Wewe ni Noma Huna Mpinzani Jamaa Angu, Hongera sana ila Show ya Kagongwa ya MWAKA huu 2024 Ulipiga chini ya KIWANGO sana ndugu yetu Ulituachia njiani Tukabaki tunasubir NZUKI Kumbe ndo show imeisha Pamoja sana
Mim sijaelewa kisima ni dancer au maana amecheza kuliko madencer wote , daaaah ila huyu jamaa watasubir sana make juhudi yake ndio imemfikisha hapa Leo, vile vile makula njooo uchukue 🎉🎉🎉🎉 yako brother
Kisima wewe ndo naye kujuwa mimi kwenye kucheza good kaka
Daaah mzee huu wimbo uliamua kukaza kamba kweli Daaah 🎉
Video kaliii
sound kaliii
Songi kaliii
dancers wakaliii,
big up sana Kisima💪
Iko poa sana brother igawa nimechelewa kidogo lakn tuko pamoja brother 👍👍👍
Jaman Bado sijachelewa huyu mwamba ukimtoa kaka bhudagala huyu ndo anatuata kwa sasa hajawahi kutufelisha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sana kisima utatuheshimisha wasukuma jamani hadi raha jamani najifunia kuwa msukuma maraha duh phyumili
Kaz nzur San br
The greatest singer in sukuma land tribe hatarii huyu mwamba🎉🎉🎉🎉
Moto 🔥🔥🔥 ni ule ule bado naiagalia mda baada ya mda
Wew Ni hatarii Sana Ila show ya segese mwaka huu hatukufurahia vizuri kwa sababu ya mvuaa bado tunakutak Tena ujitahidi urudi kwa Mara ya pili
Nakuelewa xana ❤❤❤❤ malonja no1 2 wew
Shreck boy hapa nakukubali sana kaka naomba tufanye ngoma
Kisima majabala kipaji chako ni nooma zaidi ya nyimbo za kisukuma ni level za mbali saana❤❤❤❤Mfalme
Hongera sana Kaka, Kaz naijua vyema...
Zambia one
Hongera Kwako Kisima Kumuweka Nagwa Humoo 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Nakubal sana kaka kisima mm madaha salala
Hiz leval za wa kubwa watoto wakae mbali ni unyama Sana huu ,,very talent
Ngoma kali sana kissima Morogoro hii imepenya
Hongera sana faza! Kipindi upo kwa kakangu matanga pale salunda umepambana sana
Nipo tabora i seee kisima wewe ni jembe ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Umetisha sana kisima
Nakubali Sana kisimaa
Wewe ni Noma Huna Mpinzani Jamaa Angu, Hongera sana ila Show ya Kagongwa ya MWAKA huu 2024 Ulipiga chini ya KIWANGO sana ndugu yetu Ulituachia njiani Tukabaki tunasubir NZUKI Kumbe ndo show imeisha Pamoja sana
Hiii Kali kisima🎉
Hongera Sana msanii wet uko vizur
Hatar sana majabara
🔥🔥🔥🔥🔥sana
Nipende kumshukuru kutoka sumbawanga hadi mtc safar ilikuw ndefu sana video safi 🎉🎉🎉
Mim sijaelewa kisima ni dancer au maana amecheza kuliko madencer wote , daaaah ila huyu jamaa watasubir sana make juhudi yake ndio imemfikisha hapa Leo, vile vile makula njooo uchukue 🎉🎉🎉🎉 yako brother
goma kali sana ujumbe umefika mkuu
Hii skutegemea imekuw Kali sana❤❤❤
Napenda Ubunifu wako kwenye Nyimbo zako #MtcTanzania 💪💪💪
More bravo kaka hakika unawakilisha vyema sukuma land🔥🔥🔥🔥🔥
Kisima nakupend sana jamaa nakuomba unitumie namba siyo kwaumbaya kwa unzur
0 Exponent2 kazi imenyooooooooooooka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkemia fumejitahidi 🎉🎉🎉🎉🎉
KISIMA unajua kaka napenda sana nyimbo zako
Hatarii sana ongw'a majabara❤
❤❤ u are Songz jaman kisima. God be with you. By sukuma girl a.k.a pautha
Woyoooo kisima is the best fire🔥🔥🔥💯
🎉🎉🎉🎉🎉🎉pokea maua yako master
