KISIMA _MADENI OFFICIAL VIDEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 222

  • @DionizMasanja-u4g
    @DionizMasanja-u4g 8 дней назад +1

    Kisima wewe ndo naye kujuwa mimi kwenye kucheza good kaka

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Месяц назад +1

    Daaah mzee huu wimbo uliamua kukaza kamba kweli Daaah 🎉

  • @immanuelcharles2699
    @immanuelcharles2699 9 месяцев назад +4

    Video kaliii
    sound kaliii
    Songi kaliii
    dancers wakaliii,
    big up sana Kisima💪

  • @PhilipoLubango-wv6qr
    @PhilipoLubango-wv6qr 9 месяцев назад +3

    Iko poa sana brother igawa nimechelewa kidogo lakn tuko pamoja brother 👍👍👍

  • @ramadhankwilasa2371
    @ramadhankwilasa2371 9 месяцев назад +7

    Jaman Bado sijachelewa huyu mwamba ukimtoa kaka bhudagala huyu ndo anatuata kwa sasa hajawahi kutufelisha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EmmanuelSahani-m6x
    @EmmanuelSahani-m6x 9 месяцев назад +2

    Hongera sana kisima utatuheshimisha wasukuma jamani hadi raha jamani najifunia kuwa msukuma maraha duh phyumili

  • @PhilipoSalumu-s4m
    @PhilipoSalumu-s4m 3 месяца назад +2

    Kaz nzur San br

  • @LameckWilliam-f8p
    @LameckWilliam-f8p 4 месяца назад +2

    The greatest singer in sukuma land tribe hatarii huyu mwamba🎉🎉🎉🎉

  • @JumamgemamatogoloMatogolo
    @JumamgemamatogoloMatogolo 4 месяца назад +3

    Moto 🔥🔥🔥 ni ule ule bado naiagalia mda baada ya mda

  • @SospeterGeorge
    @SospeterGeorge 9 месяцев назад +6

    Wew Ni hatarii Sana Ila show ya segese mwaka huu hatukufurahia vizuri kwa sababu ya mvuaa bado tunakutak Tena ujitahidi urudi kwa Mara ya pili

  • @Pastorymasanyiwa1998tz
    @Pastorymasanyiwa1998tz 9 месяцев назад +3

    Nakuelewa xana ❤❤❤❤ malonja no1 2 wew

  • @BoniphaceSaid
    @BoniphaceSaid 9 месяцев назад +2

    Shreck boy hapa nakukubali sana kaka naomba tufanye ngoma

  • @AloyceLuchagula
    @AloyceLuchagula 7 месяцев назад +2

    Kisima majabala kipaji chako ni nooma zaidi ya nyimbo za kisukuma ni level za mbali saana❤❤❤❤Mfalme

  • @petersegeja2066
    @petersegeja2066 9 месяцев назад +3

    Hongera sana Kaka, Kaz naijua vyema...
    Zambia one

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 9 месяцев назад +3

    Hongera Kwako Kisima Kumuweka Nagwa Humoo 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @MadaaSalala
    @MadaaSalala 6 месяцев назад +3

    Nakubal sana kaka kisima mm madaha salala

  • @benjaminmathayo1465
    @benjaminmathayo1465 9 месяцев назад +3

    Hiz leval za wa kubwa watoto wakae mbali ni unyama Sana huu ,,very talent

  • @DavidMakomba
    @DavidMakomba 9 месяцев назад +3

    Ngoma kali sana kissima Morogoro hii imepenya

  • @engjn9tului29
    @engjn9tului29 9 месяцев назад +3

    Hongera sana faza! Kipindi upo kwa kakangu matanga pale salunda umepambana sana

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul8300 9 месяцев назад +3

    Nipo tabora i seee kisima wewe ni jembe ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @jaymansennah3052
    @jaymansennah3052 9 месяцев назад +3

    Umetisha sana kisima

  • @MjarifuKasala-i3m
    @MjarifuKasala-i3m 2 месяца назад +2

    Nakubali Sana kisimaa

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 9 месяцев назад +14

    Wewe ni Noma Huna Mpinzani Jamaa Angu, Hongera sana ila Show ya Kagongwa ya MWAKA huu 2024 Ulipiga chini ya KIWANGO sana ndugu yetu Ulituachia njiani Tukabaki tunasubir NZUKI Kumbe ndo show imeisha Pamoja sana

