Vaileth Mwaisumo - Nisaidie (Official Music Video) SMS SKIZA 8089708 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Nisaidie ni wimbo unaoelezea namna ambavyo MUNGU ni msaada Nyakati zote Lengo la wimbo huu ni kutia moyo mtu kwamba wakati ambao huoni pa kukimbilia, huoni njia YEYE MUNGU ukimwendea atakusaidia na hawezi kukuacha uangamie. #VailethMwaisumo#Nisaidie#OfficialMusic.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Ila Mama nyimbo zako zinanigusa sana Hadi machozi yananitoka jaman 😢😢😢😢
Nisaidie mungu wangu kutana na mataji yangu bwana 🙏🏻🙏🏻
Amen
Baba yangu alitutelekeza from 1996 till now I'm 27 ndo ananitafuta 😭😭😭😭,, apa kati tumepitia mapito mengi mazito ,nimekua katika maisha yangu nikiwa Sina baba kwa maana sijawah ita neno BABA😭😭😭😭,, DAAAAH,,wazeee wetu kuna namna mnakosea mnatukosea watoto wenu...nyimbo hiii inanikumbusha maisha niliish mm na mama angu kwa kipind hicho chote ad leo n mtu mzima ,,nimesoma kwa shida ad leo Nina degree Ni kwa uwezo wa Mungu tu. Alhamdulillah 😭😭😭🙏
MUNGU ni mwema sana
So encouraging,,,,my situation right now but God will open doors for me
Anaitaji msamaha nawe unaitaji nataka zake. Do the necessary, he do his part then God do the rest
Ni kweli inaumiza Bora mtu awe ametangulia mbele za Hak u najua Moja alishatangulia lakin mtu yuko hai na hajali unaish maisha ya haso mpk lakin hukumu n ya Mungu hatuwezi rudisha siku nyuma na huwezi kufuta ubaya Kwa kulipiza kisasi au kutosamehe kikubwa samehe tu Mungu anakusudi na wewe ndo maana umesoma hukukata tamaa ukaingia kunako bisness zingne
Pole kwa Mapito ila watoto waliokataliw wengi ndio wenye hatima kubwa kuliko waliozaliw kwenye ndoa MUNGU azidi Kukuinua kwa viwango vya juu sana
Nisaidie mungu wangu AM😭😭😭😭😭😭
I'm leaving this comment here just to encourage someone that God is working on their situation, don't give up
Amen
May God open doors for me to go to college
Nikiwa kwa mangumu hii wimbo inanidia nguvu 👏👏
I see my mum in this song. The year was 2000. My dad had just gone to be with his maker. My mum lost hope in life, became reserved, and we felt like it was the end of us. But one thing she never stopped doing was praying fervently and earnestly. 22 years down the line, the lord has seen us through. Thank you for reminding us that above everything else, He is our source of refuge. Shukran!
Amen
Glory to God
That's our God
Me too my dad passed away on 2006 and everything was messy ,, thank you Lord for everything 🙏🙏🙏🙏
Amen Barikiwa sana Mtumishi vaileth Yesu asidi kukuinua hakika nabarikwa na Huduma yako
Nisaidie Mungu wangu kuwatunza wanangu bado wadogo
You never disappoint mum😭😭 nyimbo nzuri sana rafiki imenigusa sana asubuhi ya leo 😭😭msaada wa mwanadamu ni wa mda tu na nimchungu😭😭ila msaada wa Mungu ni wakudumu na wa Amani na furaha 🙏 be blessed
Amina
Huu wimbo umenitoa machozi
God 😭😭😭come to my rescue...siwezi bila wewe Mungu🙏🙏
Amina
From Kenya 🇰🇪 I feel the presence of God in me
tears are flowing once I hear your voice -- my God my pillar
Amen
😭😭😭😭😭😭😭😭😭mungu nisaidie kwa magumu ninayopitia,,,,kumbuka familia yangu😭😭😭😭 inspiring song,,,dada mwaisumo🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakupenda sana
Shukrani sana mpendwa wangu
Kweli Mungu nisaidie na uniokoe
Huu wimbo umenibariki asubuhi asante mama kwa kuwa wa baraka Kila wakati Mungu akubariki zaidi
Amina
I see the good song with a better message in holl Spirit
My situation now can't be explained..but I just need only GOD😭😭😭😭😭😭😭mam thank for reminding me once more I just need only GOD
Amen
Nisadie mungu wangu...
