UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 245

  • @aikabernard
    @aikabernard Год назад +27

    Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Год назад +1

      Barikiwa sana 🙏

    • @ashrafmohamed7966
      @ashrafmohamed7966 10 месяцев назад +1

      Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani

    • @KMTKIONGERA
      @KMTKIONGERA 9 месяцев назад

      Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa ruclips.net/video/ZkqeC2bhzsk/видео.html

    • @duobledrittedeoritte2787
      @duobledrittedeoritte2787 3 месяца назад +1

      Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz

    • @erastorichard8290
      @erastorichard8290 13 дней назад

      Hakika ndgu

  • @tapindatapinda5043
    @tapindatapinda5043 6 месяцев назад +4

    Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉

  • @DariaJosephat
    @DariaJosephat Месяц назад +3

    Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu

  • @martensnshimi3613
    @martensnshimi3613 26 дней назад +1

    Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu

  • @monicakaranja268
    @monicakaranja268 Год назад +8

    "Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤

  • @stevennymichael4833
    @stevennymichael4833 3 месяца назад +3

    huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Год назад +17

    Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 28 дней назад +1

    Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.

  • @ElvisNacham-eg8ep
    @ElvisNacham-eg8ep 3 месяца назад +2

    Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w 3 месяца назад +1

    Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi

  • @EdwardWankyo
    @EdwardWankyo 24 дня назад +1

    Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 3 месяца назад +2

    Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,

  • @evalyneachieng-os3uu
    @evalyneachieng-os3uu 8 месяцев назад +3

    Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.

  • @thobiasluanda-mg4qf
    @thobiasluanda-mg4qf Год назад +3

    Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏

  • @Musadaniel-l7y
    @Musadaniel-l7y 3 месяца назад +2

    A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 27 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake

  • @anataliangalowoka3906
    @anataliangalowoka3906 Год назад +3

    Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno

  • @aidandidace8207
    @aidandidace8207 Год назад +6

    Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥

  • @EusilahRutto-h4q
    @EusilahRutto-h4q 6 месяцев назад +3

    Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.

  • @bobrobert3374
    @bobrobert3374 Год назад +5

    Hongera kwa tunzo na sauti nzuri

  • @dianamseka1233
    @dianamseka1233 Месяц назад +1

    Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.

  • @alphoncembassa6401
    @alphoncembassa6401 Месяц назад +1

    Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa

  • @FeliciaMbonabucha
    @FeliciaMbonabucha 10 месяцев назад +3

    Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende Год назад +9

    Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.

    • @benardlameck7340
      @benardlameck7340 Год назад

      🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰

    • @norberttwamba8467
      @norberttwamba8467 Год назад

      Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu

  • @christina40mwangosi97
    @christina40mwangosi97 9 месяцев назад +2

    Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.

  • @MathiasJohn-m6n
    @MathiasJohn-m6n 11 месяцев назад +2

    Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤

  • @sarikasluvanga7780
    @sarikasluvanga7780 10 часов назад

    Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.

  • @kwayamalaikagabrielparokia506
    @kwayamalaikagabrielparokia506 Год назад +6

    So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...

  • @HappyGoodluck-v3p
    @HappyGoodluck-v3p Месяц назад +1

    Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Год назад +10

    Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana

  • @timothychombo9489
    @timothychombo9489 Год назад +25

    Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
    1. Machozi
    2. Tiba ya stress
    3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
    4. Utaiona huruma ya Mungu
    5. Utajuta dhambi
    6. Utakusudia kuacha dhambi
    7. Utaungama dhambi zako
    8. Utaenda kanisani kila wakati
    9. Utajiona mwenye thamani kubwa
    10. Utarudia kuusikiliza.

  • @patricktuseko79
    @patricktuseko79 Год назад +7

    Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed

  • @janerosezanzibar5372
    @janerosezanzibar5372 Год назад +4

    Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏

  • @JohnMasondole-u9m
    @JohnMasondole-u9m 12 дней назад

    Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana RUclips pekee ake mediaa nyingine hapana

  • @DennisDara-i4i
    @DennisDara-i4i Месяц назад +1

    Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 7 месяцев назад +2

    Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana

  • @janemusyoki5218
    @janemusyoki5218 11 месяцев назад +1

    Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.

