- Видео 70
- Просмотров 161 256
Ganaz Media
Великобритания
Добавлен 24 дек 2019
GANAZ Media Sauti ya washabiki wa Arsenal, tunakuletea takwimu, uchambuzi na yote yanayojiri kuhusu Arsenal na timu nyingine kwenye Premier League.
Je Arteta Anapaki Basi?
Je Arteta Anapaki Basi? Kumekuwa na shutuma kwamba Arteta anafundisha mfumo hasi wa kupaki basi bAdalq ya kushambulia, huku wengine wakimfananisha na Guardiola, Je ukweli ninupi?
Просмотров: 1 797
Видео
Arsenal 2 - 0 PSG: Idadi ya mabeki waliojeruhwa ni tishio
Просмотров 5 тыс.7 часов назад
Arsenal 2 - 2 PSG: Idadi ya mabeki waliojeruhiwa ni tishio kwa Arsenal; Ben White, Kieran Tierney, Takehiro Tomiyasu, Jurrien Timber na Oleksandr Zinchenko. 00:00 Utangulizi 01:02 Yaliyomo 01:36 Uchambuzi wa Takwimu 05:18 Saka 06:25 Trossard 08:23 Havertz 13:55 Majeruhi 16:16 Hitimisho
Arsenal Yashinda Lala Salama, Merino Aanza Mazoezi
Просмотров 4,5 тыс.14 часов назад
Arsenal Yaahinda Lala Salama, Merino akaribia aanza mazoezi
Arsenal Yashutumiwa Kutumia Mbinu Chafu (#DarkArtMyFoot)
Просмотров 6 тыс.21 час назад
Arsenal Inashutumiwa Mbinu Chafu (dark art)
Kadi Nyekundu Yazua Mjadala: Man City 2 - 2 Arsenal
Просмотров 7 тыс.День назад
Man City 2 - 2 Arsenal: Kadi Nyekundu Yazua Mjadala, Dakika 100 za kutafuta goli la kusawazisha!
Ukuta wa Chuma: Man City, Atalanta na Spurs
Просмотров 3 тыс.14 дней назад
Ukuta wa Chuma: Man City, Atalanta na Spurs
Mtihani Mzito Kwa Arteta
Просмотров 4 тыс.21 день назад
Mtihani Mzito Kwa Arteta #Odegaard #Merino #Rice Subscribe @GanazMedia 00:00 Utangulizi 01:30 Majeruhi 6 03:36 Ordegaard 04:33 Arteta na hali hii 05:36 Ratiba ngumu 06:46 Suluhisho 07:30 Nwaneri yupo tayari? 09:02 Havertz LCM 09:46 Washambuliaji 10:20 Kubadili Mfumo 11:18 Jezi za J'pili 12:30 Ulinzi ni Salama 13: 00 Hitimisho
Usajili na Uhamisho T23: Je Arsenal Imeimarika?
Просмотров 1,8 тыс.21 день назад
Usajili na Uhamisho T23: Je Arsenal Imeimarika
Kadi Nyekundu ya Declan Rice, Usajili wa Chido Wakwama, Raheem Sterling Ajiunga na Arsenal
Просмотров 11 тыс.Месяц назад
Kadi Nyekundu ya Declan Rice, Usajili wa Chido Wakwama, Raheem Sterling Ajiunga na Arsenal. Je kukosekana kwa mshambuliaji mpya kutaiathiri Arsenal? 00:00 Utangulizi 01:55 Arsenal v Brighton 02:45 Kadi Nyekundu 03:55 Joao Pedro Hakupewa Kadi 04:50 Mpira Unatembea 05:47 Athari ya Kadi 06:56 Calafiori na Martinelli 09:07 Nyota wa Mchezo 09:22 Ratiba: Ligi ya Mabingwa 10:11 Usajili wa Chido Wakwam...
