RECAP: UGOMVI WA DIAMOND & HARMONIZE KOSA LIMEFANYIKA HAPA, FAIDA NA HASARA ZA UGOMVI WA KIMUZIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 75

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 23 дня назад +10

    Sasa kaanza kutukana wanawake mungu wake wakike atamuacha

  • @Barakanenealldays-bp8cd
    @Barakanenealldays-bp8cd 23 дня назад +4

    Siku izi nakukubali Ndugu,am from Kenya but nakuelewa na unapenda mziki wa tz uendelee ila hawakuelewi

  • @SHUKURUMPENDAKASHINDI-mm4eq
    @SHUKURUMPENDAKASHINDI-mm4eq 23 дня назад +5

    Wakwanza Mimi 😊

  • @user-xr4dp1cs5b
    @user-xr4dp1cs5b 4 часа назад +1

    Kwelly kabsa

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 22 дня назад +1

    Umeongea point sana harmonize lazima asikie huu ujumbe

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm 23 дня назад +2

    True bro

  • @christinenere4696
    @christinenere4696 23 дня назад +2

    Leo umeongea points 🙌👏🏻👏🏻

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 23 дня назад +3

    Leo umeongea point sana!

  • @abdulmalikali9063
    @abdulmalikali9063 14 дней назад

    Leo umekuwa positive kwa Harmonize 👏👏👏

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 23 дня назад +6

    Harmonise hana pesa kabisa ni show off tu

  • @chire4574
    @chire4574 23 дня назад +3

    Shule tulipa ada ...lakini shule uwa wanajivunia mwanafunz waliopita hapo..tena wakiwa viongozi..

  • @user-nr8jx7tu3l
    @user-nr8jx7tu3l 23 дня назад +3

    Yani unamueka konde pamoja na kina j melody mmh so level zake

  • @user-kv1gu4ee3s
    @user-kv1gu4ee3s 23 дня назад +1

    Fact👌

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 23 дня назад +1

    Ilikua biashara sio kutoana apo diamond aache tuu coz harmonize alilipa biashara ikaisha apo so hio kutoatoa inakera sometimes...

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 23 дня назад +4

    HAMO ALIKUA NATAKA KIKI.....KUTAKA KUJIFANYA KWA VITA ....SO ILI AJIFANYE NI MKUBWA

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 23 дня назад

      Kwani watu hawajui kwamba mond kamtoa harmo kwanini kilasiku hamseme mwenzie agetoka bure si igekuwa hatari kwa harmo katoa era bado maneno ata mimi nigechoka sana

  • @ADRIANADRIAN-pi7kw
    @ADRIANADRIAN-pi7kw 23 дня назад

    Bro nakuelewa sana mondi fanya mpango aje wcb mchambuzi mzuri Sana 🙌

  • @iddyjm2560
    @iddyjm2560 23 дня назад

    You are telling the truth, brother, I agree with you, harmonize, correct yourself, we his fans are hurt by what he is doing, sis, we want music to leave that field, if he has failed, he will play Chitooli, he is hurting his fans...................!

  • @amissishauri-eq7sl
    @amissishauri-eq7sl 23 дня назад

    Good sana ata mimi nimekuelewa

  • @suleydamour4059
    @suleydamour4059 23 дня назад +1

    Lakkini pia hamo hajawahi kukataa kusaidiwa..anakataa kulifanya kichwa cha Habari kila Alipo..we tatizo lako hufanya Habari ni shabiki kama sisi

  • @FakiBuzwhite-no6re
    @FakiBuzwhite-no6re 23 дня назад +1

    Nilikusikiliza mwazo mwisho ila nilijua tuu kua mwisho utamsifia diamond maana ww ni chawa tushakujua

