HOUSE GIRL EP 48 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 691

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Месяц назад +13

    Mi siwaelew nyie mnaoomba like siyo vzr toeni maoni ya move jmn , Ila Candi punguza jazba na ujishushe Kwa mama🎉🎉🎉

  • @nurufatsaidy
    @nurufatsaidy 2 месяца назад +17

    Hakika kazi yenu ni nzuri sana inafundisha na kueleimish ,na kutupunguza stress hongelen sana

  • @DianaRumbanisa
    @DianaRumbanisa 2 месяца назад +9

    Aloooh Mambo ni Moto mependa utambulisho wa chiko🎉🎉🎉🎉 hii movie inamafunzo meng na inachanganua ubongoo kinyamaaah❤❤❤ candy mama drama😂😂😂 nakupenda zangu❤❤❤

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow 2 месяца назад +18

    Wahisha mambo vzr sana muwe mnatoa vipande viwili kwa siku mazeee

  • @user-on3kr9yb8u
    @user-on3kr9yb8u 2 месяца назад +101

    Napenda hi movie sana tangu mwanzo natoka kenya mnipe like ata 10 nitashukuru😊

    • @Konde520
      @Konde520 Месяц назад

      nyinyi mbwaaaa wa Kenya KAZI yenu kuomba like TU kuigiza aaaaah

  • @FromenaWilly
    @FromenaWilly 2 месяца назад +26

    Duuh na me Leo nimewahi mapema❤❤❤❤ like zangu bs

  • @BahatiTarimo-yz7im
    @BahatiTarimo-yz7im 2 месяца назад +37

    Leo wa Saba jaman naomben like na mm😅😅😅

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 2 месяца назад +9

    Baba nakupendea bure ❤❤❤halafu kilamba anakuanga soo funny 😂😂😂😂😂😂😂

  • @MuduhukijaNghabi
    @MuduhukijaNghabi 2 месяца назад +22

    Jaman niliwamis jaman mnajitaid kuwaisha maan tunakuw na hamu ya kuona house gelr

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 2 месяца назад +20

    nimechelewa but naomben like zenu watu wangu🎉🎉🎉

  • @SiFaSifa-e6y
    @SiFaSifa-e6y 2 месяца назад +13

    Namim nipo jamn nausubiria kwa hamu yani naombeni like na mim jamn

    • @AbedMmm-o4p
      @AbedMmm-o4p 2 месяца назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tunasubiri chiko aseme amekujia nani😅

  • @afrafranco2584
    @afrafranco2584 2 месяца назад +15

    Me sijawah kupewa like jamna..nipen na mm nione nizann

  • @PendoJm
    @PendoJm 2 месяца назад +14

    Nawapenda sote mnajitahid xn 🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @esterester3628
    @esterester3628 2 месяца назад +10

    Candy kajichanganya kajikoroga kajisokota mwenyewe😂😂😂😂😂😂😂jameni raha hio🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MuduhukijaNghabi
    @MuduhukijaNghabi 2 месяца назад +9

    Jaman zuu wew ni mnyakyusa au nambie bac mamy

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 2 месяца назад +44

    Ebu twambieni toka umeanza kuangalia hii series umejifunza nini sio kila siku kuomba like tu

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 месяца назад +17

    Ndo mimi uyo❤😂
    Leo ikoje mbona isielewi

    • @RosekinanuGitari
      @RosekinanuGitari 2 месяца назад +1

      Leo hiko smart bytheway kila siku inakuwa sawa kwangu na enjoy

  • @BabyeSaumu
    @BabyeSaumu 2 месяца назад +7

    Kendy badilisha nguo bana,kuzunguka tuu kuoga aaaah😅😅

  • @Naaah-cc3kq
    @Naaah-cc3kq 2 месяца назад +58

    Mjifunze sio kuomba like kaa migwagwadu vile movie inafundisha namna ya kuheshimu watu wanaotuzunguka katika jamii na kumtegemea mungu kwenye kila jambo unalofanya mpende anayekupenda asiyekupenda acha nae❤❤❤❤

