MBARIKIWA ANAFAFANUA MWAKASEGE NA MATHA KUMSHITAKI YOU TUBE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2023
- Ibada Iliyoongozwa na Mch. Mbarikiwa Mwakipesile.
Sisi kwetu injili ni kuongea na kukemea maaovu na uovu na
KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
0655436603 au 0769015164
Nakuelewa sana, mtumishi Mungu akutunze.
Mtumishi hayupo wa kukuchezea hiyo ndiyo Injili Yesu
Magufuri alihubir
Nyerere alihubir
HUNA HAKI YA KUMKEMEA MWAKASEGE WEWE LEVEL ZAKE NI ZA JUU
ANA KIBALI CHA MUNGU KWA WATU WOOTE HATA WEWE UNAMKUBALI
MANENO YAKO HAYATAMSHUSHA VIWANGO BROTHER POLEEE SANA
HUO MUDA UNAOMSEMA MWAKASEGE UNGEHUBIRI INJILI UNGEPATA CREDIT MBINGUNI
Ana kibali kama huyu wa MATENDO 8:9-24, AU 16:16-
Huo ni wivu! Injili ihubiriwe Kwa Kila kiumbe, awe mzungu or mwafrica wote ni sawa tu! Wewe ni mfalisayo usijihesabie haki! Mwache Mwl aichape injili ya kweli
MUNGU ni Kila kitu
@@subbyluckson6231 nyie ndio wale mafarisayo walio muua Yesu wakisema anapingana na Musa, uyo mwakasege ni zaidi ya Mungu?? Akifanya upumbavu atagiswa tena mbele ya watu yani mwakasege awe juu ya petro aliye kemewa mbele ya watu
Mimi sijui Neno Sana, Mungu anisaidie na kunisamehe Lakini siwezi sikiliza mahubiri yenye kusimanga watumishi wengine, hayanijengi, najifunza Nini apo, zaidi natoka kanisani najua flani alifanya hiki na kile, Mungu turehemu
Mwakasege my lovel dady endelea kuchapa injili huyu mlolomaji aendelee kuloloma time will tell.
Amesasaidia kuruka baadhi ya siku bila kuoga??
Mwakasege baba endelea kufanya kazi. Na yeye aendelee kufanya kazi, atachuja Yesu mwenyewe. Ila baba mwakasege tunaomba umsamehe sana sanaaaa
Akuna mtumishi wa Mangu ambaye anaweza kumpeleka mtumishimwenzake mahakamani, inawezekana Mwakaseke na Martha nao ni watu wama number serkali niya ma number, mwisho wayo upo, weye subiri wakoseye macharti tu . YESU hazihakiwi, yote yalipwa chini ya juwa. Muda wao upo.
Tutaujengaje mwili wa kristo kwa mafundisho kama haya, inshort bado tunasafari Mungu atusaidie, tunapojiona tumekamilika kuliko wengine ndio tutanza kuhukumiana, tunaona ubaya wa wengine tukijua sisi ni wema. Angalitunayoyanene ikiwa ni sehemu ya mapungufu, wala si ukamilifu. Je sisi tunapokosea nani anatusema au ndotunatulia vitandani mwetu na kuomba msamaha kwa Mungu, watumishi tupendane tuombeane rehema tunapoona wengine wamekosea
Ila mtumishi mwakagese Mungu azidi kumfunika sana sanaaaa. Kwa hekima yake ya ukimya wake. Mungu aonaye sirini jamani jamani.
Mbarikiwa ! Unajenga safina ya watanzania
Mwl mwakasege Mwalimu wa Neno la Mungu
Mbarikiwa acha chuki kuwapiga wenzako mawe kazi ya mtu itapimwa na Mungu na mwenye kuhumu ni Mungu pekee hicho unachokipanda tena kwakutumia mimbara iliyowekwa wakfu kwajili ya kumubudu Mungu utavuna unachopanda soma wagalatia 6,7,8 ,achana na hayomambo waombe watumishi wenzako msamaha waombe viongozi msamaha unamwaga mtusi je huyo ni Roho mtakatifu anakongoza kufanya hivyo?
Shida kaka hawa watumishi Hawakemei waovu wanachagua ndio wanaendekeza mabaya yanaendelea watumishi mshikamane tendeni mema
mmh
UPENDO WA KWELI UCHUKIA UDHALIMU,Amina.
Watumishi tunashindwa kuelewa injili ya kusemana sio agizo la Mungu
Nimeamini wewe nimgonjwa wa akili [ grandiose, hallucination]
Umekuja kusikiliza nn kwa asiye na akili ni ishara na wa huna akili
Mungu amsamehe tu.
