MBARIKIWA ANAFAFANUA MWAKASEGE NA MATHA KUMSHITAKI YOU TUBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2023
  • Ibada Iliyoongozwa na Mch. Mbarikiwa Mwakipesile.
    Sisi kwetu injili ni kuongea na kukemea maaovu na uovu na
    KWA MAWASILIAMO ZAIDI PIGA SIMU
    0655436603 au 0769015164

Комментарии • 158

  • @francismorice4941
    @francismorice4941 2 месяца назад +1

    Nakuelewa sana, mtumishi Mungu akutunze.

  • @nestorysamwel4499
    @nestorysamwel4499 9 месяцев назад +1

    Mtumishi hayupo wa kukuchezea hiyo ndiyo Injili Yesu
    Magufuri alihubir
    Nyerere alihubir

  • @user98771
    @user98771 9 месяцев назад +6

    HUNA HAKI YA KUMKEMEA MWAKASEGE WEWE LEVEL ZAKE NI ZA JUU
    ANA KIBALI CHA MUNGU KWA WATU WOOTE HATA WEWE UNAMKUBALI
    MANENO YAKO HAYATAMSHUSHA VIWANGO BROTHER POLEEE SANA
    HUO MUDA UNAOMSEMA MWAKASEGE UNGEHUBIRI INJILI UNGEPATA CREDIT MBINGUNI

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Ana kibali kama huyu wa MATENDO 8:9-24, AU 16:16-

    • @subbyluckson6231
      @subbyluckson6231 9 месяцев назад

      Huo ni wivu! Injili ihubiriwe Kwa Kila kiumbe, awe mzungu or mwafrica wote ni sawa tu! Wewe ni mfalisayo usijihesabie haki! Mwache Mwl aichape injili ya kweli

    • @subbyluckson6231
      @subbyluckson6231 9 месяцев назад

      MUNGU ni Kila kitu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      @@subbyluckson6231 nyie ndio wale mafarisayo walio muua Yesu wakisema anapingana na Musa, uyo mwakasege ni zaidi ya Mungu?? Akifanya upumbavu atagiswa tena mbele ya watu yani mwakasege awe juu ya petro aliye kemewa mbele ya watu

    • @RichMotherr
      @RichMotherr 9 месяцев назад +1

      Mimi sijui Neno Sana, Mungu anisaidie na kunisamehe Lakini siwezi sikiliza mahubiri yenye kusimanga watumishi wengine, hayanijengi, najifunza Nini apo, zaidi natoka kanisani najua flani alifanya hiki na kile, Mungu turehemu

  • @chrisogonivulstan414
    @chrisogonivulstan414 9 месяцев назад +10

    Mwakasege my lovel dady endelea kuchapa injili huyu mlolomaji aendelee kuloloma time will tell.

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 9 месяцев назад +1

    Mwakasege baba endelea kufanya kazi. Na yeye aendelee kufanya kazi, atachuja Yesu mwenyewe. Ila baba mwakasege tunaomba umsamehe sana sanaaaa

  • @prudencesumbane2886
    @prudencesumbane2886 9 месяцев назад +1

    Akuna mtumishi wa Mangu ambaye anaweza kumpeleka mtumishimwenzake mahakamani, inawezekana Mwakaseke na Martha nao ni watu wama number serkali niya ma number, mwisho wayo upo, weye subiri wakoseye macharti tu . YESU hazihakiwi, yote yalipwa chini ya juwa. Muda wao upo.

  • @kumbukaobeth7103
    @kumbukaobeth7103 9 месяцев назад

    Tutaujengaje mwili wa kristo kwa mafundisho kama haya, inshort bado tunasafari Mungu atusaidie, tunapojiona tumekamilika kuliko wengine ndio tutanza kuhukumiana, tunaona ubaya wa wengine tukijua sisi ni wema. Angalitunayoyanene ikiwa ni sehemu ya mapungufu, wala si ukamilifu. Je sisi tunapokosea nani anatusema au ndotunatulia vitandani mwetu na kuomba msamaha kwa Mungu, watumishi tupendane tuombeane rehema tunapoona wengine wamekosea

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 9 месяцев назад +2

    Ila mtumishi mwakagese Mungu azidi kumfunika sana sanaaaa. Kwa hekima yake ya ukimya wake. Mungu aonaye sirini jamani jamani.

