Pole sana mke wa ciku zuu maamuzi mazuri lakini hati zimeondoka na Candy zuu yuko sahihi kabisa nawapenda zuu na kay mufunge ndowa❤bibi aace mufunge ndoa
Mawifi hata harufu ya pepo itakuwa mbali na nyie 😢😢msikilize mwenzio mfarji hata kidg daah hongeren sana kwa move nzur ina mafunzo mazur❤❤❤🎉🎉tunajifunz ving
😢😢😢😢pole sana my dear 😘 Zatiti kwa nachungu juu ya machungu ushauri wangu kwako dear endelea kusimama kwenye ndoa yako zidisha subra uta yaona matunda yake love 💕 you 😘 my dear 😘 za titi Dua 🤲🏼 zangu kwako dear
Team kai na team Zuu jmni😢😢😢nipeni likes mna tangu nifatilie hkna likes napta😂
🎉🎉🎉🎉
Mashallah Zuu una huruma...busati tv shukran sana kwa mafunzo humu🎉🎉🎉 Mungu Awabariki nyote mloshiriki❤
Wanaomkubaliii zuuu na tabia yakeee ngongaa like hapa ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂 jmn wanaume wenzanguuu tuombeee mungu atupatieee mwanamkee Kam zuuu
😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😂 mtapata tu
😂😂😂😂😂
😂😂😂Nacheka 😂😂Niko hapa
Nimekuwa wa kwanza tunao furah kumuona zuu na kai tuweke like
Nawapenda sana kai na zuu aky mmependezana kwel nasubiri harusi
Dah pole sana zatiti😢😢kwa changamoto za kwenye ndoaa yako... Nani anasema km zatiti mwisho ata enjoy ktk maisha yake naomba like 20 tu❤
Mim apa naona kipata bwana mwengn na kuzaa na huyo chiko akabak solemba
Bibi ako Faithfull but mume anadhani anazaa ..😂😂😂haya ndo wanawake wanateseka kwa ndoa
Maisha meme zuu na Kai muende e❤
Apa Niko naweye gongwa liké jamani namuoneya uruma
Kenya tunahitaji maombi 😢😢💔😭
Kazi nzuri kaka pull up your socks Kai hata Dada Zuuu Ako poa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪 wanakupenda sana 🙏🙏🙏
Wakenya hatiombe like ila twapata acha nkupe yangu mana umesuggest❤
Sema nini zuu anamaneno mazurii kama unamkubarii zuu gonga like
namkubal san zuu
Zuuuu umecheza vizuri umeongea point kwa sasa unaweza kuwa mke bola wakai mushauli wake muzuri jmn nimependa 😅😅❤❤❤❤❤
Yte tisa nauliza tu umbo la zuu mmelion ukiacha shep umbo zima❤❤❤
Zuu anaumbo flan hiv
Mawifi nyinyi mbinguni hamuendi😂😂😂 mungu niepushe mimi nisiwe wifi mbaya kwa wake wa kaka zangu
Ishaallah
Jamn wanaosubr ndoa ya kay na zuu gonga like hapaaaa.....nmekuwa wa mwisho naombeniii like zangu❤much love from kenya
Pole sana mke wa ciku zuu maamuzi mazuri lakini hati zimeondoka na Candy zuu yuko sahihi kabisa nawapenda zuu na kay mufunge ndowa❤bibi aace mufunge ndoa
Wow am proud of you Zuu and Kai together Mashallah by Kwa candy n lzm kai ataweka Sahihi Ndio nyumba itoke Wallai
waaaaa apna isikuwe ivyo bn
Aya ten wale mawifi zake zuuu ❤❤ kutoka 🇴🇲🇴🇲 tumejipagaje na harusi
Wao kumekucha jamani na dada zuuu waaah kai umepata mke bora sasa wapi harusi ya kai na zuuu❤❤❤❤❤❤❤❤
vijora vipo hapa
@@MymunaMuna-qn5lo itabid tushone sure maana waaah raha is iyo kifani jamani
Zuu kaongea bonge la maarifa maana likend linatamaa sana mpaka linanikela mdada mzur roho mbaya
😂😂😂😂
Msisahau nyumba kashaipiga Bei
Atakuwa kama nyani mchanga anachekea pori linaungua hajui atalala wapi
Mawifi hata harufu ya pepo itakuwa mbali na nyie 😢😢msikilize mwenzio mfarji hata kidg daah hongeren sana kwa move nzur ina mafunzo mazur❤❤❤🎉🎉tunajifunz ving
Wanao fuatilia kutoka 🇰🇪 tujuane kwa like
Kenya 🇰🇪 hoyeeee
Uko wapi nikukujie😂😂😂
hoyeee
Present 😂😂
Napenda sana❤❤
Zuuh kunapointy kaiongea hapo nimemkubali kama tukopa1 gonga like apooo!!!
