Arsenal 2 - 0 PSG: Idadi ya mabeki waliojeruhwa ni tishio

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 29

  • @phinamashau1219
    @phinamashau1219 2 дня назад

    Safi sana, nafurahi kupata taarifa nzuri za Arsenal. Session hii iongezewe muda na niombe kipindi kiendelee kuflorish zaidi na sisi tutaangalia mara zote. Gunners forever.

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  2 дня назад

      Ahsante sana Phina, mnatupa nguvu na kututia moyo kundelea kufanya kazi. Shukran sana #COYG

  • @abdulazizqasim7815
    @abdulazizqasim7815 3 дня назад +1

    kina kirefu kweli kilikuwa bonge moja la game! shukran kwa uchambuzi mzuri.

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      Pamoja sana kaka 💪🏾💪🏾💪🏾

  • @jaymann2893
    @jaymann2893 3 дня назад +3

    Niligundua channel yako last week n I fall in love so bro keep on posting good stuff coz I see u growing

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      Ahsante sana, hii inanitia moyo sana. Tuwe pamoja.

  • @AliMsellem
    @AliMsellem 3 дня назад +1

    kazi mzuri na ww shukuran sana kwakutupa taarifa mzuri allah s w akubari sana

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      Amin na wewe baraka zikufikie. Shukran sana.

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 3 дня назад +1

    Arsenal foreverrrrr
    Leo nmefarijika sana kusikia hii nyimbo yetu ya klabu yetu

  • @Emmanuel-b4g1n
    @Emmanuel-b4g1n 2 дня назад +1

    Gunners forever 🎉

  • @AliMsellem
    @AliMsellem 3 дня назад +1

    bado arsenal hatuchezi mpira sana tutakava sana washambuliaji wanakazi 2 kufunga kukaba tunahitaji mfungaji mzuri

  • @khalidswaleh1530
    @khalidswaleh1530 3 дня назад +1

    Asante kaka kwa uchambuzi mzuri

  • @NassorHassan-d1p
    @NassorHassan-d1p 3 дня назад +1

    Ahsante kwa kutujuza

  • @Abelsikaonga-p2v
    @Abelsikaonga-p2v 3 дня назад +1

    Yunaipenda gamers ❤❤❤❤❤❤❤

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @suleimanasaa4730
    @suleimanasaa4730 3 дня назад +1

    Vp kuhusu merino

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      Karibuni tutamzungumzia Merino, baki na sisi video zijazo in sha Allah.

  • @DavidJohn-p5m
    @DavidJohn-p5m День назад

    Nawapenda marefa wa ucl kuliko marefa wa epl

  • @ahmedimakope
    @ahmedimakope 3 дня назад +1

    North bank
    We are together

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад +1

      👍🏾👍🏾👍🏾

  • @saidmuharami2007
    @saidmuharami2007 3 дня назад +1

    Kipindi kiongenze muda walau kiwe dk 30

    • @GanazMedia
      @GanazMedia  3 дня назад

      Ahaante kwa pendekezo hili, nakhofia watu wasije kuache kuangalia ikiwa muda mrefu sana. Ila kama tutapata mapendekezo mengi kama haya basi in sha Allah tutaongeza muda. Pia siku za mbele tunakusudia kuwa na live.

    • @saidmuharami2007
      @saidmuharami2007 3 дня назад

      Mwenyezi mungu atufanyie wepesi ila hongera sana kwa uchambuzi yakinifu