  • @massanja221
    @massanja221 9 месяцев назад +3

    Nipende kumshukuru kutoka sumbawanga hadi mtc safar ilikuw ndefu sana video safi 🎉🎉🎉

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 9 месяцев назад +4

    Mim sijaelewa kisima ni dancer au maana amecheza kuliko madencer wote , daaaah ila huyu jamaa watasubir sana make juhudi yake ndio imemfikisha hapa Leo, vile vile makula njooo uchukue 🎉🎉🎉🎉 yako brother

  • @onestartz
    @onestartz 9 месяцев назад +2

    goma kali sana ujumbe umefika mkuu

  • @mbuziwakutaga
    @mbuziwakutaga 9 месяцев назад +3

    Hii skutegemea imekuw Kali sana❤❤❤

  • @JaphetSimon1
    @JaphetSimon1 9 месяцев назад +3

    Napenda Ubunifu wako kwenye Nyimbo zako #MtcTanzania 💪💪💪

  • @yohanapaul-d6c
    @yohanapaul-d6c 7 месяцев назад +1

    More bravo kaka hakika unawakilisha vyema sukuma land🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MalundeMalale
    @MalundeMalale 4 месяца назад +2

    Kisima nakupend sana jamaa nakuomba unitumie namba siyo kwaumbaya kwa unzur

  • @josestudio4534
    @josestudio4534 9 месяцев назад +3

    0 Exponent2 kazi imenyooooooooooooka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkemia fumejitahidi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GwisuJohn
    @GwisuJohn 9 месяцев назад +3

    KISIMA unajua kaka napenda sana nyimbo zako

  • @lucasbusagala4033
    @lucasbusagala4033 9 месяцев назад +2

    Hatarii sana ongw'a majabara❤

  • @BerthaAmos-x5j
    @BerthaAmos-x5j 2 месяца назад +1

    ❤❤ u are Songz jaman kisima. God be with you. By sukuma girl a.k.a pautha

  • @EdvinarElish
    @EdvinarElish 9 месяцев назад +3

    Woyoooo kisima is the best fire🔥🔥🔥💯

  • @DangerRecord.s
    @DangerRecord.s 9 месяцев назад +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉pokea maua yako master

  • @nguluwestudio5430
    @nguluwestudio5430 9 месяцев назад +3

    We mkali Sana ukazid kuleta vitu vipya mtu Kama nagwa amaby amefany Kaz nzing nawasanii wakubwa Leo yupo kweny asili umetosha 🎉🎉🎉🎉

  • @NTEMI_OBURUDANI
    @NTEMI_OBURUDANI 9 месяцев назад +4

    Nakubari sana brothe

  • @MaheriChristopher
    @MaheriChristopher 9 месяцев назад +1

    Nakubali mno kisima mzee na mfalme wa nyimbo za asili aisee

  • @NgunoSangano-w9s
    @NgunoSangano-w9s 2 месяца назад +2

    Best music🎶 kisima nice👏

  • @Lightness-r8r
    @Lightness-r8r 8 месяцев назад +2

    Kazi nzuri hongera kaka

  • @paulmabimbi2117
    @paulmabimbi2117 6 месяцев назад +1

    Bigup Sanaa kisima keep it up mwamba sanaa

  • @LucaskazarohoKazaroho
    @LucaskazarohoKazaroho 9 месяцев назад +1

    huyu jamaa anapambana sana kupeleka music wa kisukuma mbele hongera sana brother

  • @anzigarstudio2050
    @anzigarstudio2050 9 месяцев назад +6

    Kazi nzuri

  • @NdaturuSamwel
    @NdaturuSamwel 9 месяцев назад +1

    Uko sawa kijana kawimbo kanaujumbe mzuli sana

  • @PauloMashiku-l7y
    @PauloMashiku-l7y 5 месяцев назад +1

    Dj yupo vizuri kwa kushuti

  • @RackeR31
    @RackeR31 9 месяцев назад +4

    Director Umeua Bonge Moja la Video Aiseee Tupo Na Kisima Kitambo Kwanza Nimefrahi Kuona Karudi Home Tamaduni Yetu Asili (Makula)