Amina
Sjui nisime nini mama lakini nyimbo zako nyingi zinagusa moyo wangu kama huu wimbo nikiuskiliza nabubujikwa tu. Ubarikiwe mno sababu Mungu anaemwabudu ni mkuu kuliko chochote🙏
Amina
😢😭may God plz help our mothers what they go through in the society
May God strengthen every woman going through hard times ,I know something inspired you to sing such a song, May God see through everyone at this hard times Mungu tusaidie
Amina
Amen
Mungu saidia wote wanaopitia hali ngumu ynye majonzi🙏🙏.mungu akuinue zaidi dada ktk nyimbo zko
Shukrani sana
😭😭😭nisaidie Mungu wangu.....Kila siku naona hatua kubwa juu ya huduma yako Dadayangu wewe ...Mungu mwema azid kukuinua sanaaaa
Shukrani sana mpenzi
Ubarikiwe sana
Amina
Baba 😪nisaidie mwanaoo kwasababu isipo wewe sta weza naomba 😪uwe musaidizi wangu kwa lolote🙏
Amina
Nimeguswa saaana tena saaana,Mungu nikwel nisaidie !!! Uzidi kubalikiwa dadaangu
Shukrani sana
Nakupenda Sana,,,umefanyika Baraka katika maisha Yangu ,, Endelea kujishusha hivyo Hivyo...Kuna Sehemu Mungu anakupeleka......
Amina
Amen amen
P
Ubarikiwe sana mungu atupe nguvu ya kustahimili mapito
nakupendaaa sanaaaaa dada na unitiaaa sanaaa moyooo amina
Amina
Mungu tusaidie sisi wana gulf 🥰🙏🙏🙏
Amina
Not easy sister mungu yupo na sisi tutamaliza salama
Nisaidie Mungu wangu😭😭😭😭😭
Na unijibu maombi yangu🤲🤲
l know you are everything oh Lord 🙏🙏
Chombo cha mungu ya kuwaokoa walio wake#God bless you mum
Amina
Mungu nisaidie katika mwaka 2025 nitimize ndoto zangu ❤
Dada Mungu wa mbingu awaone sana, sababu munatufundisha maneno tu lioipitia, laminitis pamoja na Mungu wetu Alisha tusaidia na atazidisha kutusaidia na kupita.
The song is so touching 😢 I found myself crying 😭 may God bless you mom
Painful song, but only God knows the best. Mungu ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu. Ooh mum ubarikiwe sana.
Nisaidie Mungu kweny uyu wakati mgumu peke yangu siezi NISAIDIE😢😢😭😭🙏🙏
Amina
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏 nisaidiye mm pia baba...hii nayo pia imepita nafsi yangu..mkama si usaidizi wa mungu ni nani mwingine.🙏🙏🙏😭😭😭😭😭barikiwa sana mummy
Amina
Nataka nikuombe na usaidizi
Pliz nina case si niombee haki nina shidai niko saudia na ningumu nirudi..natamani nirudi kenya😭😭😭😭🙏🙏🙏
Wimbo umegusa ni maombi mazito kwa Mungu hakika Mungu anatusaidia women of God
Amina
Huu wimbo unanitia nguvu sana, nko pekee yangu ata marafiki wangu wote awemenitoroka nimebaki pekee yangu,,nisaidia mungu wangu
Hugs mama 🤗
Acha mungu akutie nguvu,,,, i love u and ur song,,, znanitia nguvu sana,🙏
Shukrani sana
Vaileth god bless you lreal love your songs ❤️kwanza lle ya baba yangu atafanya njia ❤️
Kwa kweli nisaidie yesu
Ame n
Mungu nitie nguvu ,nisaidie Mungu wangu 👏 more blessings mum
Amina
Nisadie mungu wangu majira haya ni majira ya haibu kwangu nisaidie mungu wangu 🙏🏻🙏🏻nisadie bwana ombi langu la kila siku🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amina
Am going through a lot right now,am pregnant and i was left alone,I have no one to help me except God,I didn't want to abort,am now 7 weeks pregnant and this song is a blessing to me.be blessed mum🙏🙏
YESU atakuvusha
Don't worry dea.. mungu ana mpango juu ya maisha yko.