  • @richardkunambi9400
    @richardkunambi9400 9 месяцев назад +2

    Mbarikiwa ! Unajenga safina ya watanzania

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 8 месяцев назад +1

    Mwl mwakasege Mwalimu wa Neno la Mungu

  • @nicastemba3147
    @nicastemba3147 9 месяцев назад +4

    Mbarikiwa acha chuki kuwapiga wenzako mawe kazi ya mtu itapimwa na Mungu na mwenye kuhumu ni Mungu pekee hicho unachokipanda tena kwakutumia mimbara iliyowekwa wakfu kwajili ya kumubudu Mungu utavuna unachopanda soma wagalatia 6,7,8 ,achana na hayomambo waombe watumishi wenzako msamaha waombe viongozi msamaha unamwaga mtusi je huyo ni Roho mtakatifu anakongoza kufanya hivyo?

    • @NorbethJosphath-hm1zb
      @NorbethJosphath-hm1zb 9 месяцев назад

      Shida kaka hawa watumishi Hawakemei waovu wanachagua ndio wanaendekeza mabaya yanaendelea watumishi mshikamane tendeni mema

    • @janelunanilo162
      @janelunanilo162 9 месяцев назад

      ​mmh

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn 9 месяцев назад

    UPENDO WA KWELI UCHUKIA UDHALIMU,Amina.

  • @kissakayuni767
    @kissakayuni767 8 месяцев назад

    Watumishi tunashindwa kuelewa injili ya kusemana sio agizo la Mungu

  • @damilesmlongo785
    @damilesmlongo785 9 месяцев назад +6

    Nimeamini wewe nimgonjwa wa akili [ grandiose, hallucination]

  • @user-do1ut4gb1e
    @user-do1ut4gb1e 9 месяцев назад

    Uf12:17 .Joka la kushughurikia, siyo mtu! Maana ktk hekima zote hakuna itasaidia ni kushughurikia Joka msaada upo hasa kwa yule wa mkono wa kulia.Amen

  • @ananiakyando3904
    @ananiakyando3904 9 месяцев назад

    Mcha mungu wa kweli hana siri kabisa juu ya uovu wa aina yeyote lzm auweke wazi nasio kuufichaficha

  • @nestorysamwel4499
    @nestorysamwel4499 9 месяцев назад +1

    Wewe mbarikiwa tusaidie nasi tunakuja, Tanzania imeharibika linalokuwa acha liwe

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 9 месяцев назад +7

    Uzuri Baba Mwakasege hanaga muda wa kujibu 😂😂😂😂 we jitekenye na ucheke mwenyewe

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Hivi ulivyojibu ni jibu tosha la huyo baba yako

    • @christophermsekena616
      @christophermsekena616 9 месяцев назад

      Now you know kuna watumishi huwa hawajibu ila Mungu anawajibia😂😂😂haya wewe na Bamako mbarikiwa mkanyee debe

    • @user-ht3ss1dj2p
      @user-ht3ss1dj2p 9 месяцев назад

      Kila mtu anamuwakilisha aliyemtuma

  • @joycegeorge-mf5kn
    @joycegeorge-mf5kn 9 месяцев назад

    Nakutambua u mtumishi wa Mungu lakin mh!

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 9 месяцев назад +4

    Mwakasege ni mtu mwema sana machoni pa watu lkn kama wewe unavita nae binafusi umemsema usitarajie ukujibu yawezekana amekuona mweu wewe achana nae fanya kazi yako uliyo tumwa na mungu sawa brother nakupenda sana ila acha kuwasema watu kanisana wakati wewe mwenyewe sio mkamilifu machoni pa mungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад +1

      Hata ukijibu wewe anakuwa amejibu yeye. Na umejibu vema kuwa ni mtu mwema machoni pa watu. Yaani kama huyu wa MATENDO 8:9-24 na 16:16 -

    • @denisshimela169
      @denisshimela169 9 месяцев назад

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile sawa ahsante ila jaribu kufikisha ujumbe bila kutaja jina la mtu kama ukimtaja jina hakikisha unauhakika na unacho kisema ili baadaye usije ingia kwenye dhambi ya kuhukumu wasio na hatia brooo uko vzr sana unaujasiri mno na msimamo lkn hakikisha usitoke inje ya kusudio la mungu

