Mboso anakipaji kikubwa sana cha kuimba LIVE! Siyo kama wale wapiga mayowe na makelele kwa stage! Huyu anamfunika mpk boss wk kwa KUIMBA LIVE💃❤❤❤❤❤ BIG UP MBOSO💯♨️♨️
The king 👑 Mbosso Khan 👑👑is back,, fire fire 🔥🔥 this is what we need in our industry, congratulations 🎉🎉🎉 brooo we are so proud of you 👏👏👏🌲🌲🌲🌲🌲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nidhamu,Kujituma na kujua nn unahitaji kunakufikisha mbali kimafanikio.... Wenzie kwa kusikiliza maneno ya watu na uongo ,leo, unaweza kupita mwaka usisikie lolote zaidi ya skendo
Tena huyu hataki hata mambo ya wcb utazani hayuko huko unaona yuko kimya yeye na lavalava inaonesha hawa hawana pesa zakutoka mambo ya mondi na harmonize huyu kakaa kimya na lavalava na harmonize wala hajawahusisha yule bwege wake rayvanny kujipendekeza sana kwa mondi ndo ana mdomo
Ukinambia pafomans kubwa ya live mwaka huu hii no 1 umefanya vizuri sana nlkuwepo lakini bado leo nmeshina naangalia hii shoo kama mala tatu toka ahsasubuhi🌍🔥🔥
Show nzur sana But mlitakiwa kuwa contro watu namna ya kutunza fedha kwa Mboso zimerushwa sana chini na sheria amekataza nwdays sijui what will happen lkn but you have to be careful na hiz sheria
HUYU NDIO MSANII KONKI ANAYETAKIWA HASAA👌 SAFI SANA ANAIWEZEA SANA LIVE BAND KWASABABU TANGU MDOGO NDIO ALIANZA NA STYLE HIYO PALE YAMOTO BAND SO VITU KAMA HIZO HAZIMTOI JASHO KAAABISA YEYE KWAKE NI MTELEMKO TYUUU SAFI MNOOOOOO
Natokea Kigoma Hapa Kwetu Kitaa Wanabishana kuwa hii songs unachezaje kuwa ni MOVIE WENGINE WANASEMA VIDEO YA UNACHEZAJE NI ZAIDI YA NYIMBO NI ZAIDI YA MOVIE HOGELA SANA BIG SIMBA
Mama dangote mbona kavaa black haina mvuto utadhani kavaa kaniki.alivyo panda jukwaani nimeshtuka he nani huyo kumbe mama dangote.ungevaa blak yenye mg'ao kama airen uwoya ungevutia kuliko hilo koton halina mvuto.pia airen uwoya kapendeza lakini uchi jamani mhh.mbosso hongera yako.
Sijui Kwa nini maagizo yanayotolewa na serikali watu hawataki kuyafata, serikali ilishakataza stairi ya kutunzwa jukwaani Kwa kutupa hela chini lakini Bado watu hawataki kuelewa
Hayaa mashindano wangekuwa wanatoa makamisaa nchi zingine ambazo hazina washiriki ili pawepo na equality...lasivyo kama ndy hivi watu watakuwa wanapendelea nchi zao..ww kamisaa mkuu anatoka rwanda hata ingekuwa mm natoka tanzania ningempitisha mshindi mtanzania..hili waliangalie.
Mboso anakipaji kikubwa sana cha kuimba LIVE! Siyo kama wale wapiga mayowe na makelele kwa stage! Huyu anamfunika mpk boss wk kwa KUIMBA LIVE💃❤❤❤❤❤ BIG UP MBOSO💯♨️♨️
Kwa kwelii
Who repeat this show like three or more, plz give mbosso respect 🙌🙌🙌🙌
👏👏👏👏👏👏👏👏👏 dats we call live performance ✊
This is what we call LIVE PERFORMANCE.
Sound was on point 💯 , vocal was perfect.
Congratulation Mbosso.
Best performance ever from Mbosso! 👌🔥🌍🔥
Mlifanya jambo sahihi sana kumleta Mbosso kwenye Hilo shindano.. Hapayuki anaimba Kama ilivotabia ya miss
Mbosso your musician 🔥🙌🏽
Msanii wangu 2021 mbosso khan
The king 👑 Mbosso Khan 👑👑is back,, fire fire 🔥🔥 this is what we need in our industry, congratulations 🎉🎉🎉 brooo we are so proud of you 👏👏👏🌲🌲🌲🌲🌲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nidhamu,Kujituma na kujua nn unahitaji kunakufikisha mbali kimafanikio....