Yake heart GOD is with u sister through this shall come your testimony
@@johnmavusyu6193 Amen, thank you
Tuko pamoja dea.. Though am not left but I got pregnant unexpectedly and my Fred's told me to abort but can't denie my baby a life.. 3weeks pregnant and thank God for it.. God will see you through girl
So touching may God me at this difficult moment
Amina
Mimi Ni muislam Ila wewe dada napenda nyimbo zako sana... Endelea kupambana na kufikisha ujumbe wa mungu kwetu sisi 🙏🙏🙏
Amen shukrani
😭😭😭😭😭😭😭 kama sio huyu mungu maadui wangetuangamiza. Listening from Kenya
Be blessed
NGOMA TAMUU NA YA KUINUA MUNOOO😭😭SO EMOTIONAL KWA KWELI🙌🙌😭 MOREE LOVE FROM WAJIR
Amina
Thank you God you have remembered me
Amen
This song touch my hart be blessed mum I feel it 😭😭😭😭😭😭😭
Amen
Powerful 🙏🙏Nisaidie Baba nimechoka na magonjwa 😭😭😭 huu wimbo umeniguza.
Halleluyah 🔥🔥🔥am so in touch with this song and I found my self praying and crying to my God, be blessed my sister more love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Amina
Thank the lady of God umenisandia sana niko hali ngumu sana nimeamini mungu atanisaindia asante sana
Haujawahi kukosea dada angu unakijua unachokifanya upo rohoni sana kiukweli nimeshindwa kujizuia MUNGU akutunze sanaaaaaa mwanamke shujaaa unajitambua safiii sana mwimbaji wa siku za mwisho uliye bakia kama mbegu kwa nyakati na majira kama haya be bllesed man of God 🤝🙏
Amina
Hii nyimbo imenigusa sanaa inatoa machozii.. barikiwaa sanaa mtumishiii wa mungu ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ powerful song
Amen
Nisaidie mungu baba...u know what am going through amen 🙏🙌❤♥
Amen
Tuko pamoja my sister...nimebarikiwa
Shukrani sana
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Soo touching. Just be blessed mama.....you never disappoint
Amen
Eh MUNGU WANGU NISAIDIE, 🤲🏿😭 HUBARIKIWE SANA MAMA
Amina
May God come through for you in whatever you need as you listen to this song and always remember you are loved🥰
Am blessed with this song,l was onces there,sleeping hungry tatal poverty, crying to my Lord to help me,but he has done it he has made me so proud and my kids,tunaheshimika Sasa,
Amina
Amen glory to God
Oh baba nisaidie nimechoka na kulia kwangu niokoe nitoe mashakani nimekuwa dharau baba nisaidie 🇸🇦 🇰🇪
Amina
Nimebarikiwa Ingawaje nina mzigo mzito nilio ubeba mgongoni mwangu🙏🙏Mungu wangu Nisaidie huu mzigo🙏🙏Amen
Amina
Good wark
Nikiwa napita katika magumu cjawahi kuacha kuusikiliza wimbo huu🙏🙏
Ooh my goodness....the song came to me at the right time.......nipo katika hali ngumu hivi sasa.......Mungu wangu nisaidie...Violet Mungu akubariki sanaaa
YESU akuvushe mpendwa
Jameni barikiwa sana dadangu......
Mungu alinisaidia kutoka kwa umalaya hadi saizi imaniyangu ni kwa bwana nice song God bless u
😭😭nisaidie Mungu wangu🙏🙏
Amina
Nisaidie Mungu wangu, saizi nalia, nami nirudi na testmony
Nyimbo zako zinagusa sana jamani. Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Aibariki familia yako vilevile. Nakupenda sana unanifariji sana.🎵🔥🔥🔥🙏
Shukrani sana mpendwa
Mtumish Wa mungu nyimbo zako zinanigusa Moyo Wangu wakati nik n shida n Raha waj Mungu akutie nguvu n Faraj Kwa kaz unapoendelea kufany 🙏🙏🙏 Kwa ii Dunia Kuna mjarib mengi Sana😭😭😭
Nabarikiwa Sana na hii sauti nikiwa Kenya.Naomba siku moja niimbe na wewe mtumishi
Nisaidie mungu wangu,Nina Imani kwamba mungu atanisaidia mwaka huu🙏
Amina
Oooh Jehovah so painful 😫 😢 when we see people go through in life in times of difficulties others laugh at them..forgetting that your time is always the best when we believe have hope and wait for your time ..I pray that may the power of the Holy spirit protect you from all the enemies I call blessings 🙌 upon everyone
Amen
I know the Lord is there with us ...my trust is always in you ...utatusaidia kwa kutupumzisha mizigo yetu kwa sababu wewe una suluhu ya kila tunachokipitia
Amina
Mtu wa MUNGU hakika unanibariki sana kwa huduma hii ya uimbaji MUNGU akubariki sana huu wimbo umekuja kusema nami katikati ya ninayopitia MUNGU akubariki sana 😢
Shukrani sana
😭😭😭😭ata kwa kesi yangu mungu nisaidie.... I feel the help of God within our lives 🙏🙏
Amen YESU akutetee
Mungu asimame nawe
Mungu ndo mambo yote 🙏🙏🙏
Kweli hizi nyinbo zinanifanya kumtafuta mungu kwa upendo wake . Mungu akutie nguvu uweze kutuimbia tukifunguliwa kwa minyororo ya shetani barikiwa sana mama nakupenda bure❤❤❤❤
So touching,, powerful massage more grace to you 🙏 NISAIDIE MUNGU WANGU
Amina
ruclips.net/video/ppPIiGHhSO0/видео.html
Unanibariki sana mtumishi , ipoo siku natamani nikutane ww kwaajili ya huduma kalibu mza .
