Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwani yeye alitegemea nini?? Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
😂😂😂😂nimejua tu candy hatastamili lazima atoe uhalisia wake,ukirud kwa masozi upate yy na mpenzi wake wamekutoroka na hati ya nyumba apo ndo utapata shida kama jina lako😂😂,chiko nae kinaenda kumramba mana ujauzito wa candy sio wa kwake,😂jamani msichelewe kuleta muendelezo movie inaenda kunoga
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
Wanaosem mke wachiko sio mgumba twanga like ap❤😂😂
Kabisaa chiko kinamramba sio mda mrefu🤣🤣
Wanawake wakiona mwanaume haeleweki wanagoma kushika mimba
Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂
Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa
Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢
Chiko kitakuja kumlamba mm nipo ap wanaoamin chiko kitamlamb nomben like zenu jmn
Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉
🌹🌹🌹🌹👏
Wanaomkubali Tasha gonga like tujuane
Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like
😂😂😂🎉🎉
Nyiee kama namwona mandevu yule
Nyumba imeenda Kwa madevu tiyari
Nyumba ishachukuliwa nadevu mchana kweupe
Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂
😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa
Umejuajeeeeee😂😂😂🎉
Tupo😂😂😂😂😂
Maskini Sania😭😭😭
Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂
Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤
❤❤❤❤❤
Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha
Ok
Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana
👏👏👏👏👏👍👍👍🫂
Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa
Maji yameshagaza kila mumoja
😂😂😂😂😂😂ilasania ana Force bwana 😂😂
🤫🤫
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
Tunaompenda zuu gong like
Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like
Mm wananitoa hata kwenye mood
Mm wamenisinya kweli
Kusoma comment mpka kuna kera
Tuko pamoja jamani, yaani mimi wananiuzi vibaya mno🙄
Yaani sana kama hawajielewi
Ndokufika nilikwa maandamano 🇰🇪 🇰🇪 nipeni likes 🎉🎉🎉🎉🎉
Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya
Wa Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like 🔥🔥🔥🌍🌍🌎
Niko nyuma yako😂😂
❤❤❤❤❤
Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂
Atajuwa ajui
Ni navyo subir sana pia mm😂😂
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi
Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉
Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤
Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮
Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉
SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya
Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa
We ndo umeigiza me mnanishangaza badala kuwapa moyo waigizajinata mpewe like mtupishe huko
@@user-ij2po2jw2f wewe makasiriko yanini?
Kuomba like tu kuoga aaahh
@@officialbasheer13_tz😅😅😅
Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah
Mmmh Candy umenishinda tabia kumbe msamaha wenyewe unaomba kinafiki
Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤
🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu
Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤
Mashallah ❤❤❤❤❤
Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤
Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane
Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂
😂😂😂😂 ndio mawifi zetu jmn😂😂😂
Yani achatu
❤my favourite movie jana nilisubiri sana
Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉
Busati TV mko vizuri ❤
Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee
Amecheza ipasavyo
Ni kweli kabisa
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa
Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤
naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa
Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!
Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉
Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅
🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel
Mhun hasw
Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊
Nmewahi namimi leooo😊😊
Nipo wallah hongereni
Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa
Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤😂😂🎉
Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁
Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan
Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅
kwan like zinàfaida gani 😂
Tujuane kwa salamu Leo jamani❤
Namaste
Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri
Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja
Nipo Leo mapema kutoka kenya
Daah watu wanalala RUclips 😂😂😂 jamani
Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮
Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment
😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote
😂😂😂😂
😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm
Namba one today
Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊
Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa
Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother
Watat jaman naombni lik
Hampoi jamani had raha
Bwana Tasha wao kamukonde hanakuitaji😂😂ule kitu
Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉
❤❤❤
Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️
Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉
Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu
Kwani yeye alitegemea nini??
Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢
Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤
Dakk chache jaman
😂😂😂😂nimejua tu candy hatastamili lazima atoe uhalisia wake,ukirud kwa masozi upate yy na mpenzi wake wamekutoroka na hati ya nyumba apo ndo utapata shida kama jina lako😂😂,chiko nae kinaenda kumramba mana ujauzito wa candy sio wa kwake,😂jamani msichelewe kuleta muendelezo movie inaenda kunoga
Nathani itakuwa hvy kabisa 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Watu mbona hawalali jamani 😂😂 nipeni like na mimi basi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sania 😂😂😂😂😂 anatafuta mbinu 😂😂apate mume 😂😂
Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako
Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤
it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea
Kutoka kongo nakubali sana🎉🎉🎉
Namkubal sana Mr Tasha❤❤
Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
😂😂😂😂😂😂🎉🎉
😮cand hajui namna ya kuomba msamaha, mwache mama atoe sumu inayomtesa we nyenyekea hata akikutukana we sema nisamehe😂
Kunakubadilika kutoka kwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia nzuri ❤napia unaye muona mwema leo kesho akawa muovu vilevile tujifunze katika maishaa
Nimefurahia filamu
Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana
Congratulations for good work 👏 🙌
😅😅😅😅 jaman candy kiboko khaaaa😅😅😅😅😅
Zuu kaumbika jamani alfu mungu kampa sura yakuigizia😂😂😂 nkupenda zuuuuuu
Cendy huna adabu bado,,Kaa mjinga upate radhi ya mama😂
Yan zuu anamaneno matam from kaka kai to baba
Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅
Kila siku huchelewa tu mm team strong 💪 twendeni tukaoshe hamamu 😁😁😁
AP ch kufany unanpa like n mm nkuptia
Mama Kitombi candy am proud of you mum don't give up akwende n uko wallai mm namchukia yngu yte 😀 😀😀😀 waah team zuu twende n hii🍷🍷🧇
Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy
Jamani hivi huyu candy atakua lini chini ya mamake kweli anavyo lipika kwa mama bt hakuna kama mama
Pole sana zatiti kipenzi❤❤
Mmmmmm busati muwe mnamalizia movie vizur jamnii wapendwa man siyo kwa ufupi huo