Hii kesi ya ngedere kapelekewa nyani . Wif mwenyewe kita mkuta kitu sijapenda kbxa
Bongo movie inafika kimataifa kwa mara ya kwanz season nzuriii sanaaa heb tujipongeze jamn
Tem zuu jmn tujuane naomben like zangu chap ❤️❤️
Jmn tim zuuu tujuane na tuliokuwa tukisubir kwa ham
Mh jamn hii muvi daah naipenda balaa🎉 eb kam upo na mimi bega kwa bega gonga like please
Weee kazi nzuli Sana Kai unaweza kwel
Team strong pitieni huku Kwa Kai na zuu 😂😂😂❤❤❤❤
Yani ugombane na mume wako uwende kwa wifi toka lini wifi anakuwa upande wa mke wa kaka yake
😂Kwanza Kwa kicheko kile tu duuh
Heri mke mwenza baadhi mnaweza mkaelewana kuliko mawifi .Mawifi ndio no 1 kuharibu ndoa za kaka zao
Ni kwel maaan ni wachonganishi hatariiiiiiii
kwa taratibu za kiafrika ziko ukigombana mme kimbilia upande wa mme
@@jessalmas2122 ila sio wifi ajawai kumpenda mke wakaka yake atasiku mmoja bora kwa wazazi wake sio mawifi
Naomben namm like naon zinafaida coz wat wamekua wakiomba San nipen namm bc😊
Kai ule mupuzi muaciye muanze maisha mapya vyenye zuuuuu alikwambia wallah siosiri nawapenda❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥💯💯💯
Ongeren sana Kwa Kaz nzur❤❤❤🎉🎉🎉
Kila mtu anaomba like,
Jamani namie naombaaaaa
Dada ake chiko mwache atambe wakati chiko ndio hawezi kumpa mwanamke mimba😢mimba ya candy ni ya papaa
😢😢😢😢pole sana my dear 😘 Zatiti kwa nachungu juu ya machungu ushauri wangu kwako dear endelea kusimama kwenye ndoa yako zidisha subra uta yaona matunda yake love 💕 you 😘 my dear 😘 za titi Dua 🤲🏼 zangu kwako dear
Hongera sana busati tv,🇰🇪🇰🇪Tunawapenda sana❤❤❤❤
Zuu pambe ❤❤❤❤
Kazi nzuri sana jamani busati TV 🎉❤.. zu na kai nawapenda sana
Zatiti amecheza part yake vzur amejua kulia 🎉🎉🎉🎉from kenya natundraaa dadangu❤
❤ bibi zuh 😂😂😂 she always play her part 😅😅
Nani ameona kama huyu bibi wazuu niyule bibi wa wahile movi yajia kama umeona hilo gonga like
move inamafunzo san hongereni
Nawacheki nikiwa saudi congratulations kwa kaz nzuri
Saudi ya kigoma
Woooow nimekua wa kwanza kama unaamini kua mama candy atamsamee mwanawe gonga like apa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉 munipe like na mimi from usa 🇺🇸
Mm naomba cand asi fanikiwe kuuza nyumba
Najifunza mengi kwa hii movie❤❤❤nawapenda sana mnaoigiza 😊😊harusi ya kai na zuu ndo naisubiria kwa hamu🎉🎉🎉
Waooo kai na zuu mmependeza sana
Duuuuu hii movie nihatali sana naona mnashelewesha epsod 47 yaani nimeipenda sana Kai penda sana ww
Natokea Kenya hii movie imeweza mashaallah ✌️✌️👍👍
𝐊𝐚𝐳𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐒𝐚𝐧𝐚 🎉🎉
Jaman me nikama zuu nipen laik zangu
Wakwaza jamani lak kwa zuuu🎉🎉
Hapo zuu dada yang umeongea point anayesema zuu na kai waondoke wakaanze maisha mapya ganga like hapa❤❤
Da Masozi,, Candy ungemvisha dhera😅😅
Hongera sana zuu mwanamke uliyefundwa kafundika nawapenda sana team nzima ❤❤❤ from 🇰🇪
Mama mjengo zuu
Duuuh wif kam huyo kiboko kwakwel umepelek shida zak zikatatuliwe ndo wakandamizwa 😅 wif shikamooo😅😂😂