Usajili na Uhamisho Toleo la 22: Mbrazil Neto Kuja Arsenal?
Просмотров 1,8 тыс.Месяц назад
Usajili na Uhamisho Toleo la 22: Mbrazil Neto Kuja Arsenal?
Usajili na Uhamisho 21: Merino, Garcia, Nketiah na Mshambuliaji
Просмотров 4 тыс.Месяц назад
Usajili na Uhamisho 21: Merino, Garcia, Nketiah na Mshambuliaji 00:00 Utangulizi 01:04 Mikel Merino 02:50 Nafasi ya Merino 04:14 Nketiah aingia Palace 05:47 Fabio Vieira 07:00 Charlie Patino 07:52 Ramsdale 08:28 Joan Garcia 09:08 Mshambualiaji mpya 11:44 Washambuliaji waliopo Sokoni Wanafaa? 13:31 Hitimisho
Viwango vya Wachezaji wa Arsenal (Players' Ratings) Aston Villa V Arsenal
Просмотров 2,1 тыс.Месяц назад
Viwango vya wachezaji wa Arsenal katika mechi dhidi ya Aston Villa ambapo Arsenal imeshinda 2 - 0 00:00 Utangulizi 01:11 Raya 02:14 Ben White 02:50 Timber 03:33 Gabriel 04:14 Saliba 05:15 Partey 06:19 Rice 06:42 Ødegaard 07:04 Saka 07:56 Havertz 08:08 Martinelli 08:52 Trossard 10:12 Nyota wa Mchezo 10:38 Arteta 11:28 Kiwango cha Timu 12:21 Hitimisho
Aston Villa 0 - 2 Arsenal
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
Aston Villa 0 - 2 Arsenal: Tunazungumzia nafasi 2 Magoli za Watkins, Magoli, kwa nini Arsenal inapata shida kwa Aston Villa na mengineyo...
Usajili na Uhamisho 20: Chelsea ni Vurugu tu!
Просмотров 4 тыс.Месяц назад
Usajili na Uhamisho 20: Chelsea ni Vurugu tu!
Usajili na Uhamisho: Toleo la 19: Merino na Joan Garcia
Просмотров 3,8 тыс.Месяц назад
Usajili na Uhamisho: Toleo la 19: Merino na Joan Garcia
Arsenal 2 - 0 Wolves, Rekodi Mpya kwa Salah na Haaland
Просмотров 1,2 тыс.Месяц назад
Arsenal 2 - 0 Wolves, Rekodi Mpya kwa Salah na Haaland
Utabiri wa EPL: Bingwa mpaka nafasi ya 10
Просмотров 2,8 тыс.Месяц назад
Utabiri wa EPL: Bingwa mpaka nafasi ya 10
Arsenal Yatoa Jezi ya 3 na Matayarisho ya Msimu Mpya
Просмотров 2,4 тыс.Месяц назад
Arsenal Yatoa Jezi ya 3 na Matayarisho ya Msimu Mpya
Usajili na Uhamisho 17 - Sakata la Chido Obi Martin
Просмотров 8 тыс.Месяц назад
Usajili na Uhamisho 17 - Sakata la Chido Obi Martin
Uchambuzi wa Kina: Liverpool 2 - 1 Arsenal
Просмотров 1,1 тыс.2 месяца назад
Uchambuzi wa Kina: Liverpool 2 - 1 Arsenal
Usajili na Uhamisho - Toleo la 15: Nico Williams, Dani Olmo na Leroy Sane
Просмотров 3,3 тыс.2 месяца назад
Usajili na Uhamisho - Toleo la 15: Nico Williams, Dani Olmo na Leroy Sane
Uchambuzi wa Mechi: Arsenal 2 - 1 Manchester United
Просмотров 2,1 тыс.2 месяца назад
Uchambuzi wa Mechi: Arsenal 2 - 1 Manchester United
Usajili na Uhamisho Toleo la 13: Arsenal x Aston Villa
Просмотров 2,9 тыс.2 месяца назад
Usajili na Uhamisho Toleo la 13: Arsenal x Aston Villa
Arsenal Yatoa Zawadi Kwa Washabiki wa Afrika
Просмотров 5 тыс.2 месяца назад
Arsenal Yatoa Zawadi Kwa Washabiki wa Afrika