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 9 месяцев назад +1

    Kazi nzur Sana kaka tutaendelea kuwa nawe

  • @msomezsaid
    @msomezsaid 4 месяца назад +2

    MTC, king wa new generation, mziki wa asili Tz💯💯

  • @Sweya.malando
    @Sweya.malando 9 месяцев назад +1

    Nizukwa mihayo ya Guku kilela mpena..KISHUSHU uladula ulayelela amabala🎉..Greatest singer in SUKUMA LAND..Dazunije Ngika 🙌🙌

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 9 месяцев назад +1

    Kongole kwako The greatest Singer mpe Hai Kanoute namkubali sana Jamaa angu,Namuona Nagwa kwenye Game

  • @JilyaMachiiya
    @JilyaMachiiya 6 месяцев назад +1

    Yup fresh jamaa sahv

  • @boniphacemalongo8080
    @boniphacemalongo8080 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤bro uje mwashilalage kuna maokoto yako kama yote tunakukubali San mashabiki zangu

  • @WinifridaMasunga
    @WinifridaMasunga 7 месяцев назад +1

    Mm winifrida nakukubali sana kisimaaaa One day gospel sure u will sing

  • @stanleydaud3003
    @stanleydaud3003 9 месяцев назад +3

    Nakukubali sana kisima

  • @domajosep3797
    @domajosep3797 9 месяцев назад +2

    Fabolous job👏👏👏

  • @PaulHamisi
    @PaulHamisi 9 месяцев назад +1

    Kaka nakubali sana nipo dar nakubali mwanetu sana

  • @littlebloom6910
    @littlebloom6910 9 месяцев назад +13

    Brother nimekuwa kwanza naomba like zangu. Nipo dar tuko pamoja kwa kila hatua kakaangu. Mabula mussa

    • @MR_RAMSATZ
      @MR_RAMSATZ 9 месяцев назад +3

      Kaka nipe like zangu

    • @NkalaliSaka
      @NkalaliSaka 9 месяцев назад

      Ww ndo meneja wa kisima

    • @littlebloom6910
      @littlebloom6910 8 месяцев назад

      ​@@NkalaliSakafikra zako ndo zimekwambia hivyo

  • @Alexmagile
    @Alexmagile 9 месяцев назад +1

    Hatali saana mungu akilinde kaka

  • @SabuMrama
    @SabuMrama 9 месяцев назад +1

    Fundi wamzik hongera sana kisima

  • @kablajoramndarahwajoram
    @kablajoramndarahwajoram 4 месяца назад +1

    Pokea mau yako brother🎉🎉🎉

  • @HassainAdam
    @HassainAdam 9 месяцев назад +1

    Sawa ndugu sanaaa ndani ya sanaaa

  • @malambimasele7415
    @malambimasele7415 8 месяцев назад +1

    Axante bro kwa kazi zur

  • @IsaacAbelBabyBoytz-yx2nc
    @IsaacAbelBabyBoytz-yx2nc 9 месяцев назад +1

    Kazi zuri sana kaka

  • @bonifacehamis4088
    @bonifacehamis4088 9 месяцев назад +3

    Man of the match #KISIMA MAJABALA 🔥🔥🔥

  • @NtemiGambishiMageme
    @NtemiGambishiMageme 9 месяцев назад +1

    Kali ya mwaka kaka dunia na maden

  • @DennisSamson-xo9gn
    @DennisSamson-xo9gn 8 месяцев назад +1

    gishushu hongera

  • @samwelsimon6842
    @samwelsimon6842 9 месяцев назад +1

    Kisima umejitahidi kucheza sana kwenye huu wimbo kuliko zote za nyuma

  • @Pascocharles1997
    @Pascocharles1997 9 месяцев назад +1

    Pamoja sana bro, mkal wao majabala 1 íyo iyo

  • @ndeteleleoizdory2292
    @ndeteleleoizdory2292 9 месяцев назад +2

    Makali wa mie🎉🎉

  • @EzekielBrasio
    @EzekielBrasio 9 месяцев назад +2

    Ehaha ho bhebhe uleiyeja bendela ya kisukuma nale dar laki adikono bhalejidegeleka nyimbo jako kila aho elibhita kisima ulena ney na kusah

  • @masukekihanda
    @masukekihanda 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa noma sana

