Sabri Zamil Almendhry
Sabri Zamil Almendhry
  • Видео 387
  • Просмотров 367 736
𝗠𝗜𝗝𝗜 𝗛𝗜𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗠𝗕𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗟𝗔𝗞𝗔! 𝗡𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗠𝗞𝗘 𝗔𝗨 𝗠𝗨𝗠𝗘?
𝗠𝗜𝗝𝗜 𝗛𝗜𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗠𝗕𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗟𝗔𝗞𝗔! 𝗡𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜 𝗠𝗞𝗘 𝗔𝗨 𝗠𝗨𝗠𝗘?
Просмотров: 38

Видео

𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗜𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠𝗨 𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗠𝗕𝗔𝗬𝗔? 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗢𝗡𝗘𝗪𝗔? 𝗡𝗨𝗦𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗜𝗞𝗢 𝗪𝗔𝗣𝗜?
Просмотров 472 часа назад
𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗖𝗛𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗜𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠𝗨 𝗕𝗔 𝗢 𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗠𝗕𝗔𝗬𝗔? 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗢𝗡𝗘𝗪𝗔? 𝗡𝗨𝗦𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗜𝗞𝗢 𝗪𝗔𝗣𝗜?
𝗞𝗨𝗬𝗔𝗪𝗘𝗞𝗔 𝗦𝗔𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗜𝗗 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗨𝗗𝗜𝗥 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗞𝗔𝗭 𝗜𝗞𝗛𝗟𝗔𝗔𝗦 𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢𝗡𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔
Просмотров 5632 часа назад
𝗞𝗨𝗬𝗔𝗪𝗘𝗞𝗔 𝗦𝗔𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗜 𝗔𝗟𝗜 𝗛𝗔𝗦𝗦𝗔𝗡 𝗠𝗨 𝗜𝗥 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗞𝗔𝗭 𝗜𝗞𝗛𝗟𝗔𝗔𝗦 𝗚𝗢𝗡𝗚𝗢𝗡𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔
𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗣𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗧𝗔𝗝𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗞𝗔𝗦𝗦𝗜𝗠 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔, 𝗔𝗕𝗗𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗛𝗨𝗠𝗘𝗜𝗗. 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗣𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗨𝗠𝗔𝗔𝗥𝗨𝗙𝗨!
Просмотров 6702 часа назад
𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗣𝗘𝗡 𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗧𝗔𝗝𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗞𝗔𝗦𝗦𝗜𝗠 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔, 𝗔𝗕 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗛𝗨𝗠𝗘𝗜 . 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗣𝗘𝗡 𝗔 𝗨𝗠𝗔𝗔𝗥𝗨𝗙𝗨!
𝗠𝗧𝗨𝗠𝗘 ﷺ 𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗨𝗢𝗧𝗔 𝗡𝗔𝗕𝗜𝗜 𝗜𝗦𝗦𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗜𝗛𝗨 𝗗𝗔𝗝𝗝𝗔𝗟
Просмотров 5824 часа назад
𝗠𝗧𝗨𝗠𝗘 ﷺ 𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗨𝗢𝗧𝗔 𝗡𝗔𝗕𝗜𝗜 𝗜𝗦𝗦𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗜𝗛𝗨 𝗔𝗝𝗝𝗔𝗟
𝗝𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗘𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗠𝗞𝗘 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜𝗡𝗘 𝗛𝗔𝗪𝗔𝗝𝗔𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗧𝗜𝗠𝗜𝗭𝗔 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗭𝗔!
Просмотров 4157 часов назад
𝗝𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗘𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗠𝗞𝗘 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜𝗡𝗘 𝗛𝗔𝗪𝗔𝗝𝗔𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗧𝗜𝗠𝗜𝗭𝗔 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗭𝗔!
𝗕𝗨𝗡𝗚𝗘 𝗟𝗔 𝗨𝗘𝗡𝗚𝗘𝗥𝗘𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗝𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗨𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗪𝗔𝗠𝗘𝗞𝗔𝗧𝗔𝗭𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗢𝗚𝗔
Просмотров 1937 часов назад
𝗕𝗨𝗡𝗚𝗘 𝗟𝗔 𝗨𝗘𝗡𝗚𝗘𝗥𝗘𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗝𝗔 𝗜𝗟𝗜 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗨𝗚𝗔𝗡 𝗔 𝗪𝗔𝗠𝗘𝗞𝗔𝗧𝗔𝗭𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗢𝗚𝗔
𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗟𝗜𝗗𝗜 𝗔𝗝𝗔𝗕𝗨 𝗦𝗔𝗡𝗔!
Просмотров 7399 часов назад
𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗟𝗜 𝗜 𝗔𝗝𝗔𝗕𝗨 𝗦𝗔𝗡𝗔!
𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗬𝗔 𝗗𝗔’𝗔𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗠𝗕𝗔𝗦𝗔! 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗧𝗨𝗜𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗔𝗗𝗜𝗗𝗔? 𝗥𝗔𝗗𝗗𝗜 𝗗𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗛𝗜𝗬𝗔𝗡𝗜
Просмотров 1,8 тыс.12 часов назад
𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗬𝗔 𝗔’𝗔𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗠𝗕𝗔𝗦𝗔! 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗧𝗨𝗜𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗝𝗔 𝗜 𝗔? 𝗥𝗔 𝗜 𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗛𝗜𝗬𝗔𝗡𝗜
𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗟𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗭𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗣𝗔! 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗔𝗠𝗘𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗚𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗥𝗔𝗕𝗨? 𝗔𝗠𝗘𝗧𝗨𝗭𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢!
Просмотров 1,2 тыс.14 часов назад
𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗞𝗪𝗔 𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗟𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗭𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗣𝗔! 𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗔𝗠𝗘𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗚𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗥𝗔𝗕𝗨? 𝗔𝗠𝗘𝗧𝗨𝗭𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢!
𝗠𝗔𝗗𝗛𝗘𝗛𝗘𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗡𝗜 𝗬𝗔𝗟𝗘 𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗬𝗔𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢
Просмотров 33616 часов назад
𝗠𝗔 𝗛𝗘𝗛𝗘𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗡𝗜 𝗬𝗔𝗟𝗘 𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗬𝗔𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢
𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗡𝗗𝗨𝗚𝗨 𝗭𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗪𝗔𝗝𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗛𝗜𝗜 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗧𝗔𝗣𝗘𝗟𝗜!
Просмотров 93419 часов назад
𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗡 𝗨𝗚𝗨 𝗭𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗪𝗔𝗝𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗛𝗜𝗜 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗧𝗔𝗣𝗘𝗟𝗜!
𝗠𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗪𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗬𝗢𝗨𝗕 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗘𝗗 𝗠𝗭𝗘𝗘 𝗔𝗡𝗔𝗘𝗣𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗞𝗨𝗔 𝗝𝗨𝗨 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗨𝗞𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗞𝗘!
Просмотров 33121 час назад
𝗠𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗪𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗔𝗬𝗢𝗨𝗕 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗘 𝗠𝗭𝗘𝗘 𝗔𝗡𝗔𝗘𝗣𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗔𝗟𝗟𝗔𝗛 𝗞𝗨𝗔 𝗝𝗨𝗨 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗨𝗞𝗔 𝗞𝗪𝗔𝗞𝗘!
𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗭𝗔𝗢 𝗭𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗜𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗠𝗘𝗜𝗕𝗔 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗜𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗘𝗧𝗨!
Просмотров 905День назад
𝗛𝗜𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗭𝗔𝗢 𝗭𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗜𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗠𝗘𝗜𝗕𝗔 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗜𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗘𝗧𝗨!
𝗦𝗜𝗞𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗨𝗧𝗔𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗨𝗚𝗛𝗨𝗥𝗔𝗙𝗜 𝗟𝗘𝗢 𝗟𝗘𝗢
Просмотров 1,3 тыс.День назад
𝗦𝗜𝗞𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗨𝗧𝗔𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗔 𝗨𝗚𝗛𝗨𝗥𝗔𝗙𝗜 𝗟𝗘𝗢 𝗟𝗘𝗢
𝗡𝗬𝗜𝗘 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗬𝗔𝗛 𝗠𝗠𝗘𝗜𝗧𝗢𝗔 𝗪𝗔𝗣𝗜 𝗠𝗕𝗢𝗡𝗔 𝗧𝗨𝗟𝗜𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗜𝗦𝗜𝗞𝗜𝗜?
Просмотров 2 тыс.День назад
𝗡𝗬𝗜𝗘 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗬𝗔𝗛 𝗠𝗠𝗘𝗜𝗧𝗢𝗔 𝗪𝗔𝗣𝗜 𝗠𝗕𝗢𝗡𝗔 𝗧𝗨𝗟𝗜𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗜𝗦𝗜𝗞𝗜𝗜?
𝗛𝗨𝗬𝗨 𝗡𝗗𝗜𝗘 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔𝗗 𝗡𝗔𝗦𝗦𝗢𝗥 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨 𝗔𝗦𝗜𝗪𝗔𝗨𝗠𝗜𝗭𝗘 𝗩𝗜𝗖𝗛𝗪𝗔!
Просмотров 1,5 тыс.День назад
𝗛𝗨𝗬𝗨 𝗡 𝗜𝗘 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔 𝗡𝗔𝗦𝗦𝗢𝗥 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨 𝗔𝗦𝗜𝗪𝗔𝗨𝗠𝗜𝗭𝗘 𝗩𝗜𝗖𝗛𝗪𝗔!
𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗠𝗨𝗦’𝗔𝗕, 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗛𝗜𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗜 𝗠𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗢𝗣𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗝𝗔𝗠𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗗𝗔’𝗔𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗬𝗔𝗛
Просмотров 2,7 тыс.14 дней назад
𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗠𝗨𝗦’𝗔𝗕, 𝗕𝗔𝗥𝗔𝗛𝗜𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗜 𝗠𝗜𝗢𝗡𝗚𝗢𝗡𝗜 𝗠𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗢𝗣𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗝𝗔𝗠𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗔’𝗔𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙𝗜𝗬𝗬𝗔𝗛
𝗠𝗝𝗨𝗘 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗔𝗟 𝗔𝗤𝗪𝗔 𝗦𝗪𝗔𝗛𝗔𝗕𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗠𝗕𝗜𝗢 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗙𝗔𝗥𝗔𝗦𝗜!