    • @neemamatiko3745
      @neemamatiko3745 9 месяцев назад

      Jamani huyu kabeba uchungu wa mwanae ndo umemtoa uweponi mwa Mungu,

    • @neemamatiko3745
      @neemamatiko3745 9 месяцев назад

      Hv hawa watu wanalishwa neno saa ngapi neno kila cku ni maneno si neno madhabahuni mwa Bwana

    • @prudencesumbane2886
      @prudencesumbane2886 9 месяцев назад

      Kweli kama Mwakaseke nimtumishi wa Mungu, sasa kwanini ampeleke, Mkristu mwenzake mahakamani, mahakama niya wa ma number manayake nae nimtu wachama, viziwi hawata kuelewa😂😂

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince3983 3 месяца назад

    Huyu wanao mfahamu hawana shida, huyu ni chizi alimtukana mpaka mama yake mzazi.

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 9 месяцев назад

    Huyu mfungwa mwache Mungu ashughurike nae huko jela

  • @rebeccapatrick5738
    @rebeccapatrick5738 9 месяцев назад +1

    Umeishiwa baba kila siku kuhubiri maneno ya watu badala ya neno la Mingu

    • @titonsimbazi3309
      @titonsimbazi3309 9 месяцев назад

      Hilo Leno la MUNGU Huwa linahubili nini? Mbwa na kuku au linahubiligi watu?

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 9 месяцев назад

    Sijawahi kusikia ukihubiri Injili ya kutupeleka mbinguni.. kusengenya tu madhabahuni? Natumaini uko kwenye kipindi cha mabadiliko.. uje ukiwa Mbarikiwa mwingine.

  • @joakimkasian1899
    @joakimkasian1899 9 месяцев назад +6

    Mimi napenda kukufatilia sana lakini usilazimishe mwakasege akujibu kwa mitandao
    Kukaa kimya ni jibu

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 9 месяцев назад +1

      Watumishi wote wa makusanyiko ya Kipentekoste hakuna anayekubaliana na mafundisho yake hata mmoja, Kwani yeye anaunga mkono upotoshaji na tafsri mbovu ya NENO la MUNGU mfano; Ubatizo wa maji ya kwenye bakuli, liturujia, kipaimara na kutokuamini ujazo wa Roho Mt na kunena kwa Lugha nk haya yote utayakuta KKKT, Angilikan, Morovian na baberi mkuu katoloka.

    • @janelunanilo162
      @janelunanilo162 9 месяцев назад

      ​@@EdwinMbwilo-fj6bfmmmmhhhh

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr 8 месяцев назад

    Na kweli hata hao wako unawafanania mwache baba yetu

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 7 месяцев назад

    Umesambaratishwa wewe Sasa badala ya wewe kuwasambaratisha watumishi wa Mungu

  • @anthonysnsabi
    @anthonysnsabi 9 месяцев назад

    Unavyo onekana unania ya ubinafsi kujihesabia haki kuliko kumumsaidia mtu ktk utulivu wa moyo.
    Inatatua mambo ktk machafuko na taharuki hata kama unaukweli, nivigumu kuipita njia ya Yesu kwa mfumo huo maana hakututuma tupigane kimwili bali ni ktk roho.

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 9 месяцев назад +1

    Daah umechanganyiķiwa masikinji😂

  • @elyotchisanga138
    @elyotchisanga138 9 месяцев назад

    Uligusa mahali ambapo hapafai, nami na kuambia mwakesege umemchokoza mwenyewe kwanini kumsema hivyo acha ukolofi , tulia fanya kazi ya MUNGU kwa uwaminifu

  • @priskadaison5689
    @priskadaison5689 9 месяцев назад

    Nakukukubali A,Z kuhusiana na mwakasege umeyakanyaga na isitoshe unajichafua mwenyewe

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 7 месяцев назад

    Huu mdomo jamani utatufikisha pabaya jmn duuu!!! Hii ni injili au chukiii???