Kazi zuri jamani nawapenda sana
Jaman bibi na mshono wake wa kitenge 🎉🎉🎉🎉njoon muone bibi karud msichana😂😂😂
Hii story mushafile imekuwa ndefu sana
Hii ni tamthilia kuna movie zipo kwenye Channel yetu zina episode 3 mpaka 4 unaweza kutazama kama upendi kutazama tamthilia
Ñawapenda sana team zuu na team Kai hongerani sawa ❤❤❤❤❤❤🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamni hi movie naipenda sana ❤
naona mambo yanaenda sawa kabisa movie inazindi kuwa tamu kila kukicha
Nakupenda bure Unavyompenda Kai kwamba upo tayari kuanza maisha mapya❤❤❤
wa kwanza leo naitaji like zote ata mnichambe poa kwani kuna shido
Shidoo🎉
Jamani mawifi mnanini jamani hamuogopi kuporomosha maneno du 😢😢😢😢
Hivi jaman kwa sasa Kuna mwanamke anae weza mwambia mwanaume hivyo kama zuh ety tuache Mali ili tianze upya duh mie mwenzie na zuh❤❤
Yeah mm hapa😅👌
Wangapi wanakubaliana na hayo mafunzo ❤❤🎉🎉🎉 asanteni sana wahusika kwa jumla🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Weeeeeeeee mm hapa nachelewa lakini si Sana
Big up dazuu hakika wendomkebora wakaka kai damni wedada nakupnda bure
Wewee ❤❤🎉😂🎉zuu atamtoa roho kai kwamahaba jaman ❤❤❤❤❤
My favorite actors ❤❤❤❤🙏🙏
Mawifi hao hawajawahi muacha mtu salama ila daima linawakuta jambo mwisho wa ubaya aibu
Tayari jamani njooni tutizame pamoja
Musijiombee likes tu muniombee na mimi pia
Nawapongeza mno ila naomba mturushie EP.3 Kwa siku mana Huwa inaishia pazur aaah! ❤❤❤❤🎉
Bonge nae anajikuta mtuuuuuuuuuu anaacha kumhurumia mwanamke mwenzie anaanza kumzihakiiiiiiii duh!
Nmefurah jmn kai na zuu ❤❤❤❤
Bibi ndo ananifurahisha 😂
Hongereni san wote mloshiliki KKT hii move hakika mmefanya vizur
Wakwanza kutoka Kenya naombeni lake
Wakwanza uyu ap
Daaa zuuuu🎉🎉🎉🎉 unajuua Sana kushauri kweli baba weeee🎉🎉🎉🎉🎉sanaaa Ila kai weee kazi ipo kwa candy hapo sasa nicheke mm😂😂😂😂😂😂😂
Wanayo furaha kuona zuu tena na kai tujuane jameni
Kendi badilisha nguo Sina tatu nguo hiyo hiyo🤣🤣🤣
Huo muda anao Sasa 😂😂😂 wakati kavurugwaaaaaa
Uwoyoooooooooo sinkawai leo nimekuwa wa 26
Kazi nzurii
Kai kai kai nimekuita mara tatu
Zuu ashasema utumie busara sasa wew katumie hasira😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
pamoja kai kai kai zuu
Leo 75 naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Namkubali zuuu sana na kai❤❤❤❤❤❤
❤ couple ya zuu na kai
Maajabu nimekuwa wa 115 nimewah leo like moja kwangu jaman
Kwani ukiwa wa 115 unakuwa umewahi😂
❤❤❤❤❤❤
Kaz nzur
Haya karib mama mjengo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤ Asante xan wana busati jamn tunafunzwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 makubwa
Nafikiria nimewahi kumbe kuna wenye wamerauka
EEeeh wifi si shoga weee zatit unaenda kumwambia wifi yko matatizo yko wooiiiiiiii kwa apo umefel shoga daaah😅😅😅wif km wifiiiii
Pole sana zatiti izo ndiozo changamoto za ndoa pole my yatapita
Najifunza mengi sana
Zuu nakupenda sana dadaangu hujambo lakini ❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