Ukiwa na watoto wa kike ndio uhubiri kikekike???Ufiche upumbavu??Wawe wa kike au wa kiume!!Kama "Mashoga tunagonga mawe,kama wasagaji "jiwe"!!Kama wanafirwa kama "Sodoma na Gomora "Jiwe"Mateja ,Jiwe!Changudoa, au Mwajuma mchokonoe anawasha sigara nyuma na mbele "Jiwe"!!"Ua wote ndivyo utaondoa uovu ktk Israel au Taifa lako na utajiponya nafsi yako!Hakuna kumng'unya hatujaja kuchumbia ,Wala kutongoza!!Ni nyoka aina ya "Bafe"!!!
Yesu likufa kwa ajili ya wadhami bado rehema ipo,hao wt wanaohukumu wenzao nayo ni dhambi hata fremason bd ana mda w kutubu so bd mlngo wa rehema upo km sabato inakukera we baki huko ila biblia insema sabato ht sabato wanadamu wt watamuabudu mbele zake na jili ni agizo la Mungu ,hutaki kuitunza ukifika mbinguni utatumza tu , pia Mungu halazimishi ufanye mema ,moyo wako utakavyompokea na kufanya yanayo mpendeza nakutii amri zaMungu huyo Mungu ataish ndani yk
Uko sahihi ila kumbuka kuondoka na vyote iwe sabato,mpinga kristo,haki,torati na vyote usiegemee seem 1 shughulika na biblia yote Mpk siku usiache na ikiwa hutoenenda Kwa shuhuda na sheria basi kwako Hpna asubuhi mtumishi
Even I don’t understand what you are trying to explain. Bro, sabato it’s a day that mighty God announced for the people to pray and a day God put that not to work. Saboto people are not different from others who pray on Sunday, they do sin also and free masons are also a kind of another church and they pray on frinday. Bro whoever who does sin he or she is a sinner and so get away from doing sin. All week days get in to pray. Wacha kuhukumu hai ndugu żako wewe na jihesim.
Nikweli kabisa,mimi nimsabato kwenye suala la rushwa nimekutana nalo nilikataa kutoa rushwa barabaran kwama askali matrafiki simda sana nikajikuta niko rock up,natamani sana kuiacha hii kazi lakini hata sjui nitafanya kazi gani kiukweli ukristo ni zaidi ya usabato nigharama sana
Chapeni injili SANA bila kuchoka, tunazo namba zenu za m-pesa hapa, tutaendelea kusapoti huduma yenu maana ndio pekee imethibitika kutetea injili halisi huko tanzania na ulimwenguni pote!
Watu wanaokwenda kumsikiliza mwalimu unawaita misukule,wala rushwa,hayo wakikupeleka nayo mahakamani utataka watu wakutetee? Serikali angalieni hiki kikundi kidhibitiwe kabla hakijaleta maafa,hatuna injili ya matusi
Hakika hawa wasabato, wanashida sana hata mimi jumapili moja iliyopita nilikutana na mama mmjo wakiwa kwenye gari lake akaniita kisha atakasema toka huko uliko maana Yesu anakuja asije akakukuta huko, yaani uwezi kuamini baba nilishangaa sana mama yule mimi nilifikiria ana neno la mhimu sana la kusema na mimi lakini kumbe anataka niende sabato Hakika hawa wamepotea.
Soma biblia bro vzr alama ya mnyama 666 ni mafundisho ya uongo yaliyo katika kipaji cha uso wake akili yake na sku zote walikubali hy chapa kamwe hawawez kubal kweli ya biblia na sku zote ndo wanatekeleza mafundisho ya uongo ambayo ni upinga kirsto
Ni kweli mtumishi ila ni swali tu? Je MUNGU hatachoma watu jehanamu milele ju Mimi nilisikia pastor mbaga akisema jehanamu MUNGU hawezi choma watu milele ni kweli ama
Leo nimejaribu kukusikiliza kiukweli sijakuelewa point yako ni ipi...? huwa nakusiliza sana tena wewe ni moja ya wachungaji wachache unaekemea uovu hadharani kiufupi hupendi mambo ambayo yapo kinyume na maandiko , lakini kwa nini unashambulia imani ya watu fulani je wewe unayewashambulia akina mwaposa , mwakasege , nk. je wewe uko na haki sana kuzidi hao unaowaona wanakosea? wewe unahubiri haki ikitokea mmoja wa kundi lako akaenda kinyume na unayosema je utalaumiwa wewe au mtu husika......