  • @jacksonmbise5512
    @jacksonmbise5512 9 месяцев назад

    Sio akili yako umevalishwa nira wewe😅😅😅😅

  • @angelyolam9528
    @angelyolam9528 9 месяцев назад

    Ni kweli yapo makosa Kwa wanadamu, lkn hata kwako yapo, acha kujihesabia haki, hakuna mkamilifu chino ya jua ila yy peke yake

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk 9 месяцев назад +6

    Uwo ndio huubiri uliotakiwa duniani, MBARIKIWA uwa nakuelew San ten San

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 9 месяцев назад

    Dah hatari sana

  • @samwelsulle1467
    @samwelsulle1467 4 месяца назад

    Mhhh!!! Mungu aitwe Mungu lkn .............

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 15 дней назад

    Kwani mwakasege amekufanya nn kama ana clip mbaya weka tuone kama una wivu wako binafsi bas ushindwe maana kuna manabii wengi wa uongo hapa Tz

  • @marianyalusi259
    @marianyalusi259 9 месяцев назад +2

    Nimegundua huyu anatafuta kuwa na comment kuwa juu apate _____________

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt 9 месяцев назад

    Jamani wapendwa katika koment zenu acheni kumuhukumu mtumishi wa Mungu yoyote kumsema vibaya neno la Mungu linasema kila neno unalolitamka utakuja kulitolea hesabu anayejua ukweli ni Mungu pekee wewe ni mwanadamu huna haki ya kuhukumu kuwa makini na ujumbe wako

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 9 месяцев назад

    Huyu kijana anasumbuliwa na inferiority complex.
    Kwa nini huubiri na kufundisha Injili?

  • @damilesmlongo785
    @damilesmlongo785 9 месяцев назад +3

    Sasa unalalamika nini? Kama hukufanya kosa kwanini unalalamika

    • @titonsimbazi3309
      @titonsimbazi3309 9 месяцев назад

      Yaani kumwambia mtu makosa yake au kukosoa ndo limekuwa kosa? Kwahiyo tusikosoee?

    • @ramsonhudson4013
      @ramsonhudson4013 9 месяцев назад

      Kwa hyo yeye hakosei? Huwa nani anamkosoa yeye? Aache ujinga wa kupambana na watu

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 7 месяцев назад

    Sina Cha kukoment maana umekamatwa basi

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 9 месяцев назад

    Nawazaga Sana kizazi Cha watu Hawa wanakataa Sana kuambiwa uovu wao na watu wengi huwaamini Sana watumish Hawa sijajua itakuaje kizazi kijacho

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 9 месяцев назад

      Soma maandiko waliokuwa.wanakemea.maovu.sio.kutukana.serikali.mara kutukana.wahubiri wenzio.mara umeme.mara.bandari.mara.ma.samia.mara.tulia mara.hee.hawakemei.hivo basi.yesu.yuda.angemuua.mbona.alimuacha.na.alitunza.mkoba.wa.hela.mbona.danieli.alisababisha.wachawi.waishi.kwa.usalama.babeli.mbona.yohana.mbatizaji.alikatwa.kichwa.yesu.hakuandamana.ila.ndo.unamkuta.anawaambia.watu.mwambieni.mbweha.yule kuna.vitu vingine vya kuvinyamazia. Ma'ana.wapo.walioneba.kusudi.la Mungu.watafanya.kwa.nguvu

  • @nestorysamwel4499
    @nestorysamwel4499 9 месяцев назад

    Sema maana KANISA wamelifaanya kuwa nyumba ya wanyang'anyi

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr 8 месяцев назад

    Acha hayo mwakipesile

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e 9 месяцев назад

    Meakasege kwanini ujaongelea swala la kufa kwa mtoto wa mbalikiwa wakati unajua . Ndicho nilicho kiona kwa mbalikiwa....

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 9 месяцев назад

    Kweli walokole wengi hawalipagi madeni

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 9 месяцев назад +1

    Mchokozi akimaliza kuwafinya watoto wa jirani anawageukia wa ndani mwao nyie wote waMwa mwa wote wajuwa dini wasiokubali kushindwa eti wapenda haki imekuwaje tena?

  • @willefaustine8486
    @willefaustine8486 9 месяцев назад

    Huyu baba anatatizo aombewe. Piga injili acha kukosoa

  • @rosepallangyo1352
    @rosepallangyo1352 7 месяцев назад

    Uyu mbaba jana ekima ata nusu na

  • @matembemgaya8250
    @matembemgaya8250 9 месяцев назад

    duu,hii ni vita vya kiroho kanisa tusimameni na kuomba

  • @richardkunambi9400
    @richardkunambi9400 9 месяцев назад

    Atakayevumilia hata mwisho ndiye atakaeokoka . Kipimo cha utakatifu pale utakapomaliza mwendo .

