Hatujafungwa na Man City mechi nne za mwisho na tumewafunga City mara 2 mechi nne hizo. Brighton na Man City wote hawawezi kusema hivyo kuhusu Arsenal.
Hii ni wazi kwamba marefa wanahongwa na Waarabu ili waibebe Manchester City ndio maana maandalizi ya kutoa kadi nyekundu kwa Arsenal ilianzia kwa Declan Rice.
Hii haihusiani na trophy inahusiana na ",dark art, lakini kama unataka kwenda huko then Arsenal has won 49 trophies, kaangalie tumewazodi Man City kwa trophies ngapi.
@@GanazMedia ki ukweli mi shabiki bora wa arsenal lkn mechi nyingi najaribu sana kufuatilia pindi arsenal anapocheza huwa kuna makosa mengine hata sio ya msingi wanlimwa ted card kama ulivyoichambua hii game ya jana ni uonevu mtupu huwa naumia sana na ndio maana nimefananisha na chadema Tanzania wanatafuta haki na ukweli tena ndani trtb za kisheria hawajakiuka Sheria lkn wanaonewa tu sasa ni kama arsenal sasa sijui na rushwa huwa ipo ulaya hawa marefa maana hawaeleweki kbs
Yes am proud my Team,hongera sana my bro kwa ufafanuzi mzr wenye afya
Shukran sana, tuwe pamoja
Mkisema hjafungwa hta Britons hjafungwa
Hatujafungwa na Man City mechi nne za mwisho na tumewafunga City mara 2 mechi nne hizo. Brighton na Man City wote hawawezi kusema hivyo kuhusu Arsenal.
Ongera kwamachambuzi nzuri kuusu Arsenal
Shukran sana
Ww huelewi game inaonekana uzee umeingia
Kuelewa game na uzee kuna uhusiano gani? 😂😂😂
Huyu referee Oliver anajifanya yeye majinuni sana. Hawa hawaipendi Arsenal jasa kocha wao Arteta wanasema anajidai sana na ana kiburi. Blood full 😂
Oliver ana ma-scandal mengi tu. Kiwango xhake kibovu sana mpaka ananitia mashaka.
Hii ni wazi kwamba marefa wanahongwa na Waarabu ili waibebe Manchester City ndio maana maandalizi ya kutoa kadi nyekundu kwa Arsenal ilianzia kwa Declan Rice.
Arsenal ilipack bus akuna kitu walicheza
Sio basi treni
Yule refa Huwa simukubal kwenye mechi za arsenal Huwa haipendi arsenal
Huyu ashahujumu sana
Huyu refa ana jambo lake
Marefa hawapendi arsenal
Hawa wana matatizo sana.
Mimi nathubutu kusema marefa wanahongwa na mancity pamoja na huyo Howard webb
Hakuna kisichowezekana. Hatuwezi kuwaamini watu wa 115!
marefa wanahujumu timu arsenal
Safari hii hawatuzuii. Bado naamini kuna mambo makubwa Arsenal itafikia msimu huu.
Wazungu hawaipendi arsenal
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe!
Kama arsenal wange cheza ball wangepigwa bao zaidi ya tanoo
😂😂🔒Kwa hiyo wamecheza nini? Mpira ni tactics.
Team ya arsenal haikuenda kucheza game ilienda kuumiza team ya man city
Kelele za kufeli tu hizi. Mechi ya 4 mnashindwa kushinda dhidi ya Arsenal.
Huyo refa hua hapendi arsenal kila wakati lazima atoe red card.
Hasa na City huwa anahari u. M3chi iliyopita alishinda kumpa red Kovacic kwa rafu mbaya sana.
Sisi tuko pamoja na nyuma ya timu yetu
Mapambano yanaendelea
Safari naamini kuna mambo makubwa tutayafikia.
Punguza mbwembwe......cheza ball win league
Tusha win league 13 times, 5 timesmirethan Man City.
Arsenal wanahujumiwa
Huyu refa anajitia majnun
Babu hunatimu acha kulialia tafuta timu kama mshabiki wampira ayomambo kilasku yanajitokeza ila ww mshabik watimu sio wampira uwezo wenu mdogo
Uwezo mdogo draw. Ukiwa mkubwa?
Tena sana bro
Father nimepend unavy elezea lakin ukiwa unaonyesha video ambay imefanyika itakuwa ni vyema sana
Arsenal trophy less tna hkuna ktu chenye mtabeba nyinyi n wsindkzaji tuu mwtptia presha ss mashabk
Hii haihusiani na trophy inahusiana na ",dark art, lakini kama unataka kwenda huko then Arsenal has won 49 trophies, kaangalie tumewazodi Man City kwa trophies ngapi.
@@GanazMedia uko n mwaka ngap broo coz mm nko n twenty-five year n cjawahii kuiona Arsernal ikibeba premier
@JohnKalama-qk8pb laumu kuchelewa kuzaliwa kwako mimi nimeona Arsenal ikisema Premier League mara 3.
Arsenal kumbe wanatuburuza kama chadema
Lakini safari hii tutakula nao.
@@GanazMedia ki ukweli mi shabiki bora wa arsenal lkn mechi nyingi najaribu sana kufuatilia pindi arsenal anapocheza huwa kuna makosa mengine hata sio ya msingi wanlimwa ted card kama ulivyoichambua hii game ya jana ni uonevu mtupu huwa naumia sana na ndio maana nimefananisha na chadema Tanzania wanatafuta haki na ukweli tena ndani trtb za kisheria hawajakiuka Sheria lkn wanaonewa tu sasa ni kama arsenal sasa sijui na rushwa huwa ipo ulaya hawa marefa maana hawaeleweki kbs
Acha ujinga
@@HafidhOmar-rs4ty we ndio uko sawa sio una akili
Im sorry jux mech imeniuma ndomna nlishndw kuelewa maelezo yko Im sorry
Kuna baadhi ya marefa ni fifa mchongo
Hawa huwa mpaka nafika kujiuliza wana matatizo gani!
Beben ligi
Ligi inabebwa?
Sema bebeni kombe sio league
Time wasters......
😂😂😂