Usajili na Uhamisho Toleo la 12: Arsenal, Chelsea, Liverpool, Man City na Man United
Просмотров 2 тыс.2 месяца назад
Usajili na Uhamisho Toleo la 12: Arsenal, Chelsea, Liverpool, Man City na Man United
Sakata la Video ya Ubaguzi wa Rangi la Enzo Fernandez
Просмотров 2,8 тыс.2 месяца назад
Sakata la Video ya Ubaguzi wa Rangi la Enzo Fernandez
Arsenal nataka ubigwaa sitaki kujua tunatumia mbini gani kubwaa saidi ni kombe dio tunataka
👊🏾👊🏾👊🏾
Arsenal msimu huu tunaweza rudia record yetu ya unbeaten
💪🏿💪🏿💪🏿
brother kazi mzuri kila la kheri nakutakia kazi njema tukutane ktk game ya leo
Shukran kaka
niliongea me mwanzo wataongea sana kuhusu arsenal arsenal tumipitia mengi sana machabiki ila hatukutoka arsenal tuwa na subra arsenal sana ndio timu tutayoiangalia ule utawala wa man city umeisha twahitaji vikombe 3 England vyote
Mti wenye matunda ndio unapigwa mawe
Mani Moh'd, keep it up bro You know what you do n doing it very special. Naomba uwe unaandaa makala kabla ya mechi na baada ya mechi zetu Gunners
Shukran kaks in sha Allah ombi nimelisikia, mbele tuna mipango kadhaa ikiwa ni pamoja na ombi lako na live session.
Nawapenda marefa wa ucl kuliko marefa wa epl
👍🏿👍🏿👍🏿
Kaka mwaka huu watasema sana lakin all to all makombe tunabeba na tutamfunga yeyote hata wa cheze na marefa,na arteta kasema anawafunza wachezaj wake mazoezi ya kuwa pungufu mchezoni
💪🏿💪🏿💪🏿
Arsenal bigwa msimu huu.
💪🏿💪🏿💪🏿
Mwaka huu arteta anacheza kikubwa sana akipata goal anatakiwa alilinde kiukweli kama unataka kushinda majaji unatakiwa ucheze kikubwa
💪🏿💪🏿💪🏿
uko vizuri kaka hapo umeeleweka👍
Shukran kaka, tuwe pamoja
awaelewii waambie tunapack treni
👊🏾👊🏾👊🏾
broo mikel arteta ni top manager kwass,mana kwa kpnd iki kifup cha taaluma yake ya ukocha nmba zke znatsha ndo mana watu weng wnamtia mizengwe ila jamaa ni special kbs naungna na ww unachksma kua muda utaongea ata pep mwnyew ameshakiri uwezo na ubora wa mikel ivo klchbkia ni kukusanya mataji tu ili kuwacbtishia walimwengu kua yy ni nani mana apo ndo wnapojifichia asaiv,lkn kwnguu mm mikel is great menager kwwss,km team ytu ingelikua inajitahd kutoa mzgo mkbwa zaid bc asaiv tngekua 2naongea mngne lkn yte kwa yte muda utaongea tu tna kwa aina ya awa makcha wa sasaiv ndo awamuwezi kbs kwenye kila k2 kuanzia uongozi,mbinu nk
👍🏿👍🏿👍🏿
Kwa mimi mutazamo wangu naiona arsenal bado imara sana kwa sababu nikiangalia team kubwa zote za uerop Kuna baazi ya team kubwa kama zote zimepoteza muchezo ila arsenal mpaka sasahivi bado haijapoteza muchezo hata mumoja kwaiyo arsenal bado ni team nzuri sana ❤❤❤❤❤
💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Broo now bora uwe ubafanya vipindi kwa wiki mara 3
Nimesikia kaka in sha Allah tutafika huko.
