Aloooh Mambo ni Moto mependa utambulisho wa chiko🎉🎉🎉🎉 hii movie inamafunzo meng na inachanganua ubongoo kinyamaaah❤❤❤ candy mama drama😂😂😂 nakupenda zangu❤❤❤
Mjifunze sio kuomba like kaa migwagwadu vile movie inafundisha namna ya kuheshimu watu wanaotuzunguka katika jamii na kumtegemea mungu kwenye kila jambo unalofanya mpende anayekupenda asiyekupenda acha nae❤❤❤❤
Cend unafurai kupewa nyumba kisais ww p moja na masuzii na madefu itakula kwenu muda sio mrefu nyumba ya kapuni hyooo utakuja tolewa na watu wa kapuni nitachekaaaa mm san hikiwa kwa mama ushakutia mavi mbona nakuone huruma san cend punguza mdomo
Kai kai kai nimekuita mala 3 hiii move nakuona kabisa unaenda kuimaliza baba tunataka kuona mpk wajukuu zako yani ww umiza kichwa panga panguwa hiii move twende nayo mpk kwenye uchaguzi ili uchaguz ukiwa una pita si tupo bizeeee na zuuuu uku
Yaan nawajutia mesozi na cendy na madevu io hati ya nyumba. Nyie reteni viranga 2. Kwenye mari za watu ir muone maziwa ya bata yaani yatawatokea puani. 😂😂😂😂😂😂😂
Aki hii movie hata nikiona post saa nane usiku na watch inanibamba ile.mbaya Mkenya apa naiangalua kutoka Saudi Arabia niko na hamu nayo Eps 49 maandalizi ya haraka jamani... kama unafill kama mm angusha dole
Jamani movie tamu hii kila kukicha munaongeza ma udambwiudambwi movie inanoga candy safari hii ifike mwisho acha kumtesa zuuh tunaomba wale raha na kayi
Mi siwaelew nyie mnaoomba like siyo vzr toeni maoni ya move jmn , Ila Candi punguza jazba na ujishushe Kwa mama🎉🎉🎉
Apo sawa
Hakika kazi yenu ni nzuri sana inafundisha na kueleimish ,na kutupunguza stress hongelen sana
Aloooh Mambo ni Moto mependa utambulisho wa chiko🎉🎉🎉🎉 hii movie inamafunzo meng na inachanganua ubongoo kinyamaaah❤❤❤ candy mama drama😂😂😂 nakupenda zangu❤❤❤
Wahisha mambo vzr sana muwe mnatoa vipande viwili kwa siku mazeee
Napenda hi movie sana tangu mwanzo natoka kenya mnipe like ata 10 nitashukuru😊
nyinyi mbwaaaa wa Kenya KAZI yenu kuomba like TU kuigiza aaaaah
Duuh na me Leo nimewahi mapema❤❤❤❤ like zangu bs
Leo wa Saba jaman naomben like na mm😅😅😅
Wasaba na mda huu 😂
Baba nakupendea bure ❤❤❤halafu kilamba anakuanga soo funny 😂😂😂😂😂😂😂
Jaman niliwamis jaman mnajitaid kuwaisha maan tunakuw na hamu ya kuona house gelr
nimechelewa but naomben like zenu watu wangu🎉🎉🎉
Namim nipo jamn nausubiria kwa hamu yani naombeni like na mim jamn
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tunasubiri chiko aseme amekujia nani😅
Me sijawah kupewa like jamna..nipen na mm nione nizann
Nawapenda sote mnajitahid xn 🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Candy kajichanganya kajikoroga kajisokota mwenyewe😂😂😂😂😂😂😂jameni raha hio🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman zuu wew ni mnyakyusa au nambie bac mamy
🎉 nyakyusaaaaaa
Ebu twambieni toka umeanza kuangalia hii series umejifunza nini sio kila siku kuomba like tu
Swali zuri sanaa mtu anaomba like kama chakula
Mimi nimejifunza kwamba asiefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu candy anafunzwa na ulimwengu
Kujifunza heshima kwa watu wakubwa
📌📌
Ndo mimi uyo❤😂
Leo ikoje mbona isielewi
Leo hiko smart bytheway kila siku inakuwa sawa kwangu na enjoy
Kendy badilisha nguo bana,kuzunguka tuu kuoga aaaah😅😅
Sahz kijasho chapwita😂😂😂😏
Mjifunze sio kuomba like kaa migwagwadu vile movie inafundisha namna ya kuheshimu watu wanaotuzunguka katika jamii na kumtegemea mungu kwenye kila jambo unalofanya mpende anayekupenda asiyekupenda acha nae❤❤❤❤
Nakuanga mkono mbna watu washindilie likes tu
Wow vzr
mimi hapa nikujifunza tu jinzi maisha inavyo kuwa, asante nawapenda sana❤❤❤❤
Umeongea ukweli
@@PaulOjiambo-p1f Aya tunakupenda ph🥰
Bibiyake zuu na mpenda atali🎉🎉🎉❤❤
Cend unafurai kupewa nyumba kisais ww p moja na masuzii na madefu itakula kwenu muda sio mrefu nyumba ya kapuni hyooo utakuja tolewa na watu wa kapuni nitachekaaaa mm san hikiwa kwa mama ushakutia mavi mbona nakuone huruma san cend punguza mdomo
