HOUSE GIRL EP 46 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 666

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz 3 месяца назад +165

    Team kai na team Zuu jmni😢😢😢nipeni likes mna tangu nifatilie hkna likes napta😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +13

    Mashallah Zuu una huruma...busati tv shukran sana kwa mafunzo humu🎉🎉🎉 Mungu Awabariki nyote mloshiriki❤

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 3 месяца назад +70

    Wanaomkubaliii zuuu na tabia yakeee ngongaa like hapa ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂 jmn wanaume wenzanguuu tuombeee mungu atupatieee mwanamkee Kam zuuu

  • @MaryYusuphu
    @MaryYusuphu 3 месяца назад +117

    Nimekuwa wa kwanza tunao furah kumuona zuu na kai tuweke like

  • @RazikeRara
    @RazikeRara 3 месяца назад +35

    Nawapenda sana kai na zuu aky mmependezana kwel nasubiri harusi

  • @mansoursilima6620
    @mansoursilima6620 3 месяца назад +192

    Dah pole sana zatiti😢😢kwa changamoto za kwenye ndoaa yako... Nani anasema km zatiti mwisho ata enjoy ktk maisha yake naomba like 20 tu❤

    • @MwanashaAsha
      @MwanashaAsha 3 месяца назад +6

      Mim apa naona kipata bwana mwengn na kuzaa na huyo chiko akabak solemba

    • @MillyMjeni
      @MillyMjeni 3 месяца назад +1

      Bibi ako Faithfull but mume anadhani anazaa ..😂😂😂haya ndo wanawake wanateseka kwa ndoa

    • @SHANIAlly-xr7ic
      @SHANIAlly-xr7ic 3 месяца назад

      Maisha meme zuu na Kai muende e❤

    • @VgmukomboziOficiel
      @VgmukomboziOficiel 3 месяца назад

      Apa Niko naweye gongwa liké jamani namuoneya uruma

    • @Teresia-bg9dt
      @Teresia-bg9dt 3 месяца назад

      Kenya tunahitaji maombi 😢😢💔😭

  • @IsmaelOkongo13
    @IsmaelOkongo13 3 месяца назад +22

    Kazi nzuri kaka pull up your socks Kai hata Dada Zuuu Ako poa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 wanakupenda sana 🙏🙏🙏

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад

      Wakenya hatiombe like ila twapata acha nkupe yangu mana umesuggest❤

  • @emmajr7170
    @emmajr7170 3 месяца назад +34

    Sema nini zuu anamaneno mazurii kama unamkubarii zuu gonga like

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 3 месяца назад +8

    Zuuuu umecheza vizuri umeongea point kwa sasa unaweza kuwa mke bola wakai mushauli wake muzuri jmn nimependa 😅😅❤❤❤❤❤

  • @tawhidatawhida7344
    @tawhidatawhida7344 3 месяца назад +29

    Yte tisa nauliza tu umbo la zuu mmelion ukiacha shep umbo zima❤❤❤

    • @Mathi653
      @Mathi653 2 месяца назад

      Zuu anaumbo flan hiv

  • @glorykadzo
    @glorykadzo 3 месяца назад +20

    Mawifi nyinyi mbinguni hamuendi😂😂😂 mungu niepushe mimi nisiwe wifi mbaya kwa wake wa kaka zangu

  • @LighySteven-gd8wo
    @LighySteven-gd8wo 3 месяца назад +13

    Jamn wanaosubr ndoa ya kay na zuu gonga like hapaaaa.....nmekuwa wa mwisho naombeniii like zangu❤much love from kenya

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +8

    Pole sana mke wa ciku zuu maamuzi mazuri lakini hati zimeondoka na Candy zuu yuko sahihi kabisa nawapenda zuu na kay mufunge ndowa❤bibi aace mufunge ndoa

  • @buru1235
    @buru1235 3 месяца назад +8

    Wow am proud of you Zuu and Kai together Mashallah by Kwa candy n lzm kai ataweka Sahihi Ndio nyumba itoke Wallai