Nabaki kusema nsaidie Mungu wangu Sina msaada mwingine Zaid Yako nayopitia we ndo unayajua❣️
Waiting Eagerly from Kenya, your songs are very inspiring, Blessings
Thanks much
Amen be blessed mum
Wimbo huu Niki usikia na sikia kulia naomba mungu nisaidie.
This has touched my heart😭😭😭 mungu wangu nisaidie
Amen
Vaileth mwaisumo be blessed
Wooooi mungu wangu nisaidie
Thank you Jesus huu wimbo unanitia nguvu especially nikikumbuka the death of my 2brothers who died through an accident last year watu wali ongea mengi , bt Mungu amekuwa msaada kwetu
Mbona unaniliza mweee
Pole mpenzi
She do confront her whole heart to his father GOD HER SONGS BLESS MY LIFE AMEN.
Nimejikuta nalia mwanzo wa wimbo mpaka mwisho wa wimbo asante sana dada angu
Amina pole kwa kulia
Mungu wangu nisaidie, barikiwa dada yangu kwa wimbo umenitia moyo
Nyimbo zako my sister zinani fariji sana 😢 😞 good job mummy, keep going in Jesus name 🙏 💙 ❤ 💖
Amen
Mungu nisaidie katika hali yyte 😢 pole dadangu mungu msaidie yahuzunisha sana
Kwa kweli nimebarikiwa sana mungu akubariki sana.
Amina
Help me Lord ,take care of my family,parents,brothers and sisters,friends,neighbours,relatives and all of us
🥲🥲🥲to God be the Glory!! Mungu tusaidie.. kazi nzuri sana mama. Mungu azidi kukuinua.❤️❤️❤️
Amina
A few month to be in kenya mungu nisaidie,hata yale mapito ninayo pitia hata kufika kukata tamaa mungu nisaidie,Feel bless mom from this side 🇰🇪🇸🇦
Amina
Whenever she sings the holy spirit comes over me
Amina
naomba namba yako dada vaileth nina kazi natak fany na ww
Hongera sana mama .... Pia asante kwaujumbe mzur
Shukrani sana mwanangu
Lord help me come out of the garbage of sin, restore my salvation that my heart may not continue collecting sins from the Satan's yard... Only You Jesus Christ is my hope...Guide my steps in this life to always trust in You and follow your will in my life...
Amina
Amen
Mimi ninasema Mungu akuinue Zaid mama Mungu ni WA kwetu sote NAMI sku moja nitainuliwa
Umekua wa baraka kwangu ...nyimbo zako zinanitia nguvu sana 💜❤️barikiwa sana .... nakupenda sana 🌹...mungu abariki huduma yako siku zote 🙏🙏
Amina
This what i went through coz of family members but Our God is faithful,He wiped my tears.
Dah huu wimbo umeimba kwa hisia sana Mungu akubariki sana.👏👏👏👏
Amina
Nime sikiza wimbo huu nime tulia napitia wakati mgumu sana lakini najua Mungu atanisaidia
Amina
Amina,barikiwa sawa Mungu akpeleke viwango vya juu,mungu nisaidie nipite jarib lililo mbele yangu😭
Amina
For anyone reading this it is now your turn God is going to do it for you
Amen
You have done it again my sister. Mungu akuinue maana unagusa maisha ya wengi.
Amina
Nitoe mashakani baba yangu🥺🙏nisaidie mungu wangu
Amen