  • @user-wi2sk8uj5s
    @user-wi2sk8uj5s 23 дня назад

    Sawa hapo sasa umeongea point

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 23 дня назад +2

    Hamo alisaidiwa akubali

  • @SHUKURUMPENDAKASHINDI-mm4eq
    @SHUKURUMPENDAKASHINDI-mm4eq 23 дня назад +2

    Wakwanza Mimi

  • @user-xb7jv6sj1q
    @user-xb7jv6sj1q 23 дня назад

    Nyosha maelezo blaza Acha kubana puwa 😂😂

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d 20 дней назад

    Konde yupo sahihi

  • @MichaelTgr
    @MichaelTgr 23 дня назад +3

    Mû ji abonné ku compte angu

  • @zazalareinebosslady
    @zazalareinebosslady 23 дня назад +2

    Ndio ata achukiye kiyajee itabaki ivoo

  • @bakarially253
    @bakarially253 23 дня назад +8

    Sasa alilipa wakati gani? Yeye alisaidiwa Full stop haipingiki tena Diamond aendelee kusema alimtoa

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 23 дня назад

    Yes haipingiki alimtowa hâta akiwa aje , kweli alilipa lakini n'a Harmo amefaidika kutokana alimshika mkono

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 22 дня назад +1

    Ww mchambuzi ongea kama mchambuzi siyo kama chawa, muntu akikwambia tufanye kazi hapa wote,.elewa neno kazi, kinachofwata malipo, ko kama kunamalipo, inakuwaje muntu aseme nilimtowa semu frani, imekuwaje.., hiyo siyo sawa,ataningekuwa mimi ningechukia,maana nililipa, ko amemutiwaje apo.wakati alilipwa,,. Ache ujinga huyo mondi wenu,

  • @joesplatnumz
    @joesplatnumz 23 дня назад

    Na ndo nyinyi waandishi wa habari mnakulia apo harmonize so mshukuruni pia kwa hilo....

  • @kasereka-vy3mw
    @kasereka-vy3mw 23 дня назад

    mozic wa tz unaendechwa na hao njama wawili naukiona mzic wa huko wasafi ni ule ule wama kiki vilendivyo waliyo funzwa tokakwa baba mondi brow tuwa acheni njameni hawa wawili ndiyo manjitu wahu muzic watu tz

  • @makischocho4613
    @makischocho4613 21 день назад

    Tuliosomea Cuba tumekuelewa.....kumsifia Mondi ndio unajua

  • @Luckreadyog
    @Luckreadyog 23 дня назад

    Baba atausome vipi Simba anachosha sana

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 23 дня назад +1

    Walifanya biashara na sio kumsaidia.diamond hana jipya siku hizi

    • @CholoMwamba
      @CholoMwamba 23 дня назад

      Jipya unalo ww na familiya yk paka ww

  • @barekebavugemasudi3436
    @barekebavugemasudi3436 23 дня назад

    Apana konde asifike uko atowe2 hit 3 zakufatana kama ataweza ametowa single mpaka ss hataweza kufanya vile ila simba ss kila ngoma ni hit

  • @RichKarim
    @RichKarim 23 дня назад

    Mwambie Huyo domo Zege Akajaze kwaza Show ya uwanjani kama nimkubwa mbona huyo huyo bado anapiga show zamchana Punguza ushabiki ww mbona Dharau ipo namba moja Mtu na nusu kwani nani??? Tumekugundua we kengee tu tukutane Kond village

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 21 день назад

    Nyie Waandishi wa Habari,Lini DIAMOND PLATNUMZ MLIMUHOJI AKAWAAAMBIA ANA UGOMVI NA HARMONIZE? SISI TUNACHOJUA KISTURI YEYE UBONGO WAKE UMECHEZA.

  • @WendoJuma
    @WendoJuma 23 дня назад

    Tufanyie RECAP YA REDIO YA ALIKIBA TAFADHALI

  • @Minsallahh
    @Minsallahh 23 дня назад

    Kwan rich mavoko akusaidiwa jaman

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 23 дня назад

      elezea alilosaidiwa mavoko hata moja tu?

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 22 дня назад +1

    Ww mchambuzi acha ujinga ww,. Diamond hawezi kumusaidia muntu, huyo dogo hajamutowa, alijitowa mwenyewe maana alimulipa pesa, ko huyu D, wenu alekebishe kauli ache ujinga waves jineno neno.

