Safi sana, nafurahi kupata taarifa nzuri za Arsenal. Session hii iongezewe muda na niombe kipindi kiendelee kuflorish zaidi na sisi tutaangalia mara zote. Gunners forever.
Ahaante kwa pendekezo hili, nakhofia watu wasije kuache kuangalia ikiwa muda mrefu sana. Ila kama tutapata mapendekezo mengi kama haya basi in sha Allah tutaongeza muda. Pia siku za mbele tunakusudia kuwa na live.
Safi sana, nafurahi kupata taarifa nzuri za Arsenal. Session hii iongezewe muda na niombe kipindi kiendelee kuflorish zaidi na sisi tutaangalia mara zote. Gunners forever.
Ahsante sana Phina, mnatupa nguvu na kututia moyo kundelea kufanya kazi. Shukran sana #COYG
kina kirefu kweli kilikuwa bonge moja la game! shukran kwa uchambuzi mzuri.
Pamoja sana kaka 💪🏾💪🏾💪🏾
Niligundua channel yako last week n I fall in love so bro keep on posting good stuff coz I see u growing
Ahsante sana, hii inanitia moyo sana. Tuwe pamoja.
kazi mzuri na ww shukuran sana kwakutupa taarifa mzuri allah s w akubari sana
Amin na wewe baraka zikufikie. Shukran sana.
Arsenal foreverrrrr
Leo nmefarijika sana kusikia hii nyimbo yetu ya klabu yetu
Pamoja kaka. Shukran sana
@@GanazMedia
Tuko pamoja nduguangu
Gunners forever 🎉
💪🏿💪🏿💪🏿
bado arsenal hatuchezi mpira sana tutakava sana washambuliaji wanakazi 2 kufunga kukaba tunahitaji mfungaji mzuri
Asante kaka kwa uchambuzi mzuri
Pamoja sana Khalid.
Ahsante kwa kutujuza
Tuwe pamoja kaka
Yunaipenda gamers ❤❤❤❤❤❤❤
💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Vp kuhusu merino
Karibuni tutamzungumzia Merino, baki na sisi video zijazo in sha Allah.
Nawapenda marefa wa ucl kuliko marefa wa epl
👍🏿👍🏿👍🏿
North bank
We are together
👍🏾👍🏾👍🏾
Kipindi kiongenze muda walau kiwe dk 30
Ahaante kwa pendekezo hili, nakhofia watu wasije kuache kuangalia ikiwa muda mrefu sana. Ila kama tutapata mapendekezo mengi kama haya basi in sha Allah tutaongeza muda. Pia siku za mbele tunakusudia kuwa na live.
Mwenyezi mungu atufanyie wepesi ila hongera sana kwa uchambuzi yakinifu