Mbarikiwa kweli amerukwa na akili? Anahamasisha kujiunga FREEMASON.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 125

  • @GiftBatista-p2e
    @GiftBatista-p2e 2 месяца назад

    Sahihi.

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 2 месяца назад +2

    Amen amen Niko Mozambique Pemba, nakupata vizuri sana sauti ya bwana, ubarikiwe sana

    • @AntonyMndeme
      @AntonyMndeme Месяц назад

      Mbarikiwa ukovizuri MUNGU akubariki

  • @LindaJohn-fy1in
    @LindaJohn-fy1in 2 месяца назад +3

    Nimegundua mbarikiwa kuna kitu mungu ameweka ndani yake watanzania tutubu iko siku mlango utafungwa msikilizeni kwa makini huyu mtu sio bure

  • @mustaphamasobe8343
    @mustaphamasobe8343 2 месяца назад +2

    Clear preach

  • @SabathElias-l4b
    @SabathElias-l4b 2 месяца назад

    Ubarikiwe cn cn mtumish wa Mungu

  • @CristopherMwashamba
    @CristopherMwashamba 2 месяца назад +1

    Amina mtumishi

  • @annamorice7851
    @annamorice7851 2 месяца назад +1

    Duuh poleeee sana!

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 2 месяца назад +2

    Mchungaji vp unafundisha naona matusi kibao malaya malaya unawatoto kweli wakike kweli kwamaneno hayo duh mungu akuongoze njia njema aaaamin

    • @josephkinanda3848
      @josephkinanda3848 2 месяца назад

      Malaya ni neno linalowakilisha vitendo vya mtu hata kwenye biblia lipo sana sioni shida yeyote hapo

    • @B-S-S-P
      @B-S-S-P 2 месяца назад

      Ukiwa na watoto wa kike ndio uhubiri kikekike???Ufiche upumbavu??Wawe wa kike au wa kiume!!Kama "Mashoga tunagonga mawe,kama wasagaji "jiwe"!!Kama wanafirwa kama "Sodoma na Gomora "Jiwe"Mateja ,Jiwe!Changudoa, au Mwajuma mchokonoe anawasha sigara nyuma na mbele "Jiwe"!!"Ua wote ndivyo utaondoa uovu ktk Israel au Taifa lako na utajiponya nafsi yako!Hakuna kumng'unya hatujaja kuchumbia ,Wala kutongoza!!Ni nyoka aina ya "Bafe"!!!

  • @SadockChessa
    @SadockChessa 2 месяца назад

    Sabato ilikuwa yawaisrael waivunja Mungu aiondoa Yer31:31-34

  • @Steven-y8h5g
    @Steven-y8h5g 2 месяца назад +1

    Wewe mtumishi wa Mungu ambaye hujui hata unabii nadhani we ni kibaraka wa shetani ebu usijidhalilishe kwaajili ya kulitukana jina la BWANA

  • @VailethMaivaji-p1o
    @VailethMaivaji-p1o 2 месяца назад

    Yesu likufa kwa ajili ya wadhami bado rehema ipo,hao wt wanaohukumu wenzao nayo ni dhambi hata fremason bd ana mda w kutubu so bd mlngo wa rehema upo km sabato inakukera we baki huko ila biblia insema sabato ht sabato wanadamu wt watamuabudu mbele zake na jili ni agizo la Mungu ,hutaki kuitunza ukifika mbinguni utatumza tu , pia Mungu halazimishi ufanye mema ,moyo wako utakavyompokea na kufanya yanayo mpendeza nakutii amri zaMungu huyo Mungu ataish ndani yk

  • @elishaobadia7212
    @elishaobadia7212 2 месяца назад +1

    Uko sahihi ila kumbuka kuondoka na vyote iwe sabato,mpinga kristo,haki,torati na vyote usiegemee seem 1 shughulika na biblia yote Mpk siku usiache na ikiwa hutoenenda Kwa shuhuda na sheria basi kwako Hpna asubuhi mtumishi

  • @SadockChessa
    @SadockChessa 2 месяца назад

    Ukishika amri ya tu hakukufanyi kuwa sabato wala huwezi kumwona Mungu

    • @ObadiaKibona-b2c
      @ObadiaKibona-b2c 2 месяца назад

      Nawewe inatakiwa uache dhambi sio kung, ang, ana na ck

  • @Steven-y8h5g
    @Steven-y8h5g 2 месяца назад +1

    Sabato ni amri ya Mungu

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 Месяц назад

    Nlichokielewa haya ni Kwamba Hakuna dhabi dogo hau kubwa yaani sotee zitahukumiwa mbele Za kiti chá enzi.