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 9 месяцев назад +4

    Ila nacho jiuliza kila cku cjawah ona unahubiri bila kumwongelea mtu wewe unaenda kanisana kuwasema watu sio kufundisha hata hao wahumin wako unawapoteza sana nakupenda kwa ujasiri ulio nao lkn jambo la kuwasema watu tena kwa majina hapo umeyumba sana tena sana mwishowe watakufungia kanisa kwasababu hutoi mafundisho bali unaenda kusema watu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Ujue unapenda mahubiri ya kuwasema watu. La sivyo ungeacha kufuatilia. Na sisi kwetu injili ni kuongelea wema au ubaya wa mtu ili wengine wajifunze. Zaidi ya hayo Biblia tunayosoma sisi imewasema watu kwa asilimia mia moja. Wewe somaga hiyo iliyowasema kenge na kunguni.

    • @denisshimela169
      @denisshimela169 9 месяцев назад

      Sawa lkn usihukum kama hauna uhakika maana utatolea hesabu

    • @obedjesse330gmailcom
      @obedjesse330gmailcom 9 месяцев назад

      Ahaa kwa jibu hili nimeelewa sasa kwamba nyie ndo wale Yesu alisemaga mtakuwa wengi sana nyakati hizi za mwisho

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Na bila shaka wewe ni chawa na umelambishwa na kunyweshwa asali za kutosha

  • @kennanngombe6706
    @kennanngombe6706 Месяц назад

    Unaongea nini mbona matusi hayo acha bwana

  • @musaissa7463
    @musaissa7463 9 месяцев назад

    Alishawah kusema mwakasege vita nyingine ni yakukuchelewesha tu

  • @josephnjiloi7939
    @josephnjiloi7939 9 месяцев назад +1

    huyo mzee anatafta kiki,wala hana kazi na injili anastahili kuwa dalali

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Waambie waje waue mtoto wako ili utafute kiki. Mijitu mliojaa damu kila kitu kwenu ni kiki

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 9 месяцев назад

    Hata kama.mwakasege sio mtumishi lakini ni.baba yako mwakipesile.ila.mm.ninacho.amini.shetan.anamtumia mwakipesile.watanzania.kama.tungekuwa.kama.nchi.zingine.amgeharibu.amani.ndo.shetani.anawatumiaga.watu.wanaanzaga.kuuana.wao.kwa.wao.watanzania.tuwe macho

  • @user-vt4wj1fr2c
    @user-vt4wj1fr2c 9 месяцев назад

    JAMANI NENO LA MUNGU NI UPANGA TENA WENYE MAKALI KUWILI,UKIONA UNAUBIRI NENO LA MUNGU HALINA MAKALI UJUE UMEUBIRI NENO LA KWAKO.

  • @VictorMassawe-hb9yi
    @VictorMassawe-hb9yi 9 месяцев назад +1

    Shujaaa mbarikiwaa

    • @PhilipSolomon-jp4ip
      @PhilipSolomon-jp4ip 9 месяцев назад

      Kuna watu wachache wamewafanya watu wasinzie,waamin katka usingiz Ili wao ndio waone na Nia Yao ikamilike: ninakuelewa sana mbarikiwa na haitawezekana kukumaliza kwa Sababu upo kwa makusud ya Mungu 👏👏

    • @subbyluckson6231
      @subbyluckson6231 9 месяцев назад

      Wewe ni wakala kutoka kuzimu! Umeshindwa na utaendelea kushindwa ktk jina la YESU Kristo

  • @zainababubakar5574
    @zainababubakar5574 9 месяцев назад

    Mama pole simama mutimichichi aijalischi mutumichi amefuga wewe simama

  • @ntulikyomo4505
    @ntulikyomo4505 9 месяцев назад

    Jamani, msaidieni huyu ndugu afikishwe mirembe haraka mno!😭

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Wewe wameshakupeleka? Au wewe umechanja chanjo ya corona dozi zote tatu au moja iliyo na nguvu tatu?

