PETE | Episode 9 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • #clamvevo #kimvevo #bairam

Комментарии • 164

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 3 дня назад +14

    Kimu tunakuomba husichereweshe sana maan tupo tunakusapoti

  • @fortunegerishom1827
    @fortunegerishom1827 3 дня назад +10

    Wa mwisho jameni nipeeni like zangu ama nilie🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AyubunicoMwitumba
    @AyubunicoMwitumba 3 дня назад +11

    Leo wakwaza mm like zangu

  • @BintmohamedNasiri
    @BintmohamedNasiri 3 дня назад +2

    Hongera kwa Kim kwa kutuongezea mda😂😂😂😂😂 kama leo umeinjoi kama mm ebu tuonane🎉🎉🎉🎉

  • @LizzyBeb-m6s
    @LizzyBeb-m6s 3 дня назад +5

    Kazi nzuri,,,,,lakn Leo Ni kunoma Hadi ameongeza mins❤❤❤❤❤❤❤

  • @israelhomeyesilike394
    @israelhomeyesilike394 3 дня назад +4

    Mnanifurahisha sana majini... ya elf 2000

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 3 дня назад +10

    Aloooo tumewai uku leo naomben likes zangu😂😂😂❤❤

  • @user-bm1oe9lh1m
    @user-bm1oe9lh1m 3 дня назад +5

    Mashallah asubhi itakua njema inshallah ❤❤

  • @user-ot6nx9eq5o
    @user-ot6nx9eq5o 3 дня назад +3

    Nawependa kinoma sana❤❤

  • @Mosetieunice
    @Mosetieunice 3 дня назад +5

    Niko ndani kutoka kenya 🇰🇪

  • @harrynamungu632
    @harrynamungu632 3 дня назад +13

    Wakwanza like za Kim jamani

  • @bigstonemcb9171
    @bigstonemcb9171 3 дня назад +9

    Leo mi namba 1 kutoka 🇲🇿

  • @Mummywamulumewe
    @Mummywamulumewe 3 дня назад +4

    Woooo🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 3 дня назад +3

    Majini wa 2000😂😂😂🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @amoswafula4095
    @amoswafula4095 3 дня назад +5

    Wabi like zangu

  • @joyceomar857
    @joyceomar857 3 дня назад +2

    Good movie am from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 3 дня назад +2

    One love ❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 3 дня назад +2

    😂😂😂😂 vzuliii sanaaa 😂😂😂kim maombi yetuu umeyafanyiaaa kaziiii😂😂😂 congratulations ❤❤❤❤

  • @AlbertSafari-c6g
    @AlbertSafari-c6g 3 дня назад +7

    Mkenya wa kwanza nipeni thumb up🎉 zenu wa Bongo

  • @AdamOman-n2s
    @AdamOman-n2s 3 дня назад +2

    Namm leo nipe zangu jamani🎉🎉

  • @AliRahma-tw7cz
    @AliRahma-tw7cz 3 дня назад +2

    Mwaichelewesha mno nanyi

  • @YusuphMgulumbi-yg6jy
    @YusuphMgulumbi-yg6jy 3 дня назад +2

    Mm ni wa 18 jmn like zangu 🎉

  • @PapianusmichaelPancras
    @PapianusmichaelPancras 3 дня назад +5

    Nakukbar kim

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 3 дня назад +1

    Sipendi hivi vicheko😮 Hadi havileti shangwe binadsi

  • @AmosNyongesa-ze1mg
    @AmosNyongesa-ze1mg 3 дня назад +1

    Asante sana kwa kutuongexea mda Kim napenda sana

  • @pascalselemani8132
    @pascalselemani8132 3 дня назад +1

    ❤powa sana natoka drc congo

  • @JohnDee-q3d
    @JohnDee-q3d 3 дня назад +1

    Haya majini nayo bhana,
    ila Kim we ni mtekelezaji tumekuomba uongeze dakika na umefanya, ahsante🙏👍🤣🤣🤣🇿🇲🇿🇲🇹🇿🇹🇿🇿🇲🇿🇲