Hakika unejua kuona mbele😁😁😁😁😁
Umeona mbali
Point sana
Sanaa naisubir😂😂
@@AminaPtg yaan best yangu w acha tu
jamani mimihapa upande wa candy😂 mtake msitake miminipo😅😅❤
Ukiona hivyo ndo nyote mnaotesa watoto wa watu
Iyojuuyako ww na uyo candywako
Or😢😮😢
Kendy aki bibi zuu marahii atakugeuza kuku wakafara wewe unatak kumuuwa mjuku wake jmn 🙃
😂😂😂😂😂
Naipenda hii movie naombeni like zang na M Mm
NIMEFIKA MAPEMAA FROM 254😊
Baba Kay ni handsome shikamoo baba❤❤❤❤
Umeona mzuri Sana sijui halipokua kijana
😅😅😅😂
Nawapenda kazi iendele kutoka omani
Hii mvi mwanamke mzuri ni mke wa kilamba ni kwa kweli chukua maua yako
Kwel yaan handsome boy ❤❤
😂😂😂Ila watu bna hamtki kulala kwn 😢😢leo niwa mwisho
Jamani mbona candy ni munyama hanataka kuuwa zuuh jamani bibi zuuh uko wap jamani 🎉🎉🎉
Waoooo nakubali
Jmn haki baba kaii. Myaka yanyuma jmn alikuwa moto. Mwanaume na nusu
Leo sijachelewa aisee... nala chakula cha usiku nikifwatilia jamani.. nipeni like tano tu
Yan hapo kwa chiko nimeludiia malambili mbili jamn 😂😂😂
Jamani mi nimekua wa mwisho naombeni ata like 5 tu toka nianze hiiii move sjawai pewa like ata moja🎉
Jaman Candy kiguu na njia kuoga aah😂😂😂
🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉 hongereni nwapenda sana kazi nzuri mnnibambna kinoma
Karibu sana chiko 🎉🎉tusaidie umuchukue candy 😂😂😂😂
😂😂😂😂 atafanya la maana sana
@@GreatestSwordsman basi🤣🤣🤣🤣
Kila siku like tubjama. Tower maoni jaman kwan lek mnazilipelekaga wapi na mimi niombe
Kai kai kai nimekuita mala 3 hiii move nakuona kabisa unaenda kuimaliza baba tunataka kuona mpk wajukuu zako yani ww umiza kichwa panga panguwa hiii move twende nayo mpk kwenye uchaguzi ili uchaguz ukiwa una pita si tupo bizeeee na zuuuu uku
😅😂😂😂😂😂hutaki kupiga kura 😂😂😂😂
Hivi Candy anavyotembega hachoki maan ana safari nyingi jmn 😂😂😂😂😂
Tena anazulula kweli kweli 😂
Wanaoamini kuwa chiko atazungumza ukweIi wote wanipe Iike🎉🎉
Mimi ngoja niangalie kwanza sitoombba likes
😂😂😂
mashalah filam nzur kwl mungu awazidishie kila la kher mana nimafunzo manzuri niwataki kaz njema ❤❤
Candy kuzurura tuu kuoga haaaa 😂
Hatimae na mimi nimewahi leo kutoka Kenya
Candy njoo Gulf kunakufaa Kwa tibwili lako 🤣
Apambane na waiguru sio?😂
@@aishaomar2287candy anaweza piga wainguru 😂😂😂😂😂
Kenti hajui kuomba msama
Leo nimewahi sijacherew Ata like 5 tu
Kama na wewe upo miongoni mwa watu wanao subiri house girl ya 48 tujuwane hapa kwa like
48 ipi sasa
@@esterkimalio8846jmni😅alitaka kusema 49
😂😂😂😂😂@@esterkimalio8846
I wonder 😅😅@@esterkimalio8846
Mm nlkua nasubiri kwa udine na uvumba
Leo nimewai atimae wakwanz from tz
Daaa yani hii movie imenifunza sanaa kuishi na wanadamu katika ulimwengu huu
Leo nimewah jamani namimi naomba Na mimi like hata5
jamn candy anakosa hat mda wa kubadilisha nguo 😂😂😂
Kwa kweli 😂😂😂 kumbe kuoga na kubadili nguo hua ni raha na amani ambavyo amevikosa yeye maskin
Kendi umejingingiza mtegoni ndege mjaja hunaswa natundu bovu looo😂😂😂😂
Kazi nzuri Mr. Kai
Ahsante Chiko fanya kwel ❤
Yaan nawajutia mesozi na cendy na madevu io hati ya nyumba. Nyie reteni viranga 2. Kwenye mari za watu ir muone maziwa ya bata yaani yatawatokea puani. 😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sana busati tv❤❤❤❤❤
Jamani disko limeingia hero ep 49 isichelewe twataka kujua what next leo m nampongeza chiko 🎉🎉
Nimewah likes zangu hata kumi
Wow yaani hii movie inanibamba wenzangu wuee Siri ndo zinatobolewa😂😂😂 I really love it❤❤❤
Aya kimemramba cendy anauza nyumba yake mwenyewe
Wa 7 kutoka Gauteng Johannesburg ❤❤
Nakupa siku moja lkn asilambe Asali
I interested this movie good job amigos
Movie inapo elekea nikivumbi inazidi kuatamu nakwa mbia . Kay! mwambie mutalaka wako kabadilishenguo maana gahuni arovatoka wikihire mpakasasa linaomba musamaa.
