Mbarikiwa apinga uwepo wa uchaguzi. Asema hautabadili chochote

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 8

  • @AlbertKilinga
    @AlbertKilinga 8 часов назад

    Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen

  • @danielmwampeta3338
    @danielmwampeta3338 17 часов назад

    Ni kweli watu sasa wapo kupigania mikate,ubabe wa kuwaendesha wanadamu wengine kana kwamba ni wanyama.
    Eeee mwenyezi Mungu Utusaidie.

  • @LameckLameckmjwanga-yc6yv
    @LameckLameckmjwanga-yc6yv 19 часов назад

    ❤❤ameni baba ameni 🙏🙏🇹🇿🇹🇿

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 22 часа назад +1

    👍✌️👊.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 18 часов назад

    AMEN

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 11 часов назад

    Si patakuwa bali pamejaa;
    Huzuni, simanzi, vilio na maombolezo.
    Kila kona WATU wanalia daftari la uandikishaji wapigakura waliopewa ridhaa ushetani umewajaa

  • @AlbertKilinga
    @AlbertKilinga 8 часов назад

    Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen