HOUSE GIRL EP 47 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 670

  • @HyasintaWisdom
    @HyasintaWisdom Месяц назад +187

    Wanaosem mke wachiko sio mgumba twanga like ap❤😂😂

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin Месяц назад

      Kabisaa chiko kinamramba sio mda mrefu🤣🤣

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus Месяц назад

      Wanawake wakiona mwanaume haeleweki wanagoma kushika mimba

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq Месяц назад +2

      Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c Месяц назад +2

      Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa

    • @user-un5yq5wh8x
      @user-un5yq5wh8x Месяц назад

      Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢

  • @KhadijaAbdallah-kx8oi
    @KhadijaAbdallah-kx8oi Месяц назад +8

    Chiko kitakuja kumlamba mm nipo ap wanaoamin chiko kitamlamb nomben like zenu jmn

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Месяц назад +61

    Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉

  • @GraceMlay-pv6bc
    @GraceMlay-pv6bc Месяц назад +8

    Wanaomkubali Tasha gonga like tujuane

  • @user-hx5vv5do8i
    @user-hx5vv5do8i Месяц назад +52

    Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y Месяц назад +176

    Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂

    • @Mwanajumahassan-tg3zg
      @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад +3

      😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa

    • @user-zf8jx2zj9u
      @user-zf8jx2zj9u Месяц назад +3

      Umejuajeeeeee😂😂😂🎉

    • @NdiwaIvone-eo9hh
      @NdiwaIvone-eo9hh Месяц назад +4

      Tupo😂😂😂😂😂

    • @user-ck7gb7rf2b
      @user-ck7gb7rf2b Месяц назад +1

      Maskini Sania😭😭😭

    • @CelenaJacob
      @CelenaJacob Месяц назад +1

      Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂

  • @hajimwendo
    @hajimwendo Месяц назад +86

    Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Месяц назад +48

    Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @fatuma6011
      @fatuma6011 Месяц назад

      Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha

    • @turehemungailo8048
      @turehemungailo8048 Месяц назад

      Ok

    • @turehemungailo8048
      @turehemungailo8048 Месяц назад

      Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana

    • @AmanDaud-h9d
      @AmanDaud-h9d Месяц назад

      👏👏👏👏👏👍👍👍🫂

  • @user-iw6wi6dt8b
    @user-iw6wi6dt8b Месяц назад +97

    Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa

  • @user-lk6mj3yh9r
    @user-lk6mj3yh9r Месяц назад +10

    Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana

  • @AngelMahenge
    @AngelMahenge Месяц назад +26

    Tunaompenda zuu gong like

  • @FARAJAJAMESLEONARD
    @FARAJAJAMESLEONARD Месяц назад +36

    Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah Месяц назад +35

    Ndokufika nilikwa maandamano 🇰🇪 🇰🇪 nipeni likes 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma Месяц назад +11

    Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya

  • @brayoomontana5011
    @brayoomontana5011 Месяц назад +51

    Wa Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like 🔥🔥🔥🌍🌍🌎

  • @user-bq9zj5sm7i
    @user-bq9zj5sm7i Месяц назад +22

    Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад +8

    Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh

  • @ImeldaGaitan
    @ImeldaGaitan Месяц назад +6

    Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Месяц назад +25

    Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉

  • @UmmyShabir
    @UmmyShabir Месяц назад +29

    Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Месяц назад +10

    Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮

  • @RazikeRara
    @RazikeRara Месяц назад +13

    Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉

  • @VenahKemuma
    @VenahKemuma Месяц назад +8

    SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj Месяц назад +68

    Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa

  • @HidayaamaniSuleimani
    @HidayaamaniSuleimani Месяц назад +11

    Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah

  • @wasule6253
    @wasule6253 Месяц назад +8

    Mmmh Candy umenishinda tabia kumbe msamaha wenyewe unaomba kinafiki

  • @anethvicent5870
    @anethvicent5870 Месяц назад +20

    Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤

  • @FurahishaMtendjwa
    @FurahishaMtendjwa Месяц назад +11

    🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Месяц назад +10

    Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад +5

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @Nailah736
    @Nailah736 Месяц назад +6

    Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤

  • @salmaseleman3841
    @salmaseleman3841 Месяц назад +4

    Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane

  • @jacksonkahindi3235
    @jacksonkahindi3235 Месяц назад +7

    Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂

  • @ashaathman-k4n
    @ashaathman-k4n Месяц назад +4

    ❤my favourite movie jana nilisubiri sana

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 Месяц назад +5

    Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉
    Busati TV mko vizuri ❤

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Месяц назад +5

    Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @lailatbakar5829
    @lailatbakar5829 Месяц назад +9

    Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee

    • @user-of5fe3jj1g
      @user-of5fe3jj1g Месяц назад +1

      Amecheza ipasavyo

    • @RoseNjoka_23
      @RoseNjoka_23 Месяц назад +1

      Ni kweli kabisa

    • @MwaliSuleih
      @MwaliSuleih Месяц назад

      Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-jn8wk9il8j
    @user-jn8wk9il8j Месяц назад +4

    Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 Месяц назад +7

    Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Месяц назад +6

    naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa

  • @ShakiraIbrahim-e7c
    @ShakiraIbrahim-e7c Месяц назад +5

    Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 Месяц назад +5

    Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉

  • @DolikasiErisha
    @DolikasiErisha Месяц назад +5

    Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅

  • @momkhan-hc7zh
    @momkhan-hc7zh Месяц назад +4

    🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel

  • @user-is4ts6gz6t
    @user-is4ts6gz6t Месяц назад +15

    Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊

  • @DariaMichael-xg7pu
    @DariaMichael-xg7pu Месяц назад +6

    Nmewahi namimi leooo😊😊

  • @MwanajumBeyawa-j5w
    @MwanajumBeyawa-j5w Месяц назад +3

    Nipo wallah hongereni

  • @NuruIbrahim-ue1if
    @NuruIbrahim-ue1if Месяц назад +15

    Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Месяц назад +4

    Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IrenaFrance-zk8sf
    @IrenaFrance-zk8sf Месяц назад +4

    Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +6

    Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan

  • @user-ki9le1jy8e
    @user-ki9le1jy8e Месяц назад +13

    Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika Месяц назад +6

    Tujuane kwa salamu Leo jamani❤

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 Месяц назад +3

    Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p Месяц назад +1

    Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ConfusedBabyOctopus-cb2ee
    @ConfusedBabyOctopus-cb2ee Месяц назад +5

    Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja

  • @shigangakelvin1
    @shigangakelvin1 Месяц назад +5

    Nipo Leo mapema kutoka kenya

  • @user-ni8eh1fv4q
    @user-ni8eh1fv4q Месяц назад +6

    Daah watu wanalala RUclips 😂😂😂 jamani

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Месяц назад

    Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +13

    Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Месяц назад +4

    😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад

      😂😂😂😂

    • @marymele9714
      @marymele9714 Месяц назад

      😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm

  • @user-pg8og1gp1u
    @user-pg8og1gp1u Месяц назад +5

    Namba one today

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 Месяц назад +4

    Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊

    • @nadhrakhelef6257
      @nadhrakhelef6257 Месяц назад

      Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss Месяц назад

    Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo Месяц назад +5

    Watat jaman naombni lik

  • @user-lk6mj3yh9r
    @user-lk6mj3yh9r Месяц назад +5

    Hampoi jamani had raha

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Месяц назад

    Bwana Tasha wao kamukonde hanakuitaji😂😂ule kitu

  • @RahimaRahima-ig6vm
    @RahimaRahima-ig6vm Месяц назад +5

    Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉

  • @Mamygumbo
    @Mamygumbo Месяц назад

    Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +11

    Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад +2

    Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu

    • @nahimanabella2478
      @nahimanabella2478 Месяц назад

      Kwani yeye alitegemea nini??
      Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa

  • @user-qc5en6fo1u
    @user-qc5en6fo1u Месяц назад +2

    haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢

  • @user-oy4ew3tp6r
    @user-oy4ew3tp6r Месяц назад +9

    Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +7

    Dakk chache jaman

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m Месяц назад +5

    😂😂😂😂nimejua tu candy hatastamili lazima atoe uhalisia wake,ukirud kwa masozi upate yy na mpenzi wake wamekutoroka na hati ya nyumba apo ndo utapata shida kama jina lako😂😂,chiko nae kinaenda kumramba mana ujauzito wa candy sio wa kwake,😂jamani msichelewe kuleta muendelezo movie inaenda kunoga

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman Месяц назад +1

      Nathani itakuwa hvy kabisa 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @user-gz5ud2xm2d
    @user-gz5ud2xm2d Месяц назад +15

    Watu mbona hawalali jamani 😂😂 nipeni like na mimi basi

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Месяц назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sania 😂😂😂😂😂 anatafuta mbinu 😂😂apate mume 😂😂

  • @baiyatwaha8824
    @baiyatwaha8824 Месяц назад +9

    Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako

  • @Gene-x2w
    @Gene-x2w Месяц назад

    Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад +1

    it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea

  • @AsheryGaudence-tx1kc
    @AsheryGaudence-tx1kc Месяц назад +11

    Kutoka kongo nakubali sana🎉🎉🎉

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 Месяц назад +3

    Namkubal sana Mr Tasha❤❤

  • @user-qu4qy3lp8y
    @user-qu4qy3lp8y Месяц назад +2

    Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u Месяц назад +2

    Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh

  • @MarianaMwakatoga
    @MarianaMwakatoga Месяц назад +9

    😮cand hajui namna ya kuomba msamaha, mwache mama atoe sumu inayomtesa we nyenyekea hata akikutukana we sema nisamehe😂

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th Месяц назад +6

    Kunakubadilika kutoka kwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia nzuri ❤napia unaye muona mwema leo kesho akawa muovu vilevile tujifunze katika maishaa

  • @jedenecosta
    @jedenecosta Месяц назад +1

    Nimefurahia filamu
    Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana

  • @user-gv7to8is6y
    @user-gv7to8is6y Месяц назад

    Congratulations for good work 👏 🙌

  • @Maimunaathuman-bf8cp
    @Maimunaathuman-bf8cp Месяц назад

    😅😅😅😅 jaman candy kiboko khaaaa😅😅😅😅😅

  • @user-ck7gb7rf2b
    @user-ck7gb7rf2b Месяц назад

    Zuu kaumbika jamani alfu mungu kampa sura yakuigizia😂😂😂 nkupenda zuuuuuu

  • @user-vm6kj2zx6p
    @user-vm6kj2zx6p Месяц назад +1

    Cendy huna adabu bado,,Kaa mjinga upate radhi ya mama😂

  • @user-ii3rb6uj7g
    @user-ii3rb6uj7g 29 дней назад +1

    Yan zuu anamaneno matam from kaka kai to baba

  • @user-rz7hz6hz1i
    @user-rz7hz6hz1i Месяц назад +2

    Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w Месяц назад +1

    Kila siku huchelewa tu mm team strong 💪 twendeni tukaoshe hamamu 😁😁😁

  • @princeliamblack3895
    @princeliamblack3895 Месяц назад +2

    AP ch kufany unanpa like n mm nkuptia

  • @buru1235
    @buru1235 Месяц назад

    Mama Kitombi candy am proud of you mum don't give up akwende n uko wallai mm namchukia yngu yte 😀 😀😀😀 waah team zuu twende n hii🍷🍷🧇

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v Месяц назад

    Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy

  • @fatumamasoud
    @fatumamasoud Месяц назад +1

    Jamani hivi huyu candy atakua lini chini ya mamake kweli anavyo lipika kwa mama bt hakuna kama mama

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Месяц назад +1

    Pole sana zatiti kipenzi❤❤

  • @DeboraJems-zs7fr
    @DeboraJems-zs7fr Месяц назад

    Mmmmmm busati muwe mnamalizia movie vizur jamnii wapendwa man siyo kwa ufupi huo