  • @MwengeMaona
    @MwengeMaona 9 месяцев назад +2

    Ujawahi kuniangusha❤❤❤❤❤

  • @MsodokiSokoine-k2x
    @MsodokiSokoine-k2x 9 месяцев назад +1

    Sawa umetisha sana hahaha ❤❤❤

  • @makulaextra5084
    @makulaextra5084 3 месяца назад +2

    Kisima nimefurah kuona umemkumbuka mkemia

  • @JuliusNyanya-u6r
    @JuliusNyanya-u6r 8 месяцев назад +3

    Mfalme wa nyimbo za asili❤

  • @djfabbymnyama6454
    @djfabbymnyama6454 9 месяцев назад +1

    Pamoja sana brother am dj fabby senta maria

  • @IkambulaMtunga4670
    @IkambulaMtunga4670 9 месяцев назад +1

    Mwamba kabisa Wamoto balaaaaa juzi kati tulikua pamoja kwenye show yako pale Bhunanda nilifurahi mno

  • @HassanBakari-um7pt
    @HassanBakari-um7pt 9 месяцев назад +1

    Uko vizuri kaka

  • @jamesamos4597
    @jamesamos4597 9 месяцев назад +5

    Hahahahaa kwanza nicheke MtC Video xaf Pia ngoma nagwa nimemuona unatishaaa hongelea MtC nawkubar

  • @EdwinAlex-xn7ii
    @EdwinAlex-xn7ii 9 месяцев назад +1

    Ww ni noma pga kazi uje na Nzega tumemis show zako

  • @SilimaZelle-no7jr
    @SilimaZelle-no7jr 9 месяцев назад +4

    Ila weeee kaka kisima basi mungu akupe maisha marefu kwenye kazi Yako napenda Sana ngoma zako
    Tunasubili Dunia video yake😅😅😅😅

  • @TheresiaMasesa-t3p
    @TheresiaMasesa-t3p 3 месяца назад +2

    Bhagoshaaaah ❤❤❤❤😊

  • @Robertmanyilizu-j2q
    @Robertmanyilizu-j2q 5 месяцев назад +2

    Kisima nyakanazi unawashabiki lakin inapelekea kusema unajisikia sana unakuwa unapita tu

  • @TemboMabala
    @TemboMabala 7 месяцев назад +1

    Ksima mkali atulie tu❤

  • @MsobiAmos
    @MsobiAmos 9 месяцев назад +1

    Kisima Niko Zanzibar imepenya unatisha kaka Angu Mungu Akulinde Zaid unakitu Zaid

  • @williamujohn7704
    @williamujohn7704 8 месяцев назад +1

    Nakukubali sana mtu wa nyumbani kabila moja

  • @EzekielBrasio
    @EzekielBrasio 9 месяцев назад +2

    Kisima legoma lyawiza sana

  • @Greatest9141
    @Greatest9141 9 месяцев назад +2

    Unaupiga mwingi 💪👊

  • @Alexmagile
    @Alexmagile 9 месяцев назад +1

    Nakuunga mkono kaka kwa huo wimbo

  • @MahunguJulius
    @MahunguJulius 9 месяцев назад +1

    Uhakika mwanaume ❤

  • @abelmanyilizu9845
    @abelmanyilizu9845 9 месяцев назад +1

    U're the one of the best

  • @DottoSamwel-mm8ln
    @DottoSamwel-mm8ln 9 месяцев назад +1

    Goma Kali sana

  • @jamesdaniel5557
    @jamesdaniel5557 9 месяцев назад +1

    Broo umetishaa sanaa unakuja lini ten ipililo

  • @RichardWilliam-b1b
    @RichardWilliam-b1b 4 месяца назад +1

    Mwamba kwer kwer kisima

  • @MeliYaMaweBm
    @MeliYaMaweBm 9 месяцев назад +2

    Pamoja Sana Mkurugenzi 😂😂😂😂

  • @maigecharles301
    @maigecharles301 9 месяцев назад +2

    ewaaaaaa hiiiii niyamoto sana salute🫡🫡🫡🫡🫡

  • @KelvinKishiwa
    @KelvinKishiwa 9 месяцев назад +2

    Kishushu bariad ndani

  • @josephderefa470
    @josephderefa470 9 месяцев назад +1

    Nimeilewa kaka hapoa

  • @DjzombiMusictz-sb1xk
    @DjzombiMusictz-sb1xk 9 месяцев назад +1

    Hapa ni mwendo chombo juu ya chombo sasa mnasemajeee hebu twendeni Na hiii