Madam hiyo si dini. Basi mtaendelea na vurugu za kupigana red cad na kutoana katika Uislam. Hamna kitu hapo ni fujo hakuna dini hapo ni kikundi tu cha wahuni
Kwa maneno yako hayo unaonekana ni sufi kabisa, khitilafu katika din ni Jambo la kawaida Kama hujui Jambo Hilo kacheze na wenzako kwenye fainali za maulidi mda huu
@Hamis-ks1sy Sijajua, ila majuzi Shafiy pia kawasupport akina Abuu Zaghar kuwa Masjid Omary wamewatuma wanafunzi wao wakapige kura jambo ambalo limekanushwa na masjid omary hivi karibuni... I think ni jana tu nimeona hyo post yao ya kukanusha hilo kuwa wamesingiziwa...!!!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Hizi ni fitna Wallah,yaani mtu akiwa anaswali masjid Umary basi ni salafy?? Mbona pale waswali watu mbalimbali ambao wanakuwa katika pirika zao?? Nimemsikiliza kwa makini sana Dr.Khamis kavunja shubha zao dhaifu sna na kwa namna wanavyotaka wao basi hata majirani itakua hakuna haja ya kusalimiananao wala kusaidiana palipo na shida ni basi2 kuna mda watu wanataka vurugu
@@Hamis-ks1sy maa shaa Allah! Dr kaelezea vzr sana, mimi nampenda sana Wallahi...!!! Na ndo shida ya Shafiy na Akidu... wakiona kitu kdg tu wao ni radd tu, wakat wangekaa wangeyazungumza yakaisha!
MASHEKHE WALE WAWILI WAMEKUWA WATU WA FITNA KUJARIBU KUVURUGA SAFU YA SALAFI MARA KADHAA,NI WATU WA FITNA.
Baarak Allah fiyk
Maashallaah Hapo sasa dr. Unamfundisha huyo mjinga shafii wamekua ni watu wa shari
Allaah akupe subra sheikh dr. Mimi naona ungewapuuza t waache waropoke hawana nidhwaamu
Ni Mwendo wa Radd tu, Ukilala Ukiamka Radd, Haya Ngoja Tuone Mwisho wake.
Sasa hii ndio maana ya SALAFI JADIDAH sasa.
Hii ni ya lini?
Mwaka huu mwanzoni ila zilikuwa hazijasambazwa
Madam hiyo si dini. Basi mtaendelea na vurugu za kupigana red cad na kutoana katika Uislam. Hamna kitu hapo ni fujo hakuna dini hapo ni kikundi tu cha wahuni
Kwa maneno yako hayo unaonekana ni sufi kabisa, khitilafu katika din ni Jambo la kawaida Kama hujui Jambo Hilo kacheze na wenzako kwenye fainali za maulidi mda huu
Ushashiba bagia tayari
@@ibrahimabdul8257 vipi na ww umeshiba nyama ya mbuzi kutoka udhamin wa kishia kwenye hizo fainali za maulidi
Raddi ni. Ktk dini na ndo maana ukiiangalia Quran imejaa radd
Akhy hivi hii premiere huwa inamaanisha nini? hahahah!
Akhy hii ni ya karibuni au ya mda??
@Hamis-ks1sy Sijajua, ila majuzi Shafiy pia kawasupport akina Abuu Zaghar kuwa Masjid Omary wamewatuma wanafunzi wao wakapige kura jambo ambalo limekanushwa na masjid omary hivi karibuni... I think ni jana tu nimeona hyo post yao ya kukanusha hilo kuwa wamesingiziwa...!!!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Hizi ni fitna Wallah,yaani mtu akiwa anaswali masjid Umary basi ni salafy?? Mbona pale waswali watu mbalimbali ambao wanakuwa katika pirika zao?? Nimemsikiliza kwa makini sana Dr.Khamis kavunja shubha zao dhaifu sna na kwa namna wanavyotaka wao basi hata majirani itakua hakuna haja ya kusalimiananao wala kusaidiana palipo na shida ni basi2 kuna mda watu wanataka vurugu
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Suala la kupiga kura wasikurupuke2 kwakua tayari wanachukizao binafsi walete strong evidence katika hilo.
@@Hamis-ks1sy maa shaa Allah! Dr kaelezea vzr sana, mimi nampenda sana Wallahi...!!!
Na ndo shida ya Shafiy na Akidu... wakiona kitu kdg tu wao ni radd tu, wakat wangekaa wangeyazungumza yakaisha!
Na bado
Namuomba allah azidi
kukubainisheni kwamba nyie
Hampo kwenye dini
Kila mtu anapigania dunia na.maslahi