Asante kwa uchambuzi uko juu.
Shukran sana
Gunners forever 🎉
💪🏿💪🏿💪🏿
Safi sana, nafurahi kupata taarifa nzuri za Arsenal. Session hii iongezewe muda na niombe kipindi kiendelee kuflorish zaidi na sisi tutaangalia mara zote. Gunners forever.
Ahsante sana Phina, mnatupa nguvu na kututia moyo kundelea kufanya kazi. Shukran sana #COYG
Yunaipenda gamers ❤❤❤❤❤❤❤
💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
kazi mzuri na ww shukuran sana kwakutupa taarifa mzuri allah s w akubari sana
Amin na wewe baraka zikufikie. Shukran sana.
Kipindi kiongenze muda walau kiwe dk 30
Ahaante kwa pendekezo hili, nakhofia watu wasije kuache kuangalia ikiwa muda mrefu sana. Ila kama tutapata mapendekezo mengi kama haya basi in sha Allah tutaongeza muda. Pia siku za mbele tunakusudia kuwa na live.
Mwenyezi mungu atufanyie wepesi ila hongera sana kwa uchambuzi yakinifu
kina kirefu kweli kilikuwa bonge moja la game! shukran kwa uchambuzi mzuri.
Pamoja sana kaka 💪🏾💪🏾💪🏾
Arsenal foreverrrrr Leo nmefarijika sana kusikia hii nyimbo yetu ya klabu yetu
Pamoja kaka. Shukran sana
@@GanazMedia Tuko pamoja nduguangu
bado arsenal hatuchezi mpira sana tutakava sana washambuliaji wanakazi 2 kufunga kukaba tunahitaji mfungaji mzuri
Ahsante kwa kutujuza
Tuwe pamoja kaka
Vp kuhusu merino
Karibuni tutamzungumzia Merino, baki na sisi video zijazo in sha Allah.
Niligundua channel yako last week n I fall in love so bro keep on posting good stuff coz I see u growing
Ahsante sana, hii inanitia moyo sana. Tuwe pamoja.
Asante kaka kwa uchambuzi mzuri
Pamoja sana Khalid.
North bank We are together
👍🏾👍🏾👍🏾
Bro ilo swali lako nadhani kila mtu analojibu,arsenal so timu yakwanza nanitimu zote duniani hiyo ndombinu yaushindi endapo timu inaongoza sasa iweje leo waishtumm arsenal?
Arsenal ineanza kywatia khofu rivals.
Yes am proud my Team,hongera sana my bro kwa ufafanuzi mzr wenye afya
Shukran sana, tuwe pamoja
Alikosa mechi ya calabao
👍🏾
big up mzee baba uko vizuri tunafurahi uwepo wko mungu azidi kukupa nguvu ndugu👍
Amin, shukran sana. Tuwe pamoja.
@@GanazMedia inshallah🙏
Kwely kbis Yan
👍🏾👍🏾👍🏾
Nilijiulz san kuhus trosard
Kuhusu nini? Kadi?
Shukran kwa uchambuzi mzuri ila nilipenda kufahamu khs trossard mechi ya man city alioewa red lkn naona mechi iliyofuata kacheza vp adhabu yake ilifutwa
Alikosa mechi moja ya efl zid ya bolton
Ommy kakupa jibu sahihi kabisa
@@ommymehmed8880 ok kwa hivyo sheria ya epl na efl ziko sawa
@@GanazMedia shukran
Hakucheza mechi ile ya BOLTON
Upo vzry brooh
Shukran bro.