Просмотров 69914 дней назад
𝗠𝗝𝗨𝗘 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗠𝗔𝗧𝗔𝗟 𝗔𝗤𝗪𝗔 𝗦𝗪𝗔𝗛𝗔𝗕𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗠𝗕𝗜𝗢 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗙𝗔𝗥𝗔𝗦𝗜!
𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗣𝗜𝗚𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗞𝗜𝗧𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗔𝗜𝗥𝗢𝗕𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗙𝗨!
Просмотров 1,3 тыс.14 дней назад
𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗣𝗜𝗚𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗞𝗜𝗧𝗜𝗡𝗜 𝗡𝗔𝗜𝗥𝗢𝗕𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗙𝗨!
𝗩𝗜𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗛𝗨𝗥𝗔𝗙𝗜 𝗤𝗔𝗗𝗜𝗥𝗜𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢𝗞𝗨𝗙𝗨𝗥𝗨 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗩𝗜𝗞𝗔𝗢 𝗩𝗬𝗔𝗢!
Просмотров 60314 дней назад
𝗩𝗜𝗧𝗨𝗞𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗞𝗛𝗨𝗥𝗔𝗙𝗜 𝗤𝗔 𝗜𝗥𝗜𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢𝗞𝗨𝗙𝗨𝗥𝗨 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗩𝗜𝗞𝗔𝗢 𝗩𝗬𝗔𝗢!
𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔𝗗 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨 𝗡𝗜 𝗠𝗧𝗨 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗞𝗔 𝗕𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗞𝗔?
Просмотров 80514 дней назад
𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨 𝗡𝗜 𝗠𝗧𝗨 𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗞𝗔 𝗕𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗞𝗔?
𝗠𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔𝗗 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨, 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗭𝗔𝗚𝗛𝗔𝗥 𝗡𝗔 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗠𝗨𝗦’𝗔𝗕 𝗞𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗜𝗠𝗔𝗠𝗨!
Просмотров 1,1 тыс.14 дней назад
𝗠𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗨𝗛𝗔𝗠𝗠𝗔 𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨, 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗭𝗔𝗚𝗛𝗔𝗥 𝗡𝗔 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗠𝗨𝗦’𝗔𝗕 𝗞𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗦𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗜𝗠𝗔𝗠𝗨!
𝗬𝗢𝗧𝗘 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢𝗠𝗧𝗢𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗔𝗗𝗔𝗠𝗨 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔!
Просмотров 67014 дней назад
𝗬𝗢𝗧𝗘 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢𝗠𝗧𝗢𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗔 𝗔𝗠𝗨 𝗕𝗔𝗔 𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗔!
𝗪𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔𝗩𝗬𝗢𝗣𝗜𝗧𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗦𝗜𝗥𝗔𝗔𝗧 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗙𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔!
Просмотров 38314 дней назад
𝗪𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔𝗩𝗬𝗢𝗣𝗜𝗧𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗦𝗜𝗥𝗔𝗔𝗧 𝗕𝗔𝗔 𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗙𝗨𝗙𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔!
𝗪𝗔𝗡𝗔𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗦𝗛𝗜𝗗𝗔 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗝𝗨𝗜 𝗟𝗨𝗚𝗛𝗔! 𝗡𝗜 𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗔𝗨 𝗪𝗔𝗢?
Просмотров 2 тыс.21 день назад
𝗪𝗔𝗡𝗔𝗦𝗘𝗠𝗔 𝗦𝗛𝗜 𝗔 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗝𝗨𝗜 𝗟𝗨𝗚𝗛𝗔! 𝗡𝗜 𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗔𝗨 𝗪𝗔𝗢?
𝗨𝗖𝗛𝗔𝗪𝗜 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜 𝗨𝗡𝗔𝗢𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗦𝗨𝗞𝗔!
Просмотров 1,1 тыс.21 день назад
𝗨𝗖𝗛𝗔𝗪𝗜 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜 𝗨𝗡𝗔𝗢𝗘𝗡 𝗘𝗟𝗘𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗦𝗨𝗞𝗔!
𝗜𝗥𝗔𝗡 𝗜𝗧𝗔𝗪𝗔𝗡𝗨𝗦𝗨𝗥𝗨 𝗪𝗔𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗣𝗛𝗔𝗟𝗘𝗦𝗧𝗜𝗡𝗔?
Просмотров 1,3 тыс.21 день назад
𝗜𝗥𝗔𝗡 𝗜𝗧𝗔𝗪𝗔𝗡𝗨𝗦𝗨𝗥𝗨 𝗪𝗔𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗣𝗛𝗔𝗟𝗘𝗦𝗧𝗜𝗡𝗔?
𝗨𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗔𝗬𝗠𝗔𝗡 𝗡𝗔 ABUU 𝗔𝗕𝗗𝗜𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠, 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗕𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙
Просмотров 1,9 тыс.21 день назад
𝗨𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗜𝗞𝗛 𝗔𝗕𝗨𝗨 𝗔𝗬𝗠𝗔𝗡 𝗡𝗔 ABUU 𝗔𝗕 𝗜𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠, 𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗕𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗙
𝗛𝗔𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔 𝗝𝗢𝗕𝗟𝗘𝗦𝗦 𝗧𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗧𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗭𝗘 𝗠𝗜𝗭𝗜𝗡𝗚𝗔!
Просмотров 57321 день назад
𝗛𝗔𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔 𝗝𝗢𝗕𝗟𝗘𝗦𝗦 𝗧𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗧𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗭𝗘 𝗠𝗜𝗭𝗜𝗡𝗚𝗔!