We ndugu, hapa chini ya jua hakuna mtu asiyemkosoa mwenzake, hata wewe kitendo cha kutokusali kwenye madhebu mengine, maana yake umewakosoa, kuna mambo haukubaliani nayo. Dini na madhehebu yote yamekuwepo kwa sababu ya kukosoana ingekuwa sio kukosoana, basi TUNGEKUWA DHEHEBU MOJA DINI MOJA N.K
@@josykogei7647 kabla sijajiuliza lazima tuulizane kwanza sasa hivi makanisa yamejaza watu wasiotaka kuuliza mwisho wa siku kizazi cha watu wajinga wanazidi so kuuliza muhim
@@Mapitoyazamani-y7n kukosoana muhimu sana lakini kama unahitaji kumkosoa jirani yako ni muhimu sana kuchunga lugha utakauoitumia yawezekana kabisa ujumbe wako ni mzuri lakini uwasilishwaji wake ukaharibu kila kitu
Naona dogo unafuatilia kila comment hilo jiwe limekupata vilivyo vilokole vihuni nyie,subiri dawa ikuingie kikubwa unafuatilia kila siku lazima pepo lako likutoke@@sangameshack8007
Huyu jamaa Leo nimemtoa kwenye mstari wa wasomi wa biblia nikuwaga namwamini sana Wazinzi na wapokea rushwa wapo makanisa yote! Siyo wasabato TU! Hata mitume wa Yesu walikuwepo wasaliti na wakana Yesu kama akina Petro!.
Waliposolewa wenzako ulimsifia na kusema NIMEKUELEWA MTUMISHI, ila leo umeguswa penyewe unaanza kulia lia, tulia upewe vidonge, MIMI BINAFSI NIMEELEWA SANA NA KAMA WEWE HAUJALEWA NIULIZE KUELEWESHE.
Ila unaendelea kumfuatilia kwa kila anachohubiri mpaka umejua haeleweki kwa kila somo? Ujue unamwelewa kwa sababu visivyoeleweka mitandaoni ni vingi. Je, vyote una comment?
Sahihi.
Amen amen Niko Mozambique Pemba, nakupata vizuri sana sauti ya bwana, ubarikiwe sana
Mbarikiwa ukovizuri MUNGU akubariki
Nimegundua mbarikiwa kuna kitu mungu ameweka ndani yake watanzania tutubu iko siku mlango utafungwa msikilizeni kwa makini huyu mtu sio bure
Clear preach
Ubarikiwe cn cn mtumish wa Mungu
Amina mtumishi
Duuh poleeee sana!
Mchungaji vp unafundisha naona matusi kibao malaya malaya unawatoto kweli wakike kweli kwamaneno hayo duh mungu akuongoze njia njema aaaamin
Malaya ni neno linalowakilisha vitendo vya mtu hata kwenye biblia lipo sana sioni shida yeyote hapo
Ukiwa na watoto wa kike ndio uhubiri kikekike???Ufiche upumbavu??Wawe wa kike au wa kiume!!Kama "Mashoga tunagonga mawe,kama wasagaji "jiwe"!!Kama wanafirwa kama "Sodoma na Gomora "Jiwe"Mateja ,Jiwe!Changudoa, au Mwajuma mchokonoe anawasha sigara nyuma na mbele "Jiwe"!!"Ua wote ndivyo utaondoa uovu ktk Israel au Taifa lako na utajiponya nafsi yako!Hakuna kumng'unya hatujaja kuchumbia ,Wala kutongoza!!Ni nyoka aina ya "Bafe"!!!
Sabato ilikuwa yawaisrael waivunja Mungu aiondoa Yer31:31-34
Wewe mtumishi wa Mungu ambaye hujui hata unabii nadhani we ni kibaraka wa shetani ebu usijidhalilishe kwaajili ya kulitukana jina la BWANA
Yesu likufa kwa ajili ya wadhami bado rehema ipo,hao wt wanaohukumu wenzao nayo ni dhambi hata fremason bd ana mda w kutubu so bd mlngo wa rehema upo km sabato inakukera we baki huko ila biblia insema sabato ht sabato wanadamu wt watamuabudu mbele zake na jili ni agizo la Mungu ,hutaki kuitunza ukifika mbinguni utatumza tu , pia Mungu halazimishi ufanye mema ,moyo wako utakavyompokea na kufanya yanayo mpendeza nakutii amri zaMungu huyo Mungu ataish ndani yk
Uko sahihi ila kumbuka kuondoka na vyote iwe sabato,mpinga kristo,haki,torati na vyote usiegemee seem 1 shughulika na biblia yote Mpk siku usiache na ikiwa hutoenenda Kwa shuhuda na sheria basi kwako Hpna asubuhi mtumishi
Ukishika amri ya tu hakukufanyi kuwa sabato wala huwezi kumwona Mungu
Nawewe inatakiwa uache dhambi sio kung, ang, ana na ck
Sabato ni amri ya Mungu
Kabisa
Nlichokielewa haya ni Kwamba Hakuna dhabi dogo hau kubwa yaani sotee zitahukumiwa mbele Za kiti chá enzi.