    • @DechaQueen
      @DechaQueen 2 месяца назад

      waaaaa apna isikuwe ivyo bn

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +15

    Aya ten wale mawifi zake zuuu ❤❤ kutoka 🇴🇲🇴🇲 tumejipagaje na harusi

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 3 месяца назад +29

    Wao kumekucha jamani na dada zuuu waaah kai umepata mke bora sasa wapi harusi ya kai na zuuu❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @MymunaMuna-qn5lo
      @MymunaMuna-qn5lo 3 месяца назад

      vijora vipo hapa

    • @MariamRiziki-o8x
      @MariamRiziki-o8x 3 месяца назад +1

      @@MymunaMuna-qn5lo itabid tushone sure maana waaah raha is iyo kifani jamani

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 3 месяца назад +36

    Zuu kaongea bonge la maarifa maana likend linatamaa sana mpaka linanikela mdada mzur roho mbaya

    • @pilicharo4123
      @pilicharo4123 3 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus 3 месяца назад

      Msisahau nyumba kashaipiga Bei
      Atakuwa kama nyani mchanga anachekea pori linaungua hajui atalala wapi

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 2 месяца назад +2

    Mawifi hata harufu ya pepo itakuwa mbali na nyie 😢😢msikilize mwenzio mfarji hata kidg daah hongeren sana kwa move nzur ina mafunzo mazur❤❤❤🎉🎉tunajifunz ving

  • @RonnyKimathi-k6d
    @RonnyKimathi-k6d 3 месяца назад +103

    Wanao fuatilia kutoka 🇰🇪 tujuane kwa like

  • @AbusheheSalehe
    @AbusheheSalehe 3 месяца назад +58

    Zuuh kunapointy kaiongea hapo nimemkubali kama tukopa1 gonga like apooo!!!

  • @SamiraseifAlfan-ph4ke
    @SamiraseifAlfan-ph4ke 3 месяца назад +11

    Hii kesi ya ngedere kapelekewa nyani . Wif mwenyewe kita mkuta kitu sijapenda kbxa

  • @IddyMohamedi-w7i
    @IddyMohamedi-w7i 3 месяца назад +4

    Bongo movie inafika kimataifa kwa mara ya kwanz season nzuriii sanaaa heb tujipongeze jamn

  • @QueenChill
    @QueenChill 3 месяца назад +11

    Tem zuu jmn tujuane naomben like zangu chap ❤️❤️

  • @SabrinaSabrina-ji1cb
    @SabrinaSabrina-ji1cb 3 месяца назад +26

    Jmn tim zuuu tujuane na tuliokuwa tukisubir kwa ham

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo 3 месяца назад +30

    Mh jamn hii muvi daah naipenda balaa🎉 eb kam upo na mimi bega kwa bega gonga like please

  • @BechoubechouBechou
    @BechoubechouBechou 3 месяца назад +10

    Weee kazi nzuli Sana Kai unaweza kwel

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s 3 месяца назад +18

    Team strong pitieni huku Kwa Kai na zuu 😂😂😂❤❤❤❤

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 3 месяца назад +49

    Yani ugombane na mume wako uwende kwa wifi toka lini wifi anakuwa upande wa mke wa kaka yake

    • @FaridaFocus
      @FaridaFocus 3 месяца назад +3

      😂Kwanza Kwa kicheko kile tu duuh

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 3 месяца назад +5

      Heri mke mwenza baadhi mnaweza mkaelewana kuliko mawifi .Mawifi ndio no 1 kuharibu ndoa za kaka zao

    • @Roby-nw8sz
      @Roby-nw8sz 3 месяца назад +3

      Ni kwel maaan ni wachonganishi hatariiiiiiii

    • @jessalmas2122
      @jessalmas2122 3 месяца назад +1

      kwa taratibu za kiafrika ziko ukigombana mme kimbilia upande wa mme

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 3 месяца назад

      @@jessalmas2122 ila sio wifi ajawai kumpenda mke wakaka yake atasiku mmoja bora kwa wazazi wake sio mawifi

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 3 месяца назад +9

    Naomben namm like naon zinafaida coz wat wamekua wakiomba San nipen namm bc😊

  • @Iteritekamimi-yk8nx
    @Iteritekamimi-yk8nx 3 месяца назад +6

    Kai ule mupuzi muaciye muanze maisha mapya vyenye zuuuuu alikwambia wallah siosiri nawapenda❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥💯💯💯

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 3 месяца назад +10

    Ongeren sana Kwa Kaz nzur❤❤❤🎉🎉🎉

  • @AishaAlmas-cm5bf
    @AishaAlmas-cm5bf 3 месяца назад +7

    Kila mtu anaomba like,
    Jamani namie naombaaaaa

  • @zainabuomary9085
    @zainabuomary9085 3 месяца назад +10

    Dada ake chiko mwache atambe wakati chiko ndio hawezi kumpa mwanamke mimba😢mimba ya candy ni ya papaa

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 3 месяца назад +2

    😢😢😢😢pole sana my dear 😘 Zatiti kwa nachungu juu ya machungu ushauri wangu kwako dear endelea kusimama kwenye ndoa yako zidisha subra uta yaona matunda yake love 💕 you 😘 my dear 😘 za titi Dua 🤲🏼 zangu kwako dear

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад +6

    Hongera sana busati tv,🇰🇪🇰🇪Tunawapenda sana❤❤❤❤

  • @fatmahaji7639
    @fatmahaji7639 3 месяца назад +7

    Zuu pambe ❤❤❤❤

  • @lulumhapa
    @lulumhapa 3 месяца назад +9

    Kazi nzuri sana jamani busati TV 🎉❤.. zu na kai nawapenda sana

  • @REHEMANCHALIKA
    @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад +1

    Zatiti amecheza part yake vzur amejua kulia 🎉🎉🎉🎉from kenya natundraaa dadangu❤

  • @JaneroseWarren
    @JaneroseWarren 3 месяца назад +3

    ❤ bibi zuh 😂😂😂 she always play her part 😅😅

  • @manirambonajeanne3876
    @manirambonajeanne3876 3 месяца назад +7

    Nani ameona kama huyu bibi wazuu niyule bibi wa wahile movi yajia kama umeona hilo gonga like

  • @ShamteTindwa
    @ShamteTindwa 3 месяца назад +18

    move inamafunzo san hongereni

  • @DjFg-ue3pg
    @DjFg-ue3pg 3 месяца назад +10

    Nawacheki nikiwa saudi congratulations kwa kaz nzuri

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 3 месяца назад +37

    Woooow nimekua wa kwanza kama unaamini kua mama candy atamsamee mwanawe gonga like apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FailaQueen-qm4dt
    @FailaQueen-qm4dt 3 месяца назад +25

    ❤❤❤🎉🎉 munipe like na mimi from usa 🇺🇸

  • @SalumVullu
    @SalumVullu 3 месяца назад +2

    Mm naomba cand asi fanikiwe kuuza nyumba

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 3 месяца назад +2

    Najifunza mengi kwa hii movie❤❤❤nawapenda sana mnaoigiza 😊😊harusi ya kai na zuu ndo naisubiria kwa hamu🎉🎉🎉

  • @UpendoNdosi
    @UpendoNdosi 3 месяца назад +2

    Waooo kai na zuu mmependeza sana

  • @SarahEnock-kq6ys
    @SarahEnock-kq6ys 3 месяца назад +3

    Duuuuu hii movie nihatali sana naona mnashelewesha epsod 47 yaani nimeipenda sana Kai penda sana ww

  • @AliHaruni-q7n
    @AliHaruni-q7n 3 месяца назад +1

    Natokea Kenya hii movie imeweza mashaallah ✌️✌️👍👍

  • @RebecaAseri
    @RebecaAseri 3 месяца назад +6

    𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐒𝐚𝐧𝐚 🎉🎉

  • @NganziAthumani
    @NganziAthumani 3 месяца назад +3

    Jaman me nikama zuu nipen laik zangu

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 3 месяца назад +11

    Wakwaza jamani lak kwa zuuu🎉🎉

  • @MariamMchomvu-q3s
    @MariamMchomvu-q3s 3 месяца назад +1

    Hapo zuu dada yang umeongea point anayesema zuu na kai waondoke wakaanze maisha mapya ganga like hapa❤❤