  • @logasiabaltazary9424
    @logasiabaltazary9424 4 месяца назад +1

    Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.

  • @KulabaStephen
    @KulabaStephen 16 дней назад

    Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Год назад +2

    Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.

  • @restyammo-df2um
    @restyammo-df2um Год назад +2

    Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 7 месяцев назад +1

    Wow ❤ I love your song

  • @robertkyanzue9994
    @robertkyanzue9994 4 месяца назад +1

    kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @monicakimario2910
    @monicakimario2910 27 дней назад +1

    Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa

  • @IGNASMBILINYI-tl3mp
    @IGNASMBILINYI-tl3mp Год назад +2

    Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Год назад +1

      Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta

  • @edithamakanzo6023
    @edithamakanzo6023 Год назад +1

    nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
    hongereni kwa kazi njema

  • @SirJames065
    @SirJames065 Год назад +4

    Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Год назад +4

    Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..

  • @dignakayombo74
    @dignakayombo74 10 месяцев назад +1

    Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia

  • @PendoMakyao
    @PendoMakyao 7 месяцев назад +1

    Amina..wimbo unabariki sana

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium8381 Год назад

    Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana

  • @EinothMollel-vb1tc
    @EinothMollel-vb1tc 9 месяцев назад +1

    Ujumbe mzuri

  • @mickeymabula8957
    @mickeymabula8957 Год назад +3

    Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki

  • @carolineflueckiger7457
    @carolineflueckiger7457 2 месяца назад +1

    Yesu nakupenda

  • @josephmuthusi9055
    @josephmuthusi9055 4 дня назад

    Una thamani. On endless auto-repeat this morning.
    I feel this is how music will be in heaven.

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Год назад +1

    Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki

  • @stephanomacomputerstatione520
    @stephanomacomputerstatione520 5 месяцев назад

    Nyimbo ni nzuri sana kupita kiasi waimbaji wameimba vizuri sauti IPO standard na HD video. KWA MUNGU UNATHAMANI

  • @geofreydawa4399
    @geofreydawa4399 Год назад +1

    Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji

  • @augustinotanda6349
    @augustinotanda6349 Год назад +3

    Broo nimekuelewa ila hiyo nyimbo na ihitaji nakala yake kama hautajali

  • @MaryNdondu
    @MaryNdondu 10 месяцев назад +1

    Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana

  • @christinetushemereirwe8468
    @christinetushemereirwe8468 Год назад +1

    Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine

  • @josephmamuu4465
    @josephmamuu4465 6 месяцев назад +1

    Ujumbe mzito sana,, pongezini kwa kazi nzuri.
    Naomba number ya mmoja ya mwasaliano tafadhali

  • @ephraimkashusha3987
    @ephraimkashusha3987 Год назад +3

    Kazi Safi sana
    #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..

  • @raymondmvula5407
    @raymondmvula5407 Год назад +2

    Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA

  • @PeacefulDaisies-jk2xq
    @PeacefulDaisies-jk2xq 8 месяцев назад +1

    Hakika kwa Mungu nina thamani

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb 10 месяцев назад +1

    Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.

  • @martinsherembi2586
    @martinsherembi2586 Год назад +1

    Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda!
    Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako!
    Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment

  • @ernesthaonga7640
    @ernesthaonga7640 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤tumeupiga mwingi

  • @AnethLebwanga
    @AnethLebwanga Год назад +1

    Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi

  • @nellyogwang6320
    @nellyogwang6320 Год назад +1

    Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu

  • @REBECAMMUSA
    @REBECAMMUSA Год назад +2

    Wimbo mzuri sana

  • @benardettemuthama6046
    @benardettemuthama6046 Год назад +1

    Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina

  • @EmmanuelAndrew-e1p
    @EmmanuelAndrew-e1p 7 месяцев назад +1

    congratulate to a good song

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 2 месяца назад +1

    Mungu.aliyetuumba.sote.niorijino

    • @daudimhoha320
      @daudimhoha320 2 месяца назад

      Hakika.mungu.ainuliwe.milele.yote

  • @benomahema3011
    @benomahema3011 Год назад +1

    Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.