Niliposikia mbarikiwa kachanganyikiwa akili nilijua uongo ila baada ya kumsikiliza hapa nimegundua kweli friji imepooza
Umepondwa ndomana
UKIWA KWENYE NDIZI UNAONGEA KINDIZINDIZI
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo umechemsha. Hata unabii wa Ufunuo na Daniel hauujui
Wewe umekaanga?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Acha kujibu watu vibaya wewe ni kioo cha jamii
Leo umechemsha sn
Mnapondwa nyie ndo wasabato inatakiwa mmjue mungu yaan mungu hataki dhambi
Da mpaka umtaje mwamposa?
Hakka we unafanya kz ya Mungu, endelea ivoivo....
Kinacho kusumbua ni amri ya mungu ya nne huishiki sabato ya Mungu 😅
Umepotea kwa KUWA huna ufaham KUHUSU amri ya NNE.
Kabisaaa.@@SabastianRaymond
Heri wale wazishika amri za Mungu na Imani ya Yesu.......
@@hamisijuma3276 Good.
SIYO amri 10.
Amri ni NENO la MUNGU, kwa ujumla.
Sasa NINYI mnabagua.
Sabato ya ardhi hamshi.
Umbali wasabato hamtembei.
Soma vitabu ndugu hatuna somo la Freemason
Kwa hapo yamesemwa macho yako?
@@Mbarikiwa_Mwakipesilewe mbarikiwa hunaadabu matusi ya nn?
Nimtazamo wako uko sawa
Mbarikiwa nakupanda sana mpinga kiristo tafusiri yake nihii yoyote atakaye tenda mapenzi ya MUNGU ndiye atakua nahatia kwa mpinga kiristo
Even I don’t understand what you are trying to explain. Bro, sabato it’s a day that mighty God announced for the people to pray and a day God put that not to work.
Saboto people are not different from others who pray on Sunday, they do sin also and free masons are also a kind of another church and they pray on frinday.
Bro whoever who does sin he or she is a sinner and so get away from doing sin.
All week days get in to pray. Wacha kuhukumu hai ndugu żako wewe na jihesim.
Wana wa nuru tu ndo wanakuelewa..... wana wa giza kamwe hawawezi kukuelew mtumish wa Mungu pga injili.
Harafu kweli kabisaa
Nikweli kabisa,mimi nimsabato kwenye suala la rushwa nimekutana nalo nilikataa kutoa rushwa barabaran kwama askali matrafiki simda sana nikajikuta niko rock up,natamani sana kuiacha hii kazi lakini hata sjui nitafanya kazi gani kiukweli ukristo ni zaidi ya usabato nigharama sana
Sabato ni din ya hak kwa mungu ndo maana inachukiwa na mafreemason huyu kachanganyikiwa saiz anatoa siri zao amken
Mnyakyusa Mbunifu Sichoki Kukufatilia Nimetulia Hapa Napata Vitu Vingi Kutoka Kwako
Chapeni injili SANA bila kuchoka, tunazo namba zenu za m-pesa hapa, tutaendelea kusapoti huduma yenu maana ndio pekee imethibitika kutetea injili halisi huko tanzania na ulimwenguni pote!
Kasabuti kwenye injili mungu atawatetea TU yalivyo ya bwana yatasimama yalivyo ya shetani yatathihirika tuu
Watu wanaokwenda kumsikiliza mwalimu unawaita misukule,wala rushwa,hayo wakikupeleka nayo mahakamani utataka watu wakutetee? Serikali angalieni hiki kikundi kidhibitiwe kabla hakijaleta maafa,hatuna injili ya matusi
Ujaokoka okoka tena
Sema watu wapone mungu yu pamoja nawe
Nani huyo mbona humtaji
Kondoo wengine ninao ambao siyo wazizi hili je ilo andiko hawalioni?