  • @marymele9714
    @marymele9714 2 месяца назад +9

    Bibiyake zuu na mpenda atali🎉🎉🎉❤❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 2 месяца назад +20

    Cend unafurai kupewa nyumba kisais ww p moja na masuzii na madefu itakula kwenu muda sio mrefu nyumba ya kapuni hyooo utakuja tolewa na watu wa kapuni nitachekaaaa mm san hikiwa kwa mama ushakutia mavi mbona nakuone huruma san cend punguza mdomo

  • @huguettemakoto2308
    @huguettemakoto2308 2 месяца назад +13

    jamani mimihapa upande wa candy😂 mtake msitake miminipo😅😅❤

  • @UmmuJuhaynaAbuuIssa
    @UmmuJuhaynaAbuuIssa 2 месяца назад +9

    Kendy aki bibi zuu marahii atakugeuza kuku wakafara wewe unatak kumuuwa mjuku wake jmn 🙃

  • @ReginaFrancis-d2h
    @ReginaFrancis-d2h 2 месяца назад +12

    Naipenda hii movie naombeni like zang na M Mm

  • @user-kr4xr7ix1u
    @user-kr4xr7ix1u 2 месяца назад +10

    NIMEFIKA MAPEMAA FROM 254😊

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 2 месяца назад +35

    Baba Kay ni handsome shikamoo baba❤❤❤❤

    • @Thuma-g8o
      @Thuma-g8o 2 месяца назад +2

      Umeona mzuri Sana sijui halipokua kijana

    • @brendanawanga
      @brendanawanga 2 месяца назад

      😅😅😅😂

    • @MARYNAGUJustin
      @MARYNAGUJustin 2 месяца назад

      Nawapenda kazi iendele kutoka omani

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 2 месяца назад +2

      Hii mvi mwanamke mzuri ni mke wa kilamba ni kwa kweli chukua maua yako

    • @MwanashaHemed-w3r
      @MwanashaHemed-w3r 2 месяца назад

      Kwel yaan handsome boy ❤❤

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz 2 месяца назад +10

    😂😂😂Ila watu bna hamtki kulala kwn 😢😢leo niwa mwisho

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 2 месяца назад +7

    Jamani mbona candy ni munyama hanataka kuuwa zuuh jamani bibi zuuh uko wap jamani 🎉🎉🎉

  • @user-bg8qi9cx9w
    @user-bg8qi9cx9w 2 месяца назад +13

    Waoooo nakubali

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s 2 месяца назад +4

    Jmn haki baba kaii. Myaka yanyuma jmn alikuwa moto. Mwanaume na nusu

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 2 месяца назад +17

    Leo sijachelewa aisee... nala chakula cha usiku nikifwatilia jamani.. nipeni like tano tu

  • @Elizabet2694
    @Elizabet2694 2 месяца назад +4

    Yan hapo kwa chiko nimeludiia malambili mbili jamn 😂😂😂

  • @AnicethaLaurent
    @AnicethaLaurent Месяц назад +4

    Jamani mi nimekua wa mwisho naombeni ata like 5 tu toka nianze hiiii move sjawai pewa like ata moja🎉

  • @FarajaNkale
    @FarajaNkale 2 месяца назад +3

    Jaman Candy kiguu na njia kuoga aah😂😂😂

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 2 месяца назад +3

    🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉 hongereni nwapenda sana kazi nzuri mnnibambna kinoma

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz 2 месяца назад +5

    Karibu sana chiko 🎉🎉tusaidie umuchukue candy 😂😂😂😂

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂 atafanya la maana sana

    • @jaliamartinz
      @jaliamartinz 2 месяца назад

      @@GreatestSwordsman basi🤣🤣🤣🤣

  • @ZahidahAli-ys1fg
    @ZahidahAli-ys1fg 2 месяца назад +29

    Kila siku like tubjama. Tower maoni jaman kwan lek mnazilipelekaga wapi na mimi niombe

