UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 272

  • @tapindatapinda5043
    @tapindatapinda5043 10 месяцев назад +5

    Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉

  • @johnpaul-c7u8m
    @johnpaul-c7u8m Месяц назад +1

    nafarijika sana na wimbo huu kwa mungu unathamani nashuru walio andaa mungu awaongezee ujuzi zaidi

  • @monicakaranja268
    @monicakaranja268 Год назад +9

    "Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤

  • @JosephatNziku
    @JosephatNziku 26 дней назад +1

    Wooow wimbo mzuri mubarikiwe sana

  • @vennerandadonald2592
    @vennerandadonald2592 2 месяца назад +8

    Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize.
    Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu.
    Let’s gather here.

    • @Dann-m8d
      @Dann-m8d 2 месяца назад

      ✋✋❤❤

    • @SimoniSalim-s4n
      @SimoniSalim-s4n 19 дней назад

      Nisadie kuupata yotubu siwez danilod

    • @Dann-m8d
      @Dann-m8d 17 часов назад

      @ i can help

  • @christina40mwangosi97
    @christina40mwangosi97 Год назад +2

    Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.

  • @EusilahRutto-h4q
    @EusilahRutto-h4q 11 месяцев назад +5

    Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.

  • @FeliciaMbonabucha
    @FeliciaMbonabucha Год назад +3

    Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani

  • @aikabernard
    @aikabernard Год назад +38

    Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake

    • @Mwita_Isack
      @Mwita_Isack Год назад +2

      Barikiwa sana 🙏

    • @ashrafmohamed7966
      @ashrafmohamed7966 Год назад +2

      Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani

    • @PAULGATTI_21PG
      @PAULGATTI_21PG Год назад

      Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ruclips.net/video/ZkqeC2bhzsk/видео.html

    • @duobledrittedeoritte2787
      @duobledrittedeoritte2787 7 месяцев назад +1

      Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz

    • @erastorichard8290
      @erastorichard8290 4 месяца назад

      Hakika ndgu

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 2 месяца назад +1

    Wimbo wenye ujumbe mzuri wenye kujenga imani.

  • @PendoMakyao
    @PendoMakyao 11 месяцев назад +1

    Amina..wimbo unabariki sana

  • @pascalmsilombo6728
    @pascalmsilombo6728 20 дней назад +1

    Safi safi

  • @EliasMethod-t7n
    @EliasMethod-t7n 2 месяца назад +1

    Nawapenda sana elias method kutoka kwaya ya familia takatifu shinyanga mjini niwatakie utume mwema

  • @ernesthaonga7640
    @ernesthaonga7640 Год назад +1

    ❤❤❤❤tumeupiga mwingi

  • @EinothMollel-vb1tc
    @EinothMollel-vb1tc Год назад +1

    Ujumbe mzuri

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 11 месяцев назад +2

    Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 2 года назад +19

    Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.

  • @thrillingpoint2132
    @thrillingpoint2132 2 месяца назад +2

    Kwa Mungu nina thamani🙏🙏🙏🙏

  • @PeacefulDaisies-jk2xq
    @PeacefulDaisies-jk2xq Год назад +1

    Hakika kwa Mungu nina thamani

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 11 месяцев назад +1

    Wow ❤ I love your song

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 2 года назад +11

    Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana

  • @bobrobert3374
    @bobrobert3374 2 года назад +5

    Hongera kwa tunzo na sauti nzuri

  • @WITNESSJAMES-lr6jz
    @WITNESSJAMES-lr6jz 4 месяца назад +1

    Much love❤🎉

  • @EmmanuelAndrew-e1p
    @EmmanuelAndrew-e1p 11 месяцев назад +1

    congratulate to a good song

  • @anataliangalowoka3906
    @anataliangalowoka3906 Год назад +3

    Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno

  • @ElvisNacham-eg8ep
    @ElvisNacham-eg8ep 7 месяцев назад +3

    Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu

  • @KizaSango-g6v
    @KizaSango-g6v 3 месяца назад +2

    Ongera sana kwa aliyetunga hii wimbo,pia waimbaji ongrereni kwa kuimba wimbo huu vizuri sana MUNGU awabariki kwa kazi ya uhimbaji

  • @patricktuseko79
    @patricktuseko79 2 года назад +7

    Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed

  • @okumuobudho5495
    @okumuobudho5495 3 месяца назад

    Properly composed be blessed.