  • @paulinamgalla5348
    @paulinamgalla5348 Год назад +1

    Mmeimba vizur Sana mbarikiwa Sana, Ila kwa video aliesolo kaimba vizur Sana Ila hafungui midomo

  • @shepherdhermas6763
    @shepherdhermas6763 Год назад +6

    Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jacklinebarthazary6278
    @jacklinebarthazary6278 Год назад +1

    Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏

  • @waromokello
    @waromokello 4 месяца назад

    The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet

  • @pollejilala8903
    @pollejilala8903 Год назад +1

    Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Год назад +1

    Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤

  • @PauleMarielleJoda
    @PauleMarielleJoda Год назад +4

    J'aimerais quelqu'un m'interprète cette chanson en français svp, j'adore sa douceur ❤❤😊

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Год назад

      INTRODUCTION.
      Malgré la faiblesse humaine, vous êtes précieux pour Dieu. Dieu ne vous a pas créé par accident, car Dieu vous est précieux.
      RÉACTION.
      Bien qu'ils tombent dans le péché pour Dieu que vous appréciez, Bien que la société vous ait séparé de Dieu, vous êtes précieux.
      POEME 1.
      Vous avez abandonné l'espoir, le désir de vivre, réalisez que Dieu connaît votre valeur. Ne pleure jamais, regarde vers le Tout-Puissant, réalise que Dieu connaît ta valeur.
      POEME 2.
      Amis et parents, ils vous ont tous séparés, sachez que Dieu connaît votre valeur. Et ceux qui vous jugent, par vos actions, réalisent que Dieu connaît votre valeur.
      POÈME 3.
      Ne vous fatiguez pas, priez Dieu, réalisez, Dieu connaît votre valeur. Priez chaque jour, il vous aidera, réalisez que Dieu connaît votre valeur.
      CONCLUSION.
      Dieu est le seul qui connaisse ta valeur, Dieu est le seul qui puisse vous aider. Oh, il y a de l'espoir, parce que tu es précieux, Il y a de l'espoir, pour votre Créateur.

  • @kennethndayala1892
    @kennethndayala1892 Год назад +2

    Awesome..
    Mr Mwita Isack can you share a copy of this beautiful music?

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Год назад

      Sasa pdf ya huo wimbo unapatikana swahilimusicnote

    • @BakanaStationary
      @BakanaStationary 10 месяцев назад

      @@mwitaisack9582 nimejarbu kudowload video sipati kaka please

  • @michaelmaige9300
    @michaelmaige9300 Год назад +1

    Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo

  • @PaulBulolo
    @PaulBulolo Год назад +1

    Hongereni sana waimbaji 👏👏👏

  • @dainesrhobi7172
    @dainesrhobi7172 Год назад

    Hongeren kazi nzuri Sana
    Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda
    Umetiachia pengo Huku

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 Год назад +1

    Hongera sana mwalimu

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg Год назад +1

    Mungu awabariki mno, kazi nzuri

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune1383 Год назад +1

    sichoki kusikiliza huu wimbo

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 Год назад

    Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl

  • @victoriaerenest6528
    @victoriaerenest6528 Год назад +1

    Mungu awabariki sana mwimbo mzur sana

  • @estaodasi-bg6om
    @estaodasi-bg6om Год назад +1

    Mungu awabariki sana kwa wimbo huu

  • @eliudlucas5342
    @eliudlucas5342 Год назад +1

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @BonifaceMuli-u9w
    @BonifaceMuli-u9w Год назад +1

    Nice song

  • @EmmanuelMarco-v1q
    @EmmanuelMarco-v1q 5 месяцев назад

    Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery 2 месяца назад

    Mungu abariki kazi ya mikono yenu

  • @JonasMjema
    @JonasMjema 8 месяцев назад

    Kaka Isack huu wimbo ufungue ufae kuudaunload.acha uchoyo. Kwa Nia njema kaka.

  • @julianprubavu4069
    @julianprubavu4069 Год назад +1

    Hongereni sana kuanzia utunzi, ala, uimbaji na muonekano. Mungu awabariki sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ngeikyalaani
    @ngeikyalaani Год назад +1

    Nimeipenda Sana hii wimbo mungu azidi kukuzidishia katika utunzi wako🎉

  • @reginaabuya3411
    @reginaabuya3411 Год назад +7

    Feeling so blessed with this song
    We were all created with a purpose..