    • @mloleclassic-254
      @mloleclassic-254 22 дня назад

      Wacha ujinga huna akili alijitoa mwenyewe wcb ALIKUWA ANAFANYA nini kuwa na akili akili ni kama unakula mavi

  • @khafidhabdi2502
    @khafidhabdi2502 23 дня назад

    Huyu jamaa bhana

  • @EmmanuelMagugudi
    @EmmanuelMagugudi 23 дня назад +1

    Sawa Kama alinunua ukubwa alionao je wakati anaenda WCB alikuwa na kiasi gani cha kununua huo ukubwa alio nao

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 23 дня назад

      Wewe arie kusaidia arikuripisha au anakusema kira siku

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 23 дня назад

      😂😂😂Sijui utaeleweshwa vipi mtu kama wewe..Hujui kama kulikuwa na asilimia za makato kwenye kazi zake. Hujui kama hapo anajinunua je, kama asingekuwa na kipaji diamond angemchukua?..So mpk anachukuliwa diamond aliona fursa ya kupata pesa hamna mtu anafanya jambo la hasara.

  • @KiizaFred-zt4ol
    @KiizaFred-zt4ol 23 дня назад

    Watu hamuelew mtu akisema amekusaidia sio majigambo ni kujivunia kaz yake

    • @KiizaFred-zt4ol
      @KiizaFred-zt4ol 23 дня назад

      Na isitoshe bado mond n mkubwa

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 23 дня назад

      Atoe neno nimekusaidia kwanza..Hivi huelewi kwamba ilikuwa biashara. Kama msaada asaidie watu bure ndo tujue hilo.

  • @Mshuta
    @Mshuta 23 дня назад

    Anajua kutafuta Kiki

  • @austinfoster4512
    @austinfoster4512 23 дня назад

    You should go back to school 🏫 🚶‍♀️ lol 😆
    He doesn't care
    He knows
    Grammatical English, please 🙏 😅😅

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 23 дня назад +3

    We umetumwaga kudisi harmo kakukosea nini!

    • @user-jq9rj4dm5u
      @user-jq9rj4dm5u 23 дня назад +3

      Ukweli unauma😂

    • @memoryplus8046
      @memoryplus8046 23 дня назад +1

      Amna cha ukwel uyu jamaa hua ni chawa wa Mondi sana , nakumponda Harmo

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 23 дня назад +1

      @@memoryplus8046 kwel babu jamaa ni snichi sana uyo

  • @iddysonyo1356
    @iddysonyo1356 23 дня назад +4

    je diamond hakuwahi kusaidiwa mbona yeye haimbwi daily jaman ukimsaidia mtu msisubiri malipo

    • @jimyjastini9995
      @jimyjastini9995 23 дня назад +3

      Momdi arisaidiwa na rebogan?

    • @mbwagatv
      @mbwagatv 23 дня назад +2

      Aliyemsaidia diamond ni nani vile

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 23 дня назад +3

      Alisaidiwa na nani? Ajitokeze

    • @kizdady2544
      @kizdady2544 23 дня назад +3

      Yuko wapi alomsadia diamond

    • @user-jq9rj4dm5u
      @user-jq9rj4dm5u 23 дня назад +2

      Bob junior alifanyiwa interview E.F.M akasema diamond alimlipa fadhila ko hamdai dai kama kuna mwengine alomsaidia mondi basi ajitokeze tumjue!!!

  • @MuanassaChabane
    @MuanassaChabane 23 дня назад +1

    Amesaidiwa sababu hata hizo pesa alizipata pale wasafi hakuja nazo

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 23 дня назад

      walimchukua bila kipaji?..Kwani mond alilazimishwa kumchukua?..Ujue mpk anamchukua aliona fursa ya pesa.

  • @AbihudKaale-vt6hn
    @AbihudKaale-vt6hn 23 дня назад

    Nan hajasaidiwa kwenye hii dunia bhna ndio uweke matangazo kila siku hata kama umenisaidia

  • @johnkamira2236
    @johnkamira2236 23 дня назад +1

    Bngo 5 way only harmonize. All Tz is full of drama.way you attack only this Gent com on broth.