Naona ugonjwa wa msimu uliopita wa kuruhusu magoli halafu tunasawazisha bado Arteta anacho cha kurekebisha , bila kupepesa macho timu yetu Arsenal (The Gunners) inaelekea kuwa bora zaidi ya msimu uliopita, kila la kheri timu yetu pendwa maandalizi mema pia"
Dalili ni nzuri.
Kweli kabisa
Pamoja sna
Pamoja kaka
As ssalam alaiykm warahmatuwah wabarakat brother kila la kheri ktk kazi yako
Alaykum salam, ahsante kaka. Shukran eana.
Naona ugonjwa wa msimu uliopita wa kuruhusu magoli halafu tunasawazisha bado Arteta anacho cha kurekebisha , bila kupepesa macho timu yetu Arsenal (The Gunners) inaelekea kuwa bora zaidi ya msimu uliopita, kila la kheri timu yetu pendwa maandalizi mema pia"
Mapema bado, wachezaji hawapo 100%. Lakini timu naamini itatulia zaidi mwaka huu.