🙏🙏
Hakika kwa Mungu nina thamani
Wow ❤ I love your song
Keep it up
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
Much love❤🎉
congratulate to a good song
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
Ongera sana kwa aliyetunga hii wimbo,pia waimbaji ongrereni kwa kuimba wimbo huu vizuri sana MUNGU awabariki kwa kazi ya uhimbaji
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
Properly composed be blessed.
Kwa kweli kazi ni nzuri kinoma nimekubali mungu awazidishie afya njema
Blessings.
Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
I listen to the song every day. Pls nisaidie na notes ikiwezekana.
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
Wimbo huu jaman unanifariji mnooo hakika me niwathamani
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
Hii ni tungo Bora sana za Mtunzi Mwita
Daah nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara 100 lkn hamu haiishi kuusikiliza, barikiwa sana mtunzi na waimbaji wote
This is My favorite Marian hymn, thanks ms Bhakita
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
Amina 🙏 sana
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
1. Machozi
2. Tiba ya stress
3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
4. Utaiona huruma ya Mungu
5. Utajuta dhambi
6. Utakusudia kuacha dhambi
7. Utaungama dhambi zako
8. Utaenda kanisani kila wakati
9. Utajiona mwenye thamani kubwa
10. Utarudia kuusikiliza.
Barikiwa sana kaka
@@Mwita_Isack nimefulahia nikiwa zanzibar asante sana
Kwel kabisa nimejikuta nipenda no 9 najiona wa thaman Sana hasa nikiskiliza ubeti wa pili 🙏🙏
Toka nimeufahamu nasikiliza kila siku
Very true
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
Mungu anaijua dhamani yako.
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
Yaani huu wimbo unanitia moyo sana
Mungu awabariki ukweli nimepata Tumaini jipya kupitia huu mungu awabariki
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
hongereni kwa kazi njema
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
Yesu nakupenda
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
Nice😊
Ongereni
Ok very nice
Oh what a wonderful song! What a powerful message here!
Asanteni sana Mwita and friends. I play this song everyday. It is so encouraging. ❤❤
Ujumbe mzito sana,, pongezini kwa kazi nzuri.
Naomba number ya mmoja ya mwasaliano tafadhali
Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
Hongereni kwa kazi nzuri
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
Amina 🙏
Kazi Safi sana
#Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki
Alleluia,"amina.
Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana RUclips pekee ake mediaa nyingine hapana
Hongeren kazi nzuri Sana
Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
Umetiachia pengo Huku
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.
Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
I feel this is how music will be in heaven.
Woow.....very nice song ❤
Wimbo mzuri sana
Hongera sana mwalimu
Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina
Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