  • @SaadffasellOmaan
    @SaadffasellOmaan Месяц назад +4

    Kai kai kai nimekuita mala 3 hiii move nakuona kabisa unaenda kuimaliza baba tunataka kuona mpk wajukuu zako yani ww umiza kichwa panga panguwa hiii move twende nayo mpk kwenye uchaguzi ili uchaguz ukiwa una pita si tupo bizeeee na zuuuu uku

    • @FraidSamata
      @FraidSamata Месяц назад +1

      😅😂😂😂😂😂hutaki kupiga kura 😂😂😂😂

  • @ibumajaamillah3195
    @ibumajaamillah3195 2 месяца назад +2

    Hivi Candy anavyotembega hachoki maan ana safari nyingi jmn 😂😂😂😂😂

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 месяца назад +4

    Wanaoamini kuwa chiko atazungumza ukweIi wote wanipe Iike🎉🎉

  • @AishaNasra
    @AishaNasra 2 месяца назад +21

    Mimi ngoja niangalie kwanza sitoombba likes

  • @Zuhurajuma-hq3xd
    @Zuhurajuma-hq3xd Месяц назад

    mashalah filam nzur kwl mungu awazidishie kila la kher mana nimafunzo manzuri niwataki kaz njema ❤❤

  • @rosemarymbiru3187
    @rosemarymbiru3187 2 месяца назад +3

    Candy kuzurura tuu kuoga haaaa 😂

  • @user-vk1wb3fg1n
    @user-vk1wb3fg1n 2 месяца назад +10

    Hatimae na mimi nimewahi leo kutoka Kenya

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 2 месяца назад +6

    Candy njoo Gulf kunakufaa Kwa tibwili lako 🤣

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад

      Apambane na waiguru sio?😂

    • @suzan2929
      @suzan2929 Месяц назад +1

      ​@@aishaomar2287candy anaweza piga wainguru 😂😂😂😂😂

  • @user-bg8qi9cx9w
    @user-bg8qi9cx9w 2 месяца назад +12

    Kenti hajui kuomba msama

  • @TimotheoNdonde
    @TimotheoNdonde 2 месяца назад +13

    Leo nimewahi sijacherew Ata like 5 tu

  • @maestrobindaniel7040
    @maestrobindaniel7040 2 месяца назад +123

    Kama na wewe upo miongoni mwa watu wanao subiri house girl ya 48 tujuwane hapa kwa like

  • @WardaSalumu-xl8dz
    @WardaSalumu-xl8dz 2 месяца назад +17

    Leo nimewai atimae wakwanz from tz

  • @TuponileIsaya-hz2lc
    @TuponileIsaya-hz2lc Месяц назад

    Daaa yani hii movie imenifunza sanaa kuishi na wanadamu katika ulimwengu huu

  • @PhilbertNdayisaba-b4o
    @PhilbertNdayisaba-b4o 2 месяца назад +3

    Leo nimewah jamani namimi naomba Na mimi like hata5

  • @sushmita-p1v
    @sushmita-p1v 2 месяца назад +3

    jamn candy anakosa hat mda wa kubadilisha nguo 😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад

      Kwa kweli 😂😂😂 kumbe kuoga na kubadili nguo hua ni raha na amani ambavyo amevikosa yeye maskin

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 2 месяца назад +3

    Kendi umejingingiza mtegoni ndege mjaja hunaswa natundu bovu looo😂😂😂😂

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s 2 месяца назад +4

    Kazi nzuri Mr. Kai

  • @HappyJohn-zw5lu
    @HappyJohn-zw5lu 2 месяца назад +3

    Ahsante Chiko fanya kwel ❤

  • @peterfrankmhina
    @peterfrankmhina Месяц назад +1

    Yaan nawajutia mesozi na cendy na madevu io hati ya nyumba. Nyie reteni viranga 2. Kwenye mari za watu ir muone maziwa ya bata yaani yatawatokea puani. 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 2 месяца назад +4