Wenzie kwa kusikiliza maneno ya watu na uongo ,leo, unaweza kupita mwaka usisikie lolote zaidi ya skendo
true
Tena huyu hataki hata mambo ya wcb utazani hayuko huko unaona yuko kimya yeye na lavalava inaonesha hawa hawana pesa zakutoka mambo ya mondi na harmonize huyu kakaa kimya na lavalava na harmonize wala hajawahusisha yule bwege wake rayvanny kujipendekeza sana kwa mondi ndo ana mdomo
Ukinambia pafomans kubwa ya live mwaka huu hii no 1 umefanya vizuri sana nlkuwepo lakini bado leo nmeshina naangalia hii shoo kama mala tatu toka ahsasubuhi🌍🔥🔥
Bravo Mbosso comme toujours 💯💯💯🔥💃⭐👁️👁️🇫🇷🇹🇿
Show nzur sana
But mlitakiwa kuwa contro watu namna ya kutunza fedha kwa Mboso zimerushwa sana chini na sheria amekataza nwdays sijui what will happen lkn but you have to be careful na hiz sheria
That was a great performance from mbosso
That is mbosso khan Iam in love with your songs
Msanii bora kazi nzur san big up san mbosso 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❣️
Good performance MBOSSO🔥🔥🔥
Apo kinachovutia zaidi ni diamond anapomuona kijana wake mboso khan anidungunyuka kwenye stage uku yeye akiwa anampimia akilini mwake
Nadhani mboso umepata mpiga solo sahihi katika nyimbo zako..amemaintain mziki kwa asilimia 100
Duuuuuh kijana siku utavamiwa jukwaaan kwa burudan unazotoa aisee umapagawishaaaàaa 🙏🙏🙏💪💪💪💪💪
Mbosso kama mbossoooooo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Best live perfomer of all time
Hata diamond hapa atulie
Unakipaji kikubwa mbosso
Keep it up mbosso Khan, mhind wa kusin
Msanii wangu wa kila Day mbosso khan
Khan you r so cool, I lov your songs. Go higher khan.
Its the Dancer for me shout out to her
Mbosso unahatali sana unaijui sana live nice 👊👊👊👊👊👊👊👊
Fundi findi yani mwalimu wa sauti na mashairi mbosso khan 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lights hawajazitendea haki....nyimbo za mapenzi kitu bright kama nn
Anyway performance taam saana
HUYU NDIO MSANII KONKI ANAYETAKIWA HASAA👌 SAFI SANA ANAIWEZEA SANA LIVE BAND KWASABABU TANGU MDOGO NDIO ALIANZA NA STYLE HIYO PALE YAMOTO BAND SO VITU KAMA HIZO HAZIMTOI JASHO KAAABISA YEYE KWAKE NI MTELEMKO TYUUU SAFI MNOOOOOO
Shoooo kali sana mbosso😍😍😍😍😍
Mbosso tunakusubiriiiii huku zanzibar please ❤🤍 tunakupendaaa
Toka zanzibar unamsubiri kwanini wacha nuksi pumbav
Mbosso ❤❤
Mungu akubalikie sana maman dangote nakupenda pia maman wababa my myuzici tanzania 🇹🇿 diamonde ❤️❤️
l love you mbosso
🙌🙌🙌ila unafaidi Saana Jooomba.. 🔥🔥🔥🔥
Natokea Kigoma Hapa Kwetu Kitaa Wanabishana kuwa hii songs unachezaje kuwa ni MOVIE WENGINE WANASEMA VIDEO YA UNACHEZAJE NI ZAIDI YA NYIMBO NI ZAIDI YA MOVIE HOGELA SANA BIG SIMBA
Mbosso go higher than you are every day
Live band ukiijulia mzk mzr sana hauboi🔥🔥🔥🔥🔥😍
Mam dangote kapendez😍
Yani mbosso maashalah unaweza live Yani inasikikaa siyo mikelele Yani unaweza mboss
Hivi master j Ana tatizo gani Na huyu Kijana how in earth unataja top 10 ya wasanii bongo umtoe mbosso
Tu sai amico sei un cantatore numero uno qua nella nostra paese
Appreciate you mbosso
ana balaaaaaaaa sema live ndo kaliiii sana mboso ni fire
Kali ni kali haha ✨️✨️✨️representing out 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nyinyi watoto wakislamu mnacheza kamamna kili vizuri hajuzu kabisa muogopeni mnyezi mungu hamuwezi pata baraka pesa zenu
Wafanyaje huku shekhe au shekha
Great performance lakini ingekuwa vizuri umeimba bila uyo mchezaji karibu, live band yako bila kurudiya rudiya maneno inakuwaka zaidi ya great!