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 2 месяца назад +1

    Niliposikia mbarikiwa kachanganyikiwa akili nilijua uongo ila baada ya kumsikiliza hapa nimegundua kweli friji imepooza

  • @Jordanmwakalebela
    @Jordanmwakalebela 2 месяца назад +5

    UKIWA KWENYE NDIZI UNAONGEA KINDIZINDIZI

    • @RatiphElisha
      @RatiphElisha 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MeshackMakoye
    @MeshackMakoye 2 месяца назад +4

    Leo umechemsha. Hata unabii wa Ufunuo na Daniel hauujui

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад

      Wewe umekaanga?

    • @GideonMnzava
      @GideonMnzava 2 месяца назад +2

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Acha kujibu watu vibaya wewe ni kioo cha jamii

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад +1

      Leo umechemsha sn

    • @ObadiaKibona-b2c
      @ObadiaKibona-b2c 2 месяца назад

      Mnapondwa nyie ndo wasabato inatakiwa mmjue mungu yaan mungu hataki dhambi

  • @njelenjetv
    @njelenjetv 2 месяца назад +2

    Da mpaka umtaje mwamposa?

  • @SabathElias-l4b
    @SabathElias-l4b 2 месяца назад

    Hakka we unafanya kz ya Mungu, endelea ivoivo....

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 2 месяца назад +3

    Kinacho kusumbua ni amri ya mungu ya nne huishiki sabato ya Mungu 😅

    • @SabastianRaymond
      @SabastianRaymond 2 месяца назад +1

      Umepotea kwa KUWA huna ufaham KUHUSU amri ya NNE.

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo 2 месяца назад +1

      Kabisaaa.​@@SabastianRaymond

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад +1

      Heri wale wazishika amri za Mungu na Imani ya Yesu.......

    • @SabastianRaymond
      @SabastianRaymond 2 месяца назад

      @@hamisijuma3276 Good.
      SIYO amri 10.
      Amri ni NENO la MUNGU, kwa ujumla.
      Sasa NINYI mnabagua.
      Sabato ya ardhi hamshi.
      Umbali wasabato hamtembei.

  • @ElifurahaMnkeni
    @ElifurahaMnkeni 2 месяца назад +2

    Soma vitabu ndugu hatuna somo la Freemason

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад

      Kwa hapo yamesemwa macho yako?

    • @MeddyMasuddy
      @MeddyMasuddy 2 месяца назад

      @@Mbarikiwa_Mwakipesilewe mbarikiwa hunaadabu matusi ya nn?

  • @YonaMayombya
    @YonaMayombya 2 месяца назад

    Nimtazamo wako uko sawa

  • @amanmgeni7520
    @amanmgeni7520 2 месяца назад

    Mbarikiwa nakupanda sana mpinga kiristo tafusiri yake nihii yoyote atakaye tenda mapenzi ya MUNGU ndiye atakua nahatia kwa mpinga kiristo

  • @musajuma676
    @musajuma676 2 месяца назад

    Even I don’t understand what you are trying to explain. Bro, sabato it’s a day that mighty God announced for the people to pray and a day God put that not to work.
    Saboto people are not different from others who pray on Sunday, they do sin also and free masons are also a kind of another church and they pray on frinday.
    Bro whoever who does sin he or she is a sinner and so get away from doing sin.
    All week days get in to pray. Wacha kuhukumu hai ndugu żako wewe na jihesim.

  • @JosephLadisilaus
    @JosephLadisilaus 2 месяца назад

    Wana wa nuru tu ndo wanakuelewa..... wana wa giza kamwe hawawezi kukuelew mtumish wa Mungu pga injili.

  • @StevenBilia
    @StevenBilia 2 месяца назад +3

    Nikweli kabisa,mimi nimsabato kwenye suala la rushwa nimekutana nalo nilikataa kutoa rushwa barabaran kwama askali matrafiki simda sana nikajikuta niko rock up,natamani sana kuiacha hii kazi lakini hata sjui nitafanya kazi gani kiukweli ukristo ni zaidi ya usabato nigharama sana

    • @jacksule7557
      @jacksule7557 2 месяца назад

      Sabato ni din ya hak kwa mungu ndo maana inachukiwa na mafreemason huyu kachanganyikiwa saiz anatoa siri zao amken

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 2 месяца назад

    Mnyakyusa Mbunifu Sichoki Kukufatilia Nimetulia Hapa Napata Vitu Vingi Kutoka Kwako

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 2 месяца назад +2

    Chapeni injili SANA bila kuchoka, tunazo namba zenu za m-pesa hapa, tutaendelea kusapoti huduma yenu maana ndio pekee imethibitika kutetea injili halisi huko tanzania na ulimwenguni pote!