Anahitji maombi si kingine
Unamsikiliza mgonjwa wa akili wewe unazo kweli?
😂😂
Uf12:17 .Joka la kushughurikia, siyo mtu! Maana ktk hekima zote hakuna itasaidia ni kushughurikia Joka msaada upo hasa kwa yule wa mkono wa kulia.Amen
Mcha mungu wa kweli hana siri kabisa juu ya uovu wa aina yeyote lzm auweke wazi nasio kuufichaficha
Wewe mbarikiwa tusaidie nasi tunakuja, Tanzania imeharibika linalokuwa acha liwe
Uzuri Baba Mwakasege hanaga muda wa kujibu 😂😂😂😂 we jitekenye na ucheke mwenyewe
Hivi ulivyojibu ni jibu tosha la huyo baba yako
Now you know kuna watumishi huwa hawajibu ila Mungu anawajibia😂😂😂haya wewe na Bamako mbarikiwa mkanyee debe
Kila mtu anamuwakilisha aliyemtuma
Nakutambua u mtumishi wa Mungu lakin mh!
Mwakasege ni mtu mwema sana machoni pa watu lkn kama wewe unavita nae binafusi umemsema usitarajie ukujibu yawezekana amekuona mweu wewe achana nae fanya kazi yako uliyo tumwa na mungu sawa brother nakupenda sana ila acha kuwasema watu kanisana wakati wewe mwenyewe sio mkamilifu machoni pa mungu
Hata ukijibu wewe anakuwa amejibu yeye. Na umejibu vema kuwa ni mtu mwema machoni pa watu. Yaani kama huyu wa MATENDO 8:9-24 na 16:16 -
@@Mbarikiwa_Mwakipesile sawa ahsante ila jaribu kufikisha ujumbe bila kutaja jina la mtu kama ukimtaja jina hakikisha unauhakika na unacho kisema ili baadaye usije ingia kwenye dhambi ya kuhukumu wasio na hatia brooo uko vzr sana unaujasiri mno na msimamo lkn hakikisha usitoke inje ya kusudio la mungu
Jamani huyu kabeba uchungu wa mwanae ndo umemtoa uweponi mwa Mungu,
Hv hawa watu wanalishwa neno saa ngapi neno kila cku ni maneno si neno madhabahuni mwa Bwana
Kweli kama Mwakaseke nimtumishi wa Mungu, sasa kwanini ampeleke, Mkristu mwenzake mahakamani, mahakama niya wa ma number manayake nae nimtu wachama, viziwi hawata kuelewa😂😂
Huyu wanao mfahamu hawana shida, huyu ni chizi alimtukana mpaka mama yake mzazi.
Huyu mfungwa mwache Mungu ashughurike nae huko jela
Umeishiwa baba kila siku kuhubiri maneno ya watu badala ya neno la Mingu
Hilo Leno la MUNGU Huwa linahubili nini? Mbwa na kuku au linahubiligi watu?
Sijawahi kusikia ukihubiri Injili ya kutupeleka mbinguni.. kusengenya tu madhabahuni? Natumaini uko kwenye kipindi cha mabadiliko.. uje ukiwa Mbarikiwa mwingine.
Mimi napenda kukufatilia sana lakini usilazimishe mwakasege akujibu kwa mitandao
Kukaa kimya ni jibu
Watumishi wote wa makusanyiko ya Kipentekoste hakuna anayekubaliana na mafundisho yake hata mmoja, Kwani yeye anaunga mkono upotoshaji na tafsri mbovu ya NENO la MUNGU mfano; Ubatizo wa maji ya kwenye bakuli, liturujia, kipaimara na kutokuamini ujazo wa Roho Mt na kunena kwa Lugha nk haya yote utayakuta KKKT, Angilikan, Morovian na baberi mkuu katoloka.
@@EdwinMbwilo-fj6bfmmmmhhhh
Na kweli hata hao wako unawafanania mwache baba yetu
Umesambaratishwa wewe Sasa badala ya wewe kuwasambaratisha watumishi wa Mungu
@rosepallangyo1352.
Usishangilie mapema weka akiba ya maneno
Unavyo onekana unania ya ubinafsi kujihesabia haki kuliko kumumsaidia mtu ktk utulivu wa moyo.
Inatatua mambo ktk machafuko na taharuki hata kama unaukweli, nivigumu kuipita njia ya Yesu kwa mfumo huo maana hakututuma tupigane kimwili bali ni ktk roho.