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 3 дня назад +1

    Yani hi nitamu nyie asikwambie mtu🎉❤❤

  • @fatihachingaja632
    @fatihachingaja632 3 дня назад +5

    Majini wana makao kwenye nyumba za watu

  • @ramasalim5712
    @ramasalim5712 3 дня назад +2

    Paka lini tena mana wanachelewesha

  • @rabiachabity770
    @rabiachabity770 3 дня назад +1

    Parabéns kim 🎉🎉🎉 minutos são poucos 😢

  • @NaimaYahya-b9u
    @NaimaYahya-b9u 2 дня назад +1

    Chezea jini saula wewe🤭🤭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️💯

  • @MwinjaBatumikeliliane-y2c
    @MwinjaBatumikeliliane-y2c 3 дня назад +4

    Wa kwanza leo munipe like zangu ❤

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 дня назад +1

    Kim ongeza muda aki😂😂😂 umetupa muda kidogo

  • @ZainabuMathias-x6p
    @ZainabuMathias-x6p 3 дня назад +1

    Good job 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Kahdijaali-ug8ky
    @Kahdijaali-ug8ky 3 дня назад +1

    Kimuuuh ipo vizur sana hii mov

  • @eliphasethobias1133
    @eliphasethobias1133 3 дня назад +1

    Asante sana Kim leo umeongeza dakika Japo kidogo

  • @user-iz6ur4js1y
    @user-iz6ur4js1y 3 дня назад +1

    Mnachelewa kutoa jomn watu tunasubir sanaa

  • @FelisterSimon-r3o
    @FelisterSimon-r3o 3 дня назад +2

    Nilikua naisubr kwaham

  • @salimkharisa8186
    @salimkharisa8186 3 дня назад +1

    Natoka jini mmoja nimpelekee moto😂😂

  • @AggOfficial-ib9ow
    @AggOfficial-ib9ow 2 дня назад

    👏👏👏 safi sana hawa umeplay vzr sana party yako

  • @HafsaAmiri-tr9yb
    @HafsaAmiri-tr9yb 3 дня назад +1

    Tupe raha jamani ❤❤❤

  • @RehemaMkwepu
    @RehemaMkwepu 3 дня назад +3

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 3 дня назад +1

    Nzuri sana ❤

  • @MwanaidiShabani-m1y
    @MwanaidiShabani-m1y 3 дня назад +1

    Uyu jini anacheka sana anaboa kwan ndo majin huwa wanafanya hivi mbona haina uhalisia sasa

  • @tsumamruu9213
    @tsumamruu9213 3 дня назад +3

    💙

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 3 дня назад +1

    Majini kama wanadamu kuishi kwa majumba za watu

  • @shabaniomary4875
    @shabaniomary4875 2 дня назад

    ❤❤❤❤❤❤❤upendo kama dunia ilinyo ubwa na mungu

  • @SaumuWanje
    @SaumuWanje 3 дня назад

    Hii kazi ninoma sana dada kim nakupenda bure❤❤❤

  • @JasminMuhq
    @JasminMuhq 3 дня назад +2

    Tamuu

  • @DanielCosme-u4r
    @DanielCosme-u4r 3 дня назад +2

    Leo mimi namba 5000 kutoka🇲🇿🇲🇿

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 3 дня назад +1

    Next ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 2 дня назад

    Kazi nzuri Kim Big up sana

  • @alitante4279
    @alitante4279 3 дня назад +1

    Me naona selew naona majini ndo wanafanana selew wepi adui wengi wem

  • @MartinMwakalobo
    @MartinMwakalobo 3 дня назад +1

    Kumbe unajua tunavyo lalamika dk ni ndogo hii umeongeza dk ila lakini bado kidogo zingefika hata 20 hivi

  • @valuboy4335
    @valuboy4335 3 дня назад +4

    Naomba subscribe pia mm ❤❤❤❤🎉

  • @MelinaMerlins
    @MelinaMerlins 3 дня назад +1

    Kazi nzuri sana Kim, Much love from kenya ❤❤❤

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 2 дня назад

    Saiv kdg umejitahidi kwenye dakika hongera kim kwa kusikiliza maahabiki zako❤🎉

  • @user-gn6zc8wy7e
    @user-gn6zc8wy7e 2 дня назад

    Makini wanajua kuchamba hawaaa😂😂😂😂 alooooooo majibu ya 2000

  • @jenniferzakaria3884
    @jenniferzakaria3884 3 дня назад +4

    Hy majini yanajua kuchambana🤣🤣🤣🤣,naitwa saula nimefundishwa kusaula mioyo ya watu🤣🤣🤣

  • @HlmS-y5l
    @HlmS-y5l 3 дня назад +1

    Mmechemka Cna hakuna majini wa hivyo kitu kama hamkijui achani Kim safari hii umechemka

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 дня назад

    Safi sana ila mlikata kabisa kuongezea mdaa

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 3 дня назад +1

    Hongereni sana ila musicheleweshe jamanii

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 3 дня назад +1

    Kiukwet kimu unazingua hapo unanguvu zann ss huoni baya mbele

  • @hidayignas
    @hidayignas 3 дня назад +1

    Kim zipo nyuma Yako kwa sapoti ila jitahdi kuongeza dakika

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 дня назад +1

    Unachelewa sana

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 3 дня назад +1

    Kim samahani tunaomba ucwe unachelewesha hadi tunasahau tulipo ishia..