    • @RichMotherr
      @RichMotherr 9 месяцев назад

      Kwani anaejibu ni mchungaji mwenyew au Kuna mtu anashuhulikia akaunt hii, Mana mmh majibu gani Kama unaongea na wa dunia, hekima bas iwepo watumishi

    • @MariaNdagile-hx5pr
      @MariaNdagile-hx5pr 8 месяцев назад

      We nani kila mtu mbaya kwako

  • @EdwinMbwilo-fj6bf
    @EdwinMbwilo-fj6bf 9 месяцев назад +1

    Kila analolisema mtumishi huyu linakuwa na ukweli wa dhahili, au akikutaja kwa jina ujue uovu wako unaujua na yupo tayari kuutaja ndo maana wachungaji wengi wamekaa kimya

    • @franktarimo271
      @franktarimo271 9 месяцев назад

      Acha kujifanganya usijitafutie dhambi bila sababu

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 9 месяцев назад

      @@franktarimo271 Mwakasege anawafungia watu mlango wa kwenda mbinguni. Amewatengenezea wokovu wa Ubatizo wa maji ya kwenye bakuli. Nawapa pole sana mnaomfuata kipofu huyu.

    • @user-ht3ss1dj2p
      @user-ht3ss1dj2p 9 месяцев назад

      Kukaa kimya si kwamba yuko sahihi au hayuko sahihi jifunze kwanza

    • @janelunanilo162
      @janelunanilo162 9 месяцев назад

      ​@@EdwinMbwilo-fj6bfkwahyo maji kwenye bakuli yatapeleka watu mbinguni???😢 nenda yordan kabatwizeeeeeee

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 9 месяцев назад

      @@janelunanilo162 Kumbuka tunaokolewa kwa NENO Yohana 14:23

  • @eliasimoni4851
    @eliasimoni4851 9 месяцев назад

    Sasa baba mchungaji mwakasage ni mwinjiristi au mwalimu

    • @user98771
      @user98771 9 месяцев назад

      Mwakasege ni mwalimu sio mchungaji ,hana kanisa bali hushirikiana na makanisa na kutoa huduma.
      Mambo ya mabatizo ni ya wachungaji akishahubiri anawaachie makanisa ya mji husika huwalea na kuwabatizA...
      Hawa kikosi ni wagomvi,washari,Roho alishawahama siku nyingi,wamo wenyewe,kanisa lao halina injili tena Roho hawezi kukaa kwenye mazingira yao,ndiposa wako wenyewe na kubaki kutukana na mitusiii kibao

  • @user-zz1vv2qw2t
    @user-zz1vv2qw2t 9 месяцев назад

    Muache mwakasege jamani mbona hivyo we punguza mdomo jamani

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 9 месяцев назад

    Unanimalizie mb tu usiwalishe nzege watoto wako wek mwakasege amekusem nini

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 15 дней назад

    Ww mzee mm sikuelewi kama mwakasege amefanya ubaya leta clip tuone kama una wivu wako ushindwe watu wamelipa gharama wamepitia mengi mpaka wamefika hapo ww unatukana watu matusi tena madhabahuni na waumini wako wanakusikiliza shame on you😮

  • @prudencesumbane2886
    @prudencesumbane2886 9 месяцев назад +1

    Wewe Jeshi kubwa Baba, Yesu aku tetee iyo kali. Wanazika Roho zawa umini kanisani, waumini wasi pate kuwagundua ongea kweli. WEWE MBARIKIWA,NA BABA YANGU WAKIROHO MAGEMBE MUNAJUA KUKEMEA ZAMBI YESU AWALINDE , LEO UNAONGEEA YOTE KWELI , UBARIKIWE MILELE, NJOMANA UNA PIGWA VITA BABA, TUMEELEWA LEO.😂

  • @richardkunambi9400
    @richardkunambi9400 9 месяцев назад

    Inafanana na Matendo ya mitume 5:1-11 Kwa habari ya Anania na mkewe safira .

  • @DonatusNyamizi
    @DonatusNyamizi 9 месяцев назад

    Ila wkt mwingine huduma ya mwakasege haina kukemea dhambi

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 9 месяцев назад

      Unamkosea Mungu unapomzungumzia vibaya mwalimu mwakasege. Usiingie kwenye adhabu ya Mungu kama huyu jamaa.