Daah umechanganyiķiwa masikinji😂
Uligusa mahali ambapo hapafai, nami na kuambia mwakesege umemchokoza mwenyewe kwanini kumsema hivyo acha ukolofi , tulia fanya kazi ya MUNGU kwa uwaminifu
Nakukukubali A,Z kuhusiana na mwakasege umeyakanyaga na isitoshe unajichafua mwenyewe
Huu mdomo jamani utatufikisha pabaya jmn duuu!!! Hii ni injili au chukiii???
Sio akili yako umevalishwa nira wewe😅😅😅😅
Ni kweli yapo makosa Kwa wanadamu, lkn hata kwako yapo, acha kujihesabia haki, hakuna mkamilifu chino ya jua ila yy peke yake
Uwo ndio huubiri uliotakiwa duniani, MBARIKIWA uwa nakuelew San ten San
Kumbe hayo ndo mahubiri heeee.
Mimi nakuelewa sana
Dah hatari sana
Mhhh!!! Mungu aitwe Mungu lkn .............
Kwani mwakasege amekufanya nn kama ana clip mbaya weka tuone kama una wivu wako binafsi bas ushindwe maana kuna manabii wengi wa uongo hapa Tz
Nimegundua huyu anatafuta kuwa na comment kuwa juu apate _____________
Acha ku comment ili umkomoe
Jamani wapendwa katika koment zenu acheni kumuhukumu mtumishi wa Mungu yoyote kumsema vibaya neno la Mungu linasema kila neno unalolitamka utakuja kulitolea hesabu anayejua ukweli ni Mungu pekee wewe ni mwanadamu huna haki ya kuhukumu kuwa makini na ujumbe wako
Huyu kijana anasumbuliwa na inferiority complex.
Kwa nini huubiri na kufundisha Injili?
Sasa unalalamika nini? Kama hukufanya kosa kwanini unalalamika
Yaani kumwambia mtu makosa yake au kukosoa ndo limekuwa kosa? Kwahiyo tusikosoee?
Kwa hyo yeye hakosei? Huwa nani anamkosoa yeye? Aache ujinga wa kupambana na watu
Sina Cha kukoment maana umekamatwa basi
Nawazaga Sana kizazi Cha watu Hawa wanakataa Sana kuambiwa uovu wao na watu wengi huwaamini Sana watumish Hawa sijajua itakuaje kizazi kijacho
Soma maandiko waliokuwa.wanakemea.maovu.sio.kutukana.serikali.mara kutukana.wahubiri wenzio.mara umeme.mara.bandari.mara.ma.samia.mara.tulia mara.hee.hawakemei.hivo basi.yesu.yuda.angemuua.mbona.alimuacha.na.alitunza.mkoba.wa.hela.mbona.danieli.alisababisha.wachawi.waishi.kwa.usalama.babeli.mbona.yohana.mbatizaji.alikatwa.kichwa.yesu.hakuandamana.ila.ndo.unamkuta.anawaambia.watu.mwambieni.mbweha.yule kuna.vitu vingine vya kuvinyamazia. Ma'ana.wapo.walioneba.kusudi.la Mungu.watafanya.kwa.nguvu
Sema maana KANISA wamelifaanya kuwa nyumba ya wanyang'anyi
Acha hayo mwakipesile
Meakasege kwanini ujaongelea swala la kufa kwa mtoto wa mbalikiwa wakati unajua . Ndicho nilicho kiona kwa mbalikiwa....
Kweli walokole wengi hawalipagi madeni
Mchokozi akimaliza kuwafinya watoto wa jirani anawageukia wa ndani mwao nyie wote waMwa mwa wote wajuwa dini wasiokubali kushindwa eti wapenda haki imekuwaje tena?
Huyu baba anatatizo aombewe. Piga injili acha kukosoa
Uyu mbaba jana ekima ata nusu na
duu,hii ni vita vya kiroho kanisa tusimameni na kuomba
Atakayevumilia hata mwisho ndiye atakaeokoka . Kipimo cha utakatifu pale utakapomaliza mwendo .
