Kila siku nasemaga huyu ni mwili mdogo lakin akili bahari nakama unamkubali diamond acha mabifu acha uoga usione wivu acha kusita gonga like yako hapa👏👏👏
Mungu akubariki sana na azidi kukupa maisha marefu maana niwachache sana mastar au viongozi wanaokumbuka kwao na watu wao bila kujal maisha yao pamoja nakua wapo watu wenye uwezo kuliko ata Diamond kutoa ni moyo.big up sana #diamond platnuz
"Umenikumbusha maandiko matakatifu yanayosema Cheka na wachekao Lia na waliao" hakika ulichokifanya Mond hakunaga!!! Chezea boy from Tandare wewe, nimeipenda saaaaana hii
Jackie chao wacha kumfananisha Ali Banat na Diamond plz,Ni ukitowa mkono wa kulia wa kushoto usione y ukusanye media wakati unantia, toa kwa LILLAHI media yako iwe n mungu tu,Ali was great
Ali banat aliuza Mali yake kwa ajil ya Allah na akafungua taasisi yake ambayo inawasaidia waislamu.Na Akutoa kwa ajili ya kujionesha Alitoa kwa misingi ya Haki ya dini ya kislamu.Allah amrehemu ampee kauli thabit alipee nuru kaburi lake.Amiin
Diamond huyu Dogo ana IQ kubwa sana na pia ni kijana tofauti mno kila nikitazama trend yake namuona mbali sana Mungu akipenda Ten years to come,Afrika na Dunia nzima tutaelewana ,Go go go Diamond.Mungu akubariki sana.
Nani anakata vitunguu hapa najipata nalia oiye dai nakuombea sana despite unavyoongelelewa kwa mitandao....u are really a nice guy God bless you baba tee
Barikiwa sana kaka ila mtangulize mungu sauna katika maisha yako tunakuona huna raha kabisa na si kawaida yak tutazidi kukuombea mung akuepeshe na kila baya
Big up kwa simba mungu akuzidishie pia akufanyie wepesi ufanye na ibada inshallah
Mwenyezi mungu akuzidishie nasibu jamaniii unamoyo sana diamond
Mungu kakujalia broo Alhamdulillah. Mungu akuzidishie mengi ya kher duniani na akhera
MashaAllah vizuri sana diamond watching 4rom Dubai--Abudhabi.
MashaAllah... salute platnumz, big up...keep it up.
Umefunika mbaya.... #Tandale oyeeeeeee....!!!!
Kila siku nasemaga huyu ni mwili mdogo lakin akili bahari nakama unamkubali diamond acha mabifu acha uoga usione wivu acha kusita gonga like yako hapa👏👏👏
🙌🙌🙌
Xx
Ngumi muvi
Mwenyezi mungu akusaidie na akuzidishie kwa kutowa zawadi kwa watoto na piya kwa watu wazima ume fanya kitu kizuri sana diamond
Mwenyezi mungu akuzindishie..big up Diamond
You have done such an amazing thing.....big up and congrats
nimeipenda sana hii diamond mungu akudhidishie heli na baraka
Hongera sana Diamond mungu akuzidishie kwa kidogo ulichotoa
Mwenyezi mungu azidi kukujalia kila la kheri Diamond. Na mungu akupe kikubwa zaidi ❤❤❤❤❤
Watching from dubai my God bless you diamond
Love you baba tee una roho nzuri mwenyezi Mungu akuzidishie Baraka na uzima
Mashallah diamond ana huruma na watanzania ana wapenda pia mungu akubarik
GOD bless u diamond platinumz goodluck in everything u are doing big up bro
Diamond mungu akuweke tunakupenda sana
Kazi nzuri Diamond watching from Dubai keep up bro.
Mungu akubariki sana na azidi kukupa maisha marefu maana niwachache sana mastar au viongozi wanaokumbuka kwao na watu wao bila kujal maisha yao pamoja nakua wapo watu wenye uwezo kuliko ata Diamond kutoa ni moyo.big up sana #diamond platnuz
We mtoto diamond Mungu akubaliki
Grace Leonard mungu akuzidishie
woow diamond baraka tele kaka ni vyema kushare eid tukufu barikiwa na uzidishiwe
mungu akubariki akuzishiye ambapo ulitowa baba👌👌❤❤
You will be blessed abundantly a boy from Tandale
I LOVE this,,,God bless
Duuuh! jamaa ana moyo wa pekee sana yan mungu akuzidishie chibu
Diamond unapendeza lakni hayo mambo ya vipuli na vikuku style za nywele Acha kanzu Mashallah imekupendeza Sana hongera Kwa hapo
aafi sana SIMBA wewe nimfano mzur ktk jamii asie penda hili jambo nimchawi na mfizur ,mungu akuingezee unapo punguziwa.
hongera Ndugu yangu diamond , mchana nao wanao kubeza
Allah akuzidishie Dai una moyo wa kipekee
Jamani ndio maana nimekuona we daimondi mungu akuzidishie
Hongera sana Diamond, unahuzuni mpaka uso unaonyesha. Furahia kwani hatuwezi kulingana, ulichokifanya kikubwa sana.
ongera diamond
Steven Peter mie pia namuona.. kama anaeumia
"Umenikumbusha maandiko matakatifu yanayosema Cheka na wachekao Lia na waliao" hakika ulichokifanya Mond hakunaga!!! Chezea boy from Tandare wewe, nimeipenda saaaaana hii
Diamond mungu akuzidishie
Mungu akubark sana diamond
Uyo Kaka anamoyo snaa aiseee mwenyezi mungu akupe Zaid ya hvy unavyotoa baba Tiffany
Hongera sana SIMBA 👏👏
you have a Good heart those are more blessings to your generation
Masha Allah diamond mungu akubariki bro
ongera sana daimond mungu atakuzidishia inshallaah
Mungu akubariki sana diamond.