    • @AbelJosephtz
      @AbelJosephtz 9 месяцев назад

      Naogopa kwel kuwasema watumishi wa Mungu

    • @titonsimbazi3309
      @titonsimbazi3309 9 месяцев назад

      Siyo yote ya mwakasege ni mabaya, lakini Kwa Yale mabaya lazima aonywe. Maana yeye siyo MUNGU.

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 9 месяцев назад

      Wekeni hayo mabaya yake wazi tuyajue sasa. Mbona naona Ni kelele tu

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 9 месяцев назад

      Shida Ni kwamba humfuatilii. Unakutupishwa na wapinga Kristo rafiki. Huna tafiti usiongee

  • @damilesmlongo785
    @damilesmlongo785 9 месяцев назад +1

    Watu unaowatukana wamekaa kimya siyo kwamba hawawezi kukujibu bali wamekudharau.

  • @user-zz1vv2qw2t
    @user-zz1vv2qw2t 9 месяцев назад

    Punguza mdomo huwwzi kushindana na serekali mbarikiwa punguza mdomo unamdomo sana punguza mdomo

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 9 месяцев назад +1

    Ameeeni baba Mbarikiwa

  • @priskadaison5689
    @priskadaison5689 9 месяцев назад +1

    Mbarikiwa wewe Ni mtumushi fuata yako na huduma yako

  • @user98771
    @user98771 9 месяцев назад +2

    MWAKASEGE UTABAKI KUWA MTUMISHI BORA ULIEITWA NA BWANA KWA MAJIRA HAYA.
    USIJIBU KIMWILI HIZI SIO LEVEL ZAKO BABA
    ROHO WA MUNGU ALIYE HAI YU PAMOJA NA WEWE
    INJILI ULIYOPIGA YENYE NGUVU MIKOA MINGI TZ IMELETA TAHARUKI UPANDE ULE MWINGINE
    TUKO NA WEWE BABA YETU SONGA MBELE TAIFA LINAKUHESHIMU NA SISI TUNAKUPENDA

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  9 месяцев назад

      Ana kibali kama huyu wa MATENDO 8:9-24, AU 16:16-

    • @neemadaniel5954
      @neemadaniel5954 9 месяцев назад

      Nakumbuka uliwahi kutufundisha, hivi wanapoinuka wanaokupinga omba hekima.

  • @emanuelmargwe7087
    @emanuelmargwe7087 9 месяцев назад +2

    Ninachotaka kusema Ni kwamba, sijajuwa aliyekupa huo ujumbe wa kuhubiri Kama no Roho au kwingine.
    "...Lkn ninalo neno moja kwako, angalia Ni wapi ulipokosea na ukatubu"
    Mwakasege Hana kanisa ili aanze kuhakiki Nani amevaa Nini, yeye anahubiri kwenye mikutano Kama unavyofanyaga na wewe unapopita na magari masokoni. Sasa kwenye mikutano utaanza kuchambua huyu anisikilize na huyu asinisikilize kweli??
    Kuhusu mwl mwakasege kukemea dhambi, Mimi Ni shahidi ktk hili. Tena anafundisha namna ya kuishi. Anaombea mzee wa watu. Afanye Nini kiwe chema kwenu enyi mafarisayo??
    Sikatai kwamba Hakuna wahubiri wa uongo Ila sio mwl mwakasege. Hapo umepotoka.
    Kama uko na ushahidi wa ubaya wake mmoja, Mimi Nina ushahidi wa wema wake 100.
    Bibilia inatuelekeza, "ishindeni ubaya kwa wema..." Hayo maelekezo ya bibilia umeifanyiaje kazi MTU wa Mungu.
    Shalom

    • @MarcoMadundo
      @MarcoMadundo 9 месяцев назад

      KANISA LA SASA TUMEONYWA NI SABA YALE YALOTAJWA UFUNUO MAANA YAKA NI LISILO NA MSIMAMO HOHEHAE WAKRISTO TUMO VITANI TUSIGOMBANE TUKAWA HUKO

    • @josephkaveya4284
      @josephkaveya4284 9 месяцев назад

      🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭

    • @robertlupondije
      @robertlupondije 9 месяцев назад

      Huyu mtumishi Mimi sijamwelewa kabisa mbona hahubili nenolamungu madhabahuni?