We utajiunga freemason ?nakuuliza mbarikiwa
We endelea kupotosha tu ujui hata maana ya Siri ya kuasi
Hajua uasi zaidi ya huo unakueleza?
Tabia za tusabato ni kama baadhi ya tuhubiri injili.
Ivi wapentecoste wazinzi na wachawi hawapo!?😂😂😂😂😂😂
Wapo hapa hawajaachwa nyuma
Vijembe,matusi,masimango na udhalilishaji haviwezi kuwa sehemu ya injili.Kikundi chenu kimejaa matusi kwa kivuli cha kuhubiri injili.Nonsense
Andamana 😏
Kaz ishamkuta mweny Kaz mwachen afanye Kaz 😅😅😅
Mbalikiwa ni sauti y a MUNGU duniani,
Mungu yupi?
@@sangameshack8007 MUUMBA MBINGU na nchi
@@sangameshack8007 YESU KRISTO MUNGU WA KWELI, 1Yohana 5:20
Hakika hawa wasabato,
wanashida sana hata mimi jumapili moja iliyopita nilikutana na mama mmjo wakiwa kwenye gari lake akaniita kisha atakasema toka huko uliko maana Yesu anakuja asije akakukuta huko,
yaani uwezi kuamini baba nilishangaa sana mama yule mimi nilifikiria ana neno la mhimu sana la kusema na mimi lakini kumbe anataka niende sabato
Hakika hawa wamepotea.
Soma biblia bro vzr alama ya mnyama 666 ni mafundisho ya uongo yaliyo katika kipaji cha uso wake akili yake na sku zote walikubali hy chapa kamwe hawawez kubal kweli ya biblia na sku zote ndo wanatekeleza mafundisho ya uongo ambayo ni upinga kirsto
Endelea kupiga injili ipo siku mwanangu atakujakua rahicii nitafuta dinii za wababaishajiii nitauacha wislamu na kazaaa xo kiboko x walimu nitaitajiii wewe ndooo uwe fest Tanzanian
hizo bima ni illuminati.
Hubiri injili acha kuhangaika na mambo ya madhehebh
Kwa hiyo wewe hapa umehubiri haushughuliki na mambo mwingine?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile mimi nimekwambia ukweli maana mara nyingi nimekuona ukisema watumishi wa Mungu
Injili ni kumuonya mtu makosa yake, na kumpa habari za tumaini lililo katika kristo Kila aliye na Utayari wa kujifunza
Acha ukosefu wa fikra ndugu hao watumishi ni wakina nani mpaka wasionywe@@GideonMnzava
Kwenye bima za maisha na magonjwa wasabato ndiyo wanaongoza kuwa na bima Kwenye hospital zote hata hawaamini nguvu za Yesu.
Ni kweli mtumishi ila ni swali tu? Je MUNGU hatachoma watu jehanamu milele ju Mimi nilisikia pastor mbaga akisema jehanamu MUNGU hawezi choma watu milele ni kweli ama
JIEPUSHE NAYE
Hauna jipya unataka kupotea sabato ilitengenezo kwa ajili ya mwanadamu na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato kasome marko 2 mstar wa 27 na 28
Huna jipya wewe shika siku alafu ni tapeli na tabianyingi mbaya
Leo nimejaribu kukusikiliza kiukweli sijakuelewa point yako ni ipi...? huwa nakusiliza sana tena wewe ni moja ya wachungaji wachache unaekemea uovu hadharani kiufupi hupendi mambo ambayo yapo kinyume na maandiko , lakini kwa nini unashambulia imani ya watu fulani je wewe unayewashambulia akina mwaposa , mwakasege , nk. je wewe uko na haki sana kuzidi hao unaowaona wanakosea? wewe unahubiri haki ikitokea mmoja wa kundi lako akaenda kinyume na unayosema je utalaumiwa wewe au mtu husika......
Ata usiulize mwakipesile mahubiri yake kile tunachotakiwa kufahamu ni je mbingu tutaiona ama tunafanya Nini
We ndugu, hapa chini ya jua hakuna mtu asiyemkosoa mwenzake, hata wewe kitendo cha kutokusali kwenye madhebu mengine, maana yake umewakosoa, kuna mambo haukubaliani nayo.