Комментарии

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 6 часов назад

    HATA WEYE HUJIBIWI UMESHAWEHUKA NA NANI ANA MUDA WA KUMJIBU MWEHU KAMA WEWE

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Час назад

      We kifaranga cha Shia Golo na huku pia umo!. Acha matusi basi bado unakua Unajazba za Sheikh zako wa kishia kufanyiwa Radd sio?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 8 часов назад

    We sufi kaaa kimyaaaa kizeee

  • @baryus7
    @baryus7 9 часов назад

    Umhhh kumbeeee , lakini hasa wao wakawataja wengine na isiwe umaarufu , kwa nini wengine kuwataja iwe umaarufu? و هذا من باب الأمر بالمعروف و النهي عن المنكر، و كذلك الردود. فكل يؤخذ من قوله و يرد إلا النبي صلى الله عليه و سلم. Nyinyi mizani yenu ni kama mnaashiria kuwa kila mtu anaetutaja hafai kujibiwa kama vile anakhalifu haqq kuwataja , kama vile muna shuhra kisha yeye anakuja kuwataja ,ima msimjibu kukhofia msimkatie sehemu katika shuhra yenu , ao mumjibu kisha : ima mkawa nyinyi ndiyo mmekosea na hapo shuhra inapunguka kwa hiyo mnaihifadhi, Ao mkawa mmepatiya lakini mmepoteza mda kwa kumjibu. و الكبر بطر الحق و غمط الناس Katika zama hizi, kama mtu sio wakujibiwa ni kuraddiwa tu ,basi huyu na muonea huruma sababu : hafanyiwe uadilifu endapo atakuwa yy ndiye yuko kwenye haqq, bali kadhulumiwa. Na ikiwa yy ndiye akakosea kisha ikawa maskini alikuwa na ikhlaasw ktk kutafuta haqq. Ama wale wabishi ,watu wa kiburi, hawa kujibiwa ni buree bora ku kaa kimya tu. والله المستعان

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 15 часов назад

    KUJITETEA TU

  • @user-xh4ym6ik2h
    @user-xh4ym6ik2h 17 часов назад

    Kweli ndimi zitawaingiza sana watu motoni na mtu akiwa hana dalili nikutukana umeona sheikh Abuu haashim kakosea mfate ukamnasihi matusi yana msaidia nn kwa mfano

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 16 часов назад

      @@user-xh4ym6ik2h katukanwa tusi lipi ww, au ndio wapenda kiupofu

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 18 часов назад

    Nyie ni majambazi hamna lolote

  • @mhusinigau3231
    @mhusinigau3231 21 час назад

    Huyu mzungumzaji ni mtu mjinga kabs Allah amuongoze

    • @aliyabasi2058
      @aliyabasi2058 21 час назад

      Ww wamjua sheikh abu hashim au wajisemea tu ,huyu unaemwambia ni mjinga huenda ikawa hata babako hamfiki kiumri Basi kuwa na heshima na masheikh ww ni kama mjukuu kwa sheikh abu hashim au waona huyo ni kijana ?? Kuwa na adabu kijana ila hivyo ndivyo mnavyofundishwa na masheikh zenu kutukana watu ALLAH AKUONGOZE

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 16 часов назад

      @@aliyabasi2058 hapo katukanwa tusi lipi!??

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 16 часов назад

      @@aliyabasi2058 basi kama atakuwa Mzee ni ktk wazee wa hovyo maana Mzee ni mtu mwenye heshima yeye mbona kakosa adabu uzee wake au umri wake hauendani na yeye

    • @AbuuSiiriin
      @AbuuSiiriin 14 часов назад

      Wewe umenyewa kichwani hujielewi

  • @suleimanjabiri729
    @suleimanjabiri729 23 часа назад

    Hata wewe pia so muadilifu...Huyo Kassim Mafuta na Abdallah Humeid pia wanapenda kutaja taja masheikh wengine....nyote acheni shub-ha na ujub

  • @Aymanland
    @Aymanland 23 часа назад

    Hata Abulfadhl na Abulkhattwab pia wamepinda kuweni waadilifu katikati kubainisha

    • @masoudmohammed4258
      @masoudmohammed4258 23 часа назад

      Wamepinda vipi? Mbna wachekesha. Hahahaha Wasema wamepinda na hubainishi

    • @iddimutua420
      @iddimutua420 15 часов назад

      KUJITETEA TU

    • @auroxenterprises8003
      @auroxenterprises8003 Час назад

      ​@@masoudmohammed4258 nyie mijadida MJINGA kweli wizi halafu waongo pili wapenda mademu

  • @luqmansudi
    @luqmansudi День назад

    كل من اعرض عن الطريقة السلفية الشرعية الالهية، فانه لابد ان يضل ويتظاقض ، ويبقى ف الجهل المركب او البسيط.

