Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen
Si patakuwa bali pamejaa; Huzuni, simanzi, vilio na maombolezo. Kila kona WATU wanalia daftari la uandikishaji wapigakura waliopewa ridhaa ushetani umewajaa
Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen
Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen
Ni kweli watu sasa wapo kupigania mikate,ubabe wa kuwaendesha wanadamu wengine kana kwamba ni wanyama.
Eeee mwenyezi Mungu Utusaidie.
❤❤ameni baba ameni 🙏🙏🇹🇿🇹🇿
👍✌️👊.
AMEN
Si patakuwa bali pamejaa;
Huzuni, simanzi, vilio na maombolezo.
Kila kona WATU wanalia daftari la uandikishaji wapigakura waliopewa ridhaa ushetani umewajaa
Nikweli moyo wangu una machozi kwa yanayo endelea katika nchi yangu. Mtumishi endelea kusema iko siku watatambua Mungu atakapotupa kisogo. Fuatilia yanayoendelea ktk zoezi la uandikishaji ndiyo utajua anayozungumza Mtumishi wa Mungu. Amen