KIBURI CHA UZIMA MWITA ISACK KWAYA YA KRISTO MFALME PAROKIA TEULE YA MSONGOLA DAR ES SALAAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 153

  • @Justin-c5k
    @Justin-c5k Месяц назад +2

    Wimbo mzur Sanaa...hongeren waimbaj ...Mungu awatie nguv

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha8585 7 месяцев назад +6

    Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤

  • @johackimmbeyale90
    @johackimmbeyale90 4 дня назад

    Despina ni mmoja tu hongereni sana wanakwaya kwa nyimbo yenye ujumbe ujumbe mnzuri

  • @BethinaLeonardy
    @BethinaLeonardy 3 месяца назад +1

    Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa

  • @KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI
    @KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI Месяц назад +1

    Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno
    Hongera kwa mtunzi pia

  • @nyimbotamu
    @nyimbotamu Год назад +14

    Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl Год назад +4

    Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @martinmhando8351
    @martinmhando8351 3 месяца назад

    Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 7 месяцев назад +2

    Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo

  • @paulinaluambano9150
    @paulinaluambano9150 Год назад +5

    Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima

  • @MaryNgosse
    @MaryNgosse 5 месяцев назад +2

    Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki

  • @MaryNgosse
    @MaryNgosse 4 месяца назад

    Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha

  • @user-oq9vc3zl5z
    @user-oq9vc3zl5z 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 10 месяцев назад +2

    Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze

  • @stellahmnema9279
    @stellahmnema9279 5 месяцев назад +2

    Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san

  • @JOHNMAGEZI-er6pl
    @JOHNMAGEZI-er6pl 5 месяцев назад +1

    Nimeipenda

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Год назад +2

    Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla

  • @rosewanjiku267
    @rosewanjiku267 Год назад +3

    ❤kazi nzuri sana God bless you all

  • @theodorycharles
    @theodorycharles Год назад +3

    Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana

  • @user-io5cs1mb4d
    @user-io5cs1mb4d Год назад +3

    Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤

  • @geofreynyangoro5008
    @geofreynyangoro5008 5 месяцев назад +2

    Hongera sana sana kwa kazi ya kitume

  • @adelinusacleus4237
    @adelinusacleus4237 Год назад +2

    Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana

  • @johndgurty9011
    @johndgurty9011 11 месяцев назад +2

    Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia

  • @juliusdanson225
    @juliusdanson225 Год назад +2

    Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤

  • @kelvinmulingei1600
    @kelvinmulingei1600 7 месяцев назад +2

    Good message. Hongereni😊
    Ubarikiwe sana Mwita

  • @user-fi5ml8th6w
    @user-fi5ml8th6w 10 месяцев назад +1

    Wimbi mzur sna unatugusa san

  • @norbertsungu3922
    @norbertsungu3922 10 месяцев назад +1

    Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 11 месяцев назад +1

    Sauti nzuri God bless you for Good job🎉

  • @mussaananiasmyonga727
    @mussaananiasmyonga727 3 месяца назад +1

    Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!

  • @user-yj8xx4we1s
    @user-yj8xx4we1s 6 месяцев назад +1

    Kweli ni meukubali

  • @blandinabugomba9226
    @blandinabugomba9226 11 месяцев назад +1

    Hongera sana ❤❤❤

  • @NiccaSaua
    @NiccaSaua 3 месяца назад +1

    Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤

  • @marypirian4236
    @marypirian4236 Месяц назад

    Daaaah...!
    Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏

  • @norbertsungu3922
    @norbertsungu3922 10 месяцев назад

    Nzuri mno kiburi cha uzima ni Nyimbo ya. Tafakari kweli kweli Hongereni kwa uinjilishaji 🙏

    • @graysonmkeya2562
      @graysonmkeya2562 9 месяцев назад

      Wahoooo bonge la kz mungu awabariki waimbaji wote.