  • @rushu1232
    @rushu1232 День назад

    Wewe ni mpuzi sana Abuu Hashim hii unaifanya hapa tayari ni bidaa taabu yenu mwaona kila bidaa ni mbovu hapo waongea kizungu sio bidaa huwezi kujifananisha ustadh Said Ali Hassan hata 10%.zote ziko niswala nasifa za Mtume na sera wacha kudanganya watu.

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x День назад

      Sio sisi ni mtume ndo alisema kuwa kila bida'a ni mbovu! kwo chunga maneno yako usije ukakufuru kwa kumpinga mtume alichosema!

    • @UB40X1
      @UB40X1 22 часа назад

      Wewe heri unyamaze. Usidhihirishe uzuzu wako.

    • @ashrafhashim2116
      @ashrafhashim2116 22 часа назад

      Kweli watu wabid,aa allah kawanyima kuzifahamu adilla Aliekwambia nani kuwa kuongea english ni bidaa??

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 21 час назад

      ​@ABUUBAAZNYUNGU-j4x mtume kasema lkn uelewa wako ndio mbaya ktk hadithi ya mtume acha kudanganya watu we mjinga

    • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
      @ABUUBAAZNYUNGU-j4x 21 час назад

      @@mhusinigau3231 uelewa gani wakati maneno ya mtume yako wazi na hayahitaji tafsi yoyote: "KILA UZUSHI KATIKA DINI NI UPOTEVU" Hyo kauli haihitaji Taawiili hata kdg koz mana yake ipo wazi..... Kama ni hvo mtume alishindwa nini kusema : "BAADHI YA BIDAA NI UPOTEVU"???

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 День назад

    Vipi sheikh umeshindwa kujib kuhusu imam suyutwi??kwanini amebaki ktk Sunna?

  • @NadyaSaid-c4w
    @NadyaSaid-c4w День назад

    Mashekhe hawa niwanafik unawezaje kuongozwa kwa sheriya ya democratic na unaacha mfumo kamili wa sheriya za qur an kazi yenu nyinyi nikuwasema watu wadola

  • @GhalibLindi
    @GhalibLindi 2 дня назад

    Hii dini ni ya Allah, tusimsaidie hukumu, siasa visasi, chuki, visihusishwe uislamu

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 3 дня назад

    Nikwel hamjui kwan si tunasikia saut zenu mkizungumza jamni au vp😂😂. Mumejipa madarak ya juu kwenye din mnaambukia udhalili saiv kila kona mnakamatwa nyie na ujuaji wenu . Waachien watu wafate hakki kwa wanzuon wao km nyie hamuwaafiki mtulie na hao wenu mnawaafiki lkin musikae kuwkufurisha watu et hawawafuati mnavotak nyiee😂😂😂

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 3 дня назад

    Hpo umeongea kweli. Ila ndo mjijue km baadhi yenu mnateteana nyinyi kwa nyinyi hata km mnkosea . Akitokea mmoja akisema kwel juu ya mwezenu anajiwa juuu😂😂. Mmefikiwa ndipo

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 3 дня назад

    Allah atuhifadhi sisi na masheikh wetu na atuchunge na awarehem maiti zetu

  • @rushu1232
    @rushu1232 3 дня назад

    Wewe andelea na upuzi wako maulidi kama kawaida tushaanza sio haram sio bidaa haijaongeza kwenye fardhi wala sunnah maulidi nijambo la kheri sio lazima ukisoma wapata thawabu usiposoma hapati madhambi.

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 3 дня назад

      Sasa kwa maana hio maulid ni sunna?

    • @user-ee5fk2yo5t
      @user-ee5fk2yo5t 3 дня назад

      Rushu mche Allah

    • @rushu1232
      @rushu1232 3 дня назад

      @@user-ee5fk2yo5t huo ndio upumbavu wenu nani asiye mcha Allah sjisifu leo ni ijumaa nimeswa nahao munaowaita masufi sunnah ya kabla alfjri tukaswali farjri kukaletwa dhikri na swala ya Mtume mpaka ishrak nikasswali dhuha nikaenda jumaa mapema nikasoma kahf na sunnah kabla dhuhur na fardh ya jumaa nabaadia sasa wewe nitie motoni maanake nyinyi ndio ma secretary wa Allah.