Kishamvuruga
Cendy una mihangaiko,,na hebu oga. Umekaa na hiyo guo xna😮
Aki hii movie hata nikiona post saa nane usiku na watch inanibamba ile.mbaya Mkenya apa naiangalua kutoka Saudi Arabia niko na hamu nayo Eps 49 maandalizi ya haraka jamani... kama unafill kama mm angusha dole
Iko sawa paka sasa❤❤❤❤❤
Candy kimekuramba ss wadau nipe likes
Acha tu wajina kimemramba si kipole pole
Yan mie nalia Kila siku iseje ikaisha Bora iwe kama isidingo😂😂😂😂
Yaani humu ndani kuna kila funzo la maisha yote tuliyo nayo kweli mnajua kuigiza,mwenyez Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏🙏
Nawapenda sana nawakubali sana ❤❤❤
Hogera kai kazi nzuri umefanya kwa baba
Ndo kama leo nimewah lakn like pia nitanyimwa jamn nipen like hat 5 tyu 🙏🙏
Na mimi leo nimewahi nipeni like hata 8
😃😃😁
49 twaisubiri jmn
Ongeren jomon next plz
Chiko leo kafanya la mana bg up chiko kwa kutaka kulea mimba ya mkongoo😅😅
Leo pia Mimi nimewai sasa naombeni like zenu ata kumi tu
Kuomba like tu kuoga aka
Daaah ila candy nyie daaaah 🥹 kwani zuu kapata mimba saa ngapi na sijui jmn
Zuuh Yuko wapi jameni nimempenda Sana sijui nimnyang'anye kutoka kwa Kai ❤❤❤
Imeisha patamu weee candy atajua ajui 😂😂😂😂
Candy nakupenda buree... yaani unavaa uhusika haswaaa....maua yakoo mmmwaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Na mimi leo nmewah jomn 😢😢
Kendiii😂😂😂 Kula chuma icho 😅
Candy ww ulisha pomoka haujui hujui😢😢😢
😂😂😂 cand kajua kunichekesh anaomba msamaha kwa mihasira😮😮😅😅
Waoooo mambo moto candy jamani😂😂 nampenda
Cardy nae habadilishi nguo aiseee 😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 umeoona pia nawe
@@NancySaha-kd2ov ee kila day nguo moja
Ukweli uxemwe yan kivuluge wangu anachangamsha xana❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
🙏🙏🙏❤❤
Sijachelewa sana 🔥
Fire kajikaanga mwenyewe candy yaogelee sasa😢team zuuu eti tusilambe nin😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉shosh taniuwa
Mimi wa tatu like 10 zinatosha
Jaman movie tamu kinomanoma❤❤
Mambo n🔥🔥🔥🔥akky candy ww ..chiko amefuata mzgo wkeee hlfu ndo n wawiliii😅😅😅
Jamani movie tamu hii kila kukicha munaongeza ma udambwiudambwi movie inanoga candy safari hii ifike mwisho acha kumtesa zuuh tunaomba wale raha na kayi
Daa mazosi ana jisauti bya utasema kumeza chura😂😂😂
Wapi chikoooo shida umeyatimba 😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mama shida kazaa na tabu😅😅😅😂😂😂 daaa
Na mashaka yake kabisa😅😊
Hii movie nayo yaenda xnah mpk yaboesha kila siku kuna jipya hebu fanyeni iishe we candy ndo wafanya movie iende sanah hebu thulia
aisee nawakubali hamchereweshi mzigo endeleeni kutupatia utam
Kibri kibaya sna na mzazi at bakia kuwa mzazi