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 3 дня назад +1

    Mimi nachukia anavocheka

  • @SalamaTaura
    @SalamaTaura 3 дня назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 3 дня назад +2

    Mada Pete haina uhalisia.. hii n vita ya majini

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j 3 дня назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @josephinajoachim3552
    @josephinajoachim3552 3 дня назад

    Mko vzr jitahid tu kutuwahishia

  • @NasraFahmy-j9y
    @NasraFahmy-j9y 3 дня назад +1

    Wa 8 leo mzenj 🎉🎉🎉🎉😂😂😂

  • @JabiriMiraji
    @JabiriMiraji 3 дня назад

    Umewahi kuona wapi zaidi ya Tz tu Majini yanbishana 😅😅😅😅😅😅😅😅😅!!!!!!!!!

  • @Laclochedormedia
    @Laclochedormedia 2 дня назад

    Congo daima na kumis Kim

  • @ErnaclassicNjunguWakudimba
    @ErnaclassicNjunguWakudimba 3 дня назад +3

    Like

  • @NnindeIssa-zo6wy
    @NnindeIssa-zo6wy 3 дня назад +1

    Kim❤

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm 2 дня назад

    Kun mwanamke humu namfananish km mwanamke mmoja alikuwa anamlilia San kicheche kimapenz cjui Niko sahh ama laaa

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 3 дня назад

    Kazi mzuri sana ila unachelewa jamani aya tusalimiane team kim team furus team WiFi team you tube team hammam team kazi kazi 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @NesthKey
    @NesthKey 3 дня назад +1

    Sahivi huku Mozambique tunajifunza kwongea Swahili,kwasababu ni lugha International

  • @PatriciaMshanga
    @PatriciaMshanga 3 дня назад

    Majini kweli

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 3 дня назад +1

    Mmmh kiboko

  • @KaroLeonadi
    @KaroLeonadi День назад

    Abari naitwa carlos naitaji kufanya kz naww kupitia upande wa dvd mm uwa natoa bongo movie karia koo upande wa cd

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 3 дня назад

    Kuchekat kuonga haaa 🎉🎉🎉🎉😂😂😂🎉

  • @user-wi5pv5sf6v
    @user-wi5pv5sf6v 2 дня назад

    Du! Biti kicheche Anaingiza

  • @AthoniBoysBand
    @AthoniBoysBand 3 дня назад +2

    Bona mkatoa download????sawa

  • @MwanashaSuleimanTabwara
    @MwanashaSuleimanTabwara 2 дня назад

    Tungependa kuona kim mshindi

  • @MalingaMaboko
    @MalingaMaboko 2 дня назад

    Pole sana kimu

  • @mwanaakidaomar4663
    @mwanaakidaomar4663 3 дня назад

    Jini wa ngaronaro😂😂😂

  • @MwajabuMtitu-co6wx
    @MwajabuMtitu-co6wx 4 часа назад

    Mbona inarudiwa ileile

  • @OmanIbra-l5x
    @OmanIbra-l5x 3 дня назад +1

    Mbona munaweka fup sana

  • @ZinzaNgeleja
    @ZinzaNgeleja 3 дня назад +1

    Kimu mama dk jmn

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 3 дня назад

    Kovie haija uhalisia wa majini yani shida tupu😂😂

  • @user-on7in9tz6e
    @user-on7in9tz6e 2 дня назад

    Nice one

  • @dinah9303
    @dinah9303 2 дня назад

    Ogeza muda jamani

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 дня назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @sofiaabdallah8741
    @sofiaabdallah8741 День назад

    Mbona hii tushaiona tayar 😢😢

  • @HajaraRukundo
    @HajaraRukundo 3 дня назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @VeronicaNywage
    @VeronicaNywage 3 дня назад

    Majin wana mazabau duuuu

  • @user-zu8yr7mh4h
    @user-zu8yr7mh4h 2 дня назад

    Nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya kim❤❤