    • @KaramaKarama-jm7qo
      @KaramaKarama-jm7qo 3 дня назад

      Maulid ni shirk haswa.Wacha istizai kwa dini ya ALLAH.Muogope ALLAH

    • @rushu1232
      @rushu1232 3 дня назад

      @@KaramaKarama-jm7qo kwani ukisema wewe ni shirki ndio wahyi wacha ujinga wewe wajua maana ya shirki kisha mwajidai masalafi shirki nikuamini aseikua Allah au kua na mshirka wake au kukataa maamdrisho yake.

  • @RashidMussajuma
    @RashidMussajuma 4 дня назад

    Allah akubaarik sheikh Abdallah humeyd

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 4 дня назад

    Kama sie tulivokuwa hatudanganyiki na nyie Majadida, makada, maswaafika, mahadadia

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 4 дня назад

    Wastage of time, mbs, and Iimaan. Hawa jamaa tuwe nao makini sio watu wema. Kila aa'lim wanamwandama,eti Rududi, Rududi zitakuwa hizi? Hivi ni vijembe. Sasa hivi anaandamwa Dr.Khamis Imaam. Jamaa sijui nani kawapa kibali.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u 3 дня назад

      😂😂😂😂😂 nani alikuita mzoa? Duh jina limekuathiri kaka...

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 3 дня назад

      @@user-bp6fb6wo5u Sikulaumu. Ndo mlivyolelewa. Mwanafunzi huiga tabia ya mwalimu, ndo maana tunaambiwa angalia Elimu yko unachukuwa wapi. (The matter to consider). Pole sana. ALLAH A'ZZA WAJALLA Atuongoze sote.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 2 дня назад

      @@user-bp6fb6wo5u Nnakukumbusha; Rejea Quran Tukufu. Imaani ya kweli na matendo mema ndo vitakavyompelekea Muislamu kupendwa na ALLAH A'ZZA WAJALLA. Matusi, vijembe na kejeli vya walimu wenu waachieni wenyewe.

    • @aliyabasi2058
      @aliyabasi2058 2 дня назад

      ​@@ahmadmzoa74kwahyo wakikosea wasiambie waachwe hvyo hvyo

    • @aliyabasi2058
      @aliyabasi2058 2 дня назад

      Da'awa hapo ilipofikia hamuezi kuizuia tena bana

  • @user-tr6rq4ok9g
    @user-tr6rq4ok9g 4 дня назад

    Mchapeni muhamad mafuta km nyinyi ni WA kwely

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    maana ya salafiya jadida hapo, maanayake ni kuwa mumezusha Manhaji mpya ambayo si sahihi wala haiendani kabisa na salaf swaleh, ISIPOKUWA munasingizia kuwa ni Usalafi, kwa kifipupi hapo HAKUNA USALAFI KAMA HUO. na ndio maana hata ukiwauliza mashia nao wana dai kuwa wanafuata salafi swaleh, masufi ukiwauliza nao wanadai kuwa wanafuata salafi swale, hivyo USALAFI SIO HUO MUNAO UDAI NYINYI,

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    maana ya salafiya jadida hapo, maanayake ni kuwa mumezusha Manhaji mpya ambayo si sahihi wala haiendani kabisa na salaf swaleh, ISIPOKUWA munasingizia kuwa ni Usalafi, kwa kifipupi hapo HAKUNA USALAFI KAMA HUO.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    umekuwa mwarabu wewe? ndio maana kuna neno Makkah na Bakka kwa kuzingatia mather language, hakuna cha maana hapo ktk daal na taau, tafuta mada ya kuzungumza jibu swali kuhusu imaamu suyutwi.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u 3 дня назад

      Waarabu wakiongea kaa kimya kaka mswahili, tukubali tu.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    jibu Kuhusu msimamo wenu kwa imaamu Suyutwi????

    • @ramadhanmbwana5718
      @ramadhanmbwana5718 2 дня назад

      Hamkome bado mnamuweka bacho mbele Alivyo kutana na saidi alikumbia meza Sasa shekh abdallah ni ngazi nyingine

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    je hawa Ahlul hawaa walio badili Taasisi kutoka kuwa ni HARAMU MPAKA sasa ni Sunnatun hasana je ni hizbi au nani? ruclips.net/video/LxPmIy8N1Xw/видео.htmlsi=o2GJgn3f3USUhWYI na wewe huko Mombasa HUNA Taasisi ya kisunnah?

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 4 дня назад

      yani wewe jahil kweli Nani kakwambia taasisi ni halali ?