    Hongera sana busati tv❤❤❤❤❤

  • @Aishabeiby
    @Aishabeiby 2 месяца назад +2

    Jamani disko limeingia hero ep 49 isichelewe twataka kujua what next leo m nampongeza chiko 🎉🎉

  • @user-ee9fi4ui6i
    @user-ee9fi4ui6i 2 месяца назад +27

    Nimewah likes zangu hata kumi

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад

    Wow yaani hii movie inanibamba wenzangu wuee Siri ndo zinatobolewa😂😂😂 I really love it❤❤❤

  • @user-bw3uv9jn9x
    @user-bw3uv9jn9x 2 месяца назад +8

    Aya kimemramba cendy anauza nyumba yake mwenyewe

  • @IsraelngoroKone-tm7te
    @IsraelngoroKone-tm7te 2 месяца назад +9

    Wa 7 kutoka Gauteng Johannesburg ❤❤

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 2 месяца назад +6

    Nakupa siku moja lkn asilambe Asali

  • @victorminshee8943
    @victorminshee8943 15 дней назад

    I interested this movie good job amigos

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 2 месяца назад +1

    Movie inapo elekea nikivumbi inazidi kuatamu nakwa mbia . Kay! mwambie mutalaka wako kabadilishenguo maana gahuni arovatoka wikihire mpakasasa linaomba musamaa.

  • @ElizabethOsimba-x6u
    @ElizabethOsimba-x6u 2 месяца назад +3

    Cendy una mihangaiko,,na hebu oga. Umekaa na hiyo guo xna😮

  • @user-tn5vb1zj4h
    @user-tn5vb1zj4h 2 месяца назад +2

    Aki hii movie hata nikiona post saa nane usiku na watch inanibamba ile.mbaya Mkenya apa naiangalua kutoka Saudi Arabia niko na hamu nayo Eps 49 maandalizi ya haraka jamani... kama unafill kama mm angusha dole

  • @KoshiFatuma
    @KoshiFatuma 2 месяца назад +5

    Iko sawa paka sasa❤❤❤❤❤

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 2 месяца назад +1

    Candy kimekuramba ss wadau nipe likes

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 месяца назад

      Acha tu wajina kimemramba si kipole pole

  • @tausifautini407
    @tausifautini407 2 месяца назад +2

    Yan mie nalia Kila siku iseje ikaisha Bora iwe kama isidingo😂😂😂😂

  • @VeroMaketu
    @VeroMaketu Месяц назад

    Yaani humu ndani kuna kila funzo la maisha yote tuliyo nayo kweli mnajua kuigiza,mwenyez Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏🙏

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela 2 месяца назад +3

    Nawapenda sana nawakubali sana ❤❤❤

  • @RosekinanuGitari
    @RosekinanuGitari 2 месяца назад +2

    Hogera kai kazi nzuri umefanya kwa baba

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 2 месяца назад +13

    Ndo kama leo nimewah lakn like pia nitanyimwa jamn nipen like hat 5 tyu 🙏🙏

  • @glorryandrea6326
    @glorryandrea6326 Месяц назад +1

    Ongeren jomon next plz

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 2 месяца назад

    Chiko leo kafanya la mana bg up chiko kwa kutaka kulea mimba ya mkongoo😅😅

  • @JeshiSaidoh
    @JeshiSaidoh 2 месяца назад +6

    Leo pia Mimi nimewai sasa naombeni like zenu ata kumi tu

  • @ElizabethDennis-qv9nx
    @ElizabethDennis-qv9nx Месяц назад +1

    Daaah ila candy nyie daaaah 🥹 kwani zuu kapata mimba saa ngapi na sijui jmn

  • @DanielOnyango-d8x
    @DanielOnyango-d8x Месяц назад

    Zuuh Yuko wapi jameni nimempenda Sana sijui nimnyang'anye kutoka kwa Kai ❤❤❤

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 2 месяца назад +5

    Imeisha patamu weee candy atajua ajui 😂😂😂😂

  • @minaelsamson5352
    @minaelsamson5352 Месяц назад

    Candy nakupenda buree... yaani unavaa uhusika haswaaa....maua yakoo mmmwaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 2 месяца назад +6