Sijawahi ona show Kali km hii tz💥mbosso Khan kamaliza dadek🤗
Safi sana diamond platnumz kufanya tuwapende watoto wako🔥🔥🔥👍
Shikamooo mbosso 🎶🎶🎻🎺🎷
ruclips.net/video/cK_TB2VBz7g/видео.html plz gusA hii link plz🙏
Appreciate you much kirung
Mbosso❤️🐐
Mama dangote mbona kavaa black haina mvuto utadhani kavaa kaniki.alivyo panda jukwaani nimeshtuka he nani huyo kumbe mama dangote.ungevaa blak yenye mg'ao kama airen uwoya ungevutia kuliko hilo koton halina mvuto.pia airen uwoya kapendeza lakini uchi jamani mhh.mbosso hongera yako.
Usafin huyu kjana n zaid ya mtu🔥🔥
Sijui Kwa nini maagizo yanayotolewa na serikali watu hawataki kuyafata, serikali ilishakataza stairi ya kutunzwa jukwaani Kwa kutupa hela chini lakini Bado watu hawataki kuelewa
Mshededeee 🔥🔥🔥🔥🙌❤️❤️💕💕
This guy is very good 👍
Talented 🙌🙌🙌🙌
Mbosso
👍💕💕💕
Good
Haijakaa sawa
I likeeeee the song❤️
😍😍😘big up brother .....mashaallah
Katisha sana
Hayaa mashindano wangekuwa wanatoa makamisaa nchi zingine ambazo hazina washiriki ili pawepo na equality...lasivyo kama ndy hivi watu watakuwa wanapendelea nchi zao..ww kamisaa mkuu anatoka rwanda hata ingekuwa mm natoka tanzania ningempitisha mshindi mtanzania..hili waliangalie.
👏👏👏
Dash hatimaye leo nimeona show ya ukweli 🌟✨🌟 from king khan himself 🙌🙌
👍👍👍💪
Hongera xn...kazi nzuriiii ♥️🔥🔥🔥🔥🔥
Your love
Bless kwako mbossonyo
Huyo Dada anavyocheza aibu naona mimi 😞
Hahaha kwa nn
🤣🤣🤣🤣
Hiyo ndio stage performance!
I love youuuuuu mbosso jmn from znz....watumalizaaa wengiii hukuuuu....jmn
Hii hit song ya nadekezwa itakuwa hit milele
Napenda mwili wa mama D, mama yuko fresh.
Ilesheria ya kutupa pesa chini itaanzia hapo au funika kombe
👍👍👍
Nakubali sana dogo
Mboso khan
Pro nakukubari
Mbosso king khang🎅🎅
😍😍😍
Nice 🔥🔥🔥💞💞
Well
Fireeeeee mshedede stage killer
Mbosso moto
Best when comes to live performance.👍🏾💕
Mbosso unajuwa🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Respect kwa band
Mbosso very nice show!Irene uwoya shoga yangu ,you never dissapoint🇩🇪🇰🇪💪❤️💯
Mbosso make me one of your dancers
Mama dangote leo umevuja rikod ndiomana mzee baba wasima oman 🇴🇲 akafaju yako leo mama rikod
Nice
Aweeeh nakubaL mbosso😄😄
Mbosso Khan 😍😘💪🔥
Waaaw what amazing show is that 100%agree
🔥🔥🔥🔥
Good music 💥🔥
Mboso congratulations 👏👏👏
halija haijakaa sawa mboso 🔥 🔥
🔥🔥🔥🔥🙌