Ila nacho jiuliza kila cku cjawah ona unahubiri bila kumwongelea mtu wewe unaenda kanisana kuwasema watu sio kufundisha hata hao wahumin wako unawapoteza sana nakupenda kwa ujasiri ulio nao lkn jambo la kuwasema watu tena kwa majina hapo umeyumba sana tena sana mwishowe watakufungia kanisa kwasababu hutoi mafundisho bali unaenda kusema watu
Ujue unapenda mahubiri ya kuwasema watu. La sivyo ungeacha kufuatilia. Na sisi kwetu injili ni kuongelea wema au ubaya wa mtu ili wengine wajifunze. Zaidi ya hayo Biblia tunayosoma sisi imewasema watu kwa asilimia mia moja. Wewe somaga hiyo iliyowasema kenge na kunguni.
Sawa lkn usihukum kama hauna uhakika maana utatolea hesabu
Ahaa kwa jibu hili nimeelewa sasa kwamba nyie ndo wale Yesu alisemaga mtakuwa wengi sana nyakati hizi za mwisho
Na bila shaka wewe ni chawa na umelambishwa na kunyweshwa asali za kutosha
Unaongea nini mbona matusi hayo acha bwana
Alishawah kusema mwakasege vita nyingine ni yakukuchelewesha tu
huyo mzee anatafta kiki,wala hana kazi na injili anastahili kuwa dalali
Waambie waje waue mtoto wako ili utafute kiki. Mijitu mliojaa damu kila kitu kwenu ni kiki
Hata kama.mwakasege sio mtumishi lakini ni.baba yako mwakipesile.ila.mm.ninacho.amini.shetan.anamtumia mwakipesile.watanzania.kama.tungekuwa.kama.nchi.zingine.amgeharibu.amani.ndo.shetani.anawatumiaga.watu.wanaanzaga.kuuana.wao.kwa.wao.watanzania.tuwe macho
JAMANI NENO LA MUNGU NI UPANGA TENA WENYE MAKALI KUWILI,UKIONA UNAUBIRI NENO LA MUNGU HALINA MAKALI UJUE UMEUBIRI NENO LA KWAKO.
Shujaaa mbarikiwaa
Kuna watu wachache wamewafanya watu wasinzie,waamin katka usingiz Ili wao ndio waone na Nia Yao ikamilike: ninakuelewa sana mbarikiwa na haitawezekana kukumaliza kwa Sababu upo kwa makusud ya Mungu 👏👏
Wewe ni wakala kutoka kuzimu! Umeshindwa na utaendelea kushindwa ktk jina la YESU Kristo
Mama pole simama mutimichichi aijalischi mutumichi amefuga wewe simama
Jamani, msaidieni huyu ndugu afikishwe mirembe haraka mno!😭
Wewe wameshakupeleka? Au wewe umechanja chanjo ya corona dozi zote tatu au moja iliyo na nguvu tatu?
Kwani anaejibu ni mchungaji mwenyew au Kuna mtu anashuhulikia akaunt hii, Mana mmh majibu gani Kama unaongea na wa dunia, hekima bas iwepo watumishi
We nani kila mtu mbaya kwako
Kila analolisema mtumishi huyu linakuwa na ukweli wa dhahili, au akikutaja kwa jina ujue uovu wako unaujua na yupo tayari kuutaja ndo maana wachungaji wengi wamekaa kimya
Acha kujifanganya usijitafutie dhambi bila sababu
@@franktarimo271 Mwakasege anawafungia watu mlango wa kwenda mbinguni. Amewatengenezea wokovu wa Ubatizo wa maji ya kwenye bakuli. Nawapa pole sana mnaomfuata kipofu huyu.
Kukaa kimya si kwamba yuko sahihi au hayuko sahihi jifunze kwanza
@@EdwinMbwilo-fj6bfkwahyo maji kwenye bakuli yatapeleka watu mbinguni???😢 nenda yordan kabatwizeeeeeee
@@janelunanilo162 Kumbuka tunaokolewa kwa NENO Yohana 14:23
Sasa baba mchungaji mwakasage ni mwinjiristi au mwalimu
Mwakasege ni mwalimu sio mchungaji ,hana kanisa bali hushirikiana na makanisa na kutoa huduma.
Mambo ya mabatizo ni ya wachungaji akishahubiri anawaachie makanisa ya mji husika huwalea na kuwabatizA...
Hawa kikosi ni wagomvi,washari,Roho alishawahama siku nyingi,wamo wenyewe,kanisa lao halina injili tena Roho hawezi kukaa kwenye mazingira yao,ndiposa wako wenyewe na kubaki kutukana na mitusiii kibao
Muache mwakasege jamani mbona hivyo we punguza mdomo jamani
Umeona we
Mimi simuelewagi huyu
Unanimalizie mb tu usiwalishe nzege watoto wako wek mwakasege amekusem nini
Kusema kwako ndio kusema kwake.