    • @ViolethMlelwa
      @ViolethMlelwa 2 месяца назад

      Kasabuti kwenye injili mungu atawatetea TU yalivyo ya bwana yatasimama yalivyo ya shetani yatathihirika tuu

  • @sangameshack8007
    @sangameshack8007 2 месяца назад +1

    Watu wanaokwenda kumsikiliza mwalimu unawaita misukule,wala rushwa,hayo wakikupeleka nayo mahakamani utataka watu wakutetee? Serikali angalieni hiki kikundi kidhibitiwe kabla hakijaleta maafa,hatuna injili ya matusi

    • @Joshuajereman
      @Joshuajereman 2 месяца назад

      Ujaokoka okoka tena

    • @Ester-y1l
      @Ester-y1l 2 месяца назад

      Sema watu wapone mungu yu pamoja nawe

  • @richardselaka1621
    @richardselaka1621 2 месяца назад

    Nani huyo mbona humtaji

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад

    Kondoo wengine ninao ambao siyo wazizi hili je ilo andiko hawalioni?

  • @Steven-y8h5g
    @Steven-y8h5g 2 месяца назад

    We utajiunga freemason ?nakuuliza mbarikiwa

  • @Steven-y8h5g
    @Steven-y8h5g 2 месяца назад

    We endelea kupotosha tu ujui hata maana ya Siri ya kuasi

    • @johnhezron9018
      @johnhezron9018 2 месяца назад

      Hajua uasi zaidi ya huo unakueleza?

  • @Jordanmwakalebela
    @Jordanmwakalebela 2 месяца назад

    Tabia za tusabato ni kama baadhi ya tuhubiri injili.

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 2 месяца назад

    Ivi wapentecoste wazinzi na wachawi hawapo!?😂😂😂😂😂😂

    • @asubisye16
      @asubisye16 2 месяца назад

      Wapo hapa hawajaachwa nyuma

  • @sangameshack8007
    @sangameshack8007 2 месяца назад +1

    Vijembe,matusi,masimango na udhalilishaji haviwezi kuwa sehemu ya injili.Kikundi chenu kimejaa matusi kwa kivuli cha kuhubiri injili.Nonsense

    • @WitnessSaimon
      @WitnessSaimon 2 месяца назад

      Andamana 😏

    • @AbrahamKyejo
      @AbrahamKyejo 2 месяца назад

      Kaz ishamkuta mweny Kaz mwachen afanye Kaz 😅😅😅

  • @TweluKalinga
    @TweluKalinga 2 месяца назад +1

    Mbalikiwa ni sauti y a MUNGU duniani,

  • @johnhezron9018
    @johnhezron9018 2 месяца назад

    Hakika hawa wasabato,
    wanashida sana hata mimi jumapili moja iliyopita nilikutana na mama mmjo wakiwa kwenye gari lake akaniita kisha atakasema toka huko uliko maana Yesu anakuja asije akakukuta huko,
    yaani uwezi kuamini baba nilishangaa sana mama yule mimi nilifikiria ana neno la mhimu sana la kusema na mimi lakini kumbe anataka niende sabato
    Hakika hawa wamepotea.

    • @jacksule7557
      @jacksule7557 2 месяца назад

      Soma biblia bro vzr alama ya mnyama 666 ni mafundisho ya uongo yaliyo katika kipaji cha uso wake akili yake na sku zote walikubali hy chapa kamwe hawawez kubal kweli ya biblia na sku zote ndo wanatekeleza mafundisho ya uongo ambayo ni upinga kirsto

  • @Joshuajereman
    @Joshuajereman 2 месяца назад

    Endelea kupiga injili ipo siku mwanangu atakujakua rahicii nitafuta dinii za wababaishajiii nitauacha wislamu na kazaaa xo kiboko x walimu nitaitajiii wewe ndooo uwe fest Tanzanian

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад

    hizo bima ni illuminati.