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 3 месяца назад +7

    Da Masozi,, Candy ungemvisha dhera😅😅

  • @عباسعلي-خ3ص
    @عباسعلي-خ3ص 3 месяца назад +2

    Hongera sana zuu mwanamke uliyefundwa kafundika nawapenda sana team nzima ❤❤❤ from 🇰🇪

  • @UmuKuluthumu
    @UmuKuluthumu 3 месяца назад +1

    Mama mjengo zuu

  • @shadyazitueni5338
    @shadyazitueni5338 3 месяца назад +1

    Duuuh wif kam huyo kiboko kwakwel umepelek shida zak zikatatuliwe ndo wakandamizwa 😅 wif shikamooo😅😂😂

  • @mwanaidabeid8720
    @mwanaidabeid8720 3 месяца назад

    Kazi zuri jamani nawapenda sana

  • @REHEMANCHALIKA
    @REHEMANCHALIKA 2 месяца назад +1

    Jaman bibi na mshono wake wa kitenge 🎉🎉🎉🎉njoon muone bibi karud msichana😂😂😂

  • @JACKSONMbena-bo3rj
    @JACKSONMbena-bo3rj 3 месяца назад +1

    Hii story mushafile imekuwa ndefu sana

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      Hii ni tamthilia kuna movie zipo kwenye Channel yetu zina episode 3 mpaka 4 unaweza kutazama kama upendi kutazama tamthilia

  • @MwakaMwadzombo
    @MwakaMwadzombo 3 месяца назад +2

    Ñawapenda sana team zuu na team Kai hongerani sawa ❤❤❤❤❤❤🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SaquinaMinrage-m4o
    @SaquinaMinrage-m4o 3 месяца назад

    Jamni hi movie naipenda sana ❤

  • @marymusyoki-j9y
    @marymusyoki-j9y 3 месяца назад +2

    naona mambo yanaenda sawa kabisa movie inazindi kuwa tamu kila kukicha

  • @janemarymilemberutahoile7210
    @janemarymilemberutahoile7210 3 месяца назад +1

    Nakupenda bure Unavyompenda Kai kwamba upo tayari kuanza maisha mapya❤❤❤

  • @fey-ge9pm
    @fey-ge9pm 3 месяца назад +20

    wa kwanza leo naitaji like zote ata mnichambe poa kwani kuna shido

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 3 месяца назад +4

    Jamani mawifi mnanini jamani hamuogopi kuporomosha maneno du 😢😢😢😢

  • @aminajuma-rw2rt
    @aminajuma-rw2rt 3 месяца назад +3

    Hivi jaman kwa sasa Kuna mwanamke anae weza mwambia mwanaume hivyo kama zuh ety tuache Mali ili tianze upya duh mie mwenzie na zuh❤❤

    • @Shinyg3l
      @Shinyg3l 3 месяца назад

      Yeah mm hapa😅👌

  • @Nailah736
    @Nailah736 3 месяца назад +3

    Wangapi wanakubaliana na hayo mafunzo ❤❤🎉🎉🎉 asanteni sana wahusika kwa jumla🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @CatherineNyanchama-uj8tn
    @CatherineNyanchama-uj8tn 3 месяца назад +3

    Weeeeeeeee mm hapa nachelewa lakini si Sana

  • @AishaSheha-o1i
    @AishaSheha-o1i 3 месяца назад

    Big up dazuu hakika wendomkebora wakaka kai damni wedada nakupnda bure

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 3 месяца назад +2

    Wewee ❤❤🎉😂🎉zuu atamtoa roho kai kwamahaba jaman ❤❤❤❤❤

  • @evarkhanaya7891
    @evarkhanaya7891 3 месяца назад +12

    My favorite actors ❤❤❤❤🙏🙏

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 3 месяца назад +6

    Mawifi hao hawajawahi muacha mtu salama ila daima linawakuta jambo mwisho wa ubaya aibu

  • @SaumuRuwa-t3h
    @SaumuRuwa-t3h 3 месяца назад +7

    Tayari jamani njooni tutizame pamoja

  • @shillahnafula4207
    @shillahnafula4207 3 месяца назад +23

    Musijiombee likes tu muniombee na mimi pia

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 3 месяца назад +10

    Nawapongeza mno ila naomba mturushie EP.3 Kwa siku mana Huwa inaishia pazur aaah! ❤❤❤❤🎉

  • @ShedrackDastani
    @ShedrackDastani 2 месяца назад +1

    Bonge nae anajikuta mtuuuuuuuuuu anaacha kumhurumia mwanamke mwenzie anaanza kumzihakiiiiiiii duh!