  • @LadislausmzibaMhasa
    @LadislausmzibaMhasa 3 месяца назад +2

    Kwa kweli kazi ni nzuri kinoma nimekubali mungu awazidishie afya njema

  • @tempochoir
    @tempochoir Год назад +1

    Blessings.

  • @EdwardWankyo
    @EdwardWankyo 4 месяца назад +2

    Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu

  • @thobiasluanda-mg4qf
    @thobiasluanda-mg4qf Год назад +3

    Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏

  • @SteveWakaba-ke7iz
    @SteveWakaba-ke7iz 4 месяца назад

    I listen to the song every day. Pls nisaidie na notes ikiwezekana.

  • @aidandidace8207
    @aidandidace8207 2 года назад +6

    Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥

  • @NazarKaduri
    @NazarKaduri 3 месяца назад +1

    Wimbo huu jaman unanifariji mnooo hakika me niwathamani

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Год назад +2

    Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 7 месяцев назад +2

    Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,

  • @DariaJosephat
    @DariaJosephat 5 месяцев назад +3

    Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu

  • @johnrikanga3953
    @johnrikanga3953 2 месяца назад +1

    Hii ni tungo Bora sana za Mtunzi Mwita

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 3 месяца назад +2

    Daah nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara 100 lkn hamu haiishi kuusikiliza, barikiwa sana mtunzi na waimbaji wote

  • @rahabkuria1064
    @rahabkuria1064 3 месяца назад

    This is My favorite Marian hymn, thanks ms Bhakita

  • @MathiasJohn-m6n
    @MathiasJohn-m6n Год назад +2

    Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤

  • @timothychombo9489
    @timothychombo9489 2 года назад +27

    Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
    1. Machozi
    2. Tiba ya stress
    3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
    4. Utaiona huruma ya Mungu
    5. Utajuta dhambi
    6. Utakusudia kuacha dhambi
    7. Utaungama dhambi zako
    8. Utaenda kanisani kila wakati
    9. Utajiona mwenye thamani kubwa
    10. Utarudia kuusikiliza.

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb Год назад +1

    Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium8381 Год назад

    Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana

  • @sarikasluvanga7780
    @sarikasluvanga7780 4 месяца назад

    Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.

  • @benomahema3011
    @benomahema3011 Год назад +1

    Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w 7 месяцев назад +1

    Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi

  • @MaryNdondu
    @MaryNdondu Год назад +1

    Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana

  • @AnethLebwanga
    @AnethLebwanga Год назад +1

    Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi

  • @janerosezanzibar5372
    @janerosezanzibar5372 2 года назад +4

    Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏

  • @geofreydawa4399
    @geofreydawa4399 Год назад +1

    Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji

  • @martensnshimi3613
    @martensnshimi3613 4 месяца назад +1

    Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu

  • @kwayamalaikagabrielparokia506
    @kwayamalaikagabrielparokia506 2 года назад +6

    So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Год назад +1

    Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende 2 года назад +9

    Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.

    • @benardlameck7340
      @benardlameck7340 2 года назад

      🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰

    • @norberttwamba8467
      @norberttwamba8467 2 года назад

      Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu

  • @Kiza-m1l
    @Kiza-m1l 3 месяца назад +1

    Yaani huu wimbo unanitia moyo sana

  • @CeciliaBeatus-i3t
    @CeciliaBeatus-i3t 3 месяца назад +1

    Mungu awabariki ukweli nimepata Tumaini jipya kupitia huu mungu awabariki

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg Год назад +1

    Mungu awabariki mno, kazi nzuri

  • @dignakayombo74
    @dignakayombo74 Год назад +1

    Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia

  • @edithamakanzo6023
    @edithamakanzo6023 Год назад +1

    nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
    hongereni kwa kazi njema

