Kadi Nyekundu Yazua Mjadala: Man City 2 - 2 Arsenal

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Man City 2 - 2 Arsenal: Kadi Nyekundu Yazua Mjadala, Dakika 100 za kutafuta goli la kusawazisha!

Комментарии • 58

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 5 дней назад +1

    Yes am proud my Team,hongera sana my bro kwa ufafanuzi mzr wenye afya

  • @JohnKalama-qk8pb
    @JohnKalama-qk8pb 8 дней назад +1

    Mkisema hjafungwa hta Britons hjafungwa

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  8 дней назад

      Hatujafungwa na Man City mechi nne za mwisho na tumewafunga City mara 2 mechi nne hizo. Brighton na Man City wote hawawezi kusema hivyo kuhusu Arsenal.

  • @D.C.I.M
    @D.C.I.M 12 дней назад +1

    Ongera kwamachambuzi nzuri kuusu Arsenal

  • @Semi539
    @Semi539 11 дней назад +1

    Ww huelewi game inaonekana uzee umeingia

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Kuelewa game na uzee kuna uhusiano gani? 😂😂😂

  • @Ligida-57
    @Ligida-57 12 дней назад +2

    Huyu referee Oliver anajifanya yeye majinuni sana. Hawa hawaipendi Arsenal jasa kocha wao Arteta wanasema anajidai sana na ana kiburi. Blood full 😂

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Oliver ana ma-scandal mengi tu. Kiwango xhake kibovu sana mpaka ananitia mashaka.

    • @ReubenKaberege-dd4ui
      @ReubenKaberege-dd4ui 12 дней назад

      Hii ni wazi kwamba marefa wanahongwa na Waarabu ili waibebe Manchester City ndio maana maandalizi ya kutoa kadi nyekundu kwa Arsenal ilianzia kwa Declan Rice.

  • @HusseinBoru-sy3dw
    @HusseinBoru-sy3dw 10 дней назад +1

    Arsenal ilipack bus akuna kitu walicheza

  • @JimmyPhilimon
    @JimmyPhilimon 12 дней назад +1

    Yule refa Huwa simukubal kwenye mechi za arsenal Huwa haipendi arsenal

  • @MREZI-u9d
    @MREZI-u9d 12 дней назад +1

    Marefa hawapendi arsenal

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Hawa wana matatizo sana.

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 12 дней назад +1

    Mimi nathubutu kusema marefa wanahongwa na mancity pamoja na huyo Howard webb

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Hakuna kisichowezekana. Hatuwezi kuwaamini watu wa 115!

  • @amoursaid-d1o
    @amoursaid-d1o 12 дней назад +1

    marefa wanahujumu timu arsenal

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Safari hii hawatuzuii. Bado naamini kuna mambo makubwa Arsenal itafikia msimu huu.

  • @HamidCanho
    @HamidCanho 12 дней назад +1

    Wazungu hawaipendi arsenal

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe!

  • @HusseinBoru-sy3dw
    @HusseinBoru-sy3dw 10 дней назад

    Kama arsenal wange cheza ball wangepigwa bao zaidi ya tanoo

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  10 дней назад

      😂😂🔒Kwa hiyo wamecheza nini? Mpira ni tactics.

  • @Semi539
    @Semi539 11 дней назад

    Team ya arsenal haikuenda kucheza game ilienda kuumiza team ya man city

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Kelele za kufeli tu hizi. Mechi ya 4 mnashindwa kushinda dhidi ya Arsenal.

  • @salimmae7671
    @salimmae7671 12 дней назад +1

    Huyo refa hua hapendi arsenal kila wakati lazima atoe red card.

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Hasa na City huwa anahari u. M3chi iliyopita alishinda kumpa red Kovacic kwa rafu mbaya sana.

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope 12 дней назад +1

    Sisi tuko pamoja na nyuma ya timu yetu
    Mapambano yanaendelea

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Safari naamini kuna mambo makubwa tutayafikia.

  • @abelsamaki9426
    @abelsamaki9426 11 дней назад

    Punguza mbwembwe......cheza ball win league

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  11 дней назад

      Tusha win league 13 times, 5 timesmirethan Man City.

  • @SaidSaleh-q9i
    @SaidSaleh-q9i 12 дней назад +1

    Arsenal wanahujumiwa

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад +1

      Huyu refa anajitia majnun

    • @omarmohd-wf3xt
      @omarmohd-wf3xt 12 дней назад

      Babu hunatimu acha kulialia tafuta timu kama mshabiki wampira ayomambo kilasku yanajitokeza ila ww mshabik watimu sio wampira uwezo wenu mdogo

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Uwezo mdogo draw. Ukiwa mkubwa?

    • @HamidCanho
      @HamidCanho 12 дней назад

      Tena sana bro

    • @HamidCanho
      @HamidCanho 12 дней назад

      Father nimepend unavy elezea lakin ukiwa unaonyesha video ambay imefanyika itakuwa ni vyema sana

  • @JohnKalama-qk8pb
    @JohnKalama-qk8pb 8 дней назад +1

    Arsenal trophy less tna hkuna ktu chenye mtabeba nyinyi n wsindkzaji tuu mwtptia presha ss mashabk

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  8 дней назад

      Hii haihusiani na trophy inahusiana na ",dark art, lakini kama unataka kwenda huko then Arsenal has won 49 trophies, kaangalie tumewazodi Man City kwa trophies ngapi.

    • @JohnKalama-qk8pb
      @JohnKalama-qk8pb 8 дней назад

      @@GanazMedia uko n mwaka ngap broo coz mm nko n twenty-five year n cjawahii kuiona Arsernal ikibeba premier

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  8 дней назад

      @JohnKalama-qk8pb laumu kuchelewa kuzaliwa kwako mimi nimeona Arsenal ikisema Premier League mara 3.

  • @Rakim-y2z
    @Rakim-y2z 12 дней назад +1

    Arsenal kumbe wanatuburuza kama chadema

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Lakini safari hii tutakula nao.

    • @Rakim-y2z
      @Rakim-y2z 12 дней назад

      @@GanazMedia ki ukweli mi shabiki bora wa arsenal lkn mechi nyingi najaribu sana kufuatilia pindi arsenal anapocheza huwa kuna makosa mengine hata sio ya msingi wanlimwa ted card kama ulivyoichambua hii game ya jana ni uonevu mtupu huwa naumia sana na ndio maana nimefananisha na chadema Tanzania wanatafuta haki na ukweli tena ndani trtb za kisheria hawajakiuka Sheria lkn wanaonewa tu sasa ni kama arsenal sasa sijui na rushwa huwa ipo ulaya hawa marefa maana hawaeleweki kbs

    • @HafidhOmar-rs4ty
      @HafidhOmar-rs4ty 11 дней назад

      Acha ujinga

    • @Rakim-y2z
      @Rakim-y2z 10 дней назад

      @@HafidhOmar-rs4ty we ndio uko sawa sio una akili

    • @HafidhOmar-rs4ty
      @HafidhOmar-rs4ty 10 дней назад

      Im sorry jux mech imeniuma ndomna nlishndw kuelewa maelezo yko Im sorry

  • @iddiyrashid1682
    @iddiyrashid1682 12 дней назад

    Kuna baadhi ya marefa ni fifa mchongo

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  12 дней назад

      Hawa huwa mpaka nafika kujiuliza wana matatizo gani!

  • @JohnNziku-pm9ny
    @JohnNziku-pm9ny 11 дней назад

    Beben ligi

  • @abelsamaki9426
    @abelsamaki9426 11 дней назад

    Time wasters......