  • @GideonMnzava
    @GideonMnzava 2 месяца назад +1

    Hubiri injili acha kuhangaika na mambo ya madhehebh

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад

      Kwa hiyo wewe hapa umehubiri haushughuliki na mambo mwingine?

    • @GideonMnzava
      @GideonMnzava 2 месяца назад

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile mimi nimekwambia ukweli maana mara nyingi nimekuona ukisema watumishi wa Mungu

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 2 месяца назад

      Injili ni kumuonya mtu makosa yake, na kumpa habari za tumaini lililo katika kristo Kila aliye na Utayari wa kujifunza

    • @emmanueligale526
      @emmanueligale526 2 месяца назад

      Acha ukosefu wa fikra ndugu hao watumishi ni wakina nani mpaka wasionywe​@@GideonMnzava

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 2 месяца назад

    Kwenye bima za maisha na magonjwa wasabato ndiyo wanaongoza kuwa na bima Kwenye hospital zote hata hawaamini nguvu za Yesu.

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 2 месяца назад

    Ni kweli mtumishi ila ni swali tu? Je MUNGU hatachoma watu jehanamu milele ju Mimi nilisikia pastor mbaga akisema jehanamu MUNGU hawezi choma watu milele ni kweli ama

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf 2 месяца назад +1

    Hauna jipya unataka kupotea sabato ilitengenezo kwa ajili ya mwanadamu na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato kasome marko 2 mstar wa 27 na 28

    • @musajulias3392
      @musajulias3392 2 месяца назад

      Huna jipya wewe shika siku alafu ni tapeli na tabianyingi mbaya

  • @barakabusima
    @barakabusima 2 месяца назад +1

    Leo nimejaribu kukusikiliza kiukweli sijakuelewa point yako ni ipi...? huwa nakusiliza sana tena wewe ni moja ya wachungaji wachache unaekemea uovu hadharani kiufupi hupendi mambo ambayo yapo kinyume na maandiko , lakini kwa nini unashambulia imani ya watu fulani je wewe unayewashambulia akina mwaposa , mwakasege , nk. je wewe uko na haki sana kuzidi hao unaowaona wanakosea? wewe unahubiri haki ikitokea mmoja wa kundi lako akaenda kinyume na unayosema je utalaumiwa wewe au mtu husika......

    • @josykogei7647
      @josykogei7647 2 месяца назад

      Ata usiulize mwakipesile mahubiri yake kile tunachotakiwa kufahamu ni je mbingu tutaiona ama tunafanya Nini

    • @Mapitoyazamani-y7n
      @Mapitoyazamani-y7n 2 месяца назад

      We ndugu, hapa chini ya jua hakuna mtu asiyemkosoa mwenzake, hata wewe kitendo cha kutokusali kwenye madhebu mengine, maana yake umewakosoa, kuna mambo haukubaliani nayo.
      Dini na madhehebu yote yamekuwepo kwa sababu ya kukosoana ingekuwa sio kukosoana, basi TUNGEKUWA DHEHEBU MOJA DINI MOJA N.K

    • @barakabusima
      @barakabusima 2 месяца назад

      @@josykogei7647 kabla sijajiuliza lazima tuulizane kwanza sasa hivi makanisa yamejaza watu wasiotaka kuuliza mwisho wa siku kizazi cha watu wajinga wanazidi so kuuliza muhim

    • @barakabusima
      @barakabusima 2 месяца назад

      @@Mapitoyazamani-y7n kukosoana muhimu sana lakini kama unahitaji kumkosoa jirani yako ni muhimu sana kuchunga lugha utakauoitumia yawezekana kabisa ujumbe wako ni mzuri lakini uwasilishwaji wake ukaharibu kila kitu

    • @sangameshack8007
      @sangameshack8007 2 месяца назад

      Some times anaongeaga uongo

  • @user98771
    @user98771 2 месяца назад

    MWACHE MWALIMU WETU TUNAMPENDA KWA KUWA AMETOKA KWA MUNGU ...NA ANAFUNDISHA KWELI YA MUNGU NA WANAJAA UWANJANI

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад +1

      Lazima mjae kwa kuwa mnapenda mahali ambako mnakuwa huru kuzini, kuiba au kula rushwa nk.

