𝗕𝗔𝗬𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗥𝗔𝗗𝗗𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗡𝗗𝗨𝗚𝗨 𝗦𝗛𝗔𝗙𝗜 𝗡𝗔 𝗔𝗞𝗜𝗗𝗨 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗦𝗔 𝗬𝗔𝗢 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗙𝗜𝗞𝗔 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗬𝗔 𝟮𝟬𝟬

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 23

  • @seniornyungu9718
    @seniornyungu9718 2 месяца назад +1

    MASHEKHE WALE WAWILI WAMEKUWA WATU WA FITNA KUJARIBU KUVURUGA SAFU YA SALAFI MARA KADHAA,NI WATU WA FITNA.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    Maashallaah Hapo sasa dr. Unamfundisha huyo mjinga shafii wamekua ni watu wa shari

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    Allaah akupe subra sheikh dr. Mimi naona ungewapuuza t waache waropoke hawana nidhwaamu

  • @yasiniramadhani400
    @yasiniramadhani400 2 месяца назад

    Ni Mwendo wa Radd tu, Ukilala Ukiamka Radd, Haya Ngoja Tuone Mwisho wake.

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 2 месяца назад

    Sasa hii ndio maana ya SALAFI JADIDAH sasa.

  • @isihakamshare3396
    @isihakamshare3396 2 месяца назад

    Hii ni ya lini?

  • @HajiHaji-l6w
    @HajiHaji-l6w 2 месяца назад

    Madam hiyo si dini. Basi mtaendelea na vurugu za kupigana red cad na kutoana katika Uislam. Hamna kitu hapo ni fujo hakuna dini hapo ni kikundi tu cha wahuni

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 2 месяца назад

      Kwa maneno yako hayo unaonekana ni sufi kabisa, khitilafu katika din ni Jambo la kawaida Kama hujui Jambo Hilo kacheze na wenzako kwenye fainali za maulidi mda huu

    • @ibrahimabdul8257
      @ibrahimabdul8257 2 месяца назад

      Ushashiba bagia tayari

    • @azizisulay6005
      @azizisulay6005 2 месяца назад

      @@ibrahimabdul8257 vipi na ww umeshiba nyama ya mbuzi kutoka udhamin wa kishia kwenye hizo fainali za maulidi

    • @SadickMussa-g6h
      @SadickMussa-g6h 2 месяца назад

      Raddi ni. Ktk dini na ndo maana ukiiangalia Quran imejaa radd

  • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
    @ABUUBAAZNYUNGU-j4x 2 месяца назад +1

    Akhy hivi hii premiere huwa inamaanisha nini? hahahah!

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 месяца назад

      Akhy hii ni ya karibuni au ya mda??

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x 2 месяца назад

      @Hamis-ks1sy Sijajua, ila majuzi Shafiy pia kawasupport akina Abuu Zaghar kuwa Masjid Omary wamewatuma wanafunzi wao wakapige kura jambo ambalo limekanushwa na masjid omary hivi karibuni... I think ni jana tu nimeona hyo post yao ya kukanusha hilo kuwa wamesingiziwa...!!!

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 месяца назад

      @@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Hizi ni fitna Wallah,yaani mtu akiwa anaswali masjid Umary basi ni salafy?? Mbona pale waswali watu mbalimbali ambao wanakuwa katika pirika zao?? Nimemsikiliza kwa makini sana Dr.Khamis kavunja shubha zao dhaifu sna na kwa namna wanavyotaka wao basi hata majirani itakua hakuna haja ya kusalimiananao wala kusaidiana palipo na shida ni basi2 kuna mda watu wanataka vurugu

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 месяца назад

      @@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Suala la kupiga kura wasikurupuke2 kwakua tayari wanachukizao binafsi walete strong evidence katika hilo.

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x 2 месяца назад +1

      @@Hamis-ks1sy maa shaa Allah! Dr kaelezea vzr sana, mimi nampenda sana Wallahi...!!!
      Na ndo shida ya Shafiy na Akidu... wakiona kitu kdg tu wao ni radd tu, wakat wangekaa wangeyazungumza yakaisha!

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 месяца назад

    Na bado
    Namuomba allah azidi
    kukubainisheni kwamba nyie
    Hampo kwenye dini
    Kila mtu anapigania dunia na.maslahi