  • @ericluminator
    @ericluminator 6 месяцев назад +1

    Nice message

  • @cathywalwit5437
    @cathywalwit5437 Год назад +2

    Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe

  • @georgemhindi9961
    @georgemhindi9961 Год назад +1

    Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu

  • @JustinMalipanga-wg6we
    @JustinMalipanga-wg6we 9 месяцев назад +1

    KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana

  • @cosmasbarnabas4927
    @cosmasbarnabas4927 Год назад +2

    Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla

  • @TanasBall
    @TanasBall 4 месяца назад

    Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤

  • @kasalakasala7417
    @kasalakasala7417 6 месяцев назад +1

    Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi

  • @cosmasbarnabas4927
    @cosmasbarnabas4927 Год назад +2

    Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Год назад

      Amina kaka Mungu ni mwema.

    • @pirminmbawala8454
      @pirminmbawala8454 6 месяцев назад

      Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.

    • @pirminmbawala8454
      @pirminmbawala8454 6 месяцев назад

      Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko

  • @runyankolecatholictv8227
    @runyankolecatholictv8227 11 месяцев назад +2

    nice...my favourite Despina love you

  • @user-lg8lq1jv7w
    @user-lg8lq1jv7w 7 месяцев назад +1

    Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote

  • @TheopisterAlfledy
    @TheopisterAlfledy 3 месяца назад

    ❤ Safi san

  • @ManyandaMalashi-uw3me
    @ManyandaMalashi-uw3me Год назад +2

    congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack

  • @rahmapanga8845
    @rahmapanga8845 Год назад +1

    Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all

  • @FelisterKazimili-lk3qo
    @FelisterKazimili-lk3qo Год назад +1

    Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl Год назад +1

    Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 7 месяцев назад +1

    Evangelical voice

  • @revaniakataga8070
    @revaniakataga8070 Год назад +1

    Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana

  • @HOLYTRINITYSTUDIOS
    @HOLYTRINITYSTUDIOS Год назад +1

    Hongera Galaxy Pro

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Год назад +1

    Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia

  • @veronicangota3532
    @veronicangota3532 10 месяцев назад

    Kazi njema ✔️

  • @immaoyugi1286
    @immaoyugi1286 10 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri wa kutafakari🙏

  • @AloyceMdollo
    @AloyceMdollo Год назад +1

    Mungu awabariki sana

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende Год назад +1

    Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.

  • @simonthongori8586
    @simonthongori8586 Год назад +1

    Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .

  • @edwinotieno9189
    @edwinotieno9189 Год назад +1

    Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa.
    Wimbo tamu sana

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Год назад

    Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako

  • @JacksonKanzira-wp3wt
    @JacksonKanzira-wp3wt Год назад +2

    Hongereni sana wote mlioshiriki kuikamilisha kazi nzuri hii (Mtunzi, waimbaji, Studio audio-video, organist...). Mungu awabariki !

  • @shayobeatuscasmiri2981
    @shayobeatuscasmiri2981 Год назад +1

    Good message. Mbarikiwe

  • @alfredandunguru4505
    @alfredandunguru4505 Год назад +3

    So proud to be Catholic,

  • @user-ex1nd6so6d
    @user-ex1nd6so6d Год назад +1

    Hongereni sana wanakwaya wetu

  • @irenekibaho4549
    @irenekibaho4549 Год назад +1

    Dada mungu awabarikiri

  • @plannerkasina488
    @plannerkasina488 Год назад +1

    Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana

  • @erickmomanyi9644
    @erickmomanyi9644 Год назад +1

    Napenda, good job.

  • @olivernyakiage954
    @olivernyakiage954 Год назад +1

    Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.

  • @richardtiganya9559
    @richardtiganya9559 Год назад

    Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!