Ukiwa unachambua usiwi unawek hisia zako kama unamkubali Coach ao unajua kwamba anajua zaidi yako basi iyo kazi muachie TETA
Lengo ni kuwa na sauti za washabiki. Washabiki wana nafasi ya mabadiliko. Mfano: Wenger aliondolewa Arsenal kwa nhuvu ya washabiki. Huu ni mtazamo wa wengi sio wangu peke yangu kama unafuatilia AFTV ungejua hilo. Sky pia limezungimzwa na hata TalkSport.
Saw sawa
Watafute msha. Mbuliaji wamojakwamoja
Soko halina striker wanayemutaji Arsenal, naamini akitokea watanunua kama bei ni sawa na fedha zipo.
Wachezaji wamecheza inavyotakikana lakini wamechelewa kupata mabao
Kweli
Mzee Kuna source kama mbili Zinasema Jana calafiori alimaliza game lkn ameumia goti hii imekuwaje kaka?
Taarifa za awali zilisema goti, taarifa mpya zinasema hamstring. Nafuatilia habari za uhakika tutaliongelea in sha Allah. Lakini nadhani sio goti ni hamstring.
Timu yetu Arsenal Inataka striker tu
Soko halina striker wanayemutaji Arsenal, naamini akitokea watanunua kama bei ni sawa na fedha zipo.
new jack Wilshire Ethan nwaneri huyu ndio jack Wilshire arsenal haina striker ukweli usemwe inahitaji striker
Ufananishaji mzuri sana,.
@@GanazMedia sahihi
Mani Kuna shida why Kai acheza dkk 90 sioni Kama ana kiwango hicho, atafutwe natural striker
Kai Hvertaz ni mchezaji mwenye akili, ingawa sio mshambuliaji out and out. Ila ana vitu vingi uwanjani. Defensive contribution, hodari wa duels hasa za juu, ana composure kiasi. Anahitaji kuwa aggressive zaidi
Kiongozi mambo vp unajitahid sana kuchambua ila unapochambua inesha na vitendo yaani vile vipande vya video
Kuna Hakimiliki, RUclips wanakufungia ukitumia video ambazo huna haki nazo. Ingawa ipo ruhusa, ji ruhusa finyu sana sana ambayo pua unaweza kuzuiliwa video, kwa vile hatutaki kujenga channel ya "mazishi mazishi" tunajaribu kuwa makini sana.
Asante kaka kwa uchambuzi mzuri🙏🔥🔥
Shukran Ibn Swaleh
kila hila wanaifanyia tim yetu hiki chama cha FA naona ni km wanaichukia arsenal yetu
Hawawezi kuzuia mafuriko
Ikiwa wenyewe wamenyamaza eti nyinyi ndio mwajifanya mwajua kuongea😂😂acheni utoto
Uko kwenye Dunia ipi? Wenye timu ni wachezaji wamiliki na washabiki. Halafu Arteta ameongea na kujibu hashughulishwi na habari ambazo sio facts! Au Arteta pia sio mwenyewe?
@@GanazMedia sasa kama nyinyi wa afrika mtaisaidia nini team ta arsenal hata mukiongea
Same apply to you: wewe itakusaidia nini kutuambia sisi?
What do you mean mbinu chafu!? Whoever thinks so he doesn't know anything about football at all akae kimya
Dark art in football ndio mbinu chafu.
21 sessions without premier league trophy 🏆 😂and this season arsenal is number 4😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ukweli usikuume sana. Haihusiani na mada. Hata hivyo kama unataka kwenda huko, we still have 13 league titles. Only two other teams can say that. Liverpool and Manchester United. This is called heritage. Did you know Man City went 54 years without trophy 😂😂😂
Mkisema hjafungwa hta Britons hjafungwa
Hatujafungwa na Man City mechi nne za mwisho na tumewafunga City mara 2 mechi nne hizo. Brighton na Man City wote hawawezi kusema hivyo kuhusu Arsenal.