RECAP: UGOMVI WA DIAMOND & HARMONIZE KOSA LIMEFANYIKA HAPA, FAIDA NA HASARA ZA UGOMVI WA KIMUZIKI
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Развлечения
Sasa kaanza kutukana wanawake mungu wake wakike atamuacha
Unaongeya point nzuri kabisa bro
Siku izi nakukubali Ndugu,am from Kenya but nakuelewa na unapenda mziki wa tz uendelee ila hawakuelewi
Wakwanza Mimi 😊
Kwelly kabsa
Umeongea point sana harmonize lazima asikie huu ujumbe
True bro
Leo umeongea points 🙌👏🏻👏🏻
Leo umeongea point sana!
Leo umekuwa positive kwa Harmonize 👏👏👏
Harmonise hana pesa kabisa ni show off tu
Kweli kabisa....bro
Shule tulipa ada ...lakini shule uwa wanajivunia mwanafunz waliopita hapo..tena wakiwa viongozi..
Yani unamueka konde pamoja na kina j melody mmh so level zake
Fact👌
Ilikua biashara sio kutoana apo diamond aache tuu coz harmonize alilipa biashara ikaisha apo so hio kutoatoa inakera sometimes...
HAMO ALIKUA NATAKA KIKI.....KUTAKA KUJIFANYA KWA VITA ....SO ILI AJIFANYE NI MKUBWA
Kwani watu hawajui kwamba mond kamtoa harmo kwanini kilasiku hamseme mwenzie agetoka bure si igekuwa hatari kwa harmo katoa era bado maneno ata mimi nigechoka sana
Bro nakuelewa sana mondi fanya mpango aje wcb mchambuzi mzuri Sana 🙌
You are telling the truth, brother, I agree with you, harmonize, correct yourself, we his fans are hurt by what he is doing, sis, we want music to leave that field, if he has failed, he will play Chitooli, he is hurting his fans...................!
Good sana ata mimi nimekuelewa
Lakkini pia hamo hajawahi kukataa kusaidiwa..anakataa kulifanya kichwa cha Habari kila Alipo..we tatizo lako hufanya Habari ni shabiki kama sisi
Nilikusikiliza mwazo mwisho ila nilijua tuu kua mwisho utamsifia diamond maana ww ni chawa tushakujua
Sawa hapo sasa umeongea point
Hamo alisaidiwa akubali
Wakwanza Mimi
Nyosha maelezo blaza Acha kubana puwa 😂😂
Konde yupo sahihi
Mû ji abonné ku compte angu
Ndio ata achukiye kiyajee itabaki ivoo
Sasa alilipa wakati gani? Yeye alisaidiwa Full stop haipingiki tena Diamond aendelee kusema alimtoa
Yes haipingiki alimtowa hâta akiwa aje , kweli alilipa lakini n'a Harmo amefaidika kutokana alimshika mkono
Ww mchambuzi ongea kama mchambuzi siyo kama chawa, muntu akikwambia tufanye kazi hapa wote,.elewa neno kazi, kinachofwata malipo, ko kama kunamalipo, inakuwaje muntu aseme nilimtowa semu frani, imekuwaje.., hiyo siyo sawa,ataningekuwa mimi ningechukia,maana nililipa, ko amemutiwaje apo.wakati alilipwa,,. Ache ujinga huyo mondi wenu,
Na ndo nyinyi waandishi wa habari mnakulia apo harmonize so mshukuruni pia kwa hilo....
mozic wa tz unaendechwa na hao njama wawili naukiona mzic wa huko wasafi ni ule ule wama kiki vilendivyo waliyo funzwa tokakwa baba mondi brow tuwa acheni njameni hawa wawili ndiyo manjitu wahu muzic watu tz
Tuliosomea Cuba tumekuelewa.....kumsifia Mondi ndio unajua
Baba atausome vipi Simba anachosha sana
Walifanya biashara na sio kumsaidia.diamond hana jipya siku hizi
Jipya unalo ww na familiya yk paka ww
Apana konde asifike uko atowe2 hit 3 zakufatana kama ataweza ametowa single mpaka ss hataweza kufanya vile ila simba ss kila ngoma ni hit
Mwambie Huyo domo Zege Akajaze kwaza Show ya uwanjani kama nimkubwa mbona huyo huyo bado anapiga show zamchana Punguza ushabiki ww mbona Dharau ipo namba moja Mtu na nusu kwani nani??? Tumekugundua we kengee tu tukutane Kond village
Nyie Waandishi wa Habari,Lini DIAMOND PLATNUMZ MLIMUHOJI AKAWAAAMBIA ANA UGOMVI NA HARMONIZE? SISI TUNACHOJUA KISTURI YEYE UBONGO WAKE UMECHEZA.
Tufanyie RECAP YA REDIO YA ALIKIBA TAFADHALI
Kwan rich mavoko akusaidiwa jaman
elezea alilosaidiwa mavoko hata moja tu?
Ww mchambuzi acha ujinga ww,. Diamond hawezi kumusaidia muntu, huyo dogo hajamutowa, alijitowa mwenyewe maana alimulipa pesa, ko huyu D, wenu alekebishe kauli ache ujinga waves jineno neno.
Wacha ujinga huna akili alijitoa mwenyewe wcb ALIKUWA ANAFANYA nini kuwa na akili akili ni kama unakula mavi
Huyu jamaa bhana
Sawa Kama alinunua ukubwa alionao je wakati anaenda WCB alikuwa na kiasi gani cha kununua huo ukubwa alio nao
Wewe arie kusaidia arikuripisha au anakusema kira siku
😂😂😂Sijui utaeleweshwa vipi mtu kama wewe..Hujui kama kulikuwa na asilimia za makato kwenye kazi zake. Hujui kama hapo anajinunua je, kama asingekuwa na kipaji diamond angemchukua?..So mpk anachukuliwa diamond aliona fursa ya kupata pesa hamna mtu anafanya jambo la hasara.
Watu hamuelew mtu akisema amekusaidia sio majigambo ni kujivunia kaz yake
Na isitoshe bado mond n mkubwa
Atoe neno nimekusaidia kwanza..Hivi huelewi kwamba ilikuwa biashara. Kama msaada asaidie watu bure ndo tujue hilo.
Anajua kutafuta Kiki
You should go back to school 🏫 🚶♀️ lol 😆
He doesn't care
He knows
Grammatical English, please 🙏 😅😅
We umetumwaga kudisi harmo kakukosea nini!
Ukweli unauma😂
Amna cha ukwel uyu jamaa hua ni chawa wa Mondi sana , nakumponda Harmo
@@memoryplus8046 kwel babu jamaa ni snichi sana uyo
je diamond hakuwahi kusaidiwa mbona yeye haimbwi daily jaman ukimsaidia mtu msisubiri malipo
Momdi arisaidiwa na rebogan?
Aliyemsaidia diamond ni nani vile
Alisaidiwa na nani? Ajitokeze
Yuko wapi alomsadia diamond
Bob junior alifanyiwa interview E.F.M akasema diamond alimlipa fadhila ko hamdai dai kama kuna mwengine alomsaidia mondi basi ajitokeze tumjue!!!
Amesaidiwa sababu hata hizo pesa alizipata pale wasafi hakuja nazo
walimchukua bila kipaji?..Kwani mond alilazimishwa kumchukua?..Ujue mpk anamchukua aliona fursa ya pesa.
Nan hajasaidiwa kwenye hii dunia bhna ndio uweke matangazo kila siku hata kama umenisaidia
Bngo 5 way only harmonize. All Tz is full of drama.way you attack only this Gent com on broth.