    • @sangameshack8007
      @sangameshack8007 2 месяца назад

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesilekwani hayo uliyotaja ndo yanoyofundishwa na Mwalimu?Acheni makasiriko

    • @pcmtv7309
      @pcmtv7309 2 месяца назад

      Naona dogo unafuatilia kila comment hilo jiwe limekupata vilivyo vilokole vihuni nyie,subiri dawa ikuingie kikubwa unafuatilia kila siku lazima pepo lako likutoke​@@sangameshack8007

    • @eliakanyika4921
      @eliakanyika4921 2 месяца назад

      Huyu jamaa ni muongo kyaaaa

    • @asubisye16
      @asubisye16 2 месяца назад +1

      Mwalimu mhuni sana.

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa Leo nimemtoa kwenye mstari wa wasomi wa biblia nikuwaga namwamini sana
    Wazinzi na wapokea rushwa wapo makanisa yote! Siyo wasabato TU!
    Hata mitume wa Yesu walikuwepo wasaliti na wakana Yesu kama akina Petro!.

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf 2 месяца назад +1

    Umegusa pabaya apo usipokuwa Makin unaenda kuishiwa kila kitu soma Marko 2 27 na 28 utaelewa unachokizungumza kuwa ni pumba

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 2 месяца назад +1

    Huna hoja ujinga wako unakusumbua na wendawazimu.Hata hueleweki na unachosema maana masomo vyote.unamatatizo ya akili

    • @Mapitoyazamani-y7n
      @Mapitoyazamani-y7n 2 месяца назад

      Waliposolewa wenzako ulimsifia na kusema NIMEKUELEWA MTUMISHI, ila leo umeguswa penyewe unaanza kulia lia, tulia upewe vidonge, MIMI BINAFSI NIMEELEWA SANA NA KAMA WEWE HAUJALEWA NIULIZE KUELEWESHE.

    • @JohnMakongo-tg3ms
      @JohnMakongo-tg3ms 2 месяца назад

      Chukua dawa hiyo dozi Mimi nimehelewa sanaaaa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад

      Ila unaendelea kumfuatilia kwa kila anachohubiri mpaka umejua haeleweki kwa kila somo? Ujue unamwelewa kwa sababu visivyoeleweka mitandaoni ni vingi. Je, vyote una comment?

    • @GideonMnzava
      @GideonMnzava 2 месяца назад

      😂​@@Mbarikiwa_Mwakipesile

    • @SmilingArcade-xj7zg
      @SmilingArcade-xj7zg 2 месяца назад

      Wewe kama unaona limekugusa unatakiwa kubadili mwenendo wako kuliko kukaa unatukanaa watu walio kuzidi akili wewe ndiyo una akili

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 2 месяца назад

    Usitegemee kunaatakayekujibu biblia ikowazi ucjidanganye.Nakinachokuponza kiburi,umegeukia kwa wasabato.!!heb tusubiri.

  • @user98771
    @user98771 2 месяца назад

    OMBA MUNGU AKUPE MIFUMO YA KUMUELEWA MWALIMU WETU UTAJUA AMETOKA MBINGUNI

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 месяца назад +1

      Lazima mumuelewe kwa sababu maneno yake hayawazuii kuiba, kula rushwa, kudanga nk.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 2 месяца назад +1

      Unamuelewa kwa yapi?.

  • @YonaMayombya
    @YonaMayombya 2 месяца назад

    Nimtazamo wako uko sawa

  • @Joshuajereman
    @Joshuajereman 2 месяца назад

    Endelea kupiga injili ipo siku mwanangu atakujakua rahicii nitafuta dinii za wababaishajiii nitauacha wislamu na kazaaa xo kiboko x walimu nitaitajiii wewe ndooo uwe fest Tanzanian

  • @sangameshack8007
    @sangameshack8007 2 месяца назад +1

    Vijembe,matusi,masimango na udhalilishaji haviwezi kuwa sehemu ya injili.Kikundi chenu kimejaa matusi kwa kivuli cha kuhubiri injili.Nonsense

    • @asubisye16
      @asubisye16 2 месяца назад

      Toa mifano ya matusi hayo

    • @sangameshack8007
      @sangameshack8007 2 месяца назад

      @@asubisye16 matusi ni halisi hayana mfano

    • @asubisye16
      @asubisye16 2 месяца назад

      @@sangameshack8007 yepi sasa

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 2 месяца назад +1

      Matusi ni mawazo yako mabaya.

  • @YonaMayombya
    @YonaMayombya 2 месяца назад

    Nimtazamo wako uko sawa

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn 2 месяца назад +1

      Kuitazamia njia ya haki impasayo kila mmoja wetu, Mimi na Wewe.