We mkali Sana ukazid kuleta vitu vipya mtu Kama nagwa amaby amefany Kaz nzing nawasanii wakubwa Leo yupo kweny asili umetosha 🎉🎉🎉🎉
Nakubari sana brothe
Nakubali mno kisima mzee na mfalme wa nyimbo za asili aisee
Best music🎶 kisima nice👏
Kazi nzuri hongera kaka
Bigup Sanaa kisima keep it up mwamba sanaa
huyu jamaa anapambana sana kupeleka music wa kisukuma mbele hongera sana brother
Kazi nzuri
Uko sawa kijana kawimbo kanaujumbe mzuli sana
Dj yupo vizuri kwa kushuti
Director Umeua Bonge Moja la Video Aiseee Tupo Na Kisima Kitambo Kwanza Nimefrahi Kuona Karudi Home Tamaduni Yetu Asili (Makula)
Kazi nzur Sana kaka tutaendelea kuwa nawe
MTC, king wa new generation, mziki wa asili Tz💯💯
Nizukwa mihayo ya Guku kilela mpena..KISHUSHU uladula ulayelela amabala🎉..Greatest singer in SUKUMA LAND..Dazunije Ngika 🙌🙌
Kongole kwako The greatest Singer mpe Hai Kanoute namkubali sana Jamaa angu,Namuona Nagwa kwenye Game
Yup fresh jamaa sahv
❤❤❤bro uje mwashilalage kuna maokoto yako kama yote tunakukubali San mashabiki zangu
Mm winifrida nakukubali sana kisimaaaa One day gospel sure u will sing
Nakukubali sana kisima
Fabolous job👏👏👏
Kaka nakubali sana nipo dar nakubali mwanetu sana
Brother nimekuwa kwanza naomba like zangu. Nipo dar tuko pamoja kwa kila hatua kakaangu. Mabula mussa
Kaka nipe like zangu
Ww ndo meneja wa kisima
@@NkalaliSakafikra zako ndo zimekwambia hivyo
Hatali saana mungu akilinde kaka
Fundi wamzik hongera sana kisima
Pokea mau yako brother🎉🎉🎉
Sawa ndugu sanaaa ndani ya sanaaa
Axante bro kwa kazi zur
Kazi zuri sana kaka
Man of the match #KISIMA MAJABALA 🔥🔥🔥
Kali ya mwaka kaka dunia na maden
gishushu hongera
Kisima umejitahidi kucheza sana kwenye huu wimbo kuliko zote za nyuma
Pamoja sana bro, mkal wao majabala 1 íyo iyo
Makali wa mie🎉🎉
Ehaha ho bhebhe uleiyeja bendela ya kisukuma nale dar laki adikono bhalejidegeleka nyimbo jako kila aho elibhita kisima ulena ney na kusah
Huyu jamaa noma sana
Ujawahi kuniangusha❤❤❤❤❤
Sawa umetisha sana hahaha ❤❤❤
Kisima nimefurah kuona umemkumbuka mkemia
Mfalme wa nyimbo za asili❤
Pamoja sana brother am dj fabby senta maria
Mwamba kabisa Wamoto balaaaaa juzi kati tulikua pamoja kwenye show yako pale Bhunanda nilifurahi mno
Uko vizuri kaka
Hahahahaa kwanza nicheke MtC Video xaf Pia ngoma nagwa nimemuona unatishaaa hongelea MtC nawkubar
Ww ni noma pga kazi uje na Nzega tumemis show zako
Ila weeee kaka kisima basi mungu akupe maisha marefu kwenye kazi Yako napenda Sana ngoma zako
Tunasubili Dunia video yake😅😅😅😅
Kisima naomba namba yako
Bhagoshaaaah ❤❤❤❤😊
Kisima nyakanazi unawashabiki lakin inapelekea kusema unajisikia sana unakuwa unapita tu
Ksima mkali atulie tu❤
Kisima Niko Zanzibar imepenya unatisha kaka Angu Mungu Akulinde Zaid unakitu Zaid
Nakukubali sana mtu wa nyumbani kabila moja
Kisima legoma lyawiza sana
Unaupiga mwingi 💪👊
Nakuunga mkono kaka kwa huo wimbo
Uhakika mwanaume ❤
U're the one of the best
Goma Kali sana
Broo umetishaa sanaa unakuja lini ten ipililo
Mwamba kwer kwer kisima
Pamoja Sana Mkurugenzi 😂😂😂😂
ewaaaaaa hiiiii niyamoto sana salute🫡🫡🫡🫡🫡
Kishushu bariad ndani
Nimeilewa kaka hapoa
Hapa ni mwendo chombo juu ya chombo sasa mnasemajeee hebu twendeni Na hiii