  • @neybadada3044
    @neybadada3044 3 месяца назад +6

    Nmefurah jmn kai na zuu ❤❤❤❤

  • @Aishamzamilu
    @Aishamzamilu 3 месяца назад +4

    Bibi ndo ananifurahisha 😂

  • @jumamchuzi3651
    @jumamchuzi3651 29 дней назад

    Hongereni san wote mloshiliki KKT hii move hakika mmefanya vizur

  • @JoyceMali-qn3mb
    @JoyceMali-qn3mb 3 месяца назад +11

    Wakwanza kutoka Kenya naombeni lake

  • @ErastoNgerangera
    @ErastoNgerangera 3 месяца назад +10

    Wakwanza uyu ap

  • @sawaAsd-cp3dr
    @sawaAsd-cp3dr 3 месяца назад +2

    Daaa zuuuu🎉🎉🎉🎉 unajuua Sana kushauri kweli baba weeee🎉🎉🎉🎉🎉sanaaa Ila kai weee kazi ipo kwa candy hapo sasa nicheke mm😂😂😂😂😂😂😂

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n 3 месяца назад +5

    Wanayo furaha kuona zuu tena na kai tujuane jameni

  • @MamaAmadi
    @MamaAmadi 3 месяца назад +5

    Kendi badilisha nguo Sina tatu nguo hiyo hiyo🤣🤣🤣

    • @LaizerChionda-de6ul
      @LaizerChionda-de6ul 3 месяца назад

      Huo muda anao Sasa 😂😂😂 wakati kavurugwaaaaaa

  • @ZayAwazi
    @ZayAwazi 3 месяца назад +13

    Uwoyoooooooooo sinkawai leo nimekuwa wa 26

  • @JaneyMaricky
    @JaneyMaricky 3 месяца назад

    Kazi nzurii

  • @DelphinaJeremiah-ii1rv
    @DelphinaJeremiah-ii1rv 3 месяца назад +4

    Kai kai kai nimekuita mara tatu
    Zuu ashasema utumie busara sasa wew katumie hasira😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

    • @DechaQueen
      @DechaQueen 2 месяца назад

      pamoja kai kai kai zuu

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад +16

    Leo 75 naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @RehemaKazi
    @RehemaKazi 3 месяца назад

    Namkubali zuuu sana na kai❤❤❤❤❤❤

  • @jennipherjovinatha
    @jennipherjovinatha 2 месяца назад +1

    ❤ couple ya zuu na kai

  • @besuramahenge6032
    @besuramahenge6032 3 месяца назад +41

    Maajabu nimekuwa wa 115 nimewah leo like moja kwangu jaman

    • @MozaRished
      @MozaRished 3 месяца назад

      Kwani ukiwa wa 115 unakuwa umewahi😂

  • @SaudaNyagawa
    @SaudaNyagawa 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @rishedynassor6170
    @rishedynassor6170 3 месяца назад

    Kaz nzur

  • @MwaliSuleih
    @MwaliSuleih 2 месяца назад

    Haya karib mama mjengo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤ Asante xan wana busati jamn tunafunzwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 makubwa

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 3 месяца назад +12

    Nafikiria nimewahi kumbe kuna wenye wamerauka

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 3 месяца назад +2

    EEeeh wifi si shoga weee zatit unaenda kumwambia wifi yko matatizo yko wooiiiiiiii kwa apo umefel shoga daaah😅😅😅wif km wifiiiii

  • @ZuhuraMalagio
    @ZuhuraMalagio 3 месяца назад

    Pole sana zatiti izo ndiozo changamoto za ndoa pole my yatapita

  • @DoriceDominic
    @DoriceDominic 3 месяца назад

    Najifunza mengi sana

  • @Fatumahassan-h5m
    @Fatumahassan-h5m 3 месяца назад

    Zuu nakupenda sana dadaangu hujambo lakini ❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