Dini na madhehebu yote yamekuwepo kwa sababu ya kukosoana ingekuwa sio kukosoana, basi TUNGEKUWA DHEHEBU MOJA DINI MOJA N.K
@@josykogei7647 kabla sijajiuliza lazima tuulizane kwanza sasa hivi makanisa yamejaza watu wasiotaka kuuliza mwisho wa siku kizazi cha watu wajinga wanazidi so kuuliza muhim
@@Mapitoyazamani-y7n kukosoana muhimu sana lakini kama unahitaji kumkosoa jirani yako ni muhimu sana kuchunga lugha utakauoitumia yawezekana kabisa ujumbe wako ni mzuri lakini uwasilishwaji wake ukaharibu kila kitu
Some times anaongeaga uongo
MWACHE MWALIMU WETU TUNAMPENDA KWA KUWA AMETOKA KWA MUNGU ...NA ANAFUNDISHA KWELI YA MUNGU NA WANAJAA UWANJANI
Lazima mjae kwa kuwa mnapenda mahali ambako mnakuwa huru kuzini, kuiba au kula rushwa nk.
@@Mbarikiwa_Mwakipesilekwani hayo uliyotaja ndo yanoyofundishwa na Mwalimu?Acheni makasiriko
Naona dogo unafuatilia kila comment hilo jiwe limekupata vilivyo vilokole vihuni nyie,subiri dawa ikuingie kikubwa unafuatilia kila siku lazima pepo lako likutoke@@sangameshack8007
Huyu jamaa ni muongo kyaaaa
Mwalimu mhuni sana.
Huyu jamaa Leo nimemtoa kwenye mstari wa wasomi wa biblia nikuwaga namwamini sana
Wazinzi na wapokea rushwa wapo makanisa yote! Siyo wasabato TU!
Hata mitume wa Yesu walikuwepo wasaliti na wakana Yesu kama akina Petro!.
Umegusa pabaya apo usipokuwa Makin unaenda kuishiwa kila kitu soma Marko 2 27 na 28 utaelewa unachokizungumza kuwa ni pumba
Huna hoja ujinga wako unakusumbua na wendawazimu.Hata hueleweki na unachosema maana masomo vyote.unamatatizo ya akili
Waliposolewa wenzako ulimsifia na kusema NIMEKUELEWA MTUMISHI, ila leo umeguswa penyewe unaanza kulia lia, tulia upewe vidonge, MIMI BINAFSI NIMEELEWA SANA NA KAMA WEWE HAUJALEWA NIULIZE KUELEWESHE.
Chukua dawa hiyo dozi Mimi nimehelewa sanaaaa
Ila unaendelea kumfuatilia kwa kila anachohubiri mpaka umejua haeleweki kwa kila somo? Ujue unamwelewa kwa sababu visivyoeleweka mitandaoni ni vingi. Je, vyote una comment?
😂@@Mbarikiwa_Mwakipesile
Wewe kama unaona limekugusa unatakiwa kubadili mwenendo wako kuliko kukaa unatukanaa watu walio kuzidi akili wewe ndiyo una akili
Usitegemee kunaatakayekujibu biblia ikowazi ucjidanganye.Nakinachokuponza kiburi,umegeukia kwa wasabato.!!heb tusubiri.
Uliyejibu unatosha. Ndiye ulilengwa usikie.
Siku zinakuja nazo si nyingi.
OMBA MUNGU AKUPE MIFUMO YA KUMUELEWA MWALIMU WETU UTAJUA AMETOKA MBINGUNI
Lazima mumuelewe kwa sababu maneno yake hayawazuii kuiba, kula rushwa, kudanga nk.
Unamuelewa kwa yapi?.
Nimtazamo wako uko sawa
Endelea kupiga injili ipo siku mwanangu atakujakua rahicii nitafuta dinii za wababaishajiii nitauacha wislamu na kazaaa xo kiboko x walimu nitaitajiii wewe ndooo uwe fest Tanzanian
Vijembe,matusi,masimango na udhalilishaji haviwezi kuwa sehemu ya injili.Kikundi chenu kimejaa matusi kwa kivuli cha kuhubiri injili.Nonsense
Toa mifano ya matusi hayo
@@asubisye16 matusi ni halisi hayana mfano
@@sangameshack8007 yepi sasa
Matusi ni mawazo yako mabaya.
Nimtazamo wako uko sawa
Kuitazamia njia ya haki impasayo kila mmoja wetu, Mimi na Wewe.