    Na mimi leo nmewah jomn 😢😢

  • @HappyHiker-nz9vg
    @HappyHiker-nz9vg 2 месяца назад +3

    Kendiii😂😂😂 Kula chuma icho 😅

  • @brendanawanga
    @brendanawanga 2 месяца назад +4

    Candy ww ulisha pomoka haujui hujui😢😢😢

  • @user-up7uo8dw7o
    @user-up7uo8dw7o 2 месяца назад +1

    😂😂😂 cand kajua kunichekesh anaomba msamaha kwa mihasira😮😮😅😅

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg 2 месяца назад +2

    Waoooo mambo moto candy jamani😂😂 nampenda

  • @Braveone94
    @Braveone94 2 месяца назад +3

    Cardy nae habadilishi nguo aiseee 😅😅😅😅😅😅

    • @NancySaha-kd2ov
      @NancySaha-kd2ov 2 месяца назад +3

      😂😂😂😂😂 umeoona pia nawe

    • @Braveone94
      @Braveone94 2 месяца назад +1

      @@NancySaha-kd2ov ee kila day nguo moja

  • @ElizabethFrank-r4n
    @ElizabethFrank-r4n Месяц назад +1

    Ukweli uxemwe yan kivuluge wangu anachangamsha xana❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      🙏🙏🙏❤❤

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v 2 месяца назад +5

    Sijachelewa sana 🔥

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Месяц назад

    Fire kajikaanga mwenyewe candy yaogelee sasa😢team zuuu eti tusilambe nin😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉shosh taniuwa

  • @GodyGody-gl8sq
    @GodyGody-gl8sq 2 месяца назад +29

    Mimi wa tatu like 10 zinatosha

  • @HAMIAKAJIBA
    @HAMIAKAJIBA 2 месяца назад +1

    Jaman movie tamu kinomanoma❤❤

  • @HappyJumwa-h9e
    @HappyJumwa-h9e Месяц назад

    Mambo n🔥🔥🔥🔥akky candy ww ..chiko amefuata mzgo wkeee hlfu ndo n wawiliii😅😅😅

  • @user-fh3vp2mw3z
    @user-fh3vp2mw3z Месяц назад

    Jamani movie tamu hii kila kukicha munaongeza ma udambwiudambwi movie inanoga candy safari hii ifike mwisho acha kumtesa zuuh tunaomba wale raha na kayi

  • @JaffarIliasy
    @JaffarIliasy 2 месяца назад +1

    Daa mazosi ana jisauti bya utasema kumeza chura😂😂😂

  • @LuluFwalo
    @LuluFwalo 2 месяца назад

    Wapi chikoooo shida umeyatimba 😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AdamMwava-z3g
    @AdamMwava-z3g 2 месяца назад +1

    Mama shida kazaa na tabu😅😅😅😂😂😂 daaa

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 2 месяца назад

      Na mashaka yake kabisa😅😊

  • @LuvunoMarere
    @LuvunoMarere Месяц назад

    Hii movie nayo yaenda xnah mpk yaboesha kila siku kuna jipya hebu fanyeni iishe we candy ndo wafanya movie iende sanah hebu thulia

  • @MashakaFedrik
    @MashakaFedrik 10 дней назад

    aisee nawakubali hamchereweshi mzigo endeleeni kutupatia utam

  • @AliomarJuma-c7j
    @AliomarJuma-c7j Месяц назад

    Kibri kibaya sna na mzazi at bakia kuwa mzazi