๐๐จ๐๐จ๐ง๐ ๐ง๐จ๐๐จ๐ ๐ ๐ญ๐ ๐ก๐๐จ๐๐จ ๐๐๐๐๐จ ๐ก๐ ๐ฆ๐๐๐๐ ๐๐ช๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ช๐ ๐ ๐๐ฅ๐๐๐ญ ๐ข๐ ๐๐ฅ
HTML-ะบะพะด
- ะะฟัะฑะปะธะบะพะฒะฐะฝะพ: 31 ัะฝะฒ 2025
Hawa Markaz Kariakoo ni MAHIZB
ABU MBARAK FARAJI HUWELI
SALMIN ALJABRI NA ABDALLAH BAHELA NDIO MABOSI ZENU WANAO WAWEKA MJINI LAZIMA MUWATETEEE
Atarajaa kwa kudhihirisha hakki na kuacha uvundo wenu uharibu usalafy
Hii ni dini sheikh sio chama Cha siasa
Hii ni mpya au ya zamani.
Ya mwaka huu mwanzoni ila zilikuwa hazijasambazwa
Ni ya ZAMANI hii akhi mche Allah usifufue ambayo yalishatatuliwa jamani
@@daawatusalafiyyah552no Akhiy ruhusa imetolewa sasa hivi isambazwe
Ushauri wangu ndugu mwenye channel hii funga upande wa comment.
haki.itabainika tu.
Na nyy pia mutarajaa kwa mambo mingi munayo yakosea
Hebu mwiteni Muhammad mafuta mwambie atarajaa, na ww sheikh khamis imamu pia mutarajaa kwa kushirikiana na JAI na hivyo hivyo kila aliyekosea sio hao tuu Bali kila aliyekosea hiyo ndio haki
Unasikiliza mpaka mwisho au unaongea2 akhy?
Hii ni ya lini Ikhwa ? Ni ya zamani au ya hivi karibuni?
Ni ya ZAMANI huyu kaka ni kama anakusudio lake
@ kusudio gani usipotoshe na kuweka dhana mbaya kwa watu! Hizi audio zimetolewa ruhsa kusambazwa kwake sasa hivi pia kwa sababu kuna propaganda zinaendelea now
DINI YENU NI MAJUNGU TUU
KILA KUKICHA MNAZUGUMZIA WATU TU
HIVI NYINYI NI LINI MMEWAHI KUTARAAJA KATIKA MAISHA YENU????
Tukutumie link wakina Abulfadhl wakitaraajaa?
@Hamis-ks1sy Tuma
Tuma na raddi yake kwa mdogo wake mohamed mafuta alipo sema maneno ya sheikh rabii ni kama wayhi
@Al.habeebAl.habaaib Nitumie hiyo link nisikilize hiyo kauli akhy
โ@@Al.habeebAl.habaaib Kwani lazima Muhammad Mafuta araddiwe na Kaka yake Qassim Mafuta?! Hukuona taraajui ya Muhammad Mafuta katika hilo?
na ujinga.wote.utakaaa pembeni mutamfaham tu.abuu.zagar
Ndio nani huyo?