Dah aise wewe Kaka utafika mbali kwa roho yako nyeupe,achana na Jay z we ndio jay z wetu,Mungu akubarikia,kama unamkubali simba piga like hapa
kazi nzuri mond mungu azidi kukubariki
Mungu akubariki diamond
Mashaallah day Mungu akuongezee
diamond nakukubali sana mzazi mm xina mengi yakuongea zaidi ya kukuombea
cool brother much love
May God bless u Diamond
Mungu akubali sana diamond
Kazi nzuri....live long Diamond platinum
Tanzania Yetu sananyama simba
Mungu akuzidishie kijana
Mashallah tabarakallah......Allah hakujaze
Mungu akubariki sana diamond
Wow God bless you bro.Big up 👏👏
You will shine forever
May God bless you with many more 🙏🏼🙏🏼
Diamond ni mfano mwema kwa jamii, umenikumbusha Ali Banat
Jackie chao wacha kumfananisha Ali Banat na Diamond plz,Ni ukitowa mkono wa kulia wa kushoto usione y ukusanye media wakati unantia, toa kwa LILLAHI media yako iwe n mungu tu,Ali was great
Stifanic Dzuya hata Ali Banat alikuwa anatangaza kote, sijui lipi la ajabu kwako...Diamond is doing great too
Ali banat aliuza Mali yake kwa ajil ya Allah na akafungua taasisi yake ambayo inawasaidia waislamu.Na Akutoa kwa ajili ya kujionesha Alitoa kwa misingi ya Haki ya dini ya kislamu.Allah amrehemu ampee kauli thabit alipee nuru kaburi lake.Amiin
Stifanic Dzuya Exactly my dear Ali Banat uwezi mfananisha na uyu, ila Diamond nae anajitahidi pia, aswa kwa family yake
Nilisema diamond amenikumbusha Ali, didn’t say diamond is Ali... get the difference
Allah akubarik zaidi amiin.
Congratulations babake pokea zangu from Qatar
Mungu akubariki mwaya
Mondi keep up,and be blessed!!
Mashallah barikiwe Nasib Abdul
Mungu akujalie baba tee
Allah akuzidishie palipopungua nami natamani niwe kama wewe wallah lakn bado maisha magumu
Mungu akupe mzee Na atakusimamia kwa yote ufanyayo
Kila binadamu anadhambi ila tunazipunguzaje mungu akubariki diamond
Mungu akubariki Diamond hakika ukifanya hivi utafanikiwa xana Nasibu
More blessings upon you Babake Tiffah🙌
kwamwendo huu braza utafika mbali mungu nimwema
ASSALAAMU ALAIKUM WA RAHMATHULLAHI WA BARKATHUHU EID MUBARK. Mashaallah mwenyez mungu akupe nguvu na afya uzidishiwe riziki Inshallah
God bless you moree baba tee
Mashaa Allah mola akuzidishie na akupe maisha marefu
Mungu aendeleleee kukupa nguvu diamond
Food shelter and clothes.. Jinsi ulivyoitaja u r genius
kama umekubali kitu ambacho kafanya chibu leo gonga like hapa
daniel yohane yap
jaman kaka ghangu daimond mungu akujalie ridhiki biidhinillh
Tunapoandika jina la "Mungu" tunaanza kwa herufi kubwa.
Umejibu vizuri sana daimondi
Mungu aendelee kukuwezesha Mr D
diamond mungu akubaliki
Mwenyezi Mungu akuzidishie
Nampenda ksb akihojiwa anaongei kutoka moyoni kwenye vyombo vya habari napenda sana ulivyo una moyo wa upendo
I like diamond he has a good heart
congratulation from +254
Diamond huyu Dogo ana IQ kubwa sana na pia ni kijana tofauti mno kila nikitazama trend yake namuona mbali sana Mungu akipenda Ten years to come,Afrika na Dunia nzima tutaelewana ,Go go go Diamond.Mungu akubariki sana.
Mungu awe nawe diamond
Mimi Niko mikoani natamani nami ningekuwepo Mungu akuzidishie
That made me sad that he is unhappy with his life. Only God can give you peace, Joy and love. Seek him. Praying for you Diamond.
God bless you diamond
hongera Sana'a ....
Big up God bless you
Nani anakata vitunguu hapa najipata nalia oiye dai nakuombea sana despite unavyoongelelewa kwa mitandao....u are really a nice guy God bless you baba tee
PATRICK PIUS good Sana simba 100 kabisa
Mashallah mungu akubariki
diamond mungu akuzishiee
Barikiwa sana kaka ila mtangulize mungu sauna katika maisha yako tunakuona huna raha kabisa na si kawaida yak tutazidi kukuombea mung akuepeshe na kila baya
Hongera baba tiffah
mungu akubaliki
God bless you bro
Salute bro Diamond
Hii sawa co wengne mkipata mnashinda kwny maswiming pool mkioga mnatundika pumbu kwny vtanda mnasahau mlipotoka #jahbless
Duuh god bless u mondi
Congratulation diamond
Iko poua xana............ Mkaoo........
Jmn dizzim hamna mshahara mzuri at all..how come uyu dada habadilishi wigi wiki ya ngapi cjui