  • @Musadaniel-l7y
    @Musadaniel-l7y 7 месяцев назад +2

    A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏

  • @carolineflueckiger7457
    @carolineflueckiger7457 6 месяцев назад +1

    Yesu nakupenda

  • @nellyogwang6320
    @nellyogwang6320 Год назад +1

    Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu

  • @Arati3
    @Arati3 9 месяцев назад

    Nice😊

  • @AlphoncinaCharles
    @AlphoncinaCharles 9 месяцев назад

    Ongereni

  • @EmmanuelMarco-v1q
    @EmmanuelMarco-v1q 9 месяцев назад

    Ok very nice

  • @margaretwanjau2607
    @margaretwanjau2607 3 месяца назад +2

    Oh what a wonderful song! What a powerful message here!
    Asanteni sana Mwita and friends. I play this song everyday. It is so encouraging. ❤❤

  • @josephmamuu4465
    @josephmamuu4465 10 месяцев назад +1

    Ujumbe mzito sana,, pongezini kwa kazi nzuri.
    Naomba number ya mmoja ya mwasaliano tafadhali

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w 5 месяцев назад +1

    Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani

  • @michaelmaige9300
    @michaelmaige9300 2 года назад +1

    Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo

  • @robertkyanzue9994
    @robertkyanzue9994 8 месяцев назад +1

    kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @janemusyoki5218
    @janemusyoki5218 Год назад +1

    Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.

  • @DennisDara-i4i
    @DennisDara-i4i 5 месяцев назад +1

    Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha

  • @dianamseka1233
    @dianamseka1233 5 месяцев назад +1

    Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.

  • @eliudlucas5342
    @eliudlucas5342 Год назад +1

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @IGNASMBILINYI-tl3mp
    @IGNASMBILINYI-tl3mp Год назад +2

    Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏

    • @Mwita_Isack
      @Mwita_Isack Год назад +1

      Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta

  • @HappyGoodluck-v3p
    @HappyGoodluck-v3p 5 месяцев назад +1

    Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu

  • @restyammo-df2um
    @restyammo-df2um Год назад +2

    Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 4 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 Год назад

    Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl

  • @ephraimkashusha3987
    @ephraimkashusha3987 2 года назад +3

    Kazi Safi sana
    #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..

  • @mickeymabula8957
    @mickeymabula8957 2 года назад +3

    Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki

  • @NicholasMutuku-rh6fz
    @NicholasMutuku-rh6fz 6 месяцев назад

    Alleluia,"amina.

  • @JohnMasondole-u9m
    @JohnMasondole-u9m 4 месяца назад

    Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana RUclips pekee ake mediaa nyingine hapana

  • @dainesrhobi7172
    @dainesrhobi7172 2 года назад

    Hongeren kazi nzuri Sana
    Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
    Umetiachia pengo Huku

  • @PaulBulolo
    @PaulBulolo Год назад +1

    Hongereni sana waimbaji 👏👏👏

  • @alphoncembassa6401
    @alphoncembassa6401 5 месяцев назад +1

    Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa

  • @waromokello
    @waromokello 8 месяцев назад

    The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet

  • @KulabaStephen
    @KulabaStephen 4 месяца назад

    Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @pollejilala8903
    @pollejilala8903 Год назад +1

    Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery 6 месяцев назад

    Mungu abariki kazi ya mikono yenu

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 4 месяца назад +1

    Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.

  • @josephmuthusi9055
    @josephmuthusi9055 4 месяца назад

    Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
    I feel this is how music will be in heaven.

  • @antonymumo1976
    @antonymumo1976 4 дня назад +1

    Woow.....very nice song ❤

  • @REBECAMMUSA
    @REBECAMMUSA Год назад +2

    Wimbo mzuri sana

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 Год назад +1

    Hongera sana mwalimu

  • @benardettemuthama6046
    @benardettemuthama6046 Год назад +1

    Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina

  • @jacklinebarthazary6278
    @jacklinebarthazary6278 Год назад +1

    Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