  • @ExaveryNgonji-hl6ym
    @ExaveryNgonji-hl6ym Год назад +1

    Hii ni hatali ngoma kali sana mmbalikiwe sana

  • @user-ii5qn4cp1u
    @user-ii5qn4cp1u Год назад +1

    Hongeleni Sana wanakwaya wetu

  • @Valerie365
    @Valerie365 Год назад +1

    Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥

  • @magrethmdemu3985
    @magrethmdemu3985 Год назад +1

    Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉

  • @mercywakola
    @mercywakola Год назад +1

    Barikiweni sana,kazi nzuri

  • @andrewngatunga7837
    @andrewngatunga7837 Год назад +1

    Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉

  • @amambiastephen178
    @amambiastephen178 Год назад +1

    Kila kitu kizuri! Baraka tele!

  • @herrykifikilo7821
    @herrykifikilo7821 Год назад +1

    hakikaa ujumbee mzitoo

  • @user-bv9or2lo2w
    @user-bv9or2lo2w 7 месяцев назад +1

    Nice piece with good message and creativity ❤❤

  • @user-ov5fj9vl7i
    @user-ov5fj9vl7i Год назад

    Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana

  • @christinekimani7738
    @christinekimani7738 Год назад +2

    Bravo 🎉,🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Beautiful song

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 Год назад +1

    Kazi na ibarikiwe 🙏🙏

  • @TM.254
    @TM.254 Год назад +1

    Kazi zuri mno ya kupendeza. That's why i love @Galaxy pro🔥. Clear production. Instrumentals are best

  • @benyjoseph949
    @benyjoseph949 Год назад +1

    Wooooow wooo huu wimbo ndo nilikuwa nausubiri kwa Hama ❤❤❤

  • @josephmunene4010
    @josephmunene4010 Год назад +1

    Nyimbo zenu hubariki. Asanteni.

  • @fumeme0991
    @fumeme0991 Год назад +2

    What a sweet music 🎶, am blessed a lot. Asante sana Galaxy pro, waimbaji, mtunzi.Naomb kwa mwenye huu utukufu (music notes) wakuu anisaidie ..🙏🙏

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 Год назад +1

    Safi sana kazi nzuri sana hio❤❤

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 Год назад +1

    Wimbo mzuri kuanzia maudhui hadi sauti na mpangilio mzima. Hongereni sana😊

  • @HeriusMatiku-kp9iy
    @HeriusMatiku-kp9iy Год назад +1

    Ujumbe mzur Mungu awbariki sana ndg zangu 🙏

  • @dokctv_dokccatholic
    @dokctv_dokccatholic Год назад +2

    🙏

  • @tempochoir
    @tempochoir 8 месяцев назад +1

    Awesome ❤

  • @sheilajepkorir2386
    @sheilajepkorir2386 10 месяцев назад

    Finally despina ♥️

  • @guygerardmaindo3202
    @guygerardmaindo3202 Год назад +1

    Merci beaucoup pour cette mélodie.Je suis fier d'être catholique pour toujours.Depuis Kinshasa rd.Congo

  • @SirJames065
    @SirJames065 Год назад +1

    Wimbo mzuri..

  • @wise_d_tz
    @wise_d_tz Год назад

    inagusa sana what a song #nzuri mnoo #we are blessed

  • @mercymburu8227
    @mercymburu8227 Год назад +1

    Wimbo una maneno ya ushauri🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @fabiansululi7511
    @fabiansululi7511 8 месяцев назад +1

    Aloo ❤

  • @user-xz4sm7qn5l
    @user-xz4sm7qn5l 11 месяцев назад +1

    I love this song it the best

  • @yorandayorandan4018
    @yorandayorandan4018 Год назад

    Mmejua kunibariki sana mm mtoto wa kichaka nibarikiwa mno sio siri

  • @MasindePeter-tm1qk
    @MasindePeter-tm1qk Год назад +1

    Mungu away awabariki Sana wapendwa kwa kazi nzuri na tafakari ya kina.

  • @MasindePeter-tm1qk
    @MasindePeter-tm1qk Год назад

    Tumwombe Mungu aendelee kuwatia nguvu na kutuepusha na kiburi cha uzima