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 4 дня назад

    je hawa Ahlul hawaa wenye walio badili Taasisi kutoka kuwa ni HARAMU MPAKA sasa ni Sunnatun hasana je ni hizbi au nani? ruclips.net/video/LxPmIy8N1Xw/видео.htmlsi=o2GJgn3f3USUhWYI

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

    ana wivu na dr is

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

    Katika watu watakao kufa na watu kumuobea duwa mbaya kwa Allah na huyu mdigo ni mshamba xana sijui alisomea wapi uislamu wake kibri na jujiona yeye mahsumin na kuwa kila kitu anajuwa wallahy huyu fitna mkubwa katika watu na kujikweza kuona kama dini na usalafi ni wababa yake na kila kitu na kukubali kosa huwa hajui ana kibri akianza kumuongelea vibaya dr islamu hadi mate kwenye maic na koo linakauka sijui kama ana akili timamu minahsi kidogo ana matatizo ya ubongo ndo wadigo walivyo waongeaji mno na mambo ya kishsmba xana anayo

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

    Tapeli tuuh hata itikadi yenu imekaa kiutapeli kwanini msiwe matapeli wa kila kitu na wengine makada wa ccm wazuri katubu wenezi wa chama cha ccm

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

    Ni jadida ndy hilo jina zuri tuuh kwenu linawafaa na linaendana na matendo yenu unawauluza kwanini tunaitwa jadida kamuulize shekh bakary abu zaid hizby jadida, mnama jina mengi wanazuoni wamewaita, hizbu salafi ulaku tabdiii ulaku tajdiii yote haya yanawafaa sabu ukisema salafi ninyi ni wtu wa matamanio ndomana shekh uthaymeen kasema watu hawoo hawana usalafi kitu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 4 дня назад

    😢,Ansar sugu NI watu dhulma wamewadhulumu yatima na mjane hatushangai kwa nitumie WA Allah walikuwa afrika ama ulaya na umati wote waliogharikishwa walikuwa wao ndio mana hapa wanaongozwa haohao aliopita

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

      Kashtaki kwa mahakama bhasi unalalamikia nani mtandaoni😂😂😂

    • @maulidimuhani
      @maulidimuhani 4 дня назад

      je hawa Ahlul hawaa walio badili Taasisi kutoka kuwa ni HARAMU MPAKA sasa ni Sunnatun hasana je ni hizbi au nani? ruclips.net/video/LxPmIy8N1Xw/видео.htmlsi=o2GJgn3f3USUhWYI na wewe huko Mombasa HUNA Taasisi ya kisunnah?

  • @user-ho6zn1ry7r
    @user-ho6zn1ry7r 5 дней назад

    Hata Kama hukumfahamu hapa basi amka usiku umuulize ALLAH wewe ni nani

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 5 дней назад

    Tandika kabisa hawa mahzib , wakina dr islam na genge lao. Allah akuhifadhi sheikh kasimu mafuta.

  • @ilhamhaji8650
    @ilhamhaji8650 5 дней назад

    Allahu yubarik

  • @abdullahisiasa7861
    @abdullahisiasa7861 5 дней назад

    Sheikh abul fadhil hafidahulah na Allah amhidadhi sheikh duktur Al alaamah mufti muhadith sheikhul islam duktur islam muhammad sqlim

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 5 дней назад

    Allaah awalipe masheikh zetu alhmdulillaah mumetuamsha na tushaamka kwa kupitia nyie allaah awalipe huu mseto twaujua vizuri kupitia nyie masheikh zetu wa kisalaf

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 5 дней назад

    *MAFUTA NIKIKUA NAMWAMINI ILA KILA SIKU ZINAENDA ANAZIDI KUA MJINGA* mimi na physics zangu wananichanganya izo dini wanakosoma. 1. *Anaetuhumiwa Dr. Islam kakanusha, kwamba hamaanishi wanavyokusudia wao* hili peke yake lilitosha kua hakuna mjadala kwa watu wanaodai wamesoma dini na kuelewa. 2. *Wao wanaweka vikao kulazimisha aeleweke walivyoelewa wao na ufahamu wao mbovu* hii sasa ni upuuzi na ni sikio la kufa. 3. *Aliesema yupo hai, maneno yenu kayasikia na kayajibu na kubainisha hamaanishi mnachofikilia nyie* hapo kawafanyia uadilifu, *Mafuta ametuhumiwa kua na mikhalafa mibovu kuhusuana na taasisi na radio Iman hajatoka kukubali au kukataa hili pekee lilitosha kuonesha ni mtu wa mashindano na anafata matamanio ya nafsi yake* kwa nukuu za Bachu either ana kiburi au mnafiki au .....( nimeisahau ile ya mwisho) 4. *Kama kweli wasomi kwenye Haq waweke haq na kuikubali sio kushindwa* wakajibu maswali ya Muhammad Bachu tujue uhalali wa wao kuita watu mahizb.