Ww mzee mm sikuelewi kama mwakasege amefanya ubaya leta clip tuone kama una wivu wako ushindwe watu wamelipa gharama wamepitia mengi mpaka wamefika hapo ww unatukana watu matusi tena madhabahuni na waumini wako wanakusikiliza shame on you😮
Wewe Jeshi kubwa Baba, Yesu aku tetee iyo kali. Wanazika Roho zawa umini kanisani, waumini wasi pate kuwagundua ongea kweli. WEWE MBARIKIWA,NA BABA YANGU WAKIROHO MAGEMBE MUNAJUA KUKEMEA ZAMBI YESU AWALINDE , LEO UNAONGEEA YOTE KWELI , UBARIKIWE MILELE, NJOMANA UNA PIGWA VITA BABA, TUMEELEWA LEO.😂
Inafanana na Matendo ya mitume 5:1-11 Kwa habari ya Anania na mkewe safira .
Ila wkt mwingine huduma ya mwakasege haina kukemea dhambi
Unamkosea Mungu unapomzungumzia vibaya mwalimu mwakasege. Usiingie kwenye adhabu ya Mungu kama huyu jamaa.
Naogopa kwel kuwasema watumishi wa Mungu
Siyo yote ya mwakasege ni mabaya, lakini Kwa Yale mabaya lazima aonywe. Maana yeye siyo MUNGU.
Wekeni hayo mabaya yake wazi tuyajue sasa. Mbona naona Ni kelele tu
Shida Ni kwamba humfuatilii. Unakutupishwa na wapinga Kristo rafiki. Huna tafiti usiongee
Watu unaowatukana wamekaa kimya siyo kwamba hawawezi kukujibu bali wamekudharau.
Si kweli
Pia kukaa kwao kimya yeye anafikili wanamuogopa au anafikili anachokiongea kiko sahihi
Punguza mdomo huwwzi kushindana na serekali mbarikiwa punguza mdomo unamdomo sana punguza mdomo
Ameeeni baba Mbarikiwa
Mbarikiwa wewe Ni mtumushi fuata yako na huduma yako
MWAKASEGE UTABAKI KUWA MTUMISHI BORA ULIEITWA NA BWANA KWA MAJIRA HAYA.
USIJIBU KIMWILI HIZI SIO LEVEL ZAKO BABA
ROHO WA MUNGU ALIYE HAI YU PAMOJA NA WEWE
INJILI ULIYOPIGA YENYE NGUVU MIKOA MINGI TZ IMELETA TAHARUKI UPANDE ULE MWINGINE
TUKO NA WEWE BABA YETU SONGA MBELE TAIFA LINAKUHESHIMU NA SISI TUNAKUPENDA
Ana kibali kama huyu wa MATENDO 8:9-24, AU 16:16-
Nakumbuka uliwahi kutufundisha, hivi wanapoinuka wanaokupinga omba hekima.
Ninachotaka kusema Ni kwamba, sijajuwa aliyekupa huo ujumbe wa kuhubiri Kama no Roho au kwingine.
"...Lkn ninalo neno moja kwako, angalia Ni wapi ulipokosea na ukatubu"
Mwakasege Hana kanisa ili aanze kuhakiki Nani amevaa Nini, yeye anahubiri kwenye mikutano Kama unavyofanyaga na wewe unapopita na magari masokoni. Sasa kwenye mikutano utaanza kuchambua huyu anisikilize na huyu asinisikilize kweli??
Kuhusu mwl mwakasege kukemea dhambi, Mimi Ni shahidi ktk hili. Tena anafundisha namna ya kuishi. Anaombea mzee wa watu. Afanye Nini kiwe chema kwenu enyi mafarisayo??
Sikatai kwamba Hakuna wahubiri wa uongo Ila sio mwl mwakasege. Hapo umepotoka.
Kama uko na ushahidi wa ubaya wake mmoja, Mimi Nina ushahidi wa wema wake 100.
Bibilia inatuelekeza, "ishindeni ubaya kwa wema..." Hayo maelekezo ya bibilia umeifanyiaje kazi MTU wa Mungu.
Shalom
KANISA LA SASA TUMEONYWA NI SABA YALE YALOTAJWA UFUNUO MAANA YAKA NI LISILO NA MSIMAMO HOHEHAE WAKRISTO TUMO VITANI TUSIGOMBANE TUKAWA HUKO
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Huyu mtumishi Mimi sijamwelewa kabisa mbona hahubili nenolamungu madhabahuni?