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo 5 дней назад

    Shaikh Qassim Allah akuhifadhi....tubainishie hawa mahizb....tunakuelewa sana

    • @sabrizamilalmendhry
      @sabrizamilalmendhry 5 дней назад

      Baarak Allah fiyk

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 4 дня назад

      Ww jadida unajuwa nini li shekh lako lenyewe lina kataza watu tasis na kusema tasis ni uhzbya mbona kufunguwa yake ye so hizby?? Mbona anawafuga hadi makada wa ccm saivi ulimwengu unajuwa pale pongwe hujifunzi dini tuuh bali hata makada wa ccm wapo vzr tuuh na Allah alimuumbua mmoja mmoja yule mwengine aliacha na dawa huyu mwengine yupo kajificha ila kada nzuri na mjumbe wa ccm 😂😂😂

    • @SameerMdumbemalongo
      @SameerMdumbemalongo 4 дня назад

      @@user-yj5on8cz3e acha Nyambu...wewe ....sisi cy makhurafi....wapiga maulidi....haki tunaijua......

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 5 дней назад

    Ndugu yake qassim mafuta anaitwa Muhammad mafuta ambae ni kada wa CCM huyu mbele ya qassim mafuta ni salafi ila Dr islam sio salafi hawa masalafi wa mchongo ni majadida OG Ndugu zangu kuweni makini na kundi la qassim mafuta Na genge lake Huyu muongo hawezi kukubali haqi Ushahidi wa Hilo sikilizeni rududi zake na Abuu haatim alipigwa vibaya vibaya ila mpaka Leo hataki haqi aliobanishiwa Na genge lake lote ndio lipo hivyo wanapigwa kwenye raddi Ila hawataki haqi

  • @user-le2xv6lo7h
    @user-le2xv6lo7h 5 дней назад

    Uyu mafuta YA taa Sio mzima ana matatizo kichwani

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz 5 дней назад

    Masalaf wa kishabiki Tanzania wanapatikana pongwe Allah awaongoze alafu we mafuta lin ulikubali haki ikiwa haiko ktk group yenu inamaana nyie wote ni malaika hamkosei

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 дней назад

    Yani we unamfundisha jinsi ya kujibu Pumbavu Mfundishe ndugu yako kada

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 5 дней назад

    Utakufa na hasadi zako mafuta Dr islamu wala hakuskilizi asa pole Majadida

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 2 дня назад

      wakaaanae pamoja sio hiz ni lazim askize kwa sabb anayoambiwa nae anajua km ni ya maana sana sas km wakaanar pamoja kakwambia haskiz sawa mana haya ni majib bada ya yeye kujib au umemjibia wew utwambie mana mwenyew hakuji ispokuaushabik allah akuongoze na sis ..stak matus naomb ukinijib

    • @abuahlaam
      @abuahlaam День назад

      Haskizi vip wakati tuwajib na kutoa raddi ... hii ni dalili kua yuwaskiza na kupata faida

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 День назад

      @@pavillioncry5241 wanajifanya hawaelew haqq ila shekh anazungumz hakk tupu kutak mt aelew kabs ikiwa kajaaliwa kuelewa

  • @maimarypro
    @maimarypro 5 дней назад

    Sasa hapo shida iko wap????

  • @AbuwJuhaymah
    @AbuwJuhaymah 5 дней назад

    Ushauri wangu nduguyangu mwenye hii Chanel funga upande wa comment maana hazina faida yoyote

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 5 дней назад

      Swadaqta

    • @WakaliFashionTz
      @WakaliFashionTz 5 дней назад

      Tuachieni na ss tuwaradd majadida kwani inawauma nn

    • @ahmedabdulwahab5444
      @ahmedabdulwahab5444 5 дней назад

      Muliandikiwa Vitabu wa RADDI SHARIA Ukurasa 53 na 36 mulishindwa kujibu kwa maadiko . Lakini muna bobokwa tu.

    • @Abuuabdillah259
      @Abuuabdillah259 5 дней назад

      Kauze nguo​@@WakaliFashionTz

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 День назад

      @@WakaliFashionTz pia nasis tuwavhien tuwarud nyinyi mahizbi wala hakun shid

  • @rushu1232
    @rushu1232 5 дней назад

    Salalaaa eh nyinyi wakorofi yani kila siku Dr Dr kwani hakuna durus zengine kisha mwajidai nimasalafi waongo wakubwa.

  • @Aymanland
    @Aymanland 6 дней назад

    Ukiskiliza Hizi Radd kwa Umakini bila ushabiki na Uhizibiy utagundua Sheikh Qasim anatumia Hassad kumradd Dr Islam. Dr Islaam Amesoma Lakini hasalimiki na makosa , Angepewa Heshima yake na Ikatambuliwa Elim yake pengine ingeuwa ni sababu ya kuzalisha Umoja wa Wanasunnah Afrika mashariki ambapo umoja huo unasambaratika Kila kukicha . Ukitazam Hali ya wana Sunnah Afrika inaskitisha halafu kincho uma sote tupo katika Manhaji moja hii hatari. Ulamaa wakubwa Wametofautiana mengi lakini tunawaita Ulamaa AHLUSSUNNAH, Lakin sis tukitofautiana Tunatoana kwenye manhaji hii ni Jahiliyah mpya kama hamjui.

  • @NassorHassan-no1cr
    @NassorHassan-no1cr